< 2 Wathesalonike 1 >

1 Paulo, Silwano, na Timotheo, kwa kanisa la Wathesalonike katika Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.
Paulus, och Silvanus, och Timotheus, den församling i Thessalonica, i Gudi vårom Fader, och Herranom Jesu Christo:
2 Neema na iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo.
Nåd vare med eder, och frid af Gudi vårom Fader, och Herranom Jesu Christo.
3 Imetupasa sisi kumshukuru Mungu siku zote kwa ajili yenu, ndugu. Maana hivi ndivyo itupasavyo, kwa kuwa imani yenu inakua sana, na upendo wenu kwa kila mtu uongezeke mwingi.
Vi skole tacka Gudi alltid för eder, käre bröder, såsom tillbörligit är; ty edor tro förökas storliga, och allas edar kärlek öfverflödar inbördes;
4 Hivyo sisi wenyewe tunaongea kwa fahari juu yenu katika makanisa ya Mungu. Tunazungumza habari ya saburi yenu na imani mliyo nayo katika mateso yote. Tunaongea kwa habari ya mateso mnayostahimili.
Så att vi sjelfve berömme oss i Guds församlingar, af edart tålamod och tro, uti alla edra förföljelser och bedröfvelser, som I liden;
5 Hii ndiyo ishara ya hukumu ya haki ya Mungu. Matokeo ya haya ni kuwa ninyi mhesabiwe kuwa mwastahili kuuingia ufalme wa Mungu ambao kwa ajili yake mnateswa.
Såsom ett bevis till Guds rättvisa dom; på det I mågen varda värdige till Guds rike; för hvilket I ock liden;
6 Kwa kuwa ni haki kwa Mungu kuwalipa mateso wale wawatesao ninyi,
Efter det är rättvist för Gudi gifva dem bedröfvelse igen, som eder bedröfva;
7 na kuwapa raha ninyi mteswao pamoja nasi. Atafanya hivi wakati wa kufunuliwa kwake Bwana Yesu kutoka mbinguni pamoja na malaika wa uweza wake.
Men eder, som bedröfvens, rolighet med oss; då Herren Jesus uppenbar varder af himmelen, samt med sine krafts Änglar;
8 Katika mwali wa moto atawalipiza kisasi wao wasiomjua Mungu na wao wasioitii injili ya Bwana wetu Yesu.
Och med eldslåga, till att hämnas öfver dem som icke känna Gud, och öfver dem som icke lydige äro vårs Herras Jesu Christi Evangelio;
9 Watateseka kwa maangamizi ya milele wakiwa wametengwa na uwepo wa Bwana na utukufu wa nguvu zake. (aiōnios g166)
Hvilke pino lida skola, det eviga förderfvet, af Herrans ansigte, och af hans härliga magt; (aiōnios g166)
10 Atafanya wakati atakapokuja ili kutukuzwa na watu wake na kustaajabishwa na wote walioamini. Kwa sababu ushuhuda wetu kwenu ulisadikiwa kwenu.
Då han skall komma till att förklaras i sin helgon, och underlig varda i allom dem som tro; ty vårt vittnesbörd till eder om den dagen hafven I trott.
11 Kwa sababu hii twawaombea ninyi siku zote. Twaomba kwamba Mungu wetu awahesabu kuwa mlistahili kuitwa. Twaomba kwamba apate kutimiza kila haja ya wema na kila kazi ya imani kwa nguvu.
Och fördenskull bedje vi ock alltid för eder, att vår Gud ville göra eder värdiga till denna kallelsen, och uppfylla allt godhetenes uppsåt, och trones verk i kraftene;
12 Tunaomba mambo haya ili mpate kulitukuza jina la Bwana Yesu. Tunaomba kwamba mpate kutukuzwa naye, kwa sababu ya neema ya Mungu na ya Bwana Yesu Kristo.
På det vårs Herras Jesu Christi Namn må prisadt varda på eder, och I på honom, efter vår Guds och Herrans Jesu Christi nåd.

< 2 Wathesalonike 1 >