< 2 Wafalme 14 >

1 Katika mwaka wa pili wa Yehoashi mwana wa Yehoazi, mfalme wa Israeli, Amazia mwana wa Yoashi, mfalme wa Yuda, alianza kutawala.
Във втората година на Израилевия цар Иоас, Иахавовия син, се възцари Амасия, син на Юдовия цар Иоас.
2 Alikuwa na umri wa miaka ishirini na tanao wakati alipoanza kutawala; alitawala kwa mda wa miaka ishirini na tisa katika Yerusalemu.
Той бе двадесет и пет години на възраст когато се възцари, и царува двадесет и девет години в Ерусалим. И името на майка му бе Иоадана, от Ерусалим.
3 Mama yake alikuwa anaitwa Yehoyadani, wa Yerusalemu. Alifanya yale yaliyo mema usoni mwa macho ya Yahwe, sio kama baba yake Daudi. Alifanya kila kitu ambacho Yoashi, baba yake, alichukuwa amekifanya.
Той върши това, което бе право пред Господа, но не както баща си Давида; той постъпваше съвсем според както бе постъпвал баща му Иоас.
4 Lakini sehemu ya juu haikuondolewa. Watu wakaendelea kutoa dhabihu na kufukiza ubani katika sehemu mahala pa juu.
Обаче високите места не се отмахнаха; людете жертвуваха и кадяха по високите места.
5 Ikawa mara utawala wake ulipokuwa imara, aliwaua watumishi ambao waliokuwa wamemuua baba yake, mfalme.
И щом се закрепи царството в ръката му, той умъртви слугите си, които бяха убили баща му царя.
6 Ila hakuwaweka watoto wa wale wauaji kwenye kifo; isipokuwa, alifanya kutokana na kile kilichokuwa kimeandikwa kwenye sheria, kwenye kitabu cha Musa, kama Yahwe alivyokuwa ameamuru, akisema, “Wababa wasife kwa ajili ya watoto wao, wala watoto wasife kwa ajili ya makosa ya wazazi wao. Isipokuwa, kila mtu atakufa kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe.”
Но чадата на убийците не умъртви, според писаното в книгата на Моисеевия закон, гдето Господ зеповядвайки, каза: Бащите да се не умъртвяват поради чадата, нито чадата да се умъртвяват поради бащите; но всеки да се умъртвява за своя си грух.
7 Aliua maaskari elfu kumi wa Edomi kwenye bonde la chumvi; pia alimchukua Sela kwenye vita na kuiita Yoktheeli, ndivyo paitwavyo hadi leo.
Той изби десет души от Едома в долината на солта, и, като превзе град Села с бой, нарече го Иокнеил, както се казва и до днес.
8 Kisha Amazia akatuma wajumbe kwa Yehoashi mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu mfalme wa Israeli, akisema, “Njoo, tuonane kila mmoja macho kwa macho kwenye mashinadano.”
Тогава Амасия прети човеци до Израилевия цар Иоас, син на Иоахаза, Ииуевия син да кажат: Ела да се погледнем един други в лице.
9 Lakini Yehoashi mfalme wa Israeli akawatuma wajumbe kurudi kwa Amazia mfalme wa Yuda, akisema, “Mbaruti uliokuwa Lebanoni ulituma kwa mwerezi katika Lebanuni, kusema, 'Mpatie mwanangu binti yako amuoe; lakini hayawani aliyekuwako Lebanoni akaukanyaga chini ule mbaruti.
А Израилевият цар Иоас прати до Юдовия цар Амасия да рекат: Ливанският трън пратил до ливанския кедър да кажат: Дай дъщеря си на сина ми за жена. Но един звяр, който бил в Ливан, заминал та стъпкал тръна.
10 Umempiga sana Edomu, na moyo wako umekuinua. Jisifu katika ushindi wako, lakini kaa nyumbani, kwa nini unataka kujisababishia mataizo na kuanguka, wote wewe na Yuda pamoja nawe?”
Ти наистина порази Едома, и надигна се сърцето ти; радвай се на славата си и седи у дома си; защо да се заплиташ за своята си вреда та да паднеш, ти и Юда с тебе?
11 Lakini Amazia hakutaka kusikia. Hivyo Yehoashi mfalme wa Israeli akakwea yeye na Amazia mfalme wa Yuda wakakutana uso kwa uso huko Beth Shemeshi, ambayo ilikuwa ya Yuda.
Но Амасия не послуша. Прочее, Израилевият цар Иоас отиде, та се погледнаха един други в лице, той и Юдовият цар Амасия, във Витсемес, който принадлежи на Юда.
12 Yuda walishindwa mbele ya Israeli, na kila mtu akakimbia nyumbani.
И Юда биде поразен пред Израиля; и побягнаха всеки в шатъра си.
13 Yehoashi mfalme wa Israeli, akamchukua Amazia, mfalme wa Yuda mwana wa Yehoashi mwana wa Ahazia, huko Beth Shemeshi. Akaja Yerusalemu na kuuangusha chini ukuta wa Yerusalemu kutoka lango la Efraimu mpaka kwenye pembe ya lango, urefu wa mbali wa dhiraa mia nne.
И Израилевият цар Иоас хвана във Ветсемес Юдовия цар Амасия, син на Иоаса Охозиевия син; и дойде в Ерусалим та събори четиристотин лакти от Ерусалимската стена, от Ефремовата порта до портата на ъгъла.
14 Akachukua dhahabu na fedha zote, na vitu vyote ambavyo vilipatikana katika nyumba ya Yahwe, na vitu vya thamani kwenye nyumba ya mfalme, pamoja na mateka pia, na kurudi samaria.
И като взе всичкото злато и сребро, и всичките съдове, които се намираха в Господния дом и в съкровищата на царската къща, тоже и заложници, върна се в Самария.
15 Kama ilivyo kwa mambo mengine yamhusuyo Yehoashi, yote aliyoyafanya, ushujaa wake, na jinsi alivyopigana na Amazia mfalme wa Yuda, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Israeli?
(А останалите дела, които извърши Иоас и Юначествата му, и как войва с Юдовия цар Амасия, не са ли написани в Книгата на летописите на Израилевите царе?
16 Kisha Yehoashi akalala na wazee wake na ailizikwa katika Samaria pamoja na wafalme wa Israeli, na Yeroboamu, mwanaye, akawa mfalme katika eneo lake.
И Иоас заспа с бащите си, и биде погребан в Самария с Израилевите царе; и вместо него се възцари син му Еровоам).
17 Amazia mwana wa Yoashi, mfalme wa Yuda, akaishi miaka kumi na tano baada ya Yehoashi mwana wa Yehoahazi, mfalme wa Israeli.
А след смъртта на Израилевия цар Иоас, Иоахазовия син, Юдовият цар Амасия, Иоасовият син, живя петнадесет години.
18 Kama ilivyo kwa mambo mengine yanayomhusu Amazia, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Yuda?
А останалите дела на Амасия не са ли написани в Книгата на летописите на Юдовите царе?
19 Wakafanya njama dhidi ya Amazia katika Yerusalimu, akakimbilia Lakishi. Akakimbia hadi Lakishi, lakini wakawatuma watu kumfuata hadi Lakishi na kumuua huko.
И понеже направиха заговор против него в Ерусалим, той побягна в Лахис; но пратиха след него в Лахис та го убиха там.
20 Wakamrudisha kwa farasi, na alizikwa pamoja na wazee wake katika mji wa Saudi.
И докараха го на коне; и биде погребан в Ерусалим с бащите си в Давидовия град.
21 Watu wote wa Yuda wakamchukua Uzaria, ambaye alikuwa na umri wa miaka kumi na minne, na walimfanya kuwa mfalme katika nyumba ya kifalme wa baba yake Uzaria.
Тогава всичките Юдови люде взеха Азария, който бе шестнадесет години на възраст, та го направиха цар вместо баща му Амасия.
22 Alikuwa Uzaria ambaye alijenga Elathi na kuirudisha kwa Yuda, baada ya mfalme Uzaria akalala pamoja na mababu zake.
Той съгради Елат и го възвърна на Юда след като баща му царят заспа с бащите си.
23 Katika mwaka wa kumi na tano wa Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa Yuda, Yeroboamu mwana wa Yoashi mfalme wa Israeli alianza kutawala katika Samaria; alitawala kwa muda wa miaka arobaini na moja.
В петнадесетата година на Юдовия цар Амасия, син на Иоаса, се възцари в Самария Еровоам, син на Израилевия цар Иоас, и царува четиридесет и една година.
24 Akafanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe. Hakuziacha dhambi zake za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambaye aliisababisha Israeli kuasi.
Той върши зло пред Господа; не се остави ни от един от греховете на Еровоама Наватовия син, с които направи Израиля да греши.
25 Akairudisha mipaka ya Israeli kutoka Lebo Hamathi mpaka kwenye Bahari ya Araba, kufuata amri ya neno la Yahwe, Mungu wa Israeli, ambalo aliongea kupitia mtumishi wake Yona mwana wa Amitai, yule nabii, ambaye alitokea Gathi Heferi.
Той възстанови границата на Израиля от прохода на Емат до полското море, според словото, което Господ Израилевият Бог говори чрез слугата Си Иона Аматиевия син, пророкът, който бе от Гетефер.
26 Kwa kuwa Yahwe aliyaona mateso ya Israeli, ambayo yalikuwa makali kwa kila mmoja, wote mtumwa na asyemtumwa, na kwamba hapakuwa na ulinzi kwa ajili ya Israeli.
Защото Господ видя, че притеснението на Израиля беше много горчиво, понеже нямаше нито малолетен, нито пълнолетен, който да помогне на Израиля.
27 Basi Yahwe akasema kwamba hatoweza kulifuta jina la Israeli chini ya mbingu; badala yake, aliwaokoa kwa mkono wa Yeroboamu mwana wa Yehoashi.
И Господ не рече да изличи изпод небето името на Израиля, но ги избави чрез ръката на Еровоама Иоасовия син.
28 Kama ilivyo kwa mambo mengine yamhusuyo Yeroboamu, yote aliyoyafanya, ushujaa wake, jinsi alivyo pigana vita na kuipata tena Damaskasi na Hamathi, ambayo ilikuwa ya Yuda, kwa Israeli, je hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
А останалите дела на Еровоама, и всичко що извърши, и юначествата му, как воюва, и как възвърна на Израиля Дамаск и Емат, които бяха подчинени на Юда, не са ли написани в Книгата на летописите на Израилевите царе?
29 Yeroboamu akalala na mababu zake, pamoja na mfalme wa Israeli, na Zekaria mtoto wake akawa mfalme katika sehemu yake.
Е Еровоам заспа с бащите си Израилевите царе; и вместо него се възцари син му Захария.

< 2 Wafalme 14 >