< 2 Samweli 14 >

1 Yoabu mwana wa Seruya akatambua kwamba moyo wa mfalme ulitamani kumwona Absalomu.
Kad nu Joabs, Cerujas dēls, manīja, ka ķēniņa sirds pēc Absaloma ilgojās,
2 Hivyo Yoabu akatuma neno huko Tekoa kumleta kwake mwanamke mwelevu. Akamwambia, “Tafadhari, vaa mavazi ya uombolezaji ujifanye kuwa mwombolezaji. Usijipake mafuta, lakini uwe kama mwanamke ambaye ameomboleza kwa muda mrefu kwa ajili yake aliyekufa.
Tad Joabs sūtīja uz Tekou un dabūja no turienes gudru sievu un uz to sacīja: liecies jel žēlojoties un apvelc sēru drēbes un nesvaidies ar eļļu un turies kā sieva, kas sen dienas sērojās par mironi.
3 Kisha ingia kwa mfalme na umwambiye maneno nitakayokueleza.” Hivyo Yoabu akamwambia maneno ambayo angeyasema kwa mfalme.
Un ej pie ķēniņa un runā uz to tā un tā. Un Joabs lika tos vārdus viņas mutē.
4 Wakati mwanamke kutoka Tekoa alipoongea na mfalme, aliinamisha uso wake chini na kusema,
Un tā Tekoiešu sieva sacīja uz ķēniņu, uz savu vaigu pie zemes mezdamās un klanīdamās: palīdzi, ķēniņ!
5 “Mfalme, anisaidie.” Mfalme akamwambia, “Shida yako ni nini?” Akajibu, Ukweli ni kwamba mimi ni mjane, mme wangu alikufa.
Un ķēniņš uz to sacīja: kas tev kait? Un viņa sacīja: kait gan, esmu atraitne un mans vīrs miris.
6 Mimi, mtumishi wako, nilikuwa na wana wawili, wakagombana shambani, na hakukuwa na wa kuwaachanisha. Mmoja wao akampiga mwenziwe na kumwua.
Un tad vēl tavai kalponei bija divi dēli, tie abi bārās laukā un tiem nebija starpnieka, tad viens sita otru un to nokāva.
7 Na sasa ukoo wote umeinuka juu ya mtumishi wako, wanasema, 'Mtoe aliyempiga nduguye, ili tumwue kulipe uhai wa nduguye aliyeuawa.' Na hivyo watamwangamiza mrithi. Hivyo watalizima kaa liwakalo nililobakiwa, hata kumwondolea mme wangu jina na mzao juu ya uso wa nchi.”
Un redzi, visi radi cēlās pret tavu kalponi un saka: dod šurp to, kas savu brāli nokāvis, lai mēs viņu nokaujam par tā brāļa dzīvību, ko viņš nokāvis, un izdeldam arī šo mantinieku. Tā tie grib izdzēst manu dzirkstelīti, kas atlikusi, un neatstāt manam vīram ne vārda, ne pēcnākamais virs zemes.
8 Hivyo mfalme akamwambia mwanamke, “Nenda nyumbani kwako, nami nitaagiza jambo la kukufanyia.”
Tad ķēniņš uz to sievu sacīja: ej mājās, gan es tevis pēc pavēlēšu.
9 Mwanamke kutoka Tekoa akamjibu mfalme, “Bwana wangu mfalme, hatia na iwe juu yangu na juu ya familia ya baba yangu. Mfalme na kiti chake cha enzi hawana hatia.”
Un tā Tekoiešu sieva sacīja uz ķēniņu: mans kungs un ķēniņ, lai tas noziegums paliek uz manis un uz mana tēva nama, bet ķēniņš un viņa goda krēsls lai paliek nenoziedzīgs.
10 Mfalme akasema, “Yeyote atakayekwambia neno umlete kwangu, naye hatakugusa tena.”
Un ķēniņš sacīja: ja kas pret tevi runā, tad atved to pie manis, tad tam tevi vairs nebūs aizskart.
11 Kisha mwanamke akasema, “Tafadhari mfalme amkumbuke Yahwe Mungu wake, ili kwamba mlipa kisasi cha damu asiaribu zaidi, ili kwamba wasimwangamize mwanangu.” Mfalme akajibu, “Kama Mungu aishivyo, hakuna hata unywele mmoja wa mwanao utaanguka chini.”
Un viņa sacīja: lai jel ķēniņš piemin To Kungu, savu Dievu, ka asins atriebēji nevairo to postu, ka tie manu dēlu nenomaitā. Tad viņš sacīja: tik tiešām kā Tas Kungs dzīvs, neviens no tava dēla matiem nekritīs pie zemes!
12 Kisha mwanamke akasema, “Tafadhari acha mtumishi wako anene neno moja zaidi kwa bwana wangu mfalme.” Akasema, “Sema.”
Tad tā sieva sacīja: lai jel tava kalpone vienu vārdu uz savu kungu, to ķēniņu, runā. Un viņš sacīja: runā!
13 Hivyo mwanamke akasema, “Kwa nini basi umetenda kwa hila dhidi ya watu Mungu? Maana kwa kusema hivi, mfalme ni kama mtu mwenye hatia, kwa kuwa mfalme hamjamrudisha tena mwanaye aliyeondoka.
Un tā sieva sacīja: kāpēc tad tu tādu lietu esi nodomājis pret Dieva ļaudīm? Kad ķēniņš šo vārdu runājis, caur to viņš ir tā kā noziedzīgs, tāpēc ka ķēniņš savu atmesto neatved atpakaļ.
14 Kwa maana sisi sote tutakufa, kwa kuwa tu kama maji yamwagwayo juu ya ardhi na kwamba hayawezi kukusanywa tena. Lakini Mungu hatachukua uhai; badala yake, utafuta njia kwa walio mbali kurejeshwa.
Jo mirt mums jāmirst un mēs esam kā ūdens, kas zemē izliets netop atkal sasmelts, un Dievs negrib dzīvību atņemt, bet domā uz to, ka neatmet arīdzan tādu, kas atmests.
15 Sasa basi, nimesema jambo hili kwa bwana wangu mfalme, kwa sababu watu wamenitisha. Hivyo mtumishi wako akajinenea nafsini mwake, 'Sasa nitaongea na mfalme. Huenda mfalme akampa mtumishi wake haja yake.
Nu tad es esmu nākusi ar savu kungu, to ķēniņu, šo vārdu runāt, jo tie ļaudis mani ir izbiedējuši. Tad tava kalpone sacīja: es runāšu jel ar ķēniņu, vai ķēniņš nedarīs, ko viņa kalpone saka.
16 Kwa maana mfalme atanisikiliza, ili kwamba kumtoa mtumishi wake katika mikono ya mtu ambaye angeniangamiza mimi na mwanangu pamoja, tutoke katika urithi wa Mungu.
Jo ķēniņš klausīs un izpestīs savu kalponi no tā vīra rokas, kas apņēmies mani un manu dēlu kopā izdeldēt no Dieva tautas.
17 Kisha mtumishi wako akaomba, 'Yahwe, tafadhari ruhusu neno la bwana wangu mfalme linipe msaada, kwa maana bwana wangu mfalme ni kama malaika wa Mungu kwa kutofautisha wema na ubaya.' Yahwe, Mungu na awe pamoja nawe.”
Un tava kalpone domāja, lai mana kunga, tā ķēniņa, vārds man ir par iepriecināšanu, jo mans kungs, tas ķēniņš, ir kā Dieva eņģelis, klausīdamies labu un ļaunu; bet Tas Kungs, tavs Dievs, lai ir ar tevi.
18 Ndipo mfalme akajibu na kumwambia yule mwanamke, Tafadhari usinifiche neno lolote nikuulizalo.” Mwanamke akajibu, “Basi bwana wangu mfalme na aseme sasa.
Tad ķēniņš atbildēja un sacīja uz to sievu: neslēp man nekā, ko es tev vaicāšu. Un tā sieva sacīja: runā jel, mans kungs un ķēniņ!
19 Mfalme akasema, Je siyo mkono wa Yoabu ulio pamoja nawe katika haya yote? Mwanamke akajibu na kusema, “Kama uishivyo bwana wangu mfalme, hakuna awezae kuelekea mkono wa kulia wala wa kushoto kwa yale bwana wangu mfalme aliyosema. Ni mtumishi wako Yoabu aliyeniambia na kuniagiza kusema kile mtumishi wako alichokisema.
Un ķēniņš sacīja: vai Joaba roka ar tevi nav visās šinīs lietās? Tad tā sieva atbildēja un sacīja: tik tiešām kā tava dvēsele dzīva, mans kungs un ķēniņ, citādi nav ne pa labo ne pa kreiso roku ar visu to, kā mans kungs, tas ķēniņš, ir runājis; jo tavs kalps Joabs vien, tas man to ir pavēlējis un visus šos vārdus licis tavas kalpones mutē.
20 Mtumishi wako Yoabu amefanya hivi ili kubadilisha hali ya kile kinachotendeka. Bwana wangu ni mwenye akili kama hekima ya malaika wa Mungu, ajuaye yote yatendekayo ndani ya nchi.”
Šīs lietas nodomu gribēdams apslēpt, tavs kalps Joabs to ir darījis. Bet mans kungs ir gudrs pēc Dieva eņģeļa gudrības, zināt visu, kas virs zemes notiek.
21 Hivyo mfalme akamwambia Yoabu, “Tazama, nitatenda jambo hili. Nenda na umrudishe huyo kijana Absalomu.”
Un ķēniņš sacīja uz Joabu: redzi, es šo lietu esmu darījis. Ej tad un atved to puisi Absalomu atpakaļ.
22 HivyoYoabu akainamisha uso wake chini juu ya ardhi katika heshima na shukurani kwa mfalme. Yoabu akasema, “Mtumishi wako amejua kwamba amepata neema mbele zako, bwana wangu, mfalme, kwa vile mfalme amempa mtumishi wake haja ya moyo wake.
Un Joabs klanījās uz savu vaigu pie zemes mezdamies un pateicās ķēniņam, un Joabs sacīja: šodien tavs kalps ir manījis, ka es žēlastību esmu atradis tavās acīs, mans kungs un ķēniņ, tāpēc ka ķēniņš sava kalpa vārdu paklausījis.
23 Hivyo Yoabu akainuka na kwenda Geshuri, akamrejesha Absalomu Yerusalemu tena.
Tā Joabs cēlās un gāja uz Gešuru un atveda Absalomu uz Jeruzālemi.
24 Mfalme akasema, “Na arudi nyumbani kwake, lakini hasinione uso wangu.” Hivyo Absalomu akarudi katika nyumba yake mwenyewe, na hakuweza kuuona uso wa mfalme.
Un ķēniņš sacīja: lai viņš iet savā namā un nenāk priekš manām acīm. Tad Absaloms gāja savā namā un neredzēja ķēniņa vaigu.
25 Hakukuwa na mtu katika Israeli aliyesifiwa kwa uzuri kama Absalomu. Kutoka katika wayo wa mguu wake hadi katika utosi wake hakuwa na waa lolote.
Bet tāda vīra, tik skaista un ļoti slavējama kā Absaloms, nebija pa visu Israēli; no pēdām līdz galvas galam nekādas vainas pie viņa nebija.
26 Alipokata nywele za kichwa chake mwishoni mwa kila mwaka, kwa sababu zilikuwa nzito juu yake, alipima nywele zake zaidi ya shekeli mia mbili, kwa kiwango cha kipimo cha mfalme.
Un kad viņš savu galvu apcirpa, (tas notika gadu no gada, ka viņš to apcirpa, jo mati viņam bija visai smagi, tāpēc viņš tos nocirpa), tad viņa galvas mati svēra divsimt sēķeļus pēc ķēniņa svara.
27 Kwake Absalomu walizaliwa wana watatu na binti mmoja, jina lake Tamari. Alikuwa mwanamke mzuri.
Un Absalomam piedzima trīs dēli un viena meita, Tamāra vārdā, tā bija ļoti skaista sieviete.
28 Absalomu akaishi Yerusalem miaka miwili pasipo kuona uso wa mfalme.
Tā Absaloms palika Jeruzālemē divus gadus un neredzēja ķēniņa vaigu.
29 Kisha Absalome akatuma neno kwa Yoabu ili ampeleke kwa mfalme, lakini Yoabu hakwenda kwake. Hivyo Absalomu akatuma neno mara ya pili, lakini Yoabu hakuja bado.
Tāpēc Absaloms sūtīja pie Joaba, ka viņš to pie ķēniņa sūtītu, bet tas negribēja nākt pie viņa. Tad viņš sūtīja vēl otrreiz, un tas vēl negribēja nākt.
30 Hivyo Absalomu akawambia watumishi wake, “Tazameni, shamba la Yoabu lipo karibu na langu, naye ana shayiri kule. Nendeni mkalichome moto” Hivyo watumishi wa Absalome wakalichoma moto lile shamba.
Tad viņš sacīja uz saviem kalpiem: redzi, Joaba tīrums ir pie mana klātu, un viņam tur ir mieži; ejat un iededzinājiet to ar uguni. Tad Absaloma kalpi iededzināja to tīrumu ar uguni.
31 Kisha Yoabu akainuka na kwenda nyumbani kwa Absalomu akamwambia, “Kwa nini watumishi wako wamelichoma moto shamba langu?
Un Joabs cēlās un nāca Absaloma namā un uz to sacīja: kāpēc tavi kalpi manu tīrumu ar uguni ir iededzinājuši?
32 Absalomu akamjibu Yoabu, “Tazama nilituma neno kwako kusema, 'Njoo ili nikutume kwa mfalme kusema, “Kwa nini nilikuja kutoka Geshuri? Ingekuwa heri kwangu kama ningesalia huko. Kwa hiyo sasa niache niuone uso wa mfalme na kama nina hatia basi na aniue.”
Un Absaloms sacīja uz Joabu: redzi, es pie tevis esmu sūtījis sacīdams: nāc šurp, ka es tevi pie ķēniņa sūtu un lieku sacīt, kāpēc es esmu nācis no Gešuras? Man būtu labāki, ka es vēl tur būtu. Bet nu es gribu ķēniņa vaigu redzēt, un ja vēl kāds noziegums ir pie manis, tad lai viņš mani nokauj.
33 Hivyo Yoabu akaenda kwa mfalme na kumwambia. Mfalme alipomwita, Absalomu alikuja kwa mfalme na akainama hadi juu ya uso nchi mbele ya mfalme na mfalme akambusu Absalomu.
Tad Joabs gāja pie ķēniņa un viņam to teica. Tad viņš aicināja Absalomu, un tas nāca pie ķēniņa un nometās uz savu vaigu pie zemes ķēniņa priekšā, un ķēniņš skūpstīja Absalomu.

< 2 Samweli 14 >