< Amosi 2 >

1 Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kwa dhambi tatu za Moabu, hata kwa nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu amechoma moto mifupa ya mfalme wa Edomu hadi kuwa chokaa.
Tā saka Tas Kungs: triju vai četru Moaba pārkāpumu dēļ - to Es nenovērsīšu, - tādēļ ka viņš sadedzinājis Edoma ķēniņa kaulus par kaļķiem,
2 Nitatuma moto juu ya Moabu, na utaangamiza ngome za Keriothi. Moabu atakufa katika gasia, pamoja na kelele na sauti ya tarumbeta.
Tādēļ Es sūtīšu uguni Moabā, tas aprīs Ķiriota skaistos namus, un Moabs nomirs troksnī, kliegšanā un bazūņu skaņā.
3 Nitamuharibu mwamuzi kati yake, na nitawaua wana wa mfalme pamoja na yeye,” asema Yahwe.
Un Es izdeldēšu soģi no viņa vidus un nokaušu visus viņa lielkungus līdz ar viņu, saka Tas Kungs.
4 Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kwa dhambi tatu za Yuda, hata kwa nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu wameikataa sheria ya Yahwe na hawakuzishika amri zake. Uongo wao umesababisha kupotea, ambao baba zao pia waliufuata.
Tā saka Tas Kungs: triju vai četru Jūda pārkāpumu dēļ, - to Es nenovērsīšu, - tādēļ ka tie Tā Kunga bauslību atmetuši un Viņa likumus nav sargājuši, un viņu meli(elki) tos pievīluši, kuriem viņu tēvi dzinušies pakaļ,
5 Nitatuma moto juu ya Yuda, na utaimeza ngome ya Yerusalemu.”
Tādēļ Es sūtīšu uguni Jūdā, tas aprīs Jeruzālemes skaistos namus.
6 Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kwa dhambi tatu za Israeli, hata kwa nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu wamewauza wasio na hatia kwa fedha na maskini kwa jozi moja ya makubadhi.
Tā saka Tas Kungs: triju vai četru Israēla pārkāpumu dēļ - to Es nenovērsīšu, - tāpēc ka tie taisno pārdod par naudu un nabagu par pāri kurpju.
7 Nao hukanyaga juu ya vichwa vya maskini kama kukanyaga kwenye mavumbi juu ya aridhi; wanasukuma kukandamiza. Mtu mmoja na baba yake walilala na msichana mmoja na hivyo kukufuru jina langu takatifu.
Tie ilgojās, ka zemes pīšļi nabagiem nāk uz galvu, un bēdīgā ceļu tie kavē. Vīrs ar savu tēvu iet pie tās pašas meitas un sagāna Manu svēto vārdu.
8 Nao hulala chini karibu na kila madhabahu kwenye nguo zilizowekwa dhamana, na katika nyumba ya Mungu wao hunywa divai ya wale ambao walitozwa faini.
Tie apmetās pie ikkatra altāra uz ķīlātām drēbēm, un dzer vīnu no notiesātiem, savu dievu namā.
9 Bado nimemwangamiza Mwamori mbele yao, ambaye urefu wake ulikuwa kama urefu wa mierezi; alikuwa na nguvu kama mialoni. Kisha nikaharibu matunda yake juu na mizizi yake chini.
Es tomēr esmu izdeldējis to Amorieti viņu priekšā, kam augstums bija kā ciedru augstums, un kas bija stiprs kā ozoli; bet Es esmu nomaitājis viņa augļus augšā un viņa saknes apakšā.
10 Pia, niliwapandisha kutoka nchi ya Misri na kuwaongoza miaka arobaini nyikani ili mmiliki nchi ya Wamori.
Un Es tomēr jūs esmu izvedis no Ēģiptes un četrdesmit gadus jūs vadījis tuksnesī, ka jums bija iemantot Amoriešu zemi.
11 Nimewainua manabii kutoka miongoni mwa watoto wanu wawe Wanadhiri kutoka vijana wenu. Je sio hivyo, watu wa Israeli? -hivi ndivyo Yahwe asemavyo.
Un citus no jūsu dēliem Es esmu cēlis par praviešiem un no jūsu jaunekļiem citus par nazīriem; vai tas tā nav, Israēla bērni? saka Tas Kungs.
12 Lakini mmewashawishi Wanadhiri kunywa mvinyo na kuwaamuru manabii wasifanye unabii.
Bet jūs nazīriem dodiet vīnu dzert, un pavēliet praviešiem un sakāt: jums nebūs sludināt.
13 Tazama, nitawakanyaga kama mkokoteni uliojaa miganda inayoweza kumkanyaga mtu.
Redzi, Es jums likšu čīkstēt kā rati čīkst, kas pilni kūļu,
14 Mtu akimbiaye hatapata kimbilio; mwenye nguvu hatoongeza nguvu zake mwenyewe; wala shujaa kujiokoa mwenyewe.
Tā ka čaklais neizbēgs, nedz stiprais ar savu spēku ko iespēs, nedz varenais savu dvēseli varēs izglābt.
15 Apindaye upinde hatasimama; mkimbiaji sana hatakimbia; mwendesha farasi hatajiokoa mwenyewe.
Un stopu vilcējs nepastāvēs, un kas vieglām kājām, neizglābsies, un ne jājējs neizglābs savu dvēseli.
16 Hata wapiganaji shujaa watakimbia uchi katika siku hiyo -hivi ndivyo Yahwe asemavy.”
Un sirdsvarenais starp tiem stipriem aizbēgs kails tai dienā, saka Tas Kungs.

< Amosi 2 >