< Matendo 4 >

1 Wakati Petro na Yohana walipokuwa wakizungumza na watu, makuhani na mlinzi wa hekalu na masadukayo waliwaendea.
Kâhinler, tapınak koruyucularının komutanı ve Sadukiler, halka seslenmekte olan Petrus'la Yuhanna'nın üzerine yürüdüler.
2 Walikuwa wameudhika sana kwa sababu Petro na Yohana walikuwa wanawafundisha watu kuhusu Yesu na kutangaza juu ya kufufuka kwake kutoka kwa wafu.
Çünkü onların halka öğretmelerine ve İsa'yı örnek göstererek ölülerin dirileceğini söylemelerine çok kızmışlardı.
3 Waliwakamata na kuwaweka gerezani hadi asubuhi iliyofuata, kwani tayari ilikuwa jioni.
Onları yakaladılar, akşam olduğu için ertesi güne dek hapiste tuttular.
4 Lakini watu wengi waliokuwa wamesikia ujumbe waliamini; na idadi ya wanaume waliokuwa wameamini walikadiliwa kuwa elfu tano.
Ne var ki, konuşmayı dinlemiş olanların birçoğu iman etti. Böylece imanlı erkeklerin sayısı aşağı yukarı beş bine ulaştı.
5 Hata ilipofika asubuhi siku iliyofuata, kwamba wakuu wao, wazee na waandishi, kwa pamoja walikusanyika Yerusalemu.
Ertesi gün Yahudiler'in yöneticileri, ileri gelenleri ve din bilginleri Yeruşalim'de toplandılar.
6 Anasi kuhani mkuu alikuwepo, na Kayafa, na Yohana, na Iskanda, na wote waliokuwa ni ndugu wa kuhani mkuu.
Başkâhin Hanan'ın yanısıra, Kayafa, Yuhanna, İskender ve başkâhin soyundan gelen herkes oradaydı.
7 Walipokuwa wamewaweka Petro na Yohana katikati yao, waliwauliza, “Kwa uwezo gani, au kwa jina gani mmefanya hili?”
Petrus'la Yuhanna'yı huzurlarına getirtip onlara, “Siz bunu hangi güçle ya da kimin adına dayanarak yaptınız?” diye sordular.
8 Kisha, Petro, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, akawaambia, “Ninyi wakuu wa watu, na wazee,
O zaman Kutsal Ruh'la dolan Petrus onlara şöyle dedi: “Halkın yöneticileri ve ileri gelenler!
9 kama sisi siku ya leo tunahojiwa kuhusu tendo jema lililofanywa kwa mtu huyu mgonjwa - kwa namna gani mtu huyu alifanywa mzima?
Eğer bugün bir hastaya yapılan iyilik nedeniyle bizden hesap soruluyor ve bu adamın nasıl iyileştiği soruşturuluyorsa, hepiniz ve bütün İsrail halkı şunu bilin: Bu adam, sizin çarmıha gerdiğiniz, ama Tanrı'nın ölümden dirilttiği Nasıralı İsa Mesih'in adı sayesinde önünüzde sapasağlam duruyor.
10 Hebu lijulikane hilo kwenu na kwa watu wote katika Israel, kwamba kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, ambaye mlimsulibisha, ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, ni kwa njia yake kwamba mtu huyu anasimama hapa mbele yenu akiwa mwenye afya.
11 Yesu Kristo ni jiwe ambalo ninyi wajenzi mlilidharau, lakini ambalo limefanywa kuwa jiwe kuu la pembeni.
İsa, ‘Siz yapıcılar tarafından hiçe sayılan, Ama köşenin baş taşı durumuna gelen taş’tır.
12 Hakuna wokovu katika mtu mwingine awaye yote. Kwa maana hakuna jina jingine chini ya mbingu walilopewa watu, ambalo kwa hilo tunaweza kuokolewa.”
Başka hiç kimsede kurtuluş yoktur. Bu göğün altında insanlara bağışlanmış, bizi kurtarabilecek başka hiçbir ad yoktur.”
13 Sasa walipoona ujasiri wa Petro na Yohana, na wakagundua kwamba walikuwa ni watu wakawaida wasio na elimu, walishangaa, wakafahamu kwamba Petro na Yohana wamekuwa pamoja na Yesu.
Kurul üyeleri, Petrus'la Yuhanna'nın yürekliliğini görüp de bunların eğitim görmemiş, sıradan kişiler olduklarını anlayınca şaştılar ve onların İsa'yla birlikte bulunduklarını farkettiler.
14 Kwa sababu walimwona yule mtu aliyeponywa amesimama pamoja nao, hawakuwa na kitu cha kusema dhidi ya hili.
İyileştirilen adam, Petrus ve Yuhanna'yla birlikte gözleri önünde duruyordu; bunun için hiçbir karşılık veremediler.
15 Lakini walipokuwa wamekwisha kuwaamuru mitume waondoke mbele ya mkutano wa baraza, walizungumza wao kwa wao.
Kurul üyeleri onlara dışarı çıkmalarını buyurduktan sonra durumu kendi aralarında tartışmaya başladılar.
16 Walisema, tutawafanyaje watu hawa? Ni kweli kwamba muujiza wa ajabu umefanyika kupitia wao unajulikana na kila mmoja anayeishi Yerusalemu; hatuwezi kulikataa hilo.
“Bu adamları ne yapacağız?” dediler. “Yeruşalim'de yaşayan herkes, bunların eliyle olağanüstü bir belirti gerçekleştirildiğini biliyor. Biz bunu inkâr edemeyiz.
17 Lakini, ili kwamba jambo hili lisienee miongoni mwa watu, hebu tuwaonye wasinene tena kwa mtu yeyote kwa jina hili.
Ama bu haberin halk arasında daha çok yayılmasını önlemek için onları tehdit edelim ki, bundan böyle İsa'nın adından kimseye söz etmesinler.”
18 Waliwaita Petro na Yohana ndani na kuwaamuru kamwe wasinene wala kufundisha kwa jina la Yesu.
Böylece onları çağırdılar, İsa'nın adını hiç anmamalarını, o adı kullanarak hiçbir şey öğretmemelerini buyurdular.
19 Lakini Petro na Yohana walijibu na kuwaambia, “Kama ni sahihi machoni pa Mungu kuwatii ninyi kuliko Mungu, hukumuni wenyewe.
Ama Petrus'la Yuhanna şöyle karşılık verdiler: “Tanrı'nın önünde, Tanrı'nın sözünü değil de sizin sözünüzü dinlemek doğru mudur, kendiniz karar verin.
20 Maana sisi hatuwezi kuacha kuyanena mambo ambayo tumeyaona na kuyasikia.”
Biz gördüklerimizi ve işittiklerimizi anlatmadan edemeyiz.”
21 Baada ya kuwaonya sana Petro na Yohana, waliwaacha waende. Hawakuweza kupata sababu yoyote ya kuwaadhibu, kwa sababu watu wote walikuwa wakimsifu Mungu kwa kile kilichokuwa kimetendeka.
Kurul üyeleri onları bir daha tehdit ettikten sonra serbest bıraktılar; onları cezalandırmak için hiçbir gerekçe bulamamışlardı. Çünkü bütün halk, olup bitenler için Tanrı'yı yüceltiyordu.
22 Mtu aliyekuwa amepokea muujiza wa uponyaji alipata kuwa na umri zaidi ya miaka arobaini.
Nitekim bu mucize sonucu iyileşen adamın yaşı kırkı geçmişti.
23 Baada ya kuwaacha huru, Petro na Yohana walikuja kwa watu wao na kuwataarifu yote ambayo makuhani wakuu na wazee walikuwa wamewaambia.
Serbest bırakılan Petrus'la Yuhanna, arkadaşlarının yanına dönerek başkâhinlerle ileri gelenlerin kendilerine söylediği her şeyi bildirdiler.
24 Walipoyasikia, walipaza sauti zao kwa pamoja kwa Mungu na kusema, “Bwana, wewe uliyeumba mbingu na dunia na bahari na kila kitu ndani yake,
Arkadaşları bunu duyunca hep birlikte Tanrı'ya şöyle seslendiler: “Ey Efendimiz! Yeri göğü, denizi ve onların içindekilerin tümünü yaratan sensin.
25 wewe ambaye, kwa Roho Mtakatifu, kwa kinywa cha baba yetu Daudi, mtumishi wako, ulisema, “Kwanini watu wa mataifa wamefanya ghasia, na watu wametafakari mambo yasiyofaa?
Kutsal Ruh aracılığıyla kulun atamız Davut'un ağzından şöyle dedin: ‘Uluslar neden hiddetlendi, Halklar neden boş düzenler kurdu?
26 Wafalme wa dunia wamejipanga pamoja, na watawala wamekusanyika kwa pamoja dhidi ya Bwana na dhidi ya masihi wake.”
Dünyanın kralları saf bağladı, Hükümdarlar birleşti Rab'be ve Mesihi'ne karşı.’
27 Ni hakika, wote Herode na Pontio Pilato, pamoja na watu wa mataifa na watu wa Israeli, walikusanyika kwa pamoja katika mji huu dhidi ya mtumishi wako mtakatifu Yesu, ambaye ulimpaka mafuta.
“Gerçekten de Hirodes ile Pontius Pilatus, bu kentte İsrail halkı ve öteki uluslarla birlikte senin meshettiğin kutsal Kulun İsa'ya karşı bir araya geldiler. Senin kendi gücün ve isteğinle önceden kararlaştırdığın her şeyi gerçekleştirdiler.
28 Walikusanyika kwa pamoja kufanya yote ambayo mkono wako na mapenzi yako yaliyaamuru tangu awali kabla hayajatokea.
29 Sasa, Bwana, yaangalie matisho yao, na ukawajaalie watumishi wako kulinena neno lako kwa ujasiri wote. Ili
Ve şimdi ya Rab, onların savurduğu tehditlere bak! Senin sözünü tam bir yüreklilikle duyurmak için biz kullarına güç ver.
30 kwamba unaponyosha mkono wako kuponya, ishara na maajabu viweze kutokea kupitia jina la mtumishi wako mtakatifu Yesu.”
Kutsal Kulun İsa'nın adıyla hastaları iyileştirmek için, belirtiler ve harikalar yapmak için elini uzat.”
31 Walipomaliza kuomba, eneo ambalo walikusanyika kwa pamoja likatikiswa, na wote wakajazwa na Roho Mtakatifu, na walinena neno la Mungu kwa ujasili.
Duaları bitince toplandıkları yer sarsıldı. Hepsi Kutsal Ruh'la doldular ve Tanrı'nın sözünü cesaretle duyurmaya devam ettiler.
32 Idadi kubwa ya wale walioamini walikuwa na moyo mmoja na roho moja: na hakuna hata mmoja wao aliyesema kwamba chochote alichomiliki kilikuwa cha kwake mwenyewe; badala yake walikuwa na vitu vyote shirika.
İnananlar topluluğunun yüreği ve düşüncesi birdi. Hiç kimse sahip olduğu herhangi bir şey için “Bu benimdir” demiyor, her şeylerini ortak kabul ediyorlardı.
33 Kwa nguvu kubwa mitume walikuwa wakiutangaza ushuhuda wao kuhusu ufufuo wa Bwana Yesu, na neema kubwa ilikuwa juu yao wote.
Elçiler, Rab İsa'nın ölümden dirildiğine çok etkili bir biçimde tanıklık ediyorlardı. Tanrı'nın büyük lütfu hepsinin üzerindeydi.
34 Hapakuwa na mtu yeyote miongoni mwao aliyepungukiwa na mahitaji, kwa sababu watu wote waliokuwa na hati za viwanja au nyumba, waliviuza na kuleta pesa ya vitu waliyokuwa wameuza
Aralarında yoksul olan yoktu. Çünkü toprak ya da ev sahibi olanlar bunları satar, sattıklarının bedelini getirip elçilerin buyruğuna verirlerdi; bu da herkese ihtiyacına göre dağıtılırdı.
35 na kuviweka chini ya miguu ya mitume. Na mgawanyo ulifanywa kwa kila muumini, kulingana na kila mmoja alivyokuwa na hitaji.
36 Yusufu, mlawi, mtu kutoka Kipro, alipewa jina la Barnabasi na mitume (hiyo ikitafasiriwa, ni mwana wa faraja).
Örneğin, Kıbrıs doğumlu bir Levili olan ve elçilerin Barnaba, yani Cesaret Verici diye adlandırdıkları Yusuf, sahip olduğu bir tarlayı sattı, parasını getirip elçilerin buyruğuna verdi.
37 Akiwa na shamba, aliliuza na akaleta fedha, akaziweka chini ya miguu ya mitume.

< Matendo 4 >