< 2 Samweli 9 >

1 Daudi akasema, “Je kuna yeyote aliyesalia wa familia ya Sauli ambaye naweza kumwonyesha kwa fadhiri kwa ajili ya Yonathani?
David loh, “Saul imkhui kah aka sueng te om van pueng nim? Jonathan kong ah anih ham sitlohnah ka saii mako,” a ti.
2 Alikuwepo mtumishi katika familia ya Sauli jina lake Siba, akaitwa kwa Daudi. Mfalme akamuuliza, “Je wewe ndiye Siba?” Akajibu, “Mimi ni mtumishi wako, ndiye.”
Te vaengah Saul im kah sal, a ming ah Ziba te om. Te dongah anih te David taengla a khue uh tih manghai loh, “Nang a Ziba,” a ti nah hatah, “Na sal ni ue,” a ti nah.
3 Hivyo mfalme akasema, “Je hakuna aliyesalia wa familia ya Sauli ambaye naweza kumuonesha wema wa Mungu?” Siba akamjibu mfalme, “Yonathani ana mwana, ambaye ni mlemavu wa miguu.
Te phoeiah manghai loh, “Saul imkhui kah he hlang khaw om pueng pawt nim? Anih taengah Pathen kah sitlohnah ka saii mako,” a ti nah. Te dongah Ziba loh manghai taengah, “Jonathan capa kho khaem te om pueng,” a ti nah.
4 Mfalme akamwambia, “Yupo wapi?” Siba akamjibu mfalme, “Tazama, yupo katika nyumba ya Makiri mwana wa Amieli huko Lo Debari.
Te daengah anih te manghai loh, “Melae anih ta?” a ti nah. Ziba loh manghai te, “Lodebar kah Ammiel capa Makir im ah om ke,” a ti nah.
5 Ndipo mfalme Daudi akatuma watu na kumtoa katika nyumba ya Makiri mwana wa Amieli huko Lo Debari.
Te dongah manghai David loh a tah tih Lodebar kah Ammiel capa Makir im lamloh anih te a loh.
6 Hivyo Mefiboshethi mwana wa Yonathani mwana wa Sauli, akaja kwa Daudi naye akainama uso wake hadi katika sakafu kwa kumheshimu Daudi. Daudi akasema, “Mefiboshethi.” Naye akajibu, “Angalia, mimi ni mtumishi wako!
Saul capa Jonathan kah a ca Mephibosheth te David taengah ha pawk van neh a mikhmuh ah a bakop pah tih a bawk. Te vaengah David loh, “Mephibosheth,” a ti nah hatah, “Na sal ni he,” a ti nah.
7 Daudi akamwambia, “Usiogope, maana hakika nitakufadhiri kwa ajili ya Yonathani baba yako, nami nitakurudishia ardhi yote ya Sauli babu yako, nawe utakula katika meza yangu daima.”
Te vaengah anih te David loh, “Rhih boeh, na pa Jonathan kong ah sitlohnah he nang taengah ka saii rhoe ka saii ni. Na pa Saul kah khohmuen boeih te namah taengla kam mael ni. Namah te kai kah caboei dongah buh rhawp na caak ni,” a ti nah.
8 Mefiboshethi akainama na kusema, “Mtumishi wako ni nani, hata ukamwangalia kwa fadhiri mbwa mfu kama nilivyo?”
Te vaengah Mephibosheth te bakop tih, “Ba aih nim, na sal kai bang ui duek taengla na mael,” a ti nah.
9 Kisha mfalme akamwita Siba, mtumishi wa Sauli, na kumwambia, “Yote yaliyo ya Sauli na familia yake nimempa mjukuu wa bwana wako.
Te phoeiah manghai loh Saul kah tueihyoeih Ziba te a khue tih, “Saul neh a imkhui boeih kah a koe la aka om boeih te tah na boeipa kah a capa taengah ka paek coeng.
10 Wewe, wanao, na watumishi wako mtalima mashamba kwa ajili yake nanyi mtavuna mazao ili kwamba mjukuu wa bwana wako apate chakula. Kwa maana Mefiboshethi, mjukuu wa bwana wako, atakula katika meza yangu daima.” Basi Siba alikuwa na wana kumi na watano na watumishi ishirini.
Namah neh na ca rhoek, na sal rhoek loh khohmuen ah anih hamla thohtat pah lamtah sang pah. Te vaengah na boeipa kah a capa ham caak om pah saeh lamtah anih loh ca saeh. Tedae na boeipa kah a capa Mephibosheth tah kamah kah caboei dongah buh rhawp ca saeh,” a ti nah. Te vaengah Ziba taengah capa hlai nga neh sal pakul om.
11 Kisha Siba akamwambia mfalme, “Mtumishi wako atafanya yote ambayo bwana wangu mfalme amemwamuru mtumishi wake.” Mfalme akaongeza kusema, kwa Mefiboshethi yeye atakula katika meza yangu, kama mmojawapo ya wana wa mfalme.”
Ziba loh manghai taengah, “Ka boeipa manghai loh a sal a uen vanbangla na sal loh boeih saii tangloeng saeh,” a ti nah. Te dongah Mephibosheth tah manghai capa pakhat bangla caboei dongah a caak.
12 Mefiboshethi alikuwa na mwana mdogo jina lake Mika. Na wote waliokuwa wanaishi katika nyumba ya Siba walikuwa watumishi wa Mefiboshethi.
Te vaengah Mephibosheth taengah a capa a noe, a ming ah Mikha te om. Ziba imkhui kah tolvael boeih tah Mephibosheth kah sal la om uh.
13 Hivyo Mefiboshethi akaishi Yerusalemu, naye akala chakula cha daima katika meza ya mfalme, japokuwa alikuwa mlemavu wa miguu yote.
Mephibosheth te Jerusalem ah kho a sak tih manghai caboei dongah caboei buh rhawp a caak. Anih te a kho bok khaem.

< 2 Samweli 9 >