< 2 Wafalme 12 >

1 Katika mwaka wa saba wa Yehu, utawala wa Yoashi ulianza; alitawala kwa mda wa miaka arobaini huko Yerusalimu. Mama yake alikuwa anaitwa Sibia, wa Beersheba.
Il monta sur le trône dans la septième année de Jéhu, et il régna quarante ans à Jérusalem. Sa mère s’appelait Cibya, de Beersabée.
2 Yoashi akafanya yaliyo mema usoni mwa Yahwe siku zote, kwa sababu Yehoyada kuhani alimfundisha.
Joas fit toute sa vie ce qui plaît au Seigneur, conformément aux enseignements que lui avait donnés le prêtre Joïada.
3 Lakini sehemu ya juu haikuchukuliwa. Watu wakaendelea kutoa sadaka na kuchoma ubani kwenye sehemu za juu.
Seulement, les hauts-lieux ne disparurent point; le peuple continuait d’offrir des sacrifices et de l’encens sur les hauts-lieux.
4 Yoashi akamwambia kuhani, “Pesa zote zilizokuja kama sadaka takatifu kwenye nyumba ya Yahwe, pesa ya matumizi pesa ya watu kadiri alivyoandikiwa kila mtu, na pesa yote aonayo moyoni mwake kuileta kwenye nyumba ya Yahwe-
Joas dit aux prêtres: "Tout l’argent consacré qu’on apporte dans la maison de Dieu, l’argent donné par chaque homme qui est recensé ainsi que celui qui est versé pour l’estimation des personnes, et toutes les sommes que chacun, suivant l’impulsion de son cœur, offrira au temple.
5 makuhani watapokea pesa kutoka miongoni mwa mmoja wa watunza pesa na kutengeneza kila sehemu itakayoonekana imeharibika kwenye hekalu.”
que les prêtres les prennent, chacun des gens de sa connaissance, et qu’ils réparent eux-mêmes les dégradations du temple, partout où il s’en trouvera."
6 Lakini kama mwaka wa ishirini na tatu wa mfalme Yoashi, makuhani hawakuwa wameandaa kitu chochote kwenye hekalu.
Or, dans la vingt-troisième année du règne de Joas, les prêtres n’avaient pas encore réparé les dégradations du temple.
7 Mfalme Yoashi akamwita Yehoyada kuhani na kuhani mwingine; akawaambia, “Kwa nini hamjaandaa kitu chochote kwenye hekalu? Sasa msichukue tena pesa kutoka kwa walipa kodi wenu, lakini chukueni kile kilichokuwa kikikusanywa kwa ajili ya matengenezo ya hekalu na uwapatia wale wanaoweza kufanya matengenezo.
Joas manda alors le pontife Joïada et les autres prêtres et leur dit: "Pourquoi ne réparez-vous pas les dégradations du temple? Dorénavant, n’acceptez plus d’argent de vos connaissances, mais affectez-le aux réfections du sanctuaire."
8 Hivyo makuhani wakakubaliana wasichukue pesa tena kutoka kwa watu na wasitengeneze wenyewe.
Les prêtres convinrent de ne plus recevoir d’argent du peuple et de ne pas s’occuper des réparations du temple.
9 Badala yake, Yehoyada yule kuhani akachukua kasha, akatoboa tundu kwenye kifuniko chake, na kuliweka karibu na madhabahu, upande wa kulia kama mtu anaingia kwenye madhabahu ya Yahwe. Makuhani ambao walikuwa wakilinda mlango wa hekalu wakatumbukiza pesa zote ambazo zilizokuwa zimeletwa kwenye nyumba ya Yahwe.
Joïada le prêtre, prit une caisse, perça un trou dans le couvercle, et la plaça à côté de l’autel, à droite de l’entrée du temple, et les prêtres préposés à la garde du seuil y jetaient tout l’argent qu’on apportait dans la maison de Dieu.
10 Ikawa walipoona kwamba kulikuwa na pesa za kutosha kwenye kasha, mwadishi wa mfalme na kuhani mkuu wakaja na kuweka pesa kwenye mifuko na kisha kuhesabu, pesa ikaonekana kwenye nyumba ya Yahwe.
Lorsqu’ils voyaient que l’argent était abondant dans la caisse, le secrétaire du roi et le grand prêtre allaient ramasser et compter la somme qui se trouvait dans le temple de l’Eternel.
11 Wakawapa pesa ambayo ilikuwa imepimwa kwenye mikono ya watu ambao waliokuwa wanatunza nyumba ya Yahwe. Wakawalipa mafundi seremala na wajenzi ambao walikuwa wemefanya kazi kwenye nyumba ya Yahwe,
Ils remettaient ensuite l’argent ainsi compté à ceux qui étaient chargés des travaux du temple, et ceux-ci le dépensaient en payant les charpentiers et les architectes qui travaillaient à la maison de Dieu,
12 na waashi na wakata mawe, kwa ajili ya kununua mbao na kukata mawe kwa ajili ya kutengenezea nyumba ya Yahwe, na yote iliyokuwa inahitajika kulipwa kwa ajili ya kuitengeneza.
ainsi que les maçons et les tailleurs de pierres, et en achetant le bois et les pierres de taille nécessaires aux réparations de la maison de Dieu, enfin pour toute dépense nécessitée par la restauration du temple.
13 Lakini ile pesa iliyokuwa imeletwa kwenye nyumba ya Yahwe haikulipwa kwa ajili ya vikombe vya fedha, mabeseni, au dhahabu au fedha yoyote ya vyombo.
Cependant, on ne confectionnait pour la maison de Dieu ni bassins d’argent, ni couteaux, ni cuvettes, ni trompettes, ni aucun ustensile d’or et d’argent, avec les sommes apportées au temple.
14 Waliwapa hizi fedha wale ambao waliokuwa wamefanya kazi ya kutengeneza nyumba ya Yahwe.
Elles étaient remises aux directeurs des travaux, qui les consacraient aux réparations de la maison de Dieu.
15 Pia, hakukuhitajika zile pesa zilipwe kwa ajili ya matengenezo ili kuwajibika kwa kuwa watu walizipokea nakuzilipa kwa watenda kazi, kwa sababu hawa watu walikuwa waadilifu.
On ne demandait pas de comptes aux hommes à qui l’on confiait l’argent pour le remettre aux ouvriers, car ils agissaient avec honnêteté.
16 Lakini pesa kwa ajili ya matoleo ya hatia na pesa kwa ajili ya matoleo ya dhambi hazikuwa zimeletwa kwenye hekalu la Yahwe, kwa sababu zilikuwa mali ya makuhani.
L’Argent provenant des sacrifices délictifs ou expiatoires n’était pas apporté au temple: il appartenait aux prêtres.
17 Kisha Hazaeli mfalme wa Shamu akashambuliwa na kupigana dhidi ya Gathi, na kuichukua.
En ce temps-là, Hazaël, roi de Syrie, alla attaquer Gath et s’en empara; puis il se prépara à monter vers Jérusalem.
18 Ndipo Hazaeli akageuka kuishambulia Yerusalemu. Yoashi mfalme wa Yuda akavichukua vitu vyote ambavyo Yehoshefati na Yehoramu na Ahazia, baba zake, wafalme wa Yuda, na kuviweka wakfu, na vile alivyokuwa ameviweka wakfu, na dhahabu zote zilizokuwa zimeonekana kwenye gala la nyumba ya Yahwe na la mfalme akawatuma kwenda kwa Ahazi mfalme wa Shamu. Kisha Hazaeli akaenda zake kutoka Yerusamu.
Joas roi de Juda, prit tous les objets consacrés par Josaphat, Joram et Achazia, ses aïeux, qui avaient régné sur Juda, avec les objets qu’il avait consacrés lui-même, ainsi que tout l’or contenu dans les trésors du temple, et il les fit remettre à Hazaël, roi de Syrie. Celui-ci s’éloigna alors de Jérusalem.
19 Kama mambo mengine yanayomuhusu Yoashi, yote aliyoyafanya, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
Pour le reste de l’histoire et des actes de Joas, ils sont consignés dans le livre des annales des rois de Juda.
20 Watumishi wake wakainuka na kupanga pamoja; wakamteka Yoashi katika Bethi Milo, kwenye njia ya kushukia kwa Sila.
Les serviteurs de Joas, en révolte contre lui, avaient formé un complot et l’avaient frappé dans la maison de Millo, sur le chemin qui descend vers Silla.
21 Yozakari mwana wa Shimeathi, na Yehozabadi mwana wa Shomeri, watumishi wake, wakamshambulia na akafa. Wakamzika Yoashi pamoja na mababu zake katika mji wa Daudi, na Amazia, mtoto wake, akawa mfalme kwenye sehemu yake.
C’Étaient ses serviteurs Yozakhar, fils de Chimeat, et Yehozabad, fils de Chomer, qui l’avaient frappé à mort; il fut inhumé avec ses pères dans la Cité de David, et eut pour successeur son fils Amacia.

< 2 Wafalme 12 >