< 2 Wafalme 18 >

1 Ikawa katika mwaka wa tatu wa Hoshea mwana wa Ela, mfalme wa Israeli, Hezekia mwana wa Ahazi, mfalme wa Yuda akaanza kutawala.
В третата година на Израилевия цар Осия, Иловия син, се възцари Езекия, син на Юдовия цар, Ахаз.
2 Alikuwa na umri wa miaka ishirini na tano alipoanza kutawala; alitawala miaka ishirini na tisa katika Yerusalemu. Jina la mama yake alikuwa anaitwa Abija; alikuwa binti wa Zekaria.
Той беше двадесет и пет години на възраст, когато се възцари, и царува двадесет и девет години в Ерусалим; а името на майка му беше Авия, Захариева дъщеря.
3 Alifanya yaliyo mema usoni pa Yahwe, kufuata mfano wa yote ambayo Daudi, babu yake, aliyoyafanya.
Той върши това, което бе право пред Господа, напълно както извърши баща му Давид;
4 Alipaondoa mahali pa juu, akaiharibu nguzo ya jiwe, akaikata hiyo nguzo ya Ashera. Akavunja vipande vipande ile nyoka ambayo Musa aliyokuwa ameifanya, kwa sababu siku zile wana wa Israeli walikuwa wakichoma ubani katika hiyo; ilikuwa inaitwa “Nehushtani.”
събори високите места, изпотроши кумирите, изсече ашерите и сломи медната змия, която Моисей беше направил, защото дори до онова време израилтяните й кадяха; и нарече я Нехущан.
5 Hezekia alimwamini Yahwe, Mungu wa Israeli, hivyo basi baada ya yeye hapakuwa kama yeye miongoni mwa wafalme wote wa Yuda, wala miongoni mwa wafalme ambao walikuwa kabla yake.
На Господа Израилевия Бог упова. Нямаше подобен нему между всичките Юдови царе, ни между ония, които бяха подир него, нито преди него;
6 Aliambatana na Yahwe. Hakuacha kumfuata lakini alizifuata amri zake, ambazo Yahwe alimwamuru Musa.
защото се прилепи към Господа, не престана да Го следва, но опази заповедите, които Господ даде на Моисея.
7 Hivyo Yahwe alikuwa na Hezekia, kila alipokwenda alifanikiwa. Akaasi dhidi ya mfalme wa Ashuru na hakumtumikia.
И Господ бе с него; където и да излизаше, той благоуспяваше; и въстана против асирийския цар, и не му слугуваше вече.
8 Akawashambulia Wafilisti hadi Gaza na mipaka inayoizunguka, kutoka mnara wa walinzi hadi hadi mji wenye ngome.
Той порази филистимците до Газа и до околностите й, от стражарска кула до укрепен град.
9 Katika mwaka wa nne wa Mfalme Hezekia, ambao ulikuwa mwaka wa saba wa Hoshea mwana wa Ela mfalme wa Israeli, Shalmanesa mfalme wa Ashuru akapanda hadi Samaria na kuizunguka.
А в четвъртата година на цар Езекия, която бе седмата година на Израилевия цар Осия, син на Ила, асирийският цар Салманасар възлезе против Самария и я обсаждаше.
10 Mwishoni mwa miaka mitatu wakaichukua, katika mwaka wa sita wa Hezekia, ambao ulikuwa mwaka wa tisa wa Hoshea mfalme wa Israeli; hivi ndivyo Samaria ilivyotekwa.
След три години я превзе; в шестата година на Езекия, която бе деветата година на Израилевия цар Осия, Самария бе превзета.
11 Basi mfalme wa Ashuru akawachukua Israeli kwenda Ashuru na kuwaweka kwenye Hala, na katika mto Habori katika Gozani, na katika mji wa Wamedi.
И асирийският цар отведе Израиля в плен в Асирия, и ги настани в Ала и в Авор при реката Гозан и в Мидските градове;
12 Alifanya hivi kwasababu hakutii sauti ya Yahwe Mungu wao, lakini walikiuka makubaliano ya agano lake, yote yale ambayo Musa yule mtumishi wa Yahwe aliwaamuru. Walikataa kuyasikiliza au kuyafanya.
защото не послушаха гласа на Господа своя Бог, но престъпиха завета Му, - всичко, което Господният слуга Моисей заповяда, - и не послушаха, и нито го извършиха.
13 Kisha katika mwaka wa kumi na nne wa mfalme Hezekia, Senakerebu mfalme wa Ashuru akaishambulia miji yote yenye boma na kuwateka mateka.
А в четиренадесетата година на цар Езекия, асирийският цар Сенахирим възлезе против всичките укрепени Юдови градове и ги превзе.
14 Basi Hezekia mfalme wa Yuda akatuma neno kwenda kwa mfalalme wa Yuda akatuma neno kwa mfalme wa Ashuru, ambaye alikuwa Lachishi, akisema, “Nimekuudhi. Nichukue. Popote utakaponiweka nitavumulia”. Mfalme wa Ashuru akamtaka Hezekia mfalme wa Yuda kulipa talanta mia tatu za fedha na talanta thelathini za dhahabu.
Тогава Юдовият цар Езекия прати до асирийския цар в Лахис да кажат: Съгрешихме; върни се от мене; каквото ми наложиш ще го нося. И тъй, асирийският цар наложи на Юдовия цар Езекия триста таланта сребро и тридесет таланта злато.
15 Hivyo Hezekia akampatia fedha zote ambazo zilikuwa zimepatikana kwenye nyumba ya Yahwe na kawenye hazina nyumba ya mfalme.
И Езекия му даде всичкото сребро, което се намери в Господния дом и в съкровищницата на царската къща.
16 Kisha Hezekia akaikata ile dhahabu kutoka kwenye milango ya hekalu la Yahwe na kutoka juu ya nguzo; akampatia dhahabu mfalme wa Ashuru.
В това време Езекия откова златото от вратите на Господния храм и от стълбовете, които той, Юдовият цар Езекия, бе обковал със злато, и го даде на есирийския цар.
17 Lakini mfalme wa Ashuru akalihamasisha jeshi lake kubwa, akawatuma Tartani na Rabsarisi na amiri jeshi mkuu kutoka Lakishi kwenda kwa Hezekia huko Yerusalemu. Wakasafiri hadi kwenye mabarabara na kufika nje ya Yerusalemu. Wakakaribia karibu na mfereji wa birika la juu, kwenye barabara kuu ya shamba la dobi, na kusimama hapo.
Но асирийския цар прати от Лахис Тартана, Рапсариса и Рапсака с голява мойске при цар Езекия в Ерусалим. А те възлязоха и дойдоха в Ерусалим. И когато стигнаха, дойдоха та застанаха при водопровода на горния водоем, който е по друма към тепавичарската нива.
18 Wakati walipokuwa wamemwita Mfalme Hezekia, Eliakimu mwana wa Hilkia, ambaye alikuwa kiongozi wa nyumba ya mfalme na Shebna mwandishi, na Joa mwana wa Asafu, anayeandika kumbukumbu, wakatoka nje kwenda kuwalaki
И когато извикаха към царя, излязоха при тях управителят на двореца Елиаким, Хелкиевият син и секретарят Шевна, и летописецът Иоах, Асафовият син.
19 Basi yule amiri jeshi mkuu akawaambia wamwambie Hezekia kile alichosema mfalme mkuu, mfalme wa Ashuru, amesema: “Nini chanzo cha ujasiri wako?
Тогава Рапсак им рече: Кажете сага на Езекия: Така казва великият цар, асирийският цар, каква е тая увереност, на която уповаваш?
20 Unaongea maneno yasiyo na maana, kusema lipo neno na nguvu ya vita. Sasa unamtumainia nani? Nani anakupa ujasiri wa kuasi dhidi yangu?
Ти казваш: Имам благоразумие и сила за воюване. Но това са само лицемерни думи. На кого, прочее, се надяваш та си въстанал против мене?
21 Tazama, unatumainia kutembelea fimbo ya mwanzi huu uliopondeka wa Misri, lakini kama mtu akiutegemea, utamchapa kwenye mkono wake na kuutoboa. Hicho ndicho Farao mfalme wa Misri kwa ymtu yeyote ambaye anayemtumainia.
Виж, ти се надяваш, като че ли на тояга, на оная строшена тръстика на Египет, на която, ако се опре някой, ще се забучи в ръката му та ще я промуши. Такъв е египетския цар Фараон за всички, които се надяват на него.
22 Lakini kama ukiniambia, 'Tunamwamini Yahwe Mungu watu; je si yeye ambaye mahali pa juu na madhabahu Hezekia amezichukua, na kumwambia Yuda na kwa Yerusalemu, 'Lazima uabudu mbele ya hii madhabahu katika Yerusalemu'?
Но ако би речете: На Господа нашия Бог, поваваме, то Той не е ли Оня, Чиито високи местаи жертвеници премахна Езекия, като рече на Юда и на Ерусалим: Пред тоя олтар в Ерусалим се покланяйте?
23 Basi kwa hiyo, nataka kukufanyia ahadi nzuri kutoka kwa bwana wangu mfalme wa Ashuru. Nitakupatia farasi elfu mbili, kama unaweza kuwatafuta kuwaendesha kwa ajili yao.
Сега, прочее, дай човеци в залог на господаря ми асирийския цар; а аз ще ти дам две хиляди коне, ако можеш от своя страна да поставиш на тях ездачи.
24 Wanawezaje kumpinga hata nahodha mmoja wa watumishi walio wadogo? Mmeweka tumaini lenu katika Misri kwa magari ya farasi na waendesha farasi!
Как тогава ще отблъснеш един военачалник измежду най-ниските слуги на господаря ми? Но пак уповаваш на Египет за колесници и за конници!
25 Je nimesafiri kwenda huko juu bila Yahwe kupapigania hapa mahali na kupaharibu? Yahwe ameniambia, 'Ishambulie hii nchi na uiharibu.”'
Без волята на Господа ли възлязох сега на това място за да го съсипя? Господ ми рече: Възлез против тая земя та я съсипи.
26 Kisha Elikana mwana wa Hilkia, na Shebna, na Joa wakamwambia amiri jeshi mkuu, “Tafadhali ongea na watumishi wako katika lugha ya Kiaramu, kwa kuwa tunaielewa. Usiongee nasi katika lugha ya Yuda katika masikio ya watu ambao wako ukutani.”
Тогава Елиаким, Хелкиевият син, Шевна и Иоах рекоха на Рапсака: Говори, молим, на слугите си на сирийски, защото го разбираме: недей ни говори на юдейски, та да чуят людете, които са на стената.
27 Lakini yule amiri jeshi mkuu akawaambia, “Je bwana wangu amenituma kwa bwana wako na kuwachukua kuongea haya maneno? Je hajanituma kwa hawa watu ambao wameketi kwenye ukuta, ambao watakula kinyesi chao na kunywa mkojo wao wenyewe?”
Но Рапсак им рече: Да ли ме е пратил господарят ми само при твоя господар и при тебе да говоря тия думи? не ме ли е изпратил при мъжете, които седят на стената, за да ядат с вас заедно изпражненията си и да пият пикочта си?
28 Kisha yule amiri jeshi mkuu akasimama na akapiga kelele kubwa kwa lugha ya Kiyahudi, akisema, “Sikilizeni neno la mfalme mkuu, mfale wa Ashuru.
Тогава Рапсак застана та извика на юдейски със силен глас, като говори, казвайки: Слушайте думата на великия цар, асирийския цар:
29 Mfalme asema, 'Msimwache Hezekia akawadanganya, kwa kuwa hataweza kuwaokoa kwenye nguvu yangu.
така казва царят: Да ви не мами Езекия. Защото той не ще може да ви избави от ръката ми.
30 Msimwache Hezekia akawatumainisha katika Yahwe, akisema, “Yahwe atatuokoa hakika, na huu mji hautawekwa kwenye mkono wa mfalme wa Ashuru.'”
И да ви не прави Езекия да уповавате на Господа, като казва: Господ непременно ще ни избеви, и тоя град няма да бъде предаден в ръката на асирийския цар.
31 Msikilize Hezekia, kwa kuwa hivi ndivyo mfalme wa Ashuru asemavyo: 'Fanyeni amani pamoja nami na njooni kwangu. Kisha kila mmoja wenu atakula kutoka kwenye mzabibu wake mwenyewe na kutoka kwenye mtini wake mwenyewe, na kunywa kutoka kwenye maji kwenye maji ya birika lake mwenyewe.
Не слушайте Езекия, защото така казва асирийският цар: Направете спогодбе с мене и излезте при мене, и яжте всеки от лозето си, и всеки от смокината си, и пийте всеки от водата на щерната си
32 Mtafanya hivyo hadi nitakapokuja na kuwachukua kwenda kwenye nchi kama nchi yenu, nchi ya nafaka na divai, nchi ya mkate na mashamba ya mizabibu, nchi ya miti ya mizaituni na asali, ili muweze kuishi na sio kufa.' Msimsikilize Hezekia wakati atakapojaribu kuwashawishi, akisema, 'Yahwe atatuokoa.'
докле дойда и ви заведа в земя подобна на вашата земя, зимя изобилваща с жито и вино, земя изобилваща с хляб и лозя, земя изобилваща с дървено масло и мед, за да живеете и да не умрете; и не слушайте Езекия, когато би ви убеждавал, като казва: Господ ще ни избави.
33 Je miungu yeyote ya watu inayewaokoa kutoka kwenye nchi ya mfalme wa Ashuru?
Някой от боговете на народите избавил ли е земята си от ръката на асирийския цар?
34 Iko wapi miungu ya Hamathi na Arpadi? iko wapi miungu ya Sefarvaimu, Hena, na Iva? Je imeiokoa Samaria kutoka mkono wangu?
Где са боговете на Емат и Аршад? Где са боговете на Сефаруим, на Ена и на Ава? Избавиха ли те Самария от ръката ми?
35 Miongoni mwa miungu yote ya nchi, je kuna mungu ambaye ameiokoa nchi yake kutoka kwenye nguvu yangu? Inawezekanaje Yahwe akaiokoa Yerusalemu kutoka kwenye uwezo wangu?”
Кой измежду всичките богове на разните страни са избавили земята си от моята ръка, та да избави Иеова Ерусалим от ръката ми?
36 Lakini watu wakabaki kimya na hawakujibu, kwa kuwa mfalme alikuwa ameamuru, “Msimjibu.”
А людете мълчаха, и не му отговориха ни дума, защото царят беше заповядал, казвайки: Да му не отговаряте.
37 Kisha Eliakimu mwana wa Hilkia, ambaye alikuwa juu ya nyumba ya mfalme; Shebna yule mwandishi; na Joa mwana wa Asafu, mtunza kumbukumbu, akaja kwa Hezekia pamoja na nguo zao zilizoraruliwa, na kumpatia taarifa ya maneno ya yule amiri mkuu.
Тогава управителят на двореца Елиаким, Хелкиевият син, и секретарят Шевна, и летописецат Иоах, Асафовият син, дойдоха при Езекия с раздрани дрехи та му известиха Рпсаковите деми.

< 2 Wafalme 18 >