< 2 Samweli 22 >

1 Daudi akamwimbia Yahwe maneno ya wimbo huu siku ile Yahwe alipomwokoa katika mkono wa adui zake wote na katika mkono wa Sauli.
Ke LEUM GOD El molella David liki inpaol Saul ac mwet lokoalok pac saya, na David el onkakin on soko inge nu sin LEUM GOD:
2 Akaomba hivi, “Yahwe ni mwamba wangu, ngome yangu, aliyeniokoa.
LEUM GOD El eot ku luk, nien wikla luk, Ac Mwet Lango luk.
3 Mungu ni mwamba wangu. Yeye ni kimbilio langu. Ngao yangu, pembe ya wokovu wangu, ngome yangu na kimbilio langu, aniokoaye na mabaya yote.
God luk El mwe loang luk, Ke nga muta yorol nga inse misla. El loangeyu oana sie mwe loeyuk; El lain mwet lokoalok luk ac ase misla nu sik. El mwet lango luk; El loangeyu ac moliyula liki mwe lokoalok.
4 Nitamwita Yahwe, astahiliye kutukuzwa, nami nitaokolewa kutoka kwa adui zangu.
Nga pang nu sin LEUM GOD, Ac El moliyula liki mwet lokoalok luk. Kaksakin LEUM GOD!
5 Maana mawimbi ya mauti yalinizunguka, mafuriko ya maji ya uharibifu yakanishinda.
Noa lun misa apinyula; Noa lun kunausten toki nu fuk.
6 Vifungo vya kuzimu vilinizunguka; kamba za mauti zikaninasa. (Sheol h7585)
Mwe kapir lun misa srumasryula, Ac kulyuk akola in sruokyuwi. (Sheol h7585)
7 Katika shida yangu nalimwita Yahwe; nilimwita Mungu wangu; akaisikia sauti yangu katika hekalu lake, na kilio changu cha msaada kikafika masikioni mwake.
In keok luk, nga pang nu sin LEUM GOD; Nga pang nu sin God luk tuh Elan kasreyu. In tempul lal el lohng pusrek; El porongo ke nga pang Elan kasreyu.
8 Ndipo nchi ilipotikisika na kutetemeka. Misingi ya mbingu ikatetemeka na kutikiswa, kwa kuwa Mungu alikasirika.
Na faclu rarrar ac usrusryak; Pwelung yen engyeng uh mukuikui ac kusrusrsrusr Mweyen God El kasrkusrak!
9 Moshi ukatoka katika pua yake, na miale ya moto ikatoka katika kinywa chake. Makaa yakawashwa nayo.
Kulasr fofosryak liki infwacl, Sie e in kunausten ac mulut fol sikyak liki oalul.
10 Alizifungua mbingu akashuka, na giza totoro lilikuwa chini ya miguu yake.
El seya acn lucng ac tufoki, Wi sie pukunyeng lohsr ye nial.
11 Alipanda juu ya kerubi na kuruka. Alionekana katika mawingu ya upepo.
El sohksok mui fin cherub; El pwesroul ke poun eng uh.
12 Naye akalifanya giza kuwa hema kumzunguka, akakusanya mawingu makubwa ya mvua angani.
El nokmulla ke lohsr; Pukunyeng matoltol sessesla ke kof raunella.
13 Makaa ya moto yalidondoka mbele zake kutoka katika radi.
Mulut fol firiryak liki sarom su oan ye mutal.
14 Yahwe alishuka kutoka katika mbingu. Aliyejuu alipiga kelele.
Na LEUM GOD El ngirngir yen engyengu me, Ac pusren God Kulana lohngyuk.
15 Alipiga mishale na kuwatawanya adui zake—miale ya radi na kuwasambaratisha.
El pisrik pisr natul, ac mwet lokoalok lal fahsrelik; Ke kalmelik lun sarom El oru elos kaingelik.
16 Kisha njia za maji zikaonekana; misingi ya dunia ikawa wazi katika kilio cha vita ya Yahweh, katika sauti za pumzi ya pua zake.
Ke LEUM GOD El kai mwet lokoalok lal Ac ngirla nu selos ke kasrkusrak, Acn loal in meoa wanginla koano, Ac pwelung lun faclu ikakelik.
17 Kutoka juu alifika chini; akanishikilia! Aliniondoa katika vilindi vya maji.
LEUM GOD El saplaki lucng me ac sruokyuwi; El amakinyuyak liki inkof loal.
18 Aliniokoa kutoka kwa adui zangu wenye nguvu, kwao walionichukia, kwa maana walikuwa na nguvu sana kwangu.
El moliyula liki mwet lokoalok kulana luk, Ac liki elos nukewa su srungayu. Elos arulana ku likiyu.
19 Walikuja kinyume changu siku ya shida yangu, lakini Yahwe alikuwa msaada wangu.
Ke nga muta in mwe ongoiya, elos lainyu, Tusruktu LEUM GOD El loangeyula.
20 Pia aliniweka mahali panapo nafasi. Aliniokoa kwa kuwa alipendezwa nami.
El kasreyu ac srukyuyak liki mwe fosrnga; El moliyula mweyen el insewowo sik.
21 Yahwe amenituza kwa kipimo cha haki yangu; amenirejesha kwa kiwango cha usafi wa mikono yangu.
LEUM GOD El ase lacnen orekma suwohs luk; El akinsewowoyeyu mweyen wangin ma koluk luk.
22 Kwa maana nimezishika njia za Yahwe na sijafanya uovu kwa kugeuka kutoka kwa Mungu.
Nga akos na ma sap lun LEUM GOD; Nga tiana forla liki God luk.
23 Kwa kuwa maagizo yake yote ya haki yamekuwa mbele yangu; kwa kuwa sheria zake, sikujiepusha nazo.
Nga karinganang ma sap lal nukewa, Nga tia seakos ma El sapkin.
24 Nimekuwa bila hatia mbele zake pia, na nimejiepusha na dhambi.
El etu lah wangin ma sutuu luk, Ac nga sifacna liyeyuyang tuh nga in tia oru ma koluk.
25 Kwa hiyo Yahwe amenirejesha kwa kiasi cha uadilifu wangu, kwa kipimo cha usafi wangu mbele zake.
Ouinge El ase mwe mol nu sik mweyen nga oru ma suwohs, Mweyen El etu lah wangin mwetik.
26 Kwa mwaminifu, unajionesha kuwa mwaminifu; kwake asiye na hatia; unajionesha kuwa hauna hatia.
O LEUM GOD, kom oaru nu selos su oaru nu sum, Ac kom arulana wo nu selos su moul suwohs.
27 Kwa usafi unajionesha kuwa msafi, lakini kwa wakaidi unajionesha kuwa mkaidi.
Kom nasnas nu selos su nasnas, A kom kwaselos su koluk.
28 Unaokoa walioteswa, lakini macho yako ni kinyume cha wenye kiburi, unawashusha chini.
Kom molelos su inse pusisel, A kom akpusiselyalos su inse fulat.
29 Kwa maana wewe ni taa yangu, Yahwe. Yahwe huangaza katika giza langu.
LEUM GOD, kom kalem luk; Kom sisla lohsr likiyu.
30 Maana kwa ajili yake ninaweza kupita vipingamizi; kwa msaada wa Mungu wangu naweza kuruka juu ya ukuta.
Kom akkeyeyu tuh nga in lain mwet lokoalok luk Ac ase ku nu sik in kutangla loang lalos.
31 Maana njia za Mungu ni kamilifu. Neno la Yahwe ni safi. Yeye ni ngao yao wanaomkimbilia.
Suwoswoslana orekma lun God se inge, Kas lal arulana pwaye ac fal in lulalfongiyuk! El oana sie mwe loang Nu sin mwet nukewa su suk molela sel.
32 Maana ni nani aliye Mungu isipokuwa Yahwe? Na ni nani aliyemwamba isipokuwa Mungu?
LEUM GOD mukena El God; God mukena El mwe loang lasr.
33 Mungu ni kimbilio langu, na umwongoza katika njia yake mtu asiye na hatia.
God se inge El nien molela ku luk; El oru inkanek luk in misla ac wo.
34 Huifanya myepesi miguu yangu kama kurungu na kuniweka katika vilima virefu.
El akkeye niuk in suwohs oana soko deer; El karinginyu fineol uh.
35 Huifundisha mikono yangu kwa vita, na viganja vyangu kupinda upinde wa shaba.
El akpahyeyu nu ke mweun Tuh nga in ku in orekmakin mwe pisr kulana.
36 Umenipa ngao ya wokovu wako, na matakwa yako yamenifanya mkuu.
O LEUM GOD, kom karinginyu ac moliyula; Kasru lom oru nga in pwengpeng.
37 Umeitengenezea miguu yangu nafasi chini yangu, hivyo miguu yangu haikujikwaa.
Kom karinginyu tuh nga in tia sruoh, Ac nga soenna ikori.
38 Niliwafuatia adui zangu na kuwaangamiza. Sikurudi nyuma hadi walipoangamizwa.
Nga ukwe mwet lokoalok luk ac kutangulosla; Nga tia tui nwe ke na nga kunauselosla.
39 Niliwararua na kuwasambaratisha; hawawezi kuinuka. Wameanguka chini ya miguu yangu.
Nga srunglulosi, ac elos tia ku in tuyak; Elos kutangyukla oan ye mutuk.
40 Unaweka nguvu ndani yangu kama mkanda kwa vita; unawaweka chini yangu wanaoinuka kinyume changu.
Kom akkeyeyu nu ke mweun Ac ase kutangla fin mwet lokoalok luk.
41 Ulinipa migongo ya shingo za adui zangu; niliwaangamiza kabisa wale wanaonichukia.
Kom oru mwet lokoalok luk in kaing likiyu; Nga kunauselosla su srungayu.
42 Walilia kwa msaada, lakini hakuna aliyewaokoa; walimlilia Yahwe, lakini hakuwajibu.
Elos suk mwet in kasrelos, a wangin mwet molelosla; Elos pang nu sin LEUM GOD, a El tiana topuk.
43 Niliwaponda katika vipande kama mavumbi juu ya ardhi, niliwakanyaga kama matope mitaani.
Nga toanelosi, ac elos ekla oana kutkut; Nga itungulosi oana fohk furarrar inkanek uh.
44 Umeniokoa pia kutoka katika mashutumu ya watu wangu. Umeniweka kama kichwa cha mataifa. Watu nisiowajua wananitumikia.
Kom moliyula liki mwet alein nu sik, Ac oakiya tuh nga in leum fin mutunfacl uh; Mwet ma nga tia etu, inge elos orekma nu sik.
45 Wageni walishurutishwa kuniinamia. Mara waliposikia kuhusu mimi, walinitii.
Mwetsac elos srim ye mutuk; Ke elos lohng pusrek, elos akos.
46 Wageni walikuja wakitetemeka kutoka katika ngome zao.
Pulaik lalos wanginla Ac elos rarrar ke elos tuku liki pot ku lalos.
47 Yahwe anaishi! Mwamba wangu atukuzwe. Mungu na ainuliwe, mwamba wa wokovu wangu.
LEUM GOD El moul! Kaksakin El su nien molela luk! Fahkelik pwengpeng lun God ku su moliyula!
48 Huyu ndiye Mungu anilipiaye kisasi, awawekaye watu chini yangu.
El ase kutangla fin mwet lokoalok luk; El akpusiselye mutunfacl su muta ye kolyuk luk
49 Uniweka huru mbali na adui zangu. Hakika, uliniinua juu yao walioinuka kinyume changu. Uliniokoa kutoka kwa watu wenye ghasia.
Ac moliyula liki mwet lokoalok luk. O LEUM GOD, kom ase kutangla fin mwet lokoalok luk Ac liyeyuyang liki mwet sulallal.
50 Kwa hiyo nitakushukuru, Yahwe, kati ya mataifa; nitaliimbia sifa jina lako.
Ouinge nga kaksakin kom inmasrlon mutunfacl uh; Nga onkakin on in kaksak nu sum.
51 Mungu hutoa ushindi mkuu kwa mfalme wake, na uonesha uaminifu wake wa kiagano kwa mtiwa mafuta wake, kwa Daudi na uzao wake daima.”
God El sang kutangla lulap nu sin tokosra lal; El akkalemye lungse kawil lal nu sel su el sulela, Aok, nu sel David ac fita lal ma pahtpat.

< 2 Samweli 22 >