< 2 Wafalme 8 >

1 Basi, Elisha alikuwa amemwambia yule mwanamke ambaye alimfufulia mtoto wake. Akamwambia, “Inuka na uenede pamoja na nyumba yako, na uishi popote uwezapo katika nchi nyingine, kwa sababu Yahwe ameiita njaa ambayo itakuja katika hii nchi kwa miaka saba.”
Elisha loh a capa aka hing huta te a voek tih, “Thoo lamtah namah neh na imkhui te cet uh laeh. Na bakuep nah noek ah bakuep mai. BOEIPA loh khokha ham a khue dongah khohmuen ah he kum rhih khuiah pai pueng ni,” a ti nah.
2 Basi yule mwanamke akainuka na akatii lile neno la mtumishi wa Mungu. Akaenda na nyumba yake na kuishi kwenye nchi ya Wafilisti miaka saba.
Te dongah huta te thoo tih Pathen hlang kah ol bangla a saii. Amah neh a imkhui te a caeh puei tih Philisti khohmuen ah kum rhih bakuep.
3 Ikafika kama mwishoni mwa miaka saba yule mwanamke akarudi kutoka kwenye ile nchi ya Wafilisti, na kwenda kwa mfalme kumuomba nyumba yake na kwa ajili ya nchi yake.
Kum rhih kah a bawtnah a pha vaengah tah huta te Philisti khohmuen lamloh mael. Te vaengah cet tih amah imkhui ham neh a khohmuen ham te manghai taengah pang.
4 Basi mfalme alikuwa anaongea na Gehazi yule mtumishi wa Mungu, akisema, “Tafadhali niambie yale mambo makubwa ambayo Elisha ameyafanya.”
Manghai loh Pathen hlang kah tueihyoeih Gehazi te a voek tih, “Elisha loh hno len cungkuem a saii te kai taengah tae laeh,” a ti nah.
5 Basi alipokuwa akimwambia yule mfalme jinsi gani Elisha alivyomfufua yule mtoto aliyekufa, huyo mwanamke ambaye mtoto wake aliyekuwa amefufuliwa akaja kumuomba yule mfalme kwa ajili ya nyumba yake na nchi yake. Gehazi akasema, “Bwana wangu, mfalme, huyu ndiye yule mwanamke, na huyu ndiye mtoto wake, ambaye Elisha amemfufua.”
Te dongah aka duek tangtae a hing sak tih a capa koep aka hing huta loh a imkhui ham neh a khohmuen ham manghai taengah a pang te khaw manghai taengah a tae pah. Te phoeiah Gehazi loh, “Ka boei manghai aw, he huta he ni a capa Elisha loh a hing sak pah,” a ti nah.
6 Wakati yule mfalme alipomuuliza yule mwanamke kuhusu mtoto wake, alimwelezea yule mfalme. Ndipo mfalme akamwagizia ofisa makini, akisema, “Mrudishie vyote vilivyokuwa vyake na mavuno yake yote ya kwenye mashamba tangu siku alipoondoka hadi sasa.”
Manghai loh huta te a dawt tih a taengah a tae pah vaengah tah manghai loh anih ham te imkhoem pakhat a khueh pah tih, “Khohmuen a hnoong khohnin lamloh tahae hil khohmuen kah a vueithaih cungkuem te anih taengah boeih mael laeh,” a ti nah.
7 Elisha akaja Damaskasi ambako Ben Hadadi yule mfalme wa Shamu alikuwa anaumwa. Yule mfalme aliambiwa, “Yule mtu wa Mungu amekuja hapa.”
Elisha te Damasku la a caeh vaengah Aram manghai Benhadad te ana tlo. Te dongah a taengla a puen pah tih, “Pathen kah hlang he la ha pawk,” a ti nah.
8 Mfalme akamwambia Hazaeli, “Chukua zawadi kwenye mkono wako na uende ukakutane na mtu wa Mungu, na ukazungumze na Yahwe kupitia yeye, ukisema, “Je nitapona huu ugonjwa wangu?”
Manghai loh Hazael te, “Na kut dongah khocang khuen lamtah Pathen kah hlang doe hamla cet laeh. Anih lamloh BOEIPA te dawt lah, he tloh lamloh ka hing venim? dawt lah,” a ti nah.
9 Basi Hazaeli akaenda kuonana naye na kuchukua zawadi zake za kila kitu kizuri cha Damskasi, akabeba ngamia arobaini. Hivyo Hazaeli akaja na kusimama mbele ya Elisha na kusema, “Mtoto wako Ben Hadadi mfalme wa Shamu amenituma kwako, kusema, “Je nitapona huu ugonjwa?”
Te dongah anih doe hamla Hazael te cet tih a kut dongah khocang neh Damasku kah thennah cungkuem te kalauk sawmli phueih la a khuen. Cet tih a mikhmuh ah a pai vaengah tah, “Na capa Aram manghai Benhadad loh kai he nang taengla n'tueih, ‘He tloh lamloh ka hing aya?’ a ti,” a ti nah.
10 Elisha akamwambia, “Nenda, kwa Ben Hadadi, 'Utapona hakika,' lakini Yahwe amenionyesha kwamba atakufa hahkika.”
Elisha loh anih te, “Cet lamtah amah taengah, ‘Na hing rhoe na hing ni,’ ti nah. Tedae BOEIPA loh kai n'tueng coeng dongah duek rhoe duek ni,” a ti nah.
11 Basi Elisha akamtumbulia macho Hazaeli hadi alipojisikia aibu, na yule mtu wa Mungu akalia machozi.
Te phoeiah tah a maelhmai te a khueh, a khueh tih a yah hil Pathen kah hlang te a rhah pah.
12 Hazaeli akauliza, kwa nini unalia, bwana wangu?” Akajibu, “Kwa sababu najua uovu ambao utakaoufanya kwa watu wa Israeli. Utazichoma moto ngome zao kwa moto, na utawaua vijana wao kwa upanga, kuwaseta vipande vipande watoto wao wachanga, na kuwapasua mimba zao wanawake wenye mimba.”
Te vaengah Hazael loh, “Ka boeipa balae tih na rhah,” a ti nah hatah, “Israel ca rhoek taengah boethae na saii ham khaw, amih kah hmuencak te hmai neh na hlae ham khaw, amih kah tongpang rhoek te cunghang neh na ngawn ham khaw, amih kah camoe rhoek te na til ham khaw, aka vawn te na boe ham khaw ka ming dongah,” a ti nah.
13 Hazaeli akajibu, Ni nani mtumwa wako, ambaye atafanya jambo hili kubwa? Yeye ni mbwa tu.” Elisha akajibu, “Yahwe amenionyesha kwamba utakuwa mfalme juu ya Shamu.”
Tedae Hazael loh, “Na sal ui loh metlam hno len a saii eh?” a ti nah. Elisha loh, “Aram soah na manghai ham te BOEIPA loh kai n'tueng coeng,” a ti nah.
14 Ndipo Hazaeli akamwacha Elisha na kuja kwa bwana wake, ambaye alimwambia, “Je Elisha alikwambiaje?” Akajibu, “Ameniambia kwamba utapona bila shaka.”
Elisha taeng lamloh nong tih a boei taengla a pawk vaengah anih te, “Elisha loh nang taengah balae a thui,” a ti nah. Te vaengah, “Kai taengah tah, ‘Na hing rhoe na hing ni,’ a ti,” a ti nah.
15 Basi siku ya pili yake Hazaeli akachukua blangeti na kulichovya kwenye maji, na kulitandaza kwenye uso wa Ben Hadadi hivyo akafa. Basi Hazaeli akawa mfalme katika sehemu sehemu yake.
Tedae a vuen pha vaengah himbai thah a loh tih tui khuila a nuem phoeiah manghai kah maelhmai te a dah pah. Te vaengah manghai te duek tih Hazael te anih yueng la manghai.
16 Katika mwaka wa kumi na tano wa Yoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, Yehoramu akaanza kutawala. Alikuwa mwana wa Yehoshafati mfalme wa Yuda. Alianza wakati Yehoshafati alikuwa mfalme wa Yuda.
Israel manghai Ahab capa Joram kah a kum nga dongkah, Judah manghai Jehoshaphat phoeiah tah, Judah manghai Jehoshaphat capa Jehoram te manghai.
17 Yoramu alikuwa na umri wa miaka thelathini na mbili alipoanza kutawala, na alitawala kwa mda wa miaka minane katika Yerusalemu.
Kum sawmthum kum nit a lo ca vaengah anih te manghai tih Jerusalem ah kum, kum rhet manghai.
18 Yoramu akatembea kwenye njia ya huyo mfalme wa Israeli, kama walivyokuwa wakifanya kwenye nyumba ya Ahabu; kwa kuwa alikuwa na binti wa Ahabu kama mke wake, na alifanya uovu usoni kwa Yahwe.
Anih khaw Israel manghai rhoek kah longpuei ah pongpa. Ahab canu te anih yuu la a om dongah Ahab imkhui kah a saii bangla BOEIPA mikhmuh ah boethae a saii.
19 Walakini, kwa sababu ya mtumishi wake Daudi, Yahwe hakutaka kuiharibu Yuda, tangu alipomwambia kwamba atampatia wazao.
A sal David amah taengah a thui bangla anih ham neh a ca rhoek ham hnin takuem hmaithoi a khueh pah ham dongah ni BOEIPA loh Judah te phae a ngaih pawh.
20 Katika siku za Yoramu, Edomu akaasi kutoka chini ya mkono wa Yuda, na wakamfanya mfalme juu yao wenyewe.
Anih tue vaengah ni Edom loh Judah kut hmui lamkah boe a koek tih amamih ham manghai a manghai sak.
21 Basi Yehoramu akaenda na maamri jeshi na magari ya farasi yote. Ilitokea kwamba akaamka usiku na kushambulia na kuwazunguka Waedomu, waliokuwa wamemzunguka na wale maamri jeshi wa magari ya farasi. Ndipo wanajeshi wa Yehoramu wakakimbilia wajumbani kwao.
Joram te amah taengkah leng boeih neh Zair te a paan. Khoyin ah thoo tih Edom te a tloek. A kaepvai te amah neh leng mangpa rhoek loh a dum vaengah pilnam tah amah dap la rhaelrham coeng.
22 Hivyo Edomu aliasi dhidi ya utawala wa Yuda katika siku hizi. Libna pia aliasi katika kipindi hicho hicho.
Edom tah tahae khohnin duela Judah kut hmui lamloh boe a koek. Libnah khaw te vaeng tue ah boe a koek coeng.
23 Kwa mambo mengine yamhusuyo Yehoramu, yote aliyoyafanya, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Yuda?
Joram kah ol noi neh a saii boeih te khaw Judah manghai rhoek kah khokhuen olka cabu dongah a daek uh moenih a?
24 Yehoramu akafa na kuzikwa pamoja na baba zake, na akalala pamoja na baba zake katika mji wa Daudi. Ndipo Ahazi mtoto wake akawa mfalme katika sehemu yake.
Joram te a napa rhoek taengla a khoem uh vaengah David khopuei ah a napa rhoek taengah a up. Te phoeiah a capa Ahaziah te anih yueng la manghai.
25 Katika mwaka wa kumi na mbili wa Yohoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, Ahazi mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, alianza kutawala.
Israel manghai Ahab capa Joram kah kum hlai nit kum vaengah Judah manghai Jehoram capa Ahaziah te manghai van.
26 Ahazi alikuwa ana umri wa miaka ishirini na mbili wakati alipoanza kutawala; alitawala kwa mda wa mwaka mmoja katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Athalia; alikuwa mtoto wa Omri, mfalme wa Israeli.
Ahaziah he kum kul kum nit a lo ca vaengah manghai tih Jerusalem ah kum khat manghai. A manu ming tah Israel manghai Omri canu Athaliah ni.
27 Ahazia alitembelea katika nyumba ya Ahabu; alifanya yale yaliyo maovu katika uso wa Yahwe, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa ikifanya, kwa kuwa Ahazia alikuwa mkwe kwenye nyumba ya Aabu.
Anih he Ahab imkhui loh a cava nah dongah Ahab imkhui kah longpuei ah pongpa tih BOEIPA mikhmuh ah Ahab imkhui bangla boethae a saii.
28 Ahazia akaenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu, kupigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Shamu, katika Ramath Geleadi. Washami wakamjeruhi Yoramu.
Ahab capa Joram neh Ramothgilead kah Aram manghai Hazael te caem la a paan vaengah Arammi loh Joram te a ngawn.
29 Mfalme Yoramu akarudi ili auguzwe huko Yezreeli kwenye yale majeraha ambayo Washami walimpatia huko Rama. Wakati alipopigana dhidi ya Hazaeli mfalme wa Shamu. Hivyo Ahazi mwana wa Yehoramu, mfalme Yuda, akashuka kwa Yezreeli kumuona Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu Yoramu alikuwa amejeruhiwa.
Te dongah manghai Joram khaw Aram manghai Hazael a vathoh thil vaengkah Ramah ah Arammi loh a ngawn. Te hmasoe te hoeih sak ham Jezreel la mael. Tedae anih te a nue coeng dongah Judah manghai Jehoram capa Ahaziah khaw Ahab capa Joram te sawt hamla Jezreel la suntla.

< 2 Wafalme 8 >