< 2 Wafalme 16 >

1 Katika mwaka wa kumi na saba wa Peka mwana wa Pemalia, Ahazi mwana wa Yothamu mfalme wa Yuda, akaanza kutawala.
В седемнадесетата година на Факея, Ромеловия син, се възцари Ахаз, син на Юдовия цар Иотам.
2 Ahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini alipoanza kutawala, na alitawala kwa muda wa miaka kumi na sita katika Yerusalemu. Alifanya yasiyo haki usoni mwa Yahwe Mungu wake, kama Daudi babu yake.
Ахаз бе двадесет години на възраст, когато се възцари, и царува шестнадесет години в Ерусалим; но не върши това, което бе право пред Господа своя Бог, както баща му Давид,
3 Badala yake, akatembea katika njia ya wafalme wa Israeli; hasa, akamuweka mwanaye kwenye moto kama sadaka ya kuteketeza, kufuatana na machukizo ya mataifa, ambayo Yahwe aliwafukuza wana wa Israeli.
но ходи в пътя на Израилевите царе, и даже преведе сина си през огъня според мерзостите на народите, които Господ изпъди пред израилтяните.
4 Akatoa sadaka na kuchoma ubani mahali pa juu, juu ya milima, na chini ya kila mti mbichi.
Той жертвуваше и кадеше по високите места, и по върховете и под всяко зелено дърво.
5 Kisha Riseni, mfalme wa Shamu na Peka mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli, wakaja mpaka Yerusalemu kuteka. Wakamzunguka Ahazi, lakini hawakuweza kumshinda.
Тогава сирийският цар Расин и Израилевият цар Факей, Ромелиевият син, дойдоха в Ерусалим да воюват, и обсадихаАхаза, но не можаха да му надвият.
6 Katika kipindi hicho, Resini mfalme wa Shamu akamponya Elathi kwa Shamu na kuwapeleka watu wa Yuda nje ya Elathi. Kisha Washami wakaja kwa Elathi ambapo waliishi hadi leo.
В онова време сирийският цар Расин възвърна Елат под Сирия, и изпъди юдеите из Елат; асирийците дойдоха в Елат та живееха там, гдето са и до днес.
7 Hivyo Ahazi akatuma wajumbe kwenda kwa Tiglath Pileseri mfalme wa Ashuru, akisema, “Mimi ni mtumishi wako na mwanao. Panda juu na uniokoe kutoka kwenye mikononi ya mfalme wa Shamu na kutoka kwenye mkono wa mfalme wa Israeli, ambao wameniteka.”
Затова Ахаз прати човеци до асирийския цар Теглат-фаласар да кажат: Аз съм твой слуга и твой син; възлез да ме избавиш от ръката на сирийския цар и от ръката на на Израилевия цар, който се подигна против мене.
8 Hivyo Ahazi akachukua fedha na dhahabu iliyokuwa imepatikana katika nyumba ya Yahwe na mingoni mwa waweka hazina wa nyumba ya mfalme na kuituma kama zawadi kwa mfalme wa Ashuru.
А Ахаз взе среброто и златото, което се набери в Господния дом и д съкровищницата на царската къща, та ги проти подарък на асирийския цар.
9 Kisha mfalme wa Ashuru akamsikiliza, na mfalme wa Ashuru akaenda juu dhidi ya Damaski, akaishinda na kuwabeba watu wake kama wafungwa hadi Kiri. Akamuua Resini pia yule mfalme wa Shamu.
И асирийския цар го послуша и възлезе против Дамаск та го превзе, и тведе жителите му в Кир, а Расина уби.
10 Mfalme Ahazi akaenda Dameski kuonana na Tiglath Pileseri mfalme wa Ashuru. akaiona mdhabahu huko Damski. Akampelekea Uria kuhani mfano wa ile madhabahu na mpangilio wake na mchoro kwa ustadi wote ulikuwa umehitajika.
А когато цар Ахаз отиде в Дамаск да посрещне асирийския цар Теглат-феласар, видя жертвеника в Дамаск; и цар Ахаз изпрати на свещеника Урия образа на жертвеника, и рисунка на него, точно според направата му.
11 Hivyo Uria yule kuhani akajenga madhabahu kuwa kama mipango ambayo Mfalme Ahazi atakaporudi kutoka Damaski. Akaimaliza kabla mfalme Ahazi hajarudi kutoka Dameski.
И свещеник Урия направи жертвеник точно според това, което цар Ахаз прати от Дамаск; така го направи свещеник Урия догде се върна цар Ахаз от Дамаск.
12 Kisha mfalme akaja kuto Dameski akaiona ile madhabahu; mfalme akaikaribia ile madhabahu na kutoa sadaka juu yake.
И когато се върна царят от Дамаск, видя жертвеника; и царят се приближи при жертвеника та направи принос върху него.
13 Akatengeneza sadaka yake ya kuteketezwa na sadaka yake ya nafaka, na kunyunyiza damu ya washirika wake sadaka juu ya madhabahu.
И върху тоя жертвеник изгори всеизгарянето си и хлебния си принос, и изля възлиянието си, и поръси кръвта на примирителните си приноси.
14 Madhabahu ya shaba ambayo ilikuwa mbele ya Yahwe-akaileta kutoka mbele ya hekalu, kutoka kati ya madhabahu yake na hekalu la Yahwe na kuiweka upande wa kaskazini wa madhabahu yake.
А медният олтар, който бе пред Господа, премести от лицето на дома, от мястото му между жертвеника и Господния дом, и го постави на северната страна от жертвеника.
15 Kisha mfalme Ahazi akamwiamuru Uria kuhani, akisema, “Juu ya madhabahu kubwa teketeza sadaka ya kutekezwa ya asubuhi na sadaka ya kuteketezwa ya nafaka ya jioni, pamoja na sadaka ya watu wote wa nchi, na matoleo ya sadaka ya mazao na sadaka zao za kinywaji. Nyunyiza juu ya hiyo damu yote ya sadaka ya kuteketeza, na damu yote ya kuteketeza. Lakini ile madhabahu ya shaba itakuwa kwa ajili yangu ili niulize ushauri.”
И цар Ахаз заповяда на свещеника Урия, казвайки: На великия жертвеник принасяй утрешното всеизгаряне, вечерния хлебен принос, царското всеизгаряне и хлебен принос, с всеизгарянето принасяно от всичките люде на земята и хлебния им принос и възлиянията им, и ръси върху него всичката кръв на всеизгарянето и всичката кръв на жертвата; а медният олтар ще служи за мене за да се допитвам до Господа.
16 Uria kuhani akafanya kile ambacho Ahazi aliamuru.
И свещеник Урия стори така, точно според както му заповяда цар Ахаз.
17 Kisha mfalme Ahazi akaondoa jopo na mabeseni vitako vinavyobebeka; pia akachukua bahari kutoka juu ya ng'ombe wa shaba ambayo ilikuwa chini ya hiyo na kuiweka juu ya sakafu ya mawe.
А цар Ахаз отсече страничните плочи на подножията, и дигна от там умивалника; и свали морето от медните волове, които бяха под него, та го тури на каменен под.
18 Aliondoa njia iliyokuwa kwa ajili ya kuingia kwenye Sabato ambayo walikuwa wamejenga kwenye hekalu, wote pamoja na mahali pa kuingilia mfalme kwenye hekalu la Yahwe, kwasababu ya mfalme wa Ashuru.
И покрития път за съботата, който бяха построили в къщата, и външния вход за царя, премести в Господния дом, поради асирийския цар.
19 Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Ahazi na yale aliyoyafanya, je yameandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
А останалите дела, които извърши Ахаз, не са ли написани в Книгата на летописите на Юдовите царе?
20 Ahazi alilala pamoja na babu zake na kuzikwa pamoja babu zake katika mji wa Daudi. Hezekia mtoto wake akawa mfalme katika mahala pake.
И Ахаз заспа с бащите си, в Давидовия град; а вместо него се възцари син му Езекия.

< 2 Wafalme 16 >