< 2 Wafalme 1 >

1 Moabu aliasi dhidi ya Israeli baada ya kifo cha Ahabu.
and to transgress Moab in/on/with Israel after death Ahab
2 Baada hapo Ahazi akaanguka chini ya dirisha lenye waya zinazikinzana kwenye chumba chake juu katika Samaria, na alikuwa amejeruhiwa. Kwa hiyo alituma wajumbe na kuwaambia, “Nendeni, muulizeni Baal Zebubu, mungu wa Ekroni, kama nitapona hili jeraha.”
and to fall: fall Ahaziah about/through/for [the] latticework in/on/with upper room his which in/on/with Samaria and be weak: ill and to send: depart messenger and to say to(wards) them to go: went to seek in/on/with Baal-zebub Baal-zebub God Ekron if to live from sickness this
3 Lakini malaika wa Yahwe wakamwambia Eliya Mtishbi, “Inuka, nenda ukaonane na wajumbe wa mfalme wa Samaria, na uwaulize, 'Je ni kwasababu hakuna Mungu katika israeli ambaye mnayekwenda kuuliza pamoja na Zebebu, mungu wa Ekroni?
and messenger: angel LORD to speak: speak to(wards) Elijah [the] Tishbite to arise: rise to ascend: rise to/for to encounter: meet messenger king Samaria and to speak: speak to(wards) them from without nothing God in/on/with Israel you(m. p.) to go: went to/for to seek in/on/with Baal-zebub Baal-zebub God Ekron
4 Kwa hiyo Yahwe anasema, “Hutaweza kushuka chini kutoka kwenye kitanda ambacho ulichokipanda; badala yake, utakufa hakika."”” Baada ya hapo Eliya akaondoka.
and to/for so thus to say LORD [the] bed which to ascend: rise there not to go down from her for to die to die and to go: went Elijah
5 wakati wale wajumbe waliporudi kwa Ahazia, akawaambia, “Kwa nini mmerudi?”
and to return: return [the] messenger to(wards) him and to say to(wards) them what? this to return: return
6 Wakamwambia, “mtu amekuja kuonana na sisi ambaye ametuambia, 'Turudi kwa mfalme ambaye aliyewatuma, na mkamwambie, Yahwe amesema hivi: 'Je ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli mpaka mmewatuma watu kwenda kumuuliza kwa Baal Zabubu, mungu wa Ekron? Kwa hiyo hutashuka kutoka kitanda ulichokipanda; badala yake, utakufa hakika."””
and to say to(wards) him man to ascend: rise to/for to encounter: meet us and to say to(wards) us to go: went to return: return to(wards) [the] king which to send: depart [obj] you and to speak: speak to(wards) him thus to say LORD from without nothing God in/on/with Israel you(m. s.) to send: depart to/for to seek in/on/with Baal-zebub Baal-zebub God Ekron to/for so [the] bed which to ascend: rise there not to go down from her for to die to die
7 Ahazi akawaambia wajumbe wake, “'Alikuwa mtu wa aina gani, yule ambaye alikuja kuonana na ninyi na akasema haya maneno kwenu?”
and to speak: speak to(wards) them what? justice [the] man which to ascend: rise to/for to encounter: meet you and to speak: speak to(wards) you [obj] [the] word: thing [the] these
8 Wakamjibu, “Alikuwa amevaa kanzu yenye manyaya na alikuwa na mkanda wa ngozi kiunanoni kwake.'” Hivyo mfalme akajibu, '“Yule alikuwa Eliya Mtishbi.”
and to say to(wards) him man master: owning hair and girdle skin to gird in/on/with loin his and to say Elijah [the] Tishbite he/she/it
9 Ndipo mfalme akatuma nahodha wa askari hamsini kwa Elya. Nahodha akaenda mpaka kwa Eliya ambapo alipokuwa amekaa juu ya mlima. Nahodha akamwambia Eliya, “Wewe, mtu wa Mungu, mfalme amesema, 'shuka chini.'”
and to send: depart to(wards) him ruler fifty and fifty his and to ascend: rise to(wards) him and behold to dwell upon head: top [the] mountain: mount and to speak: speak to(wards) him man [the] God [the] king to speak: speak to go down [emph?]
10 Eliya akajibu na kusema kwa nahodha, “Kama mimi ni mtu wa Mungu, moto na ushuke chini kutoka mbinguni na kukula wewe na watu wako hamsini.” Kisha moto ukashuka chini kutoka mbinguni na kumla yeye na watu wake hamsini.
and to answer Elijah and to speak: speak to(wards) ruler [the] fifty and if man God I to go down fire from [the] heaven and to eat [obj] you and [obj] fifty your and to go down fire from [the] heaven and to eat [obj] him and [obj] fifty his
11 Tena Mfalme Ahazi akamtuma nahodha mwingine pamoja na maaskari wengine hamsini. Huyu nahodha pia akasema kwa Eliya, “Wewe, mtu wa Mungu, mfalme anasema, teremka chini haraka.”'
and to return: again and to send: depart to(wards) him ruler fifty another and fifty his and to answer and to speak: speak to(wards) him man [the] God thus to say [the] king haste to go down [emph?]
12 Eliya akajibu na kuwaambia, “Kama mimi ni mtu wa Mungu, ngoja moto ushuke kutoka mbinguni na ukule wewe na watu wako hamsini.” Moto wa Mungu ukashuka chini tena kutoka mbinguni na kumla yeye na watu wake hamsini.
and to answer Elijah and to speak: speak to(wards) them if man [the] God I to go down fire from [the] heaven and to eat [obj] you and [obj] fifty your and to go down fire God from [the] heaven and to eat [obj] him and [obj] fifty his
13 Bado tena mfalme alituma kundi la tatu la wapiganaji hamsini. Huyu nahodha akaenda, akaanguka mbele ya miguu ya Eliya, na kumsihi na kumwambia, “Wewe, mtu wa Mungu, Nakuomba, acha uzima wangu na uzima wa hawa watumishi wako hamsini uwe na thamani machoni kwako.
and to return: again and to send: depart ruler fifty third and fifty his and to ascend: rise and to come (in): come ruler [the] fifty [the] third and to bow upon knee his to/for before Elijah and be gracious to(wards) him and to speak: speak to(wards) him man [the] God be precious please soul: life my and soul: life servant/slave your these fifty in/on/with eye: seeing your
14 Ndipo, moto ukashuka chini kutoka mbinguni na kuwala wale manahodha wawili wa kwanza pamoja na watu wao, bali sasa acha uzima wangu uwe na thamani machoni kwako.”
behold to go down fire from [the] heaven and to eat [obj] two ruler [the] fifty [the] first: previous and [obj] fifty their and now be precious soul: life my in/on/with eye: seeing your
15 Malaika wa Yahwe akamwambia Eliya, “'Nenda chini pamoja naye. Usimwogope.”' Hivyo Eliya akainuka na kwenda chini pamoja naye kwenda kwa mfalme.
and to speak: speak messenger: angel LORD to(wards) Elijah to go down with him not to fear from face of his and to arise: rise and to go down with him to(wards) [the] king
16 Baadye Eliya akamwambia Ahazia, '“Hivi ndivyo Yahwe asemavyo, Umewatuma wajumbe kuzungumza pamoja na Baal-Zebubu, mungu wa Ekron. Je ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli ambaye unayeweza kumuuliza habari? Kwa hiyo sasa, hutaweza kushuka chini kutoka kwenye kitanda ulichokipanda; utakufa hakika.'”
and to speak: speak to(wards) him thus to say LORD because which to send: depart messenger to/for to seek in/on/with Baal-zebub Baal-zebub God Ekron from without nothing God in/on/with Israel to/for to seek in/on/with word his to/for so [the] bed which to ascend: rise there not to go down from her for to die to die
17 Hivyo Mfalme Ahazia alikufa kulingana na neno la Yahwe ambalo Eliya alilisema. Yoramu alianza kutawala katika eneo lake, katika mwaka wa pili Yoramu mwana wa Yohoshafati mfalme wa Yuda, kwa sababu Ahazia hakuwa na mtoto.
and to die like/as word LORD which to speak: speak Elijah and to reign Joram underneath: instead him in/on/with year two to/for Joram son: child Jehoshaphat king Judah for not to be to/for him son: child
18 Kama mambo mengine yanayomuhusu Ahazia, je hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
and remainder word: deed Ahaziah which to make: do not they(masc.) to write upon scroll: book Chronicles [the] day to/for king Israel

< 2 Wafalme 1 >