< Amosi 1 >

1 Haya ni mambo yanayoihusu Israeli ambayo Amosi, mmoja wa wachungaji katika Tekoa, aliyapokea katika ufunuo. Alipokea haya mambo katika siku za Uzia mfalme wa Yuda, na pia katika siku za Yeroboamu mwana wa Yoashi mfalme wa Israeli, miaka miwili kabla ya tetemeko la aridhi.
Słowa Amosa, który był [jednym] spośród pasterzy z Tekoa, które widział o Izraelu za dni Uzjasza, króla Judy, i za dni Jeroboama, syna Joasza, króla Izraela, dwa lata przed trzęsieniem ziemi.
2 Alisema, “Yahwe atanguruma kutoka Sayuni; atainua sauti yake kutoka Yerusalemu. Malisho ya wachungaji yatanyamaza kimya; kilele cha Karmeli kitanyauka.”
I powiedział: PAN zagrzmi z Syjonu, z Jerozolimy wyda swój głos; mieszkania pasterzy będą lamentować, a wyschnie szczyt Karmelu.
3 Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kwa dhambi tatu za Damaskasi, hata kwa nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu wameipura Gileadi kwa vyombo vya chuma.
Tak mówi PAN: Z powodu trzech występków Damaszku i z powodu czterech nie przepuszczę mu, ponieważ młócili Gilead narzędziami z żelaza.
4 Nitapeleka moto kwenye nyumba ya Hazaeli, na utaiteketeza ngome za Ben Hadadi.
Ale ześlę ogień na dom Chazaela, który strawi pałace Ben-Hadada.
5 Nitazivunja komeo za Damaskasi na kumkatilia mbali mtu ambaye aishiye katika Biqati Aveni, na pia yule mtu ashikaye fimbo ya kifalme katika Beth Edeni. Na watu wa shamu watakwenda utumwani hata Kiri,” asema Yahwe.
Połamię też rygiel Damaszku i wykorzenię mieszkańca z doliny Awen i tego, który trzyma berło z domu Eden. I lud Syrii pójdzie do niewoli do Kir, mówi PAN.
6 Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kwa dhambi tatu za Gaza, hata nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu waliwachukua mateka watu wote, kuwaweka juu ya mkono wa Edomu.
Tak mówi PAN: Z powodu trzech występków Gazy i z powodu czterech nie przepuszczę im, ponieważ uprowadzili wszystkich jeńców, aby ich wydać Edomowi.
7 Nitatuma moto kwenye kuta za Gaza, na kuziteketeza ngome zake.
Ale ześlę ogień na mur Gazy, który strawi jej pałace.
8 Nitamkatilia mbali yule mtu aishiye katika Ashdodi na mtu ashikaye fimbo ya kifalme kutoka Ashkeloni. Nitaugeuza mkono wangu dhidi ya Ekroni, na mabaki ya Wafilisti wataangamia,” asema Bwana Yahwe.
Wykorzenię też mieszkańca z Aszdodu i tego, który trzyma berło z Aszkelonu, i zwrócę swoją rękę przeciwko Ekronowi, i zginie resztka Filistynów, mówi Pan BÓG.
9 Hivi ndivyo Yhawe asemavyo: “Kwa dhambi tatu za Tiro, hata kwa nne, sintobadili adhabu, kwa sababu waliwapelekea watu wote wa Edomu, na wamevunja agano lao la undugu.
Tak mówi PAN: Z powodu trzech występków Tyru i z powodu czterech nie przepuszczę mu, ponieważ wydali wszystkich jeńców Edomowi, a nie pamiętali o braterskim przymierzu;
10 Nitapeleka moto kwenye kuta za Tiro, nao utaziteketeza ngome zake.”
Ale ześlę ogień na mur Tyru, który strawi jego pałace.
11 Hivi ndivyo Yahwe asemavyo, “Kwa dhambi tatu za Edomu, hata kwa nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu alimfuatilia ndugu yake kwa upanga na kutupilia mbali huruma zote. Hasira yake ikaendelea kuwa kali, na ghadhabu yake ikabaki milele.
Tak mówi PAN: Z powodu trzech występków Edomu i z powodu czterech nie przepuszczę mu, ponieważ prześladował mieczem swego brata, tłumiąc w sobie wszelaką litość, a nieustannie pałał gniewem, swoją zapalczywość chował na zawsze.
12 Nitapeleka moto juu ya Temani, na utaziteketeza nyumb a za kifalme za Bozra.”
Ale ześlę ogień na Teman i strawi pałace Bosry.
13 Hivi ndivyo Yahwe asemavyo, “Kwa dhambi tatu za watu wa Amoni, hata kwa nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu wamewapasua wanawake wa Gileadi wenye mimba, ili waweze kupanua mipaka yao.
Tak mówi PAN: Z powodu trzech występków synów Ammona i z powodu czterech nie przepuszczę im, ponieważ rozcinali brzemienne w Gileadzie tylko po to, by rozszerzyć swoje granice.
14 Nitawasha moto katika kuta za Raba, nao utaziteketeza nyumba za kifalme, pamoja na kupiga kelele katika siku ya vita, pamoja na dhoruba katika siku ya kimbunga.
Ale rozniecę ogień na murze Rabby, który strawi jego pałace wśród krzyku w dzień bitwy, podczas wichru w dzień burzy.
15 Mfalme wao ataenda utumwani, yeye na maafisa wake pamoja,” asema Yahwe.
I pójdzie ich król do niewoli, on i jego książęta razem z nim, mówi PAN.

< Amosi 1 >