< 2 Wafalme 16 >

1 Katika mwaka wa kumi na saba wa Peka mwana wa Pemalia, Ahazi mwana wa Yothamu mfalme wa Yuda, akaanza kutawala.
Remaliyaning oghli Pikahning on yettinchi yilida, Yotamning oghli Ahaz Yehudagha padishah boldi.
2 Ahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini alipoanza kutawala, na alitawala kwa muda wa miaka kumi na sita katika Yerusalemu. Alifanya yasiyo haki usoni mwa Yahwe Mungu wake, kama Daudi babu yake.
Ahaz padishah bolghanda yigirme yashqa kirgen bolup, Yérusalémda on alte yil seltenet qilghanidi. U atisi Dawut qilghandek emes, eksiche Perwerdigarning neziride durus bolghanni qilmidi.
3 Badala yake, akatembea katika njia ya wafalme wa Israeli; hasa, akamuweka mwanaye kwenye moto kama sadaka ya kuteketeza, kufuatana na machukizo ya mataifa, ambayo Yahwe aliwafukuza wana wa Israeli.
U Israilning padishahlirining yolida mangatti, hetta Perwerdigar Israilning aldidin heydep chiqarghan ellerning yirginchlik gunahlirigha egiship, öz oghlini ottin ötküzüp köydürdi.
4 Akatoa sadaka na kuchoma ubani mahali pa juu, juu ya milima, na chini ya kila mti mbichi.
U «yuqiri jaylar»da, dönglerde we herbir kök derexlerning astida qurbanliq qilip, küje köydüretti.
5 Kisha Riseni, mfalme wa Shamu na Peka mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli, wakaja mpaka Yerusalemu kuteka. Wakamzunguka Ahazi, lakini hawakuweza kumshinda.
Shu waqitta Suriyening padishahi Rezin bilen Israilning padishahi, Remaliyaning oghli Pikah Yérusalémgha hujum qilip, [padishah] Ahazni muhasirige élip qorshiwalghini bilen, lékin uni meghlup qilalmidi.
6 Katika kipindi hicho, Resini mfalme wa Shamu akamponya Elathi kwa Shamu na kuwapeleka watu wa Yuda nje ya Elathi. Kisha Washami wakaja kwa Elathi ambapo waliishi hadi leo.
Ashu waqitta Suriyening padishahi Rezin Élat shehirini Suriyege qayturuwaldi we shu yerde turuwatqan Yehudalarni heydiwetti. Andin Suriyler kélip u yerde olturaqlashti; ular bügün’giche shu yerde turmaqta.
7 Hivyo Ahazi akatuma wajumbe kwenda kwa Tiglath Pileseri mfalme wa Ashuru, akisema, “Mimi ni mtumishi wako na mwanao. Panda juu na uniokoe kutoka kwenye mikononi ya mfalme wa Shamu na kutoka kwenye mkono wa mfalme wa Israeli, ambao wameniteka.”
Ahaz Asuriyening padishahi Tiglat-Pileserge elchilerni ewetip: Men silining qulliri, silining oghulliri bolimen; manga hujum qiliwatqan Suriyening padishahining qolidin we Israilning padishahining qolidin qutquzushqa chiqqayla, dédi.
8 Hivyo Ahazi akachukua fedha na dhahabu iliyokuwa imepatikana katika nyumba ya Yahwe na mingoni mwa waweka hazina wa nyumba ya mfalme na kuituma kama zawadi kwa mfalme wa Ashuru.
Shuni éytip Ahaz Perwerdigarning öyi we padishahning ordisidiki xezinilerdiki kümüsh bilen altunni sowgha qilip, Asuriyening padishahigha ewetti.
9 Kisha mfalme wa Ashuru akamsikiliza, na mfalme wa Ashuru akaenda juu dhidi ya Damaski, akaishinda na kuwabeba watu wake kama wafungwa hadi Kiri. Akamuua Resini pia yule mfalme wa Shamu.
Asuriyening padishahi uning telipige qoshuldi; shuning bilen Asuriyening padishahi Demeshqqe hujum qilip uni ishghal qildi; uningdiki ahalini tutqun qilip Kir shehirige élip bardi we Rezinni öltürdi.
10 Mfalme Ahazi akaenda Dameski kuonana na Tiglath Pileseri mfalme wa Ashuru. akaiona mdhabahu huko Damski. Akampelekea Uria kuhani mfano wa ile madhabahu na mpangilio wake na mchoro kwa ustadi wote ulikuwa umehitajika.
Ahaz padishah emdi Asuriyening padishahi Tiglat-Pileser bilen körüshkili Demeshqqe bardi we shundaqla Demeshqtiki qurban’gahni kördi. Andin Ahaz padishah shu qurban’gahning resimini, uning barliq yasilish tepsilatlirining layihisini sizip, uni Uriya kahin’gha yetküzdi.
11 Hivyo Uria yule kuhani akajenga madhabahu kuwa kama mipango ambayo Mfalme Ahazi atakaporudi kutoka Damaski. Akaimaliza kabla mfalme Ahazi hajarudi kutoka Dameski.
Shuning bilen Uriya kahin Ahaz padishah Demeshqtin ewetken barliq tepsilatlar boyiche bir qurban’gah yasidi. Ahaz padishah Demeshqtin yénip kelmeste, Uriya kahin uni shundaq teyyar qilghanidi.
12 Kisha mfalme akaja kuto Dameski akaiona ile madhabahu; mfalme akaikaribia ile madhabahu na kutoa sadaka juu yake.
Padishah Demeshqtin yénip kélip, qurban’gahni körüp, qurban’gahqa bérip, uning üstige qurbanliq sundi;
13 Akatengeneza sadaka yake ya kuteketezwa na sadaka yake ya nafaka, na kunyunyiza damu ya washirika wake sadaka juu ya madhabahu.
u qurban’gahning üstige köydürme qurbanliq we ashliq hediyesini köydürüp, «sharab hediye»sini töküp, «inaqliq qurbanliqi»ning qénini chachti.
14 Madhabahu ya shaba ambayo ilikuwa mbele ya Yahwe-akaileta kutoka mbele ya hekalu, kutoka kati ya madhabahu yake na hekalu la Yahwe na kuiweka upande wa kaskazini wa madhabahu yake.
Shundaq qilip u Perwerdigarning huzurining aldidiki mis qurban’gahni élip uni Perwerdigarning öyi bilen özining qurban’gahining otturisidin ötküzüp, öz qurban’gahining shimal teripige qoydurdi.
15 Kisha mfalme Ahazi akamwiamuru Uria kuhani, akisema, “Juu ya madhabahu kubwa teketeza sadaka ya kutekezwa ya asubuhi na sadaka ya kuteketezwa ya nafaka ya jioni, pamoja na sadaka ya watu wote wa nchi, na matoleo ya sadaka ya mazao na sadaka zao za kinywaji. Nyunyiza juu ya hiyo damu yote ya sadaka ya kuteketeza, na damu yote ya kuteketeza. Lakini ile madhabahu ya shaba itakuwa kwa ajili yangu ili niulize ushauri.”
Ahaz padishah Uriya kahin’gha buyruq qilip: Mushu chong qurban’gah üstige etigenlik köydürme qurbanliq bilen kechlik ashliq hediyesini, padishahning köydürme qurbanliqi bilen ashliq hediyesini, hemme yurtning pütün xelqining köydürme qurbanliqi, ashliq hediye we sharab hediyelirini köydürüp sunisen. Köydürme qurbanliqlarning barliq qanliri we bashqa qurbanliqlarning barliq qanlirini ushbu qurbanliqning üstige tökisen. Mis qurban’gah bolsa méning yol sorishim üchün bolsun, dédi.
16 Uria kuhani akafanya kile ambacho Ahazi aliamuru.
Shuning bilen Uriya kahin Ahaz padishah buyrughanning hemmisini ada qildi.
17 Kisha mfalme Ahazi akaondoa jopo na mabeseni vitako vinavyobebeka; pia akachukua bahari kutoka juu ya ng'ombe wa shaba ambayo ilikuwa chini ya hiyo na kuiweka juu ya sakafu ya mawe.
Ahaz padishah das tegliklirige békitilgen taxtaylarni késip ajritip, daslarni teglikliridin éliwetti; u mis «déngiz»ni tégidiki mis uylarning üstidin kötürüp élip, uni tash taxtayliq bir meydan’gha qoydurdi.
18 Aliondoa njia iliyokuwa kwa ajili ya kuingia kwenye Sabato ambayo walikuwa wamejenga kwenye hekalu, wote pamoja na mahali pa kuingilia mfalme kwenye hekalu la Yahwe, kwasababu ya mfalme wa Ashuru.
U Asuriye padishahini razi qilish üchün Perwerdigarning öyige tutishidighan «Shabat künidiki aywanliq yol» bilen padishah tashqiridin kiridighan yolni étiwetti.
19 Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Ahazi na yale aliyoyafanya, je yameandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
Ahazning bashqa ishliri hem qilghanlirining hemmisi «Yehuda padishahlirining tarix-tezkiriliri» dégen kitabta pütülgen emesmidi?
20 Ahazi alilala pamoja na babu zake na kuzikwa pamoja babu zake katika mji wa Daudi. Hezekia mtoto wake akawa mfalme katika mahala pake.
Ahaz öz ata-bowiliri arisida uxlidi; u ata-bowilirining arisida «Dawutning shehiri»de depne qilindi; oghli Hezekiya ornida padishah boldi.

< 2 Wafalme 16 >