< 2 Samweli 7 >

1 Ikawa mfalme alipokuwa amekwisha kukaa katika nyumba yake, na baada ya Yahwe kuwa amemstarehesha kutokana na adui zake wate waliomzunguka,
Un notikās, kad ķēniņš savā namā sēdēja un Tas Kungs viņam bija mieru devis no visiem viņa ienaidniekiem visapkārt,
2 mfalme akamwambia nabii Nathani, “Tazama, mimi ninaishi katika nyumba ya mierezi, lakini sanduku la Mungu lipo hemani.
Tad ķēniņš sacīja uz pravieti Nātanu: redzi, es dzīvoju ciedru namā, un Tā Kunga šķirsts mīt starp telts deķiem.
3 Basi Nathani akamwambia mfalme, “Nenda, fanya lililo moyoni mwako, kwa maana Yahwe yupo nawe.”
Tad Nātans sacīja uz ķēniņu: ej un dari visu, kas tavā sirdī, jo Tas Kungs ir ar tevi.
4 Lakini usiku usiku uleule neno la Yahwe lilimjia Nathani kusema,
Bet tai pašā naktī Tā Kunga vārds notika uz Nātanu un sacīja:
5 “Nenda na umwambie mtumishi wangu Daudi, 'Hivi ndivyo asemavyo Yahwe: Je utanijengea nyumba ya kuishi?”
Ej un saki Dāvidam, Manam kalpam: tā saka Tas Kungs: Vai tev būs Man namu celt, Man par mājas vietu?
6 Kwa maana sijawai kuishi katika nyumba tangu siku ile nilipowaleta wana wa Israeli kutoka Misri hata leo; badala yake nimekuwa nikitembea katika hema, hema la kukutania.
Jo Es namā neesmu mitis no tās dienas, kad Israēla bērnus esmu izvedis no Ēģiptes, līdz šai dienai, bet esmu staigājis teltī un dzīvoklī.
7 Mahali pote ambapo nimekuwa nikihama miongoni mwa wana wote wa Israeli, Je niliwai kusema lolote na viongozi wa Israeli niliowaweka kuwachunga watu wangu Israeli, kusema, “Kwa nini hamjanijengea nyumba ya mierezi?”
Visu to laiku, kad Es ar visiem Israēla bērniem esmu staigājis, vai esmu vienu vārdu runājis uz kādu no Israēla ciltīm, kam Es pavēlējis, Manus Israēla ļaudis ganīt, sacīdams: kāpēc jūs Man neuztaisiet ciedru namu?
8 Sasa basi, mwambie Daudi, mtumishi wangu, “Hiki ndicho asemacho Yahwe wa majeshi: 'Nilikutwaa kutoka machungani, kutoka katika kuwafuata kondoo, ili uwe mtawala juu ya watu wangu Israeli.
Tad nu tev tā būs sacīt uz Manu kalpu Dāvidu: tā saka Tas Kungs Cebaot: Es tevi no ganības, no sīkiem lopiem esmu ņēmis, būt valdītājam pār Maniem Israēla ļaudīm.
9 Nimekuwa pamoja nawe popote ulipokwenda na nimewakatilia mbali adui zako wote mbele yako. Na nitakutengenezea jina kubwa, kama jina la mojawapo ya wakuu walio juu ya nchi.
Un Es ar tevi esmu bijis visur, kur esi staigājis, un esmu izdeldējis visus tavus ienaidniekus tavā priekšā un tev darījis augstu vārdu, kā lieliem kungiem vārds ir virs zemes.
10 Nitatenga mahali kwa ajili ya watu wangu Israeli nami nitawapanda pale, ili kwamba waweze kuishi mahali pao wenyewe na wasisumbuliwe tena. Waovu hawatawatesa tena, kama walivyofanya mwanzo.
Un Saviem Israēla ļaudīm Es esmu vietu gādājis un tos dēstījis, ka tie savā vietā dzīvo un vairs netop šaubīti, un ļauni ļaudis tos vairs nespaida, kā senāk
11 Kama walivyofanya tangu siku ile nilipoamuru waamuzi juu ya watu wangu Israeli. Nami nitakustarehesha kutokana na adui zako wote. Zaidi ya hayo, Mimi, Yahwe, nakutamkia kwamba nitakutengenezea nyumba.
Un no tās dienas, kad Es soģus iecēlu pār Saviem Israēla ļaudīm. Un Es tev dodu mieru no visiem taviem ienaidniekiem. Un Tas Kungs tev sludina, ka Tas Kungs tev grib namu celt.
12 Siku zako zitakapokwisha na ukalala pamoja na baba zako, nitainua mzao baada yako, atokaye katika mwili wako mwenyewe, nitauimalisha ufalme wake.
Kad tavs laiks būs pagājis un tu dusēsi līdz ar saviem tēviem, tad Es uzcelšu tavu dzimumu pēc tevis, kas no tavām miesām nāks, tam Es apstiprināšu viņa valstību.
13 Naye atajenga nyumba kwa jina langu, nami nitakiimalisha kiti chake cha enzi daima.
Tas uztaisīs namu Manam vārdam, un Es apstiprināšu viņa valstības krēslu mūžīgi.
14 Nitakuwa baba kwake, naye atakuwa mwanangu. Atakapotenda dhambi, nitamwadhibu kwa fimbo ya wanadamu na kwa mapigo ya wana wa watu.
Es viņam būšu par tēvu, un viņš Man būs par dēlu. Kad tas būs noziedzies, tad Es viņu pārmācīšu ar cilvēku rīkstēm un ar cilvēka bērnu sitieniem;
15 Lakini uaminifu wa agano langu hautamwondokea, kama nilivyouondoa kutoka kwa Sauli, niliyemwondoa mbele yako.
Bet Savu žēlastību Es no viņa neatraušu, kā Es to esmu atrāvis no Saula, ko Es esmu atmetis tavā priekšā.
16 Nyumba yako na ufalme wako utathibitiswa mbele yako daima. Kiti chako cha enzi kitakuwa imara daima.”
Un tavs nams un tava valstība pastāvēs tavā priekšā mūžīgi: tavs goda krēsls būs stiprs mūžīgi.
17 Nathani akamwambia Daudi na kumtaarifu maneno haya yote, na akamwambia kuhusu ono lote.
Un pēc visiem šiem vārdiem un pēc visas šīs parādīšanas Nātans tā runāja uz Dāvidu.
18 Kisha mfalme Daudi akaingia ndani na kuketi mbele ya Yahwe; akasema, “Mimi ni nani, Yahwe Mungu, na familia yangu ni nini hata umenileta hapa nilipo?
Tad ķēniņš Dāvids nāca un palika Tā Kunga priekšā un sacīja: kas es esmu Kungs, Dievs? Un kas ir mans nams, ka Tu mani līdz šejienei esi vadījis?
19 Na hili lilikuwa jambo dogo mbele yako, Bwana Yahwe. Hata ukasema kuhusu familia ya mtumishi wako wakati mkuu ujao, nawe umenionesha vizazi vijavyo, Bwana Yahwe!
Un taču tas vēl ir maz Tavās acīs, Kungs, Dievs, bet Tu Sava kalpa namam esi runājis arī par nākošiem ilgiem laikiem, un tā pēc cilvēka vīzes, Kungs, Dievs!
20 Mimi Daudi, niseme nini zaidi kwako? Umemweshimu mtumishi wako, Bwana Yahwe.
Un ko lai nu Dāvids vēl uz Tevi runā? Jo Tu pazīsti Savu kalpu, Kungs, Dievs.
21 Kwa ajili ya neno lako, na kwa ajili ya kutimiza kusudi lako mwenyewe, umefanya jambo kubwa namna hii na kulidhihirisha kwa mtumishi wako.
Sava vārda dēļ un pēc Savas sirds Tu visas šās lielās lietas esi darījis un tās Savam kalpam sludinājis.
22 Kwa hiyo wewe ni mkuu, Bwana Yahwe. Kwa maana hakuna mwingine aliye kama wewe, na hakuna Mungu mwingine badala yako, kama jinsi ambayo tumesikia kwa masikio yetu wenyewe.
Tāpēc Tu esi augsts, Kungs Dievs. Jo neviena nav kā Tu, un Dieva nav kā Tu vien pēc visa, ko esam dzirdējuši savām ausīm.
23 Kwani kuna taifa lipi lililo kama watu wako Israeli, taifa moja juu ya nchi ambalo wewe, Mungu, ulikwenda na kuwakomboa kwa ajili yako wewe mwenyewe? Ulifanya hivi ili kwamba wawe watu kwa ajili yako mwenyewe, kujifanyia jina kwa ajili yako mwenyewe, na kufanya matendo makuu na ya kuogofya kwa ajili ya nchi yako. Uliyaondoa mataifa na miungu yao kutoka mbele ya watu wako, uliowakomboa kutoka Misri.
Un kur gan kāda tauta virs zemes kā Tavi ļaudis, kā Israēls? Ko Dievs būtu gājis atpestīt Sev par ļaudīm un celt Sev vārdu un priekš viņiem darīt tādas lielas briesmīgas lietas Savai zemei, Savu ļaužu priekšā, ko Tu no Ēģiptes atpestījis, no pagāniem un viņu elkiem.
24 Umeiimarisha Israel kama watu wako daima, na wewe, Yahwe, kuwa Mungu wao.
Un Tu Savus Israēla ļaudis Sev esi apstiprinājis par Saviem ļaudīm mūžīgi, un Tu, Kungs, tiem esi palicis par Dievu.
25 Basi sasa, Yahwe Mungu, ahadi uliyofanya kuhusu mtumishi wako na familia yake iwe imara daima. Ufanye kame uilivyo sema.
Un nu, Kungs Dievs, to vārdu, ko Tu esi runājis par Savu kalpu un par viņa namu, piepildi to mūžīgi, un izdari, ko Tu esi runājis.
26 Na jina lako liwe kuu daima, ili watu waseme, 'Yahwe wa majeshi ni Mungu wa Israeli,' wakati nyumba yangu, Daudi, mtumishi wako itakapokaa imara mbele zako daima.
Tad Tavs vārds taps paaugstināts mūžīgi, un sacīs: Tas Kungs Cebaot ir Dievs pār Israēli, un Tava kalpa Dāvida nams pastāvēs Tavā priekšā.
27 Kwa maana wewe, Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, umedhihirisha kwa mtumishi wako kwamba utamjengea nyumba. Ndiyo maana mimi, mtumishi wako, nimepata ujasiri kuomba kwako.
Jo Tu, Kungs Cebaot, Israēla Dievs, Sava kalpa ausi esi atdarījis un sacījis: Es tev celšu namu. Tāpēc Tavs kalps iedrošinājies ar šo lūgšanu Tevi pielūgt.
28 Sasa, Bwana Yahwe, wewe ni Mungu, na maneno yako ni amini, na umefanya ahadi hii njema kwa mtumishi wako.
Tad nu, Kungs, Dievs, Tu esi Dievs un Tavi vārdi ir patiesība, un Tu šo labumu uz Savu kalpu esi runājis.
29 Sasa basi, na ikupendeze kuibariki nyumba ya mtumishi wako, ili iendelee mbele yako daima. Kwa maana wewe, Bwana Yahwe, umeyasema mambo haya, na kwa ahadi yako nyumba ya mtumishi wako itabarikiwa daima.
Un tas lai nu ir Tavs prāts, svētīt Sava kalpa namu, ka tas ir mūžīgi Tavā priekšā. Jo Tu, Kungs, Dievs, to esi runājis, un ar Tavu svētību Tava kalpa nams būs svētīts mūžīgi.

< 2 Samweli 7 >