< 2 Wafalme 12 >

1 Katika mwaka wa saba wa Yehu, utawala wa Yoashi ulianza; alitawala kwa mda wa miaka arobaini huko Yerusalimu. Mama yake alikuwa anaitwa Sibia, wa Beersheba.
La septième année de Jéhu, Joas devint roi, et il régna quarante ans à Jérusalem. Sa mère s'appelait Tsibia, et elle était de Béer-Shéba.
2 Yoashi akafanya yaliyo mema usoni mwa Yahwe siku zote, kwa sababu Yehoyada kuhani alimfundisha.
Joas fit ce qui est droit aux yeux de l'Éternel, tout le temps que Jéhojada, le sacrificateur, l'instruisit.
3 Lakini sehemu ya juu haikuchukuliwa. Watu wakaendelea kutoa sadaka na kuchoma ubani kwenye sehemu za juu.
Toutefois, les hauts lieux ne furent point ôtés; le peuple sacrifiait encore et faisait des encensements dans les hauts lieux.
4 Yoashi akamwambia kuhani, “Pesa zote zilizokuja kama sadaka takatifu kwenye nyumba ya Yahwe, pesa ya matumizi pesa ya watu kadiri alivyoandikiwa kila mtu, na pesa yote aonayo moyoni mwake kuileta kwenye nyumba ya Yahwe-
Or Joas dit aux sacrificateurs: Tout l'argent consacré qu'on apporte dans la maison de l'Éternel, soit l'argent de tout homme qui passe par le dénombrement, soit l'argent des personnes, selon l'estimation qu'en fait le sacrificateur, soit tout l'argent que chacun apporte volontairement dans la maison de l'Éternel,
5 makuhani watapokea pesa kutoka miongoni mwa mmoja wa watunza pesa na kutengeneza kila sehemu itakayoonekana imeharibika kwenye hekalu.”
Que les sacrificateurs le prennent par-devers eux, chacun de ceux qu'il connaît, et qu'ils en réparent les dégradations du temple, partout où l'on trouvera quelque chose à réparer.
6 Lakini kama mwaka wa ishirini na tatu wa mfalme Yoashi, makuhani hawakuwa wameandaa kitu chochote kwenye hekalu.
Mais il arriva, la vingt-troisième année du roi Joas, que les sacrificateurs n'avaient point encore réparé les dégradations du temple.
7 Mfalme Yoashi akamwita Yehoyada kuhani na kuhani mwingine; akawaambia, “Kwa nini hamjaandaa kitu chochote kwenye hekalu? Sasa msichukue tena pesa kutoka kwa walipa kodi wenu, lakini chukueni kile kilichokuwa kikikusanywa kwa ajili ya matengenezo ya hekalu na uwapatia wale wanaoweza kufanya matengenezo.
Alors le roi Joas appela le sacrificateur Jéhojada et les sacrificateurs, et leur dit: Pourquoi ne réparez-vous pas les dégradations du temple? Maintenant donc, ne prenez plus d'argent de ceux que vous connaissez; mais laissez-le pour les réparations du temple.
8 Hivyo makuhani wakakubaliana wasichukue pesa tena kutoka kwa watu na wasitengeneze wenyewe.
Les sacrificateurs consentirent à ne plus recevoir l'argent du peuple, et à ne pas être chargés de réparer les dégradations du temple.
9 Badala yake, Yehoyada yule kuhani akachukua kasha, akatoboa tundu kwenye kifuniko chake, na kuliweka karibu na madhabahu, upande wa kulia kama mtu anaingia kwenye madhabahu ya Yahwe. Makuhani ambao walikuwa wakilinda mlango wa hekalu wakatumbukiza pesa zote ambazo zilizokuwa zimeletwa kwenye nyumba ya Yahwe.
Mais le sacrificateur Jéhojada prit un coffre, fit un trou au couvercle, et le mit auprès de l'autel, à main droite quand on entre dans la maison de l'Éternel. Et les sacrificateurs, gardiens du seuil, mettaient là tout l'argent qu'on apportait à la maison de l'Éternel.
10 Ikawa walipoona kwamba kulikuwa na pesa za kutosha kwenye kasha, mwadishi wa mfalme na kuhani mkuu wakaja na kuweka pesa kwenye mifuko na kisha kuhesabu, pesa ikaonekana kwenye nyumba ya Yahwe.
Et, dès qu'ils voyaient qu'il y avait beaucoup d'argent dans le coffre, le secrétaire du roi montait avec le grand sacrificateur; et ils serraient et comptaient l'argent qui se trouvait dans la maison de l'Éternel.
11 Wakawapa pesa ambayo ilikuwa imepimwa kwenye mikono ya watu ambao waliokuwa wanatunza nyumba ya Yahwe. Wakawalipa mafundi seremala na wajenzi ambao walikuwa wemefanya kazi kwenye nyumba ya Yahwe,
Et ils remettaient cet argent bien compté entre les mains de ceux qui faisaient l'ouvrage, dont ils avaient la surveillance dans la maison de l'Éternel, lesquels payaient les charpentiers et les architectes qui travaillaient à la maison de l'Éternel,
12 na waashi na wakata mawe, kwa ajili ya kununua mbao na kukata mawe kwa ajili ya kutengenezea nyumba ya Yahwe, na yote iliyokuwa inahitajika kulipwa kwa ajili ya kuitengeneza.
Les maçons et les tailleurs de pierres, les achats de bois et de pierres de taille pour réparer les dégradations de la maison de l'Éternel, ainsi que tout ce qui se dépensait pour la réparation du temple.
13 Lakini ile pesa iliyokuwa imeletwa kwenye nyumba ya Yahwe haikulipwa kwa ajili ya vikombe vya fedha, mabeseni, au dhahabu au fedha yoyote ya vyombo.
Et de cet argent qu'on apportait dans la maison de l'Éternel, on ne faisait plus de coupes d'argent pour la maison de l'Éternel, ni de serpes, ni de bassins, ni de trompettes, ni aucun autre ustensile d'or ou d'argent;
14 Waliwapa hizi fedha wale ambao waliokuwa wamefanya kazi ya kutengeneza nyumba ya Yahwe.
Mais on le donnait à ceux qui faisaient l'ouvrage, et qui en réparaient la maison de l'Éternel.
15 Pia, hakukuhitajika zile pesa zilipwe kwa ajili ya matengenezo ili kuwajibika kwa kuwa watu walizipokea nakuzilipa kwa watenda kazi, kwa sababu hawa watu walikuwa waadilifu.
Et on ne faisait pas rendre compte à ceux entre les mains de qui on délivrait cet argent pour le distribuer aux travailleurs; car ils agissaient avec fidélité.
16 Lakini pesa kwa ajili ya matoleo ya hatia na pesa kwa ajili ya matoleo ya dhambi hazikuwa zimeletwa kwenye hekalu la Yahwe, kwa sababu zilikuwa mali ya makuhani.
L'argent des sacrifices pour le délit, ainsi que l'argent des sacrifices pour les péchés, n'était point apporté dans la maison de l'Éternel. Il était aux sacrificateurs.
17 Kisha Hazaeli mfalme wa Shamu akashambuliwa na kupigana dhidi ya Gathi, na kuichukua.
Alors Hazaël, roi de Syrie, monta et fit la guerre contre Gath et la prit. Puis Hazaël se retourna pour monter contre Jérusalem.
18 Ndipo Hazaeli akageuka kuishambulia Yerusalemu. Yoashi mfalme wa Yuda akavichukua vitu vyote ambavyo Yehoshefati na Yehoramu na Ahazia, baba zake, wafalme wa Yuda, na kuviweka wakfu, na vile alivyokuwa ameviweka wakfu, na dhahabu zote zilizokuwa zimeonekana kwenye gala la nyumba ya Yahwe na la mfalme akawatuma kwenda kwa Ahazi mfalme wa Shamu. Kisha Hazaeli akaenda zake kutoka Yerusamu.
Et Joas, roi de Juda, prit tout ce qui était consacré, ce que Josaphat, Joram et Achazia, ses pères, rois de Juda, avaient consacré, et tout ce que lui-même avait consacré, et tout l'or qui se trouva dans les trésors de la maison de l'Éternel et de la maison du roi, et il l'envoya à Hazaël, roi de Syrie, qui se retira de Jérusalem.
19 Kama mambo mengine yanayomuhusu Yoashi, yote aliyoyafanya, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
Le reste des actions de Joas, tout ce qu'il fit, n'est-il pas écrit au livre des Chroniques des rois de Juda?
20 Watumishi wake wakainuka na kupanga pamoja; wakamteka Yoashi katika Bethi Milo, kwenye njia ya kushukia kwa Sila.
Or ses serviteurs se soulevèrent et, ayant fait une conspiration, ils frappèrent Joas dans la maison de Millo, à la descente de Silla.
21 Yozakari mwana wa Shimeathi, na Yehozabadi mwana wa Shomeri, watumishi wake, wakamshambulia na akafa. Wakamzika Yoashi pamoja na mababu zake katika mji wa Daudi, na Amazia, mtoto wake, akawa mfalme kwenye sehemu yake.
Jozakar, fils de Shimeath, et Jozabad, fils de Shomer, ses serviteurs, le frappèrent, et il mourut; et on l'ensevelit avec ses pères, dans la cité de David; et Amatsia, son fils, régna à sa place.

< 2 Wafalme 12 >