< 2 Wafalme 7 >

1 Elisha akasema, “Sikiliza neno la Yahwe. Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kesho mda kama huu kipimo cha unga mzuri kitauzwa kwa shekeli, na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli, kwenye lango la Samaria.””
Тогава рече Елисей: Слушайте Господното слово. Така казва Господ: Утре, по това време, при портата на Самария една сата чисто брашно ще се продаде за един сикъл.
2 Basi yule nahodha ambaye alikuwa akitegemea mkono wake amemjibu mtu wa Mungu, na kusema, “Ona, hata kama Yahwe ataweka madirisha mbinguni, je jambo hili linawezekana?” Elisha akajibu, “Ona, utaona ikitokea kwa macho yako mwenyewe, lakini hutakula chochote katika hilo.”
А сановникът на чиято ръка се подпираше царят, отговори на Божия човек, казвайки: Ето сега, и прозорци, ако би направил Господ на небето, били могло да стане това нещо? А той каза: Ето, ще видиш с очите си, но няма да ядеш от него.
3 Basi, kulikuwa na watu wanne wenye ukoma upande wa nje wa lango la mji. Wakaambizana kila mmoja, “Kwa nini tukae hapa hadi hapo tutakapokufa?
А във входа на портата имаше четирима прокажени; и рекоха си един на друг: Защо да седим тук докле умрем?
4 Kama tukisema kwamba tutaenda kwenye ule mji, maana mjini kuna njaa, na tutakufa hapo. Lakini kama tukiendelea kukaa hapa, bado tutakufa. Sawa, njoni, twendeni kwenye lile jeshi la Washami. Kama wakitupa uhai, tutakuwa hai, na kama wakituua, tutakufa tu.”
Ако речем да влезем в града, гладът е в града, и ще умрем там; и ако седим тук, пак ще умрем. Сега, прочее, да идем та да се предадем в сирийският стан. Ако ни оставят живи, ще живеем; но ако ни убият, само ще умрем.
5 Hivyo wakaamka asubuhi kabla giza halijaisha kwenda kwenye kambi ya Washami; Wakati walipofika sehemu ya mwanzo wa kambi, hapakuwa na mtu hapo.
И така, на мръкване станаха за да отидат към сирийския стан, а като стигнаха до края на сирийския стан, ето, нямаше никой там.
6 Kwa kuwa Bwana alikuwa ameunda jeshi la Washami kusikia sauti ya magari ya farasi, na sauti za farasi-sauti za jeshi jingine kubwa, ndipo wakaambizana kila mmoja wao, “Yule mfalme wa Israeli amekodisha wafalme wa Wahiti na Wamisri waje wapigane dhidi yetu.”
Защото Господ беше направил да се чуе в стана на сирийците тропот от колесници и тропот от коне, тропот от голяма войска; и те бяха си рекли един на друг: Ето, Израилевият цар е наел против нас хетейските царе и египетските царе, за да дойдат върху нас.
7 Hivyo wale maaskari wakaondoka kungali giza; waliacha mahema yao, punda zao, na kambi kama ilivyokuwa, na kukimbia kwa ajili ya maisha yao.
Затова, бяха станали и побягнали в полусветлината, като оставиха шатрите си, конете си и ослите си, - целия стан, както си беше, - и бяха пибягнали за живота си.
8 Wakati wale watu wenye ukoma walipokuja sehemu ya mwisho wa kambi, wakaenda kwenye hema moja na kula na kunywa, na kubeba fedha na dhahabu na nguo, na kwenda na kuzificha. Wakarudi na kuingia kwenye hema nyingine na kubeba kutoka pale pia, na kwenda kuvificha.
И когато тия прокажени стигнаха до края на стана, влязоха в един шатър та ядоха и пиха, и взеха от там сребро, злато и дрехи, и отидоха та ги скриха; после, връщайки се, влязоха в друг шатър, взеха и от там и отидоха та скриха взетото.
9 Basi, wakaambizana kila mmoja, “Hatufanyi sahihi. Siku hii ni siku ya habari njema, lakini tunanyamaza kimya kuhusu hili. Kama tukisubiri mpaka kutakapopambazuka, adhabu itakuwa juu yetu. Basi, njoni, twendeni na kuwaambia nyumba ya mfalme.”
Тогава рекоха помежду си: Ние не правим добре; тоя ден е ден на добри вести, а ние мълчим; ако чякаме докле съмне, възмездието ни ще ни постигне; нека, прочее, отидем да известим това на царския дом.
10 Kwa hiyo wakaenda na kuwaita mabawabu wa mji. Wakawaambia, wakisema, “Tumeenda kambi ya Washami, lakini hapakuwa na mtu pale, hakuna sauti ya mtu yeyote, lakini kulikuwa na farasi wamefungwa, na punda wamefungwa, na zile hema kama zilivyokuwa.”
И тъй, дойдоха та известиха към градските врати, и известиха им казвайки: Отидохме в стана на сирийците, и, ето, нямаше там ни човек ни човешки глас, само коне вързани и осли вързани, и шатрите както са си били.
11 Ndipo mabawabu wakatoa habari, ndipo wakaambiwa ndani ya nyumba ya mfalme.
И вратарите извикаха и известиха това вътре в царския дом.
12 Basi yule mfalme akainuka usiku nakusema kwa watumishi wake, “Nitawaambia sasa kile ambacho Washami walichotufanyia. Wanajua kwamba tunanjaa, hivyo wameondoka kwenye kambi kwenda kujificha kwenye mashamba. Wanasema, 'Wakati watakapotoka mjini, tutawakamata wakiwa hai, na kuingia mjini.”
А царят, като стана, през нощта, каза на слугите си: Сега ще ви кажа що ни направиха сирийците. Те знаят, че сме гладни, и за това са излезли из стана, за да се скрият по нивите, като си казват: Когато излязат из града ще ги заловим живи, и ще възлезем в града.
13 Mmoja wa wale watumishi wa mfalme akajibu na kusema, “Nakuomba, ngoja baadhi ya watu wachukue farasi watano wale waliosalia, ambao wamebaki kwenye mji. Wako kama mkutano wote wa Israeli waliobaki-wengi wamekufa; ngoja tuwatume na tuone.”
А един от слугите му в отговор рече: Нека вземат, моля, пет от останалите коне, които са оцелели в града, (ето те са като цяло множество от израилтяните, които се изнуриха), и нека пратим да видим.
14 Hivyo wakachukua magari mawili ya farasi pamoja na farasi, na mfalme akawatuma baada ya jeshi la Washami, akisema, “Enendeni mkaone.”
Вързаха, прочее, две колесници с конете, и царят ги прати по дирята на сирийската войска, и рече: Идете и вижте.
15 Wakawafuata kwenda Yordani, na barabara zote zilikuwa zimejaa na vifaa ambavyo Washami walivitupa wapate kukimbia haraka. Kwa hiyo wale wajumbe wakarudi na kumwambia mfalme.
И отидоха подир тях до Иордан; и, ето, целият път беше пълен с дрехи и вещи, които сирийците бяха хвърлили в бързането си. И пратениците се върнаха та явиха това на царя.
16 Wale watu wakatoka nje na wakaziteka nyara zile kambi za Washami. Hivyo kipimo cha unga mzuri uliuzwa kwa shekeli moja, na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli moja, kama vile ambavyo neno la Yahwe lilivyosema.
Тогава людете излязоха та разграбиха стана на сирияците. Така, една сата чисто брашно се продаваше за един сикъл, и две сати ечемик за един сикъл, според Господното слово.
17 Naye mfalme alimwagiza yule nahodha ambaye alitegemea mkono wake kuwa mkuu wa lango, na watu wakamkanyaga chini langoni. Alikufa kama mtu wa Mungu alivyosema, ambaye ameongea wakati yule mfalme alipomshukia.
И за пазенето на портата церят постави сановника, на чиято ръка се подпираше; но людете го стъпкаха в портата, та умря, както беше казал Божият човек, който говори, когато церят слезе при него
18 Basi ikatokea kama yule mtu wa Mungu alivyosema kwa mfalme akisema, “Mda kama huu kwenye lango la Samaria, vipimo viwili vya shayiri vitapatikana kwa shekeli, na kipimo cha unga mzuri kwa shekeli.”
И както беше говорил Божият човек на царя, казвайки: Утре, по това време, в самарийската порта две сати ечемик ще се дават за сикъл, и една сата чисто брашно за сикъл,
19 Yule nahodha alimjibu yule mtu wa Mungu na kusema, “Tazama, hata kama Yahwe angefanya madirisha mbinguni, je hiki kitu kingeweza kutokea” Elisha akasema, “Tazama, utaona kikitokea kwa macho yako mwenyewe, lakini hutakula chochote katika hicho.”
а сановникът беше отговорил на Божия човек, казвайки: И прозорци ако би направил Господ на небето, би ли могло да стане такова нещо? а той беше казал: Ето, ще видиш това с очите си, но няма да ядеш от него,
20 Hivyo ndivyo haswa kilichompata, kwa kuwa watu wakamkanyaga kwenye lango, na kufa.
така му се случи, защото людете го стъпкаха в портата, та умря.

< 2 Wafalme 7 >