< Amosi 4 >

1 Lisikilizeni neno hili, ninyi ng'ombe wa Bashani, ninyi mliomo katika mlima wa Samaria, ninyi mnaowakandamiza maskini, ninyi mnaowaponda wahitaji, ninyi muwaambiao waume zenu, “Tuleteeni vinywaji.”
“Goe nabima, dilia Samelia uda! Dilia da Ba: isia: ne soge bulamagau noga: le ha: i manu iawane debe agoane sefena desa. Dilia da gasa hame dunu ilima gasa fi hamosa. Amola dunu liligi hame gagui amo dilia uda da banenesisa. Amola adini moma: ne dilia egoa ilima gasawane edegesa.
2 Bwana Yahwe ameapa kwa utukufu wake, “Tazama, siku zitakuja kwenu wakati watakapowaondoa kwa ndoana, wa mwisho wenu na ndoana za kuvulia samaki.
Ouligisudafa Hina Gode E da hadigi noga: idafa, Ea da dafawane ilegele sia: i dagoi, “Eso da doaga: mu di memeda besega gagubi agoane, dili huluane da menabo memeda besega gagui agoai ba: mu.
3 Mtatoka kupitia mahali palipo bomolewa kwenye kuta za mji, kila mmoja wenu kwenda moja kwa moja kupitia hapo, na mtajitupa mbele ya Harmoni -hivi ndivyo asemavyo Yahwe.”
Dilia da gagoi ganodini dialu amo gagoi dusa: le sa: ili, hamega moiya ha: digi ba: mu.”
4 “Nendeni Betheli na uovu, hata Gilgali mkaongeza dhambi, leteni dhabihu zenu kila asubuhi, zaka zenu kila baada ya siku tatu.
Ouligisudafa Hina Gode da amane sia: sa, “Defea! Isala: ili fi dunu! Dilia da agoane hanai galea, hadigi sogebi amo Bedele moilai amo ganodini wadela: i hou hamomusa: masa! Ha: giwane wadela: i hou fawane hamoma! Mae yolele ohe amo nodone gobele salasu agoane hamomusa: , hahabe huluane gaguli misa. Amola osoda eso huluane amoga, dilia muni nabuane mogili, afadafa Godema ima: ne gaguli misa.
5 Toeni dhabihu za shukurani pamoja na mkate; tangazeni sadaka za hiari; watangazieni, kwa kuwa hii ndiyo iwapendezayo, ninyi watu wa Israeli -hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe.
Mae yolele, asili Godema dia agi ga: gi amo Ema bagade hahawane nodone ima! Amola liligi oda eno gaguli misi amoga nodone dilila: hou amo gaguia gadoma! Goe hou hamomusa: hanai liligi amo dilia hamomusa: hanai bagade.
6 Nawapatia usafi wa meno katika miji yenu na na kupungukiwa na mkate katika sehemu zenu zote. Bado hamkurudi kwangu -hivi ndivyo Yahwe asemavyo.
Nafawane, dilia moilai bai bagade fi gilisi ganodini ha: i bagade i amo, be amomane dilia Nama bu hame sinidigili misi.
7 Pia nimeizuia mvua kutoka kwenu wakati bado kulikuwa na miezi mitatu kwa mavuno. Nikaifanya inyeshe juu ya mji, na kuifanya isinyeshe katika mji mwingine. Kipande kimoja cha nchi ilinyesha, lakini kipande kingine cha nchi ambapo haikunyesha palikuwa pakavu.
Na da gibu mae sa: ima: ne gagulaligi, dilia ha: i manu sagai liligi heda: mu amomane. Na da gibu sa: ima: ne moilai bai bagade afae iligili i, be oda moilai iligili da hame i. Gibu da ifabi afae amogai sa: i, be eno ifabi amogai da hame sa: i, be amo ifabi da hafoga: sa.
8 Walizunguka miji miwili au mitatu kwenda mji mwingine kunywa maji, lakini hawakutosheka. Bado hawakunirudia mimi -asema Yahwe.
Da: i gasa hamedene hano hanai dunu oda ilia da moilai bai bagade fi gilisi, ilia da moilai bai bagade afae ea fi ganodini hano ganabela: le hano hogola asi be amomane hano manu defea hame ba: i. Be amomane di da Nama hame buhagi.
9 Nimewapiga kwa maradhi yanayosababisha kuvu. Wingi wa bustani, mashamba yenu ya zabibu, mitini yenu, na mizaituni-kuteketeza yote. Bado hamkunirudia hivi ndivyo Yahwe asemavyo.
Na fo bagade i dilia ha: i manu sagadusa: i amo hafoga: ma: ne. Danuba: da dilia ifabi ganodini misini amola waini sagai, dilia figi ifa amola olefe ifa amola na ebelei. Be amomane dilia Nama hame buhagi.
10 Nimetuma tauni kwenu kama ya Misri. Nimewaua watoto wenu kwa upanga, kubeba farasi zenu, na kuufanya uvundo wa kambi zenu na kuingiza kwenye pua zenu. Bado hamkunirudia mimi -hivi ndivyo asemavyo Yahwe.
Na da olo bagade dilima iaguda: i, amo da Na musa: Idibidi soge fi dunuma i amai. Na dilia dunu ayeligi amo gegesu ganodini fane legei, amola dilia hosi oule asi. Na bogoi dunu ilia da: i gaha amoga dilia mi gelabo didili heda: i, amola dilia fisisu ganodini gaha amoga nabai. Be amomane dilia Nama bu hame sinidigi.
11 Nimeiangamiza miji miongoni mwenu, kama wakati Mungu alipoiangamiza Sodoma na Gomora. Mlikuwa kama kijinga kilichonyakuliwa kutoka kwenye moto. Bado hamkunirudia - asema Yahwe.
Na da dili wadela: lesi, Na Sodame amola Goumola ela wadela: lesi amane. Be oda dilia hame bogoi ahoanebe, dilia da lalu geda afae nenanebe amo lalu didi oda amoga fadegai agoane ba: i. Be amomane dilia Nama hame buhagi,” Hina Gode da amane sia: sa.
12 Kwa hiyo nitafanya jambo baya kwako, Israeli; na kwa sababu nitafanya jambo baya kwako, jiandae kukutana na Mungu, Israeli!
“Amaiba: le Isala: ili dunu fi, Na da dilima se dabe imunu. Amola Na dilima se dabe imunuba: le, dilia fofada: su hou amo hamomuba: le, amo fofada: be ba: musa: momagele ha: esaloma!”
13 Kwa kuwa, tazama, yeye atangenezaye milima pia ndiye aumbaye upepo, humfunulia mawazo yake mwanadamu, hufanya asubuhi kuwa giza, na kupakanyaga mahala pa juu ya dunia. Yahwe, Mungu wa majeshi, ndilo jina lake.”
Gode Hi fawane da goumi huluane hahamoi amola fo. Ea asigi dawa: su hou amo dunu ilima dawa: ma: ne Hi fawane olelesa amola Hi fawane da eso amo gasi hamoma: ne afadenesa. Ea da osobo bagadega goumi da: iya ahoa. Ea Dio: da Hina Gode Bagadedafa!

< Amosi 4 >