< 2 Samweli 22 >

1 Daudi akamwimbia Yahwe maneno ya wimbo huu siku ile Yahwe alipomwokoa katika mkono wa adui zake wote na katika mkono wa Sauli.
И воспел Давид песнь Господу в день, когда Господь избавил его от руки всех врагов его и от руки Саула, и сказал:
2 Akaomba hivi, “Yahwe ni mwamba wangu, ngome yangu, aliyeniokoa.
Господь - твердыня моя и крепость моя и избавитель мой.
3 Mungu ni mwamba wangu. Yeye ni kimbilio langu. Ngao yangu, pembe ya wokovu wangu, ngome yangu na kimbilio langu, aniokoaye na mabaya yote.
Бог мой - скала моя; на Него я уповаю; щит мой, рог спасения моего, ограждение мое и убежище мое; Спаситель мой, от бед Ты избавил меня!
4 Nitamwita Yahwe, astahiliye kutukuzwa, nami nitaokolewa kutoka kwa adui zangu.
Призову Господа достопоклоняемого и от врагов моих спасусь.
5 Maana mawimbi ya mauti yalinizunguka, mafuriko ya maji ya uharibifu yakanishinda.
Объяли меня волны смерти, и потоки беззакония устрашили меня;
6 Vifungo vya kuzimu vilinizunguka; kamba za mauti zikaninasa. (Sheol h7585)
цепи ада облегли меня, и сети смерти опутали меня. (Sheol h7585)
7 Katika shida yangu nalimwita Yahwe; nilimwita Mungu wangu; akaisikia sauti yangu katika hekalu lake, na kilio changu cha msaada kikafika masikioni mwake.
Но в тесноте моей я призвал Господа и к Богу моему воззвал, и Он услышал из святого чертога Своего голос мой, и вопль мой дошел до слуха Его.
8 Ndipo nchi ilipotikisika na kutetemeka. Misingi ya mbingu ikatetemeka na kutikiswa, kwa kuwa Mungu alikasirika.
Потряслась, всколебалась земля, дрогнули и подвиглись основания небес, ибо разгневался на них Господь.
9 Moshi ukatoka katika pua yake, na miale ya moto ikatoka katika kinywa chake. Makaa yakawashwa nayo.
Поднялся дым от гнева Его и из уст Его огонь поядающий; горящие угли сыпались от Него.
10 Alizifungua mbingu akashuka, na giza totoro lilikuwa chini ya miguu yake.
Наклонил Он небеса и сошел; и мрак под ногами Его;
11 Alipanda juu ya kerubi na kuruka. Alionekana katika mawingu ya upepo.
и воссел на херувимов, и полетел, и понесся на крыльях ветра;
12 Naye akalifanya giza kuwa hema kumzunguka, akakusanya mawingu makubwa ya mvua angani.
и мраком покрыл Себя, как сению, сгустив воды облаков небесных;
13 Makaa ya moto yalidondoka mbele zake kutoka katika radi.
от блистания пред Ним разгорались угли огненные.
14 Yahwe alishuka kutoka katika mbingu. Aliyejuu alipiga kelele.
Возгремел с небес Господь, и Всевышний дал глас Свой;
15 Alipiga mishale na kuwatawanya adui zake—miale ya radi na kuwasambaratisha.
пустил стрелы и рассеял их; блеснул молниею и истребил их.
16 Kisha njia za maji zikaonekana; misingi ya dunia ikawa wazi katika kilio cha vita ya Yahweh, katika sauti za pumzi ya pua zake.
И открылись источники моря, обнажились основания вселенной от грозного гласа Господа, от дуновения духа гнева Его.
17 Kutoka juu alifika chini; akanishikilia! Aliniondoa katika vilindi vya maji.
Простер Он руку с высоты и взял меня, и извлек меня из вод многих;
18 Aliniokoa kutoka kwa adui zangu wenye nguvu, kwao walionichukia, kwa maana walikuwa na nguvu sana kwangu.
избавил меня от врага моего сильного, от ненавидящих меня, которые были сильнее меня.
19 Walikuja kinyume changu siku ya shida yangu, lakini Yahwe alikuwa msaada wangu.
Они восстали на меня в день бедствия моего; но Господь был опорою для меня
20 Pia aliniweka mahali panapo nafasi. Aliniokoa kwa kuwa alipendezwa nami.
и вывел меня на пространное место, избавил меня, ибо Он благоволит ко мне.
21 Yahwe amenituza kwa kipimo cha haki yangu; amenirejesha kwa kiwango cha usafi wa mikono yangu.
Воздал мне Господь по правде моей, по чистоте рук моих вознаградил меня.
22 Kwa maana nimezishika njia za Yahwe na sijafanya uovu kwa kugeuka kutoka kwa Mungu.
Ибо я хранил пути Господа и не был нечестивым пред Богом моим,
23 Kwa kuwa maagizo yake yote ya haki yamekuwa mbele yangu; kwa kuwa sheria zake, sikujiepusha nazo.
ибо все заповеди Его предо мною, и от уставов Его я не отступал,
24 Nimekuwa bila hatia mbele zake pia, na nimejiepusha na dhambi.
и был непорочен пред Ним, и остерегался, чтобы не согрешить мне.
25 Kwa hiyo Yahwe amenirejesha kwa kiasi cha uadilifu wangu, kwa kipimo cha usafi wangu mbele zake.
И воздал мне Господь по правде моей, по чистоте моей пред очами Его.
26 Kwa mwaminifu, unajionesha kuwa mwaminifu; kwake asiye na hatia; unajionesha kuwa hauna hatia.
С милостивым Ты поступаешь милостиво, с мужем искренним - искренно,
27 Kwa usafi unajionesha kuwa msafi, lakini kwa wakaidi unajionesha kuwa mkaidi.
с чистым - чисто, а с лукавым - по лукавству его.
28 Unaokoa walioteswa, lakini macho yako ni kinyume cha wenye kiburi, unawashusha chini.
Людей угнетенных Ты спасаешь и взором Своим унижаешь надменных.
29 Kwa maana wewe ni taa yangu, Yahwe. Yahwe huangaza katika giza langu.
Ты, Господи, светильник мой; Господь просвещает тьму мою.
30 Maana kwa ajili yake ninaweza kupita vipingamizi; kwa msaada wa Mungu wangu naweza kuruka juu ya ukuta.
С Тобою я поражаю войско; с Богом моим восхожу на стену.
31 Maana njia za Mungu ni kamilifu. Neno la Yahwe ni safi. Yeye ni ngao yao wanaomkimbilia.
Бог! - непорочен путь Его, чисто слово Господа, щит Он для всех, надеющихся на Него.
32 Maana ni nani aliye Mungu isipokuwa Yahwe? Na ni nani aliyemwamba isipokuwa Mungu?
Ибо кто Бог, кроме Господа, и кто защита, кроме Бога нашего?
33 Mungu ni kimbilio langu, na umwongoza katika njia yake mtu asiye na hatia.
Бог препоясует меня силою, устрояет мне верный путь;
34 Huifanya myepesi miguu yangu kama kurungu na kuniweka katika vilima virefu.
делает ноги мои, как оленьи, и на высотах поставляет меня;
35 Huifundisha mikono yangu kwa vita, na viganja vyangu kupinda upinde wa shaba.
научает руки мои брани и мышцы мои напрягает, как медный лук.
36 Umenipa ngao ya wokovu wako, na matakwa yako yamenifanya mkuu.
Ты даешь мне щит спасения Твоего, и милость Твоя возвеличивает меня.
37 Umeitengenezea miguu yangu nafasi chini yangu, hivyo miguu yangu haikujikwaa.
Ты расширяешь шаг мой подо мною, и не колеблются ноги мои.
38 Niliwafuatia adui zangu na kuwaangamiza. Sikurudi nyuma hadi walipoangamizwa.
Я гоняюсь за врагами моими и истребляю их, и не возвращаюсь, доколе не уничтожу их;
39 Niliwararua na kuwasambaratisha; hawawezi kuinuka. Wameanguka chini ya miguu yangu.
и истребляю их и поражаю их, и не встают и падают под ноги мои.
40 Unaweka nguvu ndani yangu kama mkanda kwa vita; unawaweka chini yangu wanaoinuka kinyume changu.
Ты препоясываешь меня силою для войны и низлагаешь предо мною восстающих на меня;
41 Ulinipa migongo ya shingo za adui zangu; niliwaangamiza kabisa wale wanaonichukia.
Ты обращаешь ко мне тыл врагов моих, и я истребляю ненавидящих меня.
42 Walilia kwa msaada, lakini hakuna aliyewaokoa; walimlilia Yahwe, lakini hakuwajibu.
Они взывают, но нет спасающего, - ко Господу, но Он не внемлет им.
43 Niliwaponda katika vipande kama mavumbi juu ya ardhi, niliwakanyaga kama matope mitaani.
Я рассеваю их, как прах земной, как грязь уличную мну их и топчу их.
44 Umeniokoa pia kutoka katika mashutumu ya watu wangu. Umeniweka kama kichwa cha mataifa. Watu nisiowajua wananitumikia.
Ты избавил меня от мятежа народа моего; Ты сохранил меня, чтоб быть мне главою над иноплеменниками; народ, которого я не знал, служит мне.
45 Wageni walishurutishwa kuniinamia. Mara waliposikia kuhusu mimi, walinitii.
Иноплеменники ласкательствуют предо мною; по слуху обо мне повинуются мне.
46 Wageni walikuja wakitetemeka kutoka katika ngome zao.
Иноплеменники бледнеют и трепещут в укреплениях своих.
47 Yahwe anaishi! Mwamba wangu atukuzwe. Mungu na ainuliwe, mwamba wa wokovu wangu.
Жив Господь и благословен защитник мой! Да будет превознесен Бог, убежище спасения моего,
48 Huyu ndiye Mungu anilipiaye kisasi, awawekaye watu chini yangu.
Бог, мстящий за меня и покоряющий мне народы
49 Uniweka huru mbali na adui zangu. Hakika, uliniinua juu yao walioinuka kinyume changu. Uliniokoa kutoka kwa watu wenye ghasia.
и избавляющий меня от врагов моих! Над восстающими против меня Ты возвысил меня; от человека жестокого Ты избавил меня.
50 Kwa hiyo nitakushukuru, Yahwe, kati ya mataifa; nitaliimbia sifa jina lako.
За то я буду славить Тебя, Господи, между иноплеменниками и буду петь имени Твоему,
51 Mungu hutoa ushindi mkuu kwa mfalme wake, na uonesha uaminifu wake wa kiagano kwa mtiwa mafuta wake, kwa Daudi na uzao wake daima.”
величественно спасающий царя Своего и творящий милость помазаннику Своему Давиду и потомству его во веки!

< 2 Samweli 22 >