< 2 Wafalme 1 >

1 Moabu aliasi dhidi ya Israeli baada ya kifo cha Ahabu.
And it rebelled Moab against Israel after [the] death of Ahab.
2 Baada hapo Ahazi akaanguka chini ya dirisha lenye waya zinazikinzana kwenye chumba chake juu katika Samaria, na alikuwa amejeruhiwa. Kwa hiyo alituma wajumbe na kuwaambia, “Nendeni, muulizeni Baal Zebubu, mungu wa Ekroni, kama nitapona hili jeraha.”
And he fell Ahaziah through the window-lattice in upper room his which [was] in Samaria and he became ill and he sent messengers and he said to them go consult Baal Zebub [the] god of Ekron if I will live from sickness this.
3 Lakini malaika wa Yahwe wakamwambia Eliya Mtishbi, “Inuka, nenda ukaonane na wajumbe wa mfalme wa Samaria, na uwaulize, 'Je ni kwasababu hakuna Mungu katika israeli ambaye mnayekwenda kuuliza pamoja na Zebebu, mungu wa Ekroni?
And [the] angel of Yahweh he spoke to Elijah the Tishbite arise go up to meet [the] messengers of [the] king of Samaria and speak to them ¿ becasue not there not [is] a God in Israel [are] you going to consult Baal Zebub [the] god of Ekron.
4 Kwa hiyo Yahwe anasema, “Hutaweza kushuka chini kutoka kwenye kitanda ambacho ulichokipanda; badala yake, utakufa hakika."”” Baada ya hapo Eliya akaondoka.
And therefore thus he says Yahweh the bed where you have gone up there not you will come down from it for certainly you will die and he went Elijah.
5 wakati wale wajumbe waliporudi kwa Ahazia, akawaambia, “Kwa nini mmerudi?”
And they returned the messengers to him and he said to them why? this have you returned.
6 Wakamwambia, “mtu amekuja kuonana na sisi ambaye ametuambia, 'Turudi kwa mfalme ambaye aliyewatuma, na mkamwambie, Yahwe amesema hivi: 'Je ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli mpaka mmewatuma watu kwenda kumuuliza kwa Baal Zabubu, mungu wa Ekron? Kwa hiyo hutashuka kutoka kitanda ulichokipanda; badala yake, utakufa hakika."””
And they said to him a man - he came up to meet us and he said to us go return to the king who he sent you and you will speak to him thus he says Yahweh ¿ because not there not [is] a God in Israel [are] you sending to consult Baal Zebub [the] god Ekron therefore the bed where you have gone up there not you will come down from it for certainly you will die.
7 Ahazi akawaambia wajumbe wake, “'Alikuwa mtu wa aina gani, yule ambaye alikuja kuonana na ninyi na akasema haya maneno kwenu?”
And he spoke to them what? [was] [the] appearance of the man who he came up to meet you and he spoke to you the words these.
8 Wakamjibu, “Alikuwa amevaa kanzu yenye manyaya na alikuwa na mkanda wa ngozi kiunanoni kwake.'” Hivyo mfalme akajibu, '“Yule alikuwa Eliya Mtishbi.”
And they said to him a man an owner of hair and a loincloth of hide [was] girded on loins his and he said [was] Elijah the Tishbite that.
9 Ndipo mfalme akatuma nahodha wa askari hamsini kwa Elya. Nahodha akaenda mpaka kwa Eliya ambapo alipokuwa amekaa juu ya mlima. Nahodha akamwambia Eliya, “Wewe, mtu wa Mungu, mfalme amesema, 'shuka chini.'”
And he sent to him a commander of a fifty and fifty [men] his and he went up to him and there! [he was] sitting on [the] top of the hill and he spoke to him O man of God the king he has spoken come down!
10 Eliya akajibu na kusema kwa nahodha, “Kama mimi ni mtu wa Mungu, moto na ushuke chini kutoka mbinguni na kukula wewe na watu wako hamsini.” Kisha moto ukashuka chini kutoka mbinguni na kumla yeye na watu wake hamsini.
And he answered Elijah and he spoke to [the] commander of the fifty and if [am] a man of God I let it come down fire from the heavens and let it consume you and fifty [men] your and it came down fire from the heavens and it consumed him and fifty [men] his.
11 Tena Mfalme Ahazi akamtuma nahodha mwingine pamoja na maaskari wengine hamsini. Huyu nahodha pia akasema kwa Eliya, “Wewe, mtu wa Mungu, mfalme anasema, teremka chini haraka.”'
And he returned and he sent to him a commander of a fifty another and fifty [men] his and he answered and he spoke to him O man of God thus he says the king quickly come down!
12 Eliya akajibu na kuwaambia, “Kama mimi ni mtu wa Mungu, ngoja moto ushuke kutoka mbinguni na ukule wewe na watu wako hamsini.” Moto wa Mungu ukashuka chini tena kutoka mbinguni na kumla yeye na watu wake hamsini.
And he answered Elijah and he spoke to them if [am] [the] man of God I let it come down fire from the heavens and let it consume you and fifty [men] your and it came down [the] fire of God from the heavens and it consumed him and fifty [men] his.
13 Bado tena mfalme alituma kundi la tatu la wapiganaji hamsini. Huyu nahodha akaenda, akaanguka mbele ya miguu ya Eliya, na kumsihi na kumwambia, “Wewe, mtu wa Mungu, Nakuomba, acha uzima wangu na uzima wa hawa watumishi wako hamsini uwe na thamani machoni kwako.
And he returned and he sent a commander of a fifty third and fifty [men] his and he went up and he went [the] commander of the fifty third and he bowed down on knees his - to before Elijah and he sought favor to him and he spoke to him O man of God let it be precious please life my and [the] life of servants your these fifty [men] in eyes your.
14 Ndipo, moto ukashuka chini kutoka mbinguni na kuwala wale manahodha wawili wa kwanza pamoja na watu wao, bali sasa acha uzima wangu uwe na thamani machoni kwako.”
Here! it has come down fire from the heavens and it has consumed [the] two [the] commanders of the fifties former and fifty [men] their and now let it be precious life my in eyes your.
15 Malaika wa Yahwe akamwambia Eliya, “'Nenda chini pamoja naye. Usimwogope.”' Hivyo Eliya akainuka na kwenda chini pamoja naye kwenda kwa mfalme.
And he spoke [the] angel of Yahweh to Elijah go down him may not you be afraid of him and he arose and he went down him to the king.
16 Baadye Eliya akamwambia Ahazia, '“Hivi ndivyo Yahwe asemavyo, Umewatuma wajumbe kuzungumza pamoja na Baal-Zebubu, mungu wa Ekron. Je ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli ambaye unayeweza kumuuliza habari? Kwa hiyo sasa, hutaweza kushuka chini kutoka kwenye kitanda ulichokipanda; utakufa hakika.'”
And he spoke to him thus he says Yahweh because that you have sent messengers to consult Baal Zebub [the] god of Ekron ¿ because not [is] there not a God in Israel to consult word his therefore the bed where you have gone up there not you will come down from it for certainly you will die.
17 Hivyo Mfalme Ahazia alikufa kulingana na neno la Yahwe ambalo Eliya alilisema. Yoramu alianza kutawala katika eneo lake, katika mwaka wa pili Yoramu mwana wa Yohoshafati mfalme wa Yuda, kwa sababu Ahazia hakuwa na mtoto.
And he died according to [the] word of Yahweh - which he spoke Elijah and he became king Jehoram in place of him. In year two of Jehoram [the] son of Jehoshaphat [the] king of Judah for not he belonged to him a son.
18 Kama mambo mengine yanayomuhusu Ahazia, je hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
And [the] rest of [the] matters of Ahaziah which he did ¿ not [are] they written on [the] scroll of [the] matters of the days of [the] kings of Israel.

< 2 Wafalme 1 >