< 2 Wafalme 22 >

1 Yosia alikuwa na umri wa miaka minane wakati alipoanza kutawala; alitawala kwa mda wa miaka thelathini na moja katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Yedida (Alikuwa binti wa Adaye wa Bozkathi).
Jozjasz miał osiem lat, kiedy zaczął królować, i królował trzydzieści jeden lat w Jerozolimie. Jego matka miała na imię Jedida [i była] córką Adajasza z Boskat.
2 Alifanya yale yaliyo mema usoni mwa Yahwe. Alitembea kwenye njia zote za Daudi babu yake, na hakugeuka wala upande wa kulia au kushoto.
Czynił on to, co było słuszne w oczach PANA, i szedł wszystkimi drogami Dawida, swego ojca, a nie zbaczał ani na prawo, ani na lewo.
3 Ikawa kwamba katika mwaka wa kumi na nane mfalme Yosia, akamtuma Shafani mwana wa Azalia mwana wa Meshulamu, mwandishi, kwenye nyumba ya Yahwe, akisema,
A w osiemnastym roku króla Jozjasza król posłał pisarza, Szafana, syna Azaliasza, syna Meszullama, do domu PANA, mówiąc:
4 “Panda juu kwa Hilkia yule kuhani mkuu na mwambie ahesabu pesa ambazo zilizokuwa zimeletwa kwenye nyumba ya Yahwe, ambazo walinzi wa hekalu wamezikusanya kutoka kwa watu.
Idź do najwyższego kapłana Chilkiasza. Niech zbiera pieniądze, które przyniesiono do domu PANA, a które stróże progu zebrali od ludu;
5 Zigawanywe kwenye mikono ya wafanyakazi ambao ni wasimamizi wa nyumba ya Yahwe, na waache wawapatie wafanya kazi ambao wako kwenye nyumba ya Yahwe, ili waweze kutengeneza pale palipoharibika.
I niech je dadzą do rąk kierownikom robót, przełożonym nad domem PANA. A ci niech przekażą je robotnikom pracującym w domu PANA, aby naprawiali szkody domu;
6 Wapewe pesa maseremala, wajenzi, na waashi, na pia kununua mbao na kukata jiwe kukarabati nyumba ya Yahwe.”
[To jest] cieślom, budowniczym i murarzom, oraz na zakup drewna i ciosanego kamienia na naprawę domu.
7 Lakini zile pesa hazikutakiwa kuhesabiwa wakati walipokuwa wanapewa, kwa sababu waliimudu ile kazi kwa uaminifu.
Jednak nie trzeba było rozliczać się [z nimi] z pieniędzy, które dali im do rąk, bo oni postępowali uczciwie.
8 Hilkia kuhani mkuu akamwambia Shafani yule mwandishi, “Nimekipata kitabu cha sheria katika nyumba ya Yahwe.” Basi Hilkia akampatia kile kitabu Shafani, na kukisoma.
Wtedy najwyższy kapłan Chilkiasz powiedział do pisarza, Szafana: Znalazłem księgę Prawa w domu PANA. I Chilkiasz dał księgę Szafanowi, a ten ją czytał.
9 Shafani akaenda na kuchukua kile kitabu kwa mfalme, na pia kumjulisha, akisema, “Watumishi wako wamezitumia zile pesa ambazo zilizokuwa zimepatikana kwenye hekalu na zimegawiwa kwenye mikono ya wafanya kazi ambao husimamia kuangalia nyumba ya Yahwe.”
Następnie pisarz Szafan przyszedł do króla i zdał sprawę królowi, mówiąc: Twoi słudzy zebrali pieniądze, które znajdowały się w domu [PANA], i dali je w ręce kierownikom robót, przełożonym nad domem PANA.
10 Kisha Shafani yule mwandishi akamwambia mfalme, “Hilkia yule kuhani amenipatia kitabu.” Kisha Shafani akakisoma mbele ya mfalme.
Pisarz Szafan oznajmił także królowi: Kapłan Chilkiasz dał mi księgę. I Szafan czytał ją wobec króla.
11 Ikawa kwamba wakati mfalme aliposikia maneno ya sheria, alichana nguo zake.
A gdy król usłyszał słowa księgi Prawa, rozdarł swoje szaty.
12 Kisha mfalme akamwamuru Hilkia yule kuhani, Ahikamu mwana wa Shafani, Akbori mwana wa Mikaya, Shafani mwandishi, na Asaya, mtumishi wake mwenyewe, akisema,
Potem król rozkazał kapłanowi Chilkiaszowi, Achikamowi, synowi Szafana, Akborowi, synowi Micheasza, pisarzowi Szafanowi i swojemu słudze Asajaszowi:
13 Nenda na ukaongee pamoja na Yahwe kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu na kwa Yuda yote, kwa sababu ya maneno ya hiki kitabu ambacho kilichopatikana. Kwa hasira kubwa ya Yahwe ambayo ametukasirikia dhidi yetu kwa sababu babu zetu hawakusikiliza maneno ya hiki kitabu hivyo kama kutii yote ambayo yalikuwa yameandikwa kuhusiana na sisi.
Idźcie, radźcie się PANA co do mnie, co do ludu i co do całej Judy w związku ze słowami tej księgi, którą znaleziono. Wielki bowiem jest gniew PANA, którym zapłonął przeciwko nam, dlatego że nasi ojcowie nie posłuchali słów tej księgi, aby czynić zgodnie ze wszystkim, co jest dla nas napisane.
14 Basi Hilkia yule kuhani, Ahikamu, Akbori, Shafani, na Asaya wakaenda kwa Hulda nabii wa kike, mke wa Shalumu mwana wa Tikva mwana wa Harhasi, mtunza kabati la nguo (aliishi katika Yerusalemu katika mtaa wa pili), na wakaongea pamoja naye.
Tak więc kapłan Chilkiasz, Achikam, Akbor, Szafan i Asajasz poszli do prorokini Chuldy, żony Szalluma, syna Tikwy, syna Charchasza, strażnika szat – mieszkała ona w Jerozolimie, po drugiej stronie [miasta] – i opowiedzieli jej [o tej sprawie].
15 Akawaambia, “Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Israeli, asemavyo: 'Mwambie huyu mtu aliyekutuma kwangu,
Ona zaś powiedziała im: Tak mówi PAN, Bóg Izraela: Powiedzcie mężczyźnie, który was posłał do mnie;
16 “Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: 'Tazama, nitaleta janga kwenye hii sehemu na juu ya wakaao hapa, kulingana na kila kitu kilichoandikwa kwenye kitabu ambacho mfalme wa Yuda alichokisoma.
Tak mówi PAN: Oto sprowadzę nieszczęście na to miejsce i na jego mieszkańców, [zgodnie ze] wszystkimi słowami tej księgi, które czytał król Judy;
17 Kwa sababu wamenitelekeza na kufukiza ubani kwa miungu mingine, hivyo basi wanaweza kunichochea hasira pamoja na matendo yote waliyoyafanya-kwa hiyo hasira yangu ilikuwa inawaka dhidi ya hii sehemu, na haitazimika.”'
Za to, że mnie opuścili i palili kadzidło innym bogom, aby pobudzić mnie do gniewu wszystkimi dziełami swoich rąk. Dlatego zapłonie mój gniew przeciwko temu miejscu i nie zagaśnie.
18 Lakini kwa mfalme wa Yuda, aliye watuma kuuliza mapenzi ya Yahwe, hivi ndivyo mtakavyo mwambia: “Yahwe, Mungu wa Israeli asema hivi: Kuhusu yale maneno uliyoyasikia,
A królowi Judy, który posłał was, aby radzić się PANA, tak powiedzcie: Tak mówi PAN, Bóg Izraela, co do słów, które słyszałeś;
19 kwa sababu moyo wako ulikuwa mlaini, na kwa sababu umejinyenyekesha mwenyewe mbele za Yahwe, wakati uliposikia nilichokisema dhidi ya hii sehemu na wenyeji wake, kwamba wanaweza kuwa wakiwa na laana, na kwasaabu ulizozirarua nguo zako na kulia mbele yangu, Nami pia nimekusikia-hivi ndivyo Yahwe asemavyo.
Ponieważ twoje serce zmiękło i upokorzyłeś się przed PANEM, gdy usłyszałeś, co powiedziałem przeciw temu miejscu i przeciw jego mieszkańcom – że staną się spustoszeniem i klątwą – rozdarłeś swoje szaty i płakałeś przede mną, to i ja również [ciebie] wysłuchałem, mówi PAN.
20 Tazama, nitakukusanya na babu zako, nawe utawekwa kaburini kwako kwa amani. Macho yako hayataona maafa yote ambayo nitayaleta kwenye hii sehemu. “"” Hivyo watu wakachukua ujumbe huu kuurudisha kwa mfalme.
Dlatego oto przyłączę cię do twoich ojców i będziesz złożony w swoim grobie w pokoju, aby twoje oczy nie oglądały całego nieszczęścia, które sprowadzę na to miejsce. A oni zanieśli tę odpowiedź królowi.

< 2 Wafalme 22 >