< 2 Nyakati 7 >

1 Sasa Selemani alipokuwa amemaliza kuomba, moto ukaja kutoka mbinguni na kuiteketeza sadaka ya kuteketezwa na dhabihu, na utukufu wa Yahwe ukaijaza nyumba.
A když přestal Šalomoun modliti se, rychle oheň sstoupil s nebe, a sehltil zápal i jiné oběti, a sláva Hospodinova naplnila dům ten,
2 Makuhani hawakuweza kuingia kwenye nyumba ya Yahwe, kwa sababu utukufu wake uliijaza nyumba yake.
Tak že nemohli kněží vjíti do domu Hospodinova, proto že naplnila sláva Hospodinova dům Hospodinův.
3 Watu wote wa Israeli wakaangalia juu moto uliposhuka chini na utukufu wa Yahwe ulikuwa juu ya nyumba. Wakalala kwa nyuso zao juu ya sakafu ya mawe, wakaabudu, na kutoa shukrani kwa Yahwe. Wakasema, “Kwa maana yeye ni mwema, kwa maana agano lake la kifame ladumu milele.”
Všickni pak synové Izraelští viděli, když sstupoval oheň a sláva Hospodinova na dům, a padše tváří k zemi na dlážení, klaněli se a chválili Hospodina, že dobrý jest, a že na věky trvá milosrdenství jeho.
4 Kwa hiyo mfalme na watu wote wakamtolea Yahwe sadaka Yahwe.
Při tom král a všecken lid obětovali oběti před Hospodinem.
5 Mfalme Selemani akatoa sadaka ya ng'ombe ishirini na mbili elfu na kondoo 120, 000 na mbuzi. Kwa hiyo mfalme na watu wote wakaiweka wakifu nyumba ya Mungu.
Obětoval zajisté král Šalomoun obět dvamecítma tisíc volů, a ovec sto a dvadceti tisíců, když posvěcovali domu Božího král i všecken lid.
6 Makuhani wakasimama, kila mmoja akasimama mahali pake pa kuhudumu; Walawi pia pamoja na vyombo vya muziki vya Yahwe, ambavyo mfalme Daudi alivitengeza kwa ajili ya kumpa shukrani Yahwe katika nyimbo, “Kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.” Makuhani wote wakapiga matarumbeta mbele yao, na Israeli wote wakasimama.
Ale kněží stáli při svých úřadích, též i Levítové s nástroji hudebnými Hospodinovými, kterýchž byl nadělal David král k oslavování Hospodina, (nebo na věky milosrdenství jeho), žalmem Davidovým, kterýž jim vydal. Jiní pak kněží troubili v trouby naproti nim, a všecken lid Izraelský stál.
7 Selemani akaitakasa sehemu ya katikati ya kiwanja cha mfalme mbele ya nyumba ya Yahwe. Humo akatoa sadaka za kuteketezwa na mafuta ya sadaka za amani, kwa sababu madhabahu ya shaba ambayo alikuwa ametengeza haikuweza kuzibeba sadaka, sadaka za nafaka, na za mafuta.
Posvětil také Šalomoun prostředku té síně, kteráž byla před domem Hospodinovým; nebo obětoval tu oběti zápalné a tuky obětí, pokojných, proto že na oltáři měděném, kterýž byl udělal Šalomoun, nemohli se směstknati zápalové a oběti suché i tukové jejich.
8 Kwa hiyo Selemani akaitisha sikukuu wakati huo kwa siku saba, na Israeli wote pamaoja naye, kusanyiko kubwa, kutoka Lebo Hamathi mpaka kijito cha Misiri.
I držel Šalomoun slavnost toho času za sedm dní, a všecken Izrael s ním, shromáždění velmi veliké odtud, kudyž se vchází do Emat, až ku potoku Egyptskému.
9 Siku ya nane wakaitisha kusanyiko la makini, kwa maana kwa siku saba walishika kuwekwa wakfu kwa ile madhabahu.
I světili dne osmého svátek; nebo posvěcení oltáře slavili za sedm dní, tolikéž slavnost tu za sedm dní.
10 Katika siku ya ishini na tatu ya mwezi wa saba, Selemani akawatanya watu kwenda kwenye nyumba zao kwa furaha na mioyo ya shangwe kwa sababu ya wema aliokuwa ameuonesha Yahwe kwa Daudi, Selemani, Israeli, na watu wake.
Třimecítmého pak dne měsíce sedmého propustil lid k příbytkům jejich s radostí a veselím srdce z toho, což dobrého učinil Hospodin Davidovi a Šalomounovi a Izraelovi lidu svému.
11 Hivyo Selemani akaimaliza nyumba ya Yahwe na nyumba yake mwenyewe. Kila kitu kilichokuja katika moyo wa Selemani kwa ajili ya kukitengeneza katika nyumba ya mfalme na katika nyumba yake mwenyewe, alikitimiza kwa mafanikio.
I dokonal Šalomoun dům Hospodinův a dům královský, a všecko, cožkoli byl uložil v srdci svém, aby učinil v domě Hospodinově a v domě svém, šťastně se mu vedlo.
12 Yahwe akamtokea Selemani usiku na kusema kwake, “Nimesikia maombi yako, na nimeichagua sehemu hii kwa ajili yangu mwenyewe kama nyumba ya dhabihu.
V tom ukázal se Hospodin Šalomounovi v noci, a řekl jemu: Uslyšel jsem modlitbu tvou, a vyvolil jsem sobě to místo za dům obětí.
13 Kama nitazifunga mbingu ili kwamba kusiwepo mvua, au kama nitaamuru nzige waimeze nchi, au kama nitatuma magonjwa kati kati ya watu wangu,
Jestliže zavru nebe, tak že by nebylo deště, a jestliže přikáži kobylkám, aby pohubily zemi, též jestliže pošli morovou ránu na lid svůj,
14 kisha watu wangu, ambao wameitwa kwa jina langu, watajinyenyekeza, kuomba, kuutafuta uso wangu, na kuziacha njia zao mbaya, nitasikia kutoka mbinguni, kuwasamehe dhambi zao, na kuiponya nchi yao.
A ponižujíce se lid můj, nad nímž jest vzýváno jméno mé, modlili by se, a hledali by tváři mé, a odvrátili by se od cest svých zlých: i já také vyslyším je s nebe, a odpustím hřích jejich, a uzdravím zemi jejich.
15 Sasa macho yangu yatakuwa wazi na masikio yangu yatasikiliza maombi yanayofanywa katika sehemu hii.
Budouť již i oči mé otevřené, a uši mé nakloněné k modlitbě z místa tohoto.
16 Kwa maana sasa nimeichagua na kauitakasa nyumba hii ili kwamba jina langu lipate kuwa humo milele. Masikio yangu na moyo wangu vitakuwako kila siku.
Nebo nyní vyvolil jsem a posvětil domu tohoto, aby tu přebývalo jméno mé až na věky, a aby tu byly oči mé a srdce mé po všecky dny.
17 Kwako wewe, kama utatembe mbele zangu kama baba yako Daudi alivyotembea, ukitii yote nilyokuamuru na kuzishika sheria zangu na maagizo yangu,
A ty budeš-li choditi přede mnou, jako chodil David otec tvůj, tak abys činil všecko to, což jsem přikázal tobě, ustanovení i soudů mých ostříhaje:
18 basi nitakithibitisha kiti cha enzi cha ufalme wako, kama nilivyosema katika agano na Daudi baba yako, niliposema, 'Mzaliwa wako hatashindwa kamwe kuwa mtawala katika Israeli.'
Utvrdím zajisté stolici království tvého, jakož jsem učinil smlouvu s Davidem otcem tvým, řka: Nebude vyhlazen muž z rodu tvého, aby nepanoval nad Izraelem.
19 Lakin ukigeuka, na kuzisahau sheria zangu na amri amabzo nimeweka mbele yenu, na kama utaenda kuabudu miungu wengine na kuwasujudia,
Jestliže pak se odvrátíte a opustíte ustanovení má a přikázání má, kteráž jsem vám vydal, a odejdouce, sloužiti budete bohům cizím a klaněti se jim:
20 basi nitawang'oa kutoka kwenye nchi yangu amabayo nimewapa. Nyumba hii ambayo nimeitakasa kwa ajili ya jina langu, nitaitupilia mbali kutoka mbele zangu, na nitaifanya kuwa methali na utani miongini mwa watu wote.
Vypléním takové z země své, kterouž jsem jim dal, a dům tento, kteréhož jsem posvětil jménu svému, zavrhu od tváři své, a vydám jej v přísloví a v rozprávku mezi všemi národy.
21 Ingawa hekalu hili hili zuri sana kwa sasa, kila mtu apitaye karibu yake atashangazwa na ataguna. Watauliza, 'Kwa nini Yahwe ameifanyia hivi nchi hii na nyumba hii',
A tak dům ten, kterýž byl zvýšený každému jdoucímu mimo něj, bude k užasnutí, a dí: Proč tak učinil Hospodin zemi této a domu tomuto?
22 wengine watajibu, 'Kwa sababu walimsahau Yahwe, Mungu wao, ambaye alikuwa amewatoa babu zao nje ya nchi ya Misiri, na wakashikamana na miungu wengine na kuwainamia chini na kuwaabudu. Hii ndiyo maana Yahwe ameleta majanga haya yote juu yao”
Tedy odpovědí: Proto že opustili Hospodina Boha otců svých, kterýž je vyvedl z země Egyptské, a chopili se bohů cizích, a klanějíce se jim, sloužili jim, protož uvedl na ně všecky tyto zlé věci.

< 2 Nyakati 7 >