< Danieli 12 >

1 Katika kipindi hicho, Mikaeli, jemedari mkuu ambaye huwalinda watu wako, atainuka. Kutakuwa na wakati wa mateso ambao haujawahi kutokea tangu mwanzo wa taifa lolote mpaka kipindi hicho. Katika muda huo watu wako wataokolewa, yeyote ambaye jina lake litapatikana katika kitabu.
Tanī laikā celsies Miķelis, tas lielais valdnieks, kas tavu ļaužu bērnus aizstāv, un tad būs tāds bēdu laiks, kāds vēl nav bijis, kamēr ļaudis bijuši, līdz tam laikam. Un tanī laikā tavi ļaudis taps izpestīti, visi, kas atrodas grāmatā rakstīti.
2 Na wengi wa wale waliolala katika mavumbi ya dunia watainuka. baadhi kwa uzima wa milele na baadhi kwa ajili ya fedheha na matwezo ya milele.
Un daudz no tiem, kas guļ zemes pīšļos, uzmodīsies, citi uz mūžīgu dzīvošanu, bet citi uz mūžīgu kaunu un negantību.
3 Wale wenye hekima watang'ara kama mng'ao wa anga la juu, na wale wenye kuwaelekeza wengine katika haki, watakuwa kama nyota milele na milele.
Bet mācītāji spīdēs kā debess spožums, un kas daudzus veduši uz taisnību, kā zvaigznes mūžīgi mūžam.
4 Lakini wewe, Danieli, yafunge maneno haya; kihifadhi kitabu kikiwa kimetiwa chapa mpaka nyakati za mwisho. Watu wengi watakimbia huku na kule, na maarifa yataongezeka.
Un tu, Daniēl, apslēp šos vārdus un aizzieģelē šo grāmatu līdz pēdējam laikam, tad daudzi meklēs tikuši(visapkārt), un atzīšana vairosies.
5 Kisha mimi, Danieli, nilitazama, na kulikuwa na malaika wengine wawili wamesimama. Mmoja alisimama katika upande huu wa ukingo wa mto, na mwingine alisimama katika ukingo wa upande mwingine wa mto.
Un es, Daniēls, skatījos, un redzi, divi citi stāvēja, viens šai upes malā un otrs otrā upes malā.
6 Mmoja wao alimwambia mtu aliyevaa nguo za kitani, yeye aliyekuwa juu ya mkondo wa mto, “Je itachukua muda gani mpaka mwisho wa matukio haya ya kushangaza?”
Un viens sacīja uz to vīru, kas bija ģērbts nātnu drēbēs, kas upes virsū stāvēja: cik ilgi tas būs, kad tiem brīnumiem būs gals?
7 Nilimsikia mtu yule aliyevaa nguo za kitani, aliyekuwa juu katika mkondo wa mto, aliinua mkono wake wa kuume na mkono wake wa kushoto kuelekea mbinguni na kuapa kwa yeye aishiye milele kwamba itakuwa kwa wakati, nyakati, na nusu wakati. Na wakati nguvu za watu watakatifu zitakapokuwa zimeshaharibiwa, mambo haya yote yatakuwa yamemalizika.
Un es dzirdēju to vīru, kas bija ģērbts nātnu drēbēs un stāvēja upes virsū, tas pacēla savu labo un kreiso roku pret debesīm un zvērēja pie Tā, kas dzīvo mūžīgi, ka viss tas notiks pēc viena laika, diviem laikiem un pus laika, un kad tās svētās tautas klīšana būs beigta.
8 Nilisikia, lakini sikufahamu. Basi nikamwuliza, “Bwana wangu, mambo haya yote yatakuwa na matokeo gani?”
To es dzirdēju, bet nesapratu, un sacīju: mans kungs, kas būs tam visam gals?
9 Alisema, “Nenda zako Danieli, kwa kuwa maneno yamefungwa na kutiwa chapa mpaka wakati wa mwisho.
Un viņš sacīja: ej, Daniēl, jo šie vārdi ir apslēpti un aizzieģelēti līdz gala laikam.
10 Watu wengi watakuwa wametakaswa, wameoshwa, na kusafishwa, lakini waovu wataenenda katika uovu.
Daudzi taps šķīstīti un tīrīti un kausēti, un tie bezdievīgie būs bezdievīgi, un tie bezdievīgie visi to neliks vērā, bet tie prātīgie to liks vērā.
11 Katika muda ule ambapo sadaka ya kawaida ya kuteketezwa itakapokuwa imeondolewa na chukizo la uharibifu liliosababisha ukiwa limesimamishwa, kutakuwa na siku zipatazo 1, 290.
Un no tā laika, kad tas ikdienas upuris kļūs atņemts un tā negantība un postīšana notiks, būs tūkstoš divi simti un deviņdesmit dienas.
12 Ana heri mtu yule anayengojea mpaka mwisho wa siku 1, 335.
Svētīgs ir, kas sagaida un aizsniedz tūkstoš trīs simti trīsdesmit un piecas dienas.
13 Unapaswa uondoke uende njia yako hata mwisho, na kisha utapumzika. Utainuka katika sehemu uliyopewa, mwishoni mwa siku.”
Bet tu noej līdz galam, un tu dusēsi un atkal celsies, savu daļu dabūt pastarā laikā.

< Danieli 12 >