< 2 Wakorintho 1 >

1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na Timotheo ndugu yetu, kwa kanisa la Mungu lililoko Korintho, na kwa waumini wote walioko katika mkoa wote wa Akaya.
Павел, с Божията воля апостол Исус Христос, и брат Тимотей, до Божията църква, която е в Коринт, и до всички светии, които са по цяла Ахаия:
2 Neema na iwe kwenu na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.
Благодат и мир да бъде на вас от Бога, нашия Отец и Господа Исуса Христа.
3 Na asifiwe Mungu na Baba wa Bwana Yesu Kristo. Yeye ni Baba wa rehema na Mungu wa faraja yote.
Благословен Бог и Отец на нашия Господ Исус Христос, Отец на милостивите и Бог на всяка утеха.
4 Mungu hutufariji sisi katika mateso yetu yote, ili kwamba tuweze kuwafariji wale walio katika mateso. Tunawafariji wengine kwa faraja ileile ambayo Mungu alitumia kutufariji sisi.
Който ни утешава във всяка наша скръб, за да можем и ние да утешаваме тия, които се намират в каквато и да била скръб, с утехата, с която и ние се утешаваме от Бога.
5 Kwa kuwa kama vile mateso ya Kristo huongezeka kwa ajili yetu, vile vile faraja yetu huongezeka kupitia Kristo.
Защото, както изобилват в нас Христовите страдания, така и нашата утеха изобилва чрез Христа.
6 Lakini kama tunataabishwa, ni kwa ajili ya faraja yenu na wokovu wenu. Na kama tunafarijiwa, ni kwa ajili ya faraja yenu. Faraja yenu inafanya kazi kikamilifu mnaposhiriki mateso kwa uvumilivu kama sisi pia tunavyoteseka.
Но, ако ни наскърбяват, това е за ваша утеха и спасение, или ако ни утешават, това е за вашата утеха [и спасение], която действува да устоявате в същите страдания, които понасяме и ние.
7 Na ujasiri wetu juu yenu ni thabiti. Tunajua kwamba kama vile ambavyo mnashiriki mateso, vile vile mnashiriki faraja.
И надеждата ни за вас е твърда; понеже знаем, че, както сте участници в страданията, така сте и в утехата.
8 Kwa kuwa hatutaki ninyi muwe wajinga, ndugu, kuhusu matatizo tuliyokuwa nayo huko Asia. Tulionewa zaidi ya vile tuwezavyo kubeba, kana kwamba hatukuwa hata na tumaini la kuishi tena.
Защото желаем да знаете, братя, за скръбта, която ни сполетя в Азия, че се отеготихме чрезмерно вън от силата си, така щото отчаяхме се дори за живота си:
9 Kweli, tulikuwa na hukumu ya kifo juu yetu. Lakini hiyo ilikuwa ni kutufanya sisi tusiweke tumaini juu yetu wenyewe, badala yake tuweke tumaini katika Mungu, afufuaye wafu.
даже ние сами счетохме, че бяхме приели смъртна присъда в себе си,
10 Alituokoa sisi kutoka hayo maafa ya mauti, na atatuokoa tena. Tumeweka ujasiri wetu katika yeye ya kwamba atatuokoa tena.
И Той ни избави от толкоз близка смърт, и още избавя, и надяваме се на Него, че пак ще ни избави,
11 Atafanya hivi kama vile ninyi pia mtusaidiavyo kwa maombi yenu. Hivyo wengi watatoa shukurani kwa niaba yetu kwa ajili ya upendeleo wa neema tuliyopewa sisi kupitia maombi ya wengi.
като ни съдействувате вие чрез молитва, тъй щото, поради стореното на нас чрез мнозина добро, да благодарят мнозина за нас.
12 Tunajivunia hili: ushuhuda wa dhamiri yetu. Kwa kuwa ni katika nia safi na usafi wa Mungu kwamba tulienenda wenyewe katika dunia. Tumefanya hivi hasa na ninyi, na sio katika hekima ya ulimwengu, lakini badala yake ni katika neema ya Mungu.
Защото нашата похвала е тая, свидетелството на нашата съвест, че ние живяхме на света, а най-много между вас, със светост и искреност пред Бога, не са плътска мъдрост, а са Божия благодат.
13 Hatuwaandikii chochote ambacho hamwezi kukisoma au kuelewa. Ninaujasiri
Защото не ви пишем друго освен това, което четете и даже признавате и което надявам се че и до край ще признавате,
14 kwamba kwa sehemu mumekwisha kutuelewa. Na ninaujasiri kwamba katika siku ya Bwana Yesu tutakuwa sababu yenu kwa ajili ya kiburi chenu, kama vile mtakavyokuwa kwetu.
(както и отчасти ни признахте), че сме похвала за вас, както и вие за нас, в деня на нашия Господ Исус.
15 Kwa sababu nilikuwa na ujasiri kuhusu hili, nilitaka kuja kwenu kwanza, ili kwamba muweze kupokea faida ya kutembelewa mara mbili.
С тая увереност възнамерявам да дойда първо при вас, за да имате двояка полза,
16 Nilikuwa napanga kuwatembelea wakati nikielekea Makedonia. Tena nilitaka kuwatembelea tena wakati nikirudi kutoka Makedonia, na kisha ninyi kunituma mimi wakati nikielekea Uyahudi.
като през вас мина за Македония; а от Македония да дойда пак при вас, и тогава вие да ме изпратите за Юдея.
17 Nilipokuwa nafikiria namna hii, je, nilikuwa nasitasita? Je ninapanga mambo kulingana na viwango vya kibinadamu, ili kwamba niseme “Ndiyo, ndiyo” na “Hapana, hapana” kwa wakati mmoja?
Добре, когато имах това намерение, лекоумно ли съм постъпил? или намерението ми е било плътско намерение, та да казвам и: Да, да, и: Не, не?
18 Lakini kama vile Mungu alivyo mwaminifu, hatusemi vyote “Ndiyo” na “Hapana.”
Заради Божията вярност, проповядването ми към вас не е било Да и Не?
19 Kwa kuwa mwana wa Mungu, Yesu Kristo, ambaye Silvano, Timotheo na mimi tulimtangaza miongoni mwenu, siyo “Ndiyo” na “Hapana.” Badala yake, yeye wakati wote ni “Ndiyo.”
Защото Божият Син, Исус Христос, Който биде проповядван помежду ви от нас, (от мене, Сила и Тимотея), не стана Да и Не но в него стана Да;
20 Kwa kuwa ahadi zote za Mungu ni “Ndiyo” katika yeye. Hivyo pia kupitia yeye tunasema “Amina” kwa utukufu wa Mungu.
понеже в Него е Да за всичките Божи обещания, колкото и много да са; затова и чрез Него е Амин, за Божията слава чрез нас.
21 Sasa ni Mungu ambaye hututhibitisha sisi pamoja nanyi katika Kristo, na alitutuma sisi.
А тоя, който ни утвърждава заедно с вас в Христа, и Който ни е помазал, е Бог,
22 Aliweka muhuri juu yetu na alitupa Roho katika mioyo yetu kama dhamana ya kile ambacho angetupatia baadaye.
Който ни е запечатил, и е дал в сърдцата ни Духа в залог.
23 Badala yake, namsihi Mungu kunishuhudia mimi kwamba sababu iliyonifanya nisije Korintho ni kwamba nisiwalemee ninyi.
Но аз призовавам Бог за свидетел на моята душа, че за да ви пощадя, въздържах се да дойда в Коринт;
24 Hii sio kwa sababu tunajaribu kudhibiti jinsi imani yenu inavyotakiwa kuwa. Badala yake, tunafanya pamoja nanyi kwa ajili ya furaha yenu, kama mnavyosimama katika imani yenu.
защото не господаруваме над вярата ви, но сме помощници на радостта ви; понеже, колкото за вярата, вие стоите твърди.

< 2 Wakorintho 1 >