< 2 Wafalme 14 >

1 Katika mwaka wa pili wa Yehoashi mwana wa Yehoazi, mfalme wa Israeli, Amazia mwana wa Yoashi, mfalme wa Yuda, alianza kutawala.
in/on/with year two to/for Joash son: child Joahaz king Israel to reign Amaziah son: child Joash king Judah
2 Alikuwa na umri wa miaka ishirini na tanao wakati alipoanza kutawala; alitawala kwa mda wa miaka ishirini na tisa katika Yerusalemu.
son: aged twenty and five year to be in/on/with to reign he and twenty and nine year to reign in/on/with Jerusalem and name mother his (Jehoaddan *QK) from Jerusalem
3 Mama yake alikuwa anaitwa Yehoyadani, wa Yerusalemu. Alifanya yale yaliyo mema usoni mwa macho ya Yahwe, sio kama baba yake Daudi. Alifanya kila kitu ambacho Yoashi, baba yake, alichukuwa amekifanya.
and to make: do [the] upright in/on/with eye: appearance LORD except not like/as David father his like/as all which to make: do Joash father his to make: do
4 Lakini sehemu ya juu haikuondolewa. Watu wakaendelea kutoa dhabihu na kufukiza ubani katika sehemu mahala pa juu.
except [the] high place not to turn aside: remove still [the] people to sacrifice and to offer: offer in/on/with high place
5 Ikawa mara utawala wake ulipokuwa imara, aliwaua watumishi ambao waliokuwa wamemuua baba yake, mfalme.
and to be like/as as which to strengthen: hold [the] kingdom in/on/with hand: power his and to smite [obj] servant/slave his [the] to smite [obj] [the] king father his
6 Ila hakuwaweka watoto wa wale wauaji kwenye kifo; isipokuwa, alifanya kutokana na kile kilichokuwa kimeandikwa kwenye sheria, kwenye kitabu cha Musa, kama Yahwe alivyokuwa ameamuru, akisema, “Wababa wasife kwa ajili ya watoto wao, wala watoto wasife kwa ajili ya makosa ya wazazi wao. Isipokuwa, kila mtu atakufa kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe.”
and [obj] son: child [the] to smite not to die like/as to write in/on/with scroll: book instruction Moses which to command LORD to/for to say not to die father upon son: child and son: child not to die upon father that if: except if: except man: anyone in/on/with sin his (to die *QK)
7 Aliua maaskari elfu kumi wa Edomi kwenye bonde la chumvi; pia alimchukua Sela kwenye vita na kuiita Yoktheeli, ndivyo paitwavyo hadi leo.
he/she/it to smite [obj] Edom in/on/with (Salt) Valley ((Valley of) Salt *QK) ten thousand and to capture [obj] [the] Sela in/on/with battle and to call: call by [obj] name her Joktheel till [the] day: today [the] this
8 Kisha Amazia akatuma wajumbe kwa Yehoashi mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu mfalme wa Israeli, akisema, “Njoo, tuonane kila mmoja macho kwa macho kwenye mashinadano.”
then to send: depart Amaziah messenger to(wards) Jehoash son: child Jehoahaz son: child Jehu king Israel to/for to say to go: come! [emph?] to see: see face
9 Lakini Yehoashi mfalme wa Israeli akawatuma wajumbe kurudi kwa Amazia mfalme wa Yuda, akisema, “Mbaruti uliokuwa Lebanoni ulituma kwa mwerezi katika Lebanuni, kusema, 'Mpatie mwanangu binti yako amuoe; lakini hayawani aliyekuwako Lebanoni akaukanyaga chini ule mbaruti.
and to send: depart Jehoash king Israel to(wards) Amaziah king Judah to/for to say [the] thistle which in/on/with Lebanon to send: depart to(wards) [the] cedar which in/on/with Lebanon to/for to say to give: give(marriage) [emph?] [obj] daughter your to/for son: child my to/for woman: wife and to pass living thing [the] land: wildlife which in/on/with Lebanon and to trample [obj] [the] thistle
10 Umempiga sana Edomu, na moyo wako umekuinua. Jisifu katika ushindi wako, lakini kaa nyumbani, kwa nini unataka kujisababishia mataizo na kuanguka, wote wewe na Yuda pamoja nawe?”
to smite to smite [obj] Edom and to lift: enthuse you heart your to honor: honour and to dwell in/on/with house: home your and to/for what? to stir up in/on/with distress: harm and to fall: kill you(m. s.) and Judah with you
11 Lakini Amazia hakutaka kusikia. Hivyo Yehoashi mfalme wa Israeli akakwea yeye na Amazia mfalme wa Yuda wakakutana uso kwa uso huko Beth Shemeshi, ambayo ilikuwa ya Yuda.
and not to hear: hear Amaziah and to ascend: rise Jehoash king Israel and to see: see face he/she/it and Amaziah king Judah in/on/with Beth-shemesh Beth-shemesh which to/for Judah
12 Yuda walishindwa mbele ya Israeli, na kila mtu akakimbia nyumbani.
and to strike Judah to/for face: before Israel and to flee man: anyone (to/for tent: home his *QK)
13 Yehoashi mfalme wa Israeli, akamchukua Amazia, mfalme wa Yuda mwana wa Yehoashi mwana wa Ahazia, huko Beth Shemeshi. Akaja Yerusalemu na kuuangusha chini ukuta wa Yerusalemu kutoka lango la Efraimu mpaka kwenye pembe ya lango, urefu wa mbali wa dhiraa mia nne.
and [obj] Amaziah king Judah son: child Jehoash son: child Ahaziah to capture Jehoash king Israel in/on/with Beth-shemesh Beth-shemesh (and to come (in): come *QK) Jerusalem and to break through in/on/with wall Jerusalem in/on/with gate Ephraim (Gate) till gate [the] Corner (Gate) four hundred cubit
14 Akachukua dhahabu na fedha zote, na vitu vyote ambavyo vilipatikana katika nyumba ya Yahwe, na vitu vya thamani kwenye nyumba ya mfalme, pamoja na mateka pia, na kurudi samaria.
and to take: take [obj] all [the] gold and [the] silver: money and [obj] all [the] article/utensil [the] to find house: temple LORD and in/on/with treasure house: home [the] king and [obj] son: type of [the] security and to return: return Samaria [to]
15 Kama ilivyo kwa mambo mengine yamhusuyo Yehoashi, yote aliyoyafanya, ushujaa wake, na jinsi alivyopigana na Amazia mfalme wa Yuda, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Israeli?
and remainder word: deed Jehoash which to make: do and might his and which to fight with Amaziah king Judah not they(masc.) to write upon scroll: book Chronicles [the] day to/for king Israel
16 Kisha Yehoashi akalala na wazee wake na ailizikwa katika Samaria pamoja na wafalme wa Israeli, na Yeroboamu, mwanaye, akawa mfalme katika eneo lake.
and to lie down: be dead Jehoash with father his and to bury in/on/with Samaria with king Israel and to reign Jeroboam son: child his underneath: instead him
17 Amazia mwana wa Yoashi, mfalme wa Yuda, akaishi miaka kumi na tano baada ya Yehoashi mwana wa Yehoahazi, mfalme wa Israeli.
and to live Amaziah son: child Joash king Judah after death Jehoash son: child Jehoahaz king Israel five ten year
18 Kama ilivyo kwa mambo mengine yanayomhusu Amazia, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Yuda?
and remainder word: deed Amaziah not they(masc.) to write upon scroll: book Chronicles [the] day to/for king Judah
19 Wakafanya njama dhidi ya Amazia katika Yerusalimu, akakimbilia Lakishi. Akakimbia hadi Lakishi, lakini wakawatuma watu kumfuata hadi Lakishi na kumuua huko.
and to conspire upon him conspiracy in/on/with Jerusalem and to flee Lachish [to] and to send: depart after him Lachish [to] and to die him there
20 Wakamrudisha kwa farasi, na alizikwa pamoja na wazee wake katika mji wa Saudi.
and to lift: bear [obj] him upon [the] horse and to bury in/on/with Jerusalem with father his in/on/with city David
21 Watu wote wa Yuda wakamchukua Uzaria, ambaye alikuwa na umri wa miaka kumi na minne, na walimfanya kuwa mfalme katika nyumba ya kifalme wa baba yake Uzaria.
and to take: take all people Judah [obj] Azariah and he/she/it son: aged six ten year and to reign [obj] him underneath: instead father his Amaziah
22 Alikuwa Uzaria ambaye alijenga Elathi na kuirudisha kwa Yuda, baada ya mfalme Uzaria akalala pamoja na mababu zake.
he/she/it to build [obj] Elath and to return: rescue her to/for Judah after to lie down: be dead [the] king with father his
23 Katika mwaka wa kumi na tano wa Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa Yuda, Yeroboamu mwana wa Yoashi mfalme wa Israeli alianza kutawala katika Samaria; alitawala kwa muda wa miaka arobaini na moja.
in/on/with year five ten year to/for Amaziah son: child Joash king Judah to reign Jeroboam son: child Joash king Israel in/on/with Samaria forty and one year
24 Akafanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe. Hakuziacha dhambi zake za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambaye aliisababisha Israeli kuasi.
and to make: do [the] bad: evil in/on/with eye: seeing LORD not to turn aside: depart from all sin Jeroboam son: child Nebat which to sin [obj] Israel
25 Akairudisha mipaka ya Israeli kutoka Lebo Hamathi mpaka kwenye Bahari ya Araba, kufuata amri ya neno la Yahwe, Mungu wa Israeli, ambalo aliongea kupitia mtumishi wake Yona mwana wa Amitai, yule nabii, ambaye alitokea Gathi Heferi.
he/she/it to return: rescue [obj] border: boundary Israel from Lebo Hamath till sea [the] (Sea of) the Arabah like/as word LORD God Israel which to speak: speak in/on/with hand: by servant/slave his Jonah son: child Amittai [the] prophet which from Gath-hepher [the] Gath-hepher
26 Kwa kuwa Yahwe aliyaona mateso ya Israeli, ambayo yalikuwa makali kwa kila mmoja, wote mtumwa na asyemtumwa, na kwamba hapakuwa na ulinzi kwa ajili ya Israeli.
for to see: see LORD [obj] affliction Israel to rebel much and end to restrain and end to leave: release and nothing to help to/for Israel
27 Basi Yahwe akasema kwamba hatoweza kulifuta jina la Israeli chini ya mbingu; badala yake, aliwaokoa kwa mkono wa Yeroboamu mwana wa Yehoashi.
and not to speak: speak LORD to/for to wipe [obj] name Israel from underneath: under [the] heaven and to save them in/on/with hand: power Jeroboam son: child Joash
28 Kama ilivyo kwa mambo mengine yamhusuyo Yeroboamu, yote aliyoyafanya, ushujaa wake, jinsi alivyo pigana vita na kuipata tena Damaskasi na Hamathi, ambayo ilikuwa ya Yuda, kwa Israeli, je hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
and remainder word: deed Jeroboam and all which to make: do and might his which to fight and which to return: rescue [obj] Damascus and [obj] Hamath to/for Judah in/on/with Israel not they(masc.) to write upon scroll: book Chronicles [the] day to/for king Israel
29 Yeroboamu akalala na mababu zake, pamoja na mfalme wa Israeli, na Zekaria mtoto wake akawa mfalme katika sehemu yake.
and to lie down: be dead Jeroboam with father his with king Israel and to reign Zechariah son: child his underneath: instead him

< 2 Wafalme 14 >