< 2 Nyakati 6 >

1 Kisha Selemani akasema, “Yahwe alisema kwamba ataishi katika giza nene,
Tad Salamans sacīja: Tas Kungs ir sacījis, Viņš gribot tumsā mājot.
2 lakini nimekujengea makao makuu, sehemu kwa ajili yako ya kuishi milele.”
Un es Tev esmu uztaisījis mājas vietu un vietu Tev par mūžīgu dzīvokli.
3 Kisha mfaalme akageuka nyuma na kuwabariki kusanyiko lote la Israeli, wakati kusanyiko lote la Israeli walikuwa wamesimama.
Un ķēniņš atgrieza savu vaigu un svētīja visu Israēla draudzi un visa Israēla draudze stāvēja,
4 Akasema, “Yahwe, Mungu wa Israeli, usifiwe, uliyesema na Daudi baba yangu, na ametimiza kwa mikono yake mwenyewe, akisema.
Un viņš sacīja: slavēts lai ir Tas Kungs, Israēla Dievs, kas ar Savu muti runājis uz manu tēvu Dāvidu un ar Savu roku to piepildījis, ko sacījis:
5 'Tangu siku nilipowaleta watu wanagu nje ya nchi ya Misiri, sikuchaagua mji wowote nje ya makabaila yote ya Israeli ambamo nyumba ingejengwa, ili jina lanagu liwe humo. Wala sikuchagua mtu yeyote kuwa mfalme juu ya watu wangu Israeli.
No tās dienas, kamēr esmu izvedis Savus ļaudis no Ēģiptes zemes, Es nevienu pilsētu neesmu izredzējis no visām Israēla ciltīm, namu taisīt, ka Mans vārds tur būtu; arī nevienu vīru neesmu izredzējis par valdītāju pār Maniem Israēla ļaudīm;
6 Aidha, nimechagua Yeruselemu, ili kwamba jina langu liwe humo, na nimemchagua Daudi kuwa juu ya watu wanagu Israeli. '
Bet Jeruzālemi Es esmu izredzējis, ka Mans vārds tur būtu, un Dāvidu Es esmu izredzējis, ka tas būtu pār Maniem Israēla ļaudīm.
7 Sasa ilikuwa ndani ya moyo wa Daudi baba yangu, kujenga nyumba kwa ajili ya jina la Yahwe, Mungu wa Israeli.
Un tas manam tēvam Dāvidam bija sirdī, namu celt Tā Kunga, Israēla Dieva, vārdam.
8 Lakini Yahwe alisema kwa Daudi Baba yanagu. 'Kwmba ilikuwa ndani ya moyo wako kujenga nyumba kwa ajili ya jina langu, ulifanya vizuri kwa hili kuliweka moyono mwako.
Bet Tas Kungs sacīja uz manu tēvu Dāvidu: tāpēc ka tu savā sirdī esi apņēmies, celt Manam vārdam namu, tu gan labi esi darījis, ka tas bijis tavā sirdī;
9 Aidha, hutaijenga ile nyumba, badala yake, mwanao, mmoja atakayetoka kwenye viuno vyako, ataijenga nyumba kwa ajili ya jina langu.'
Tomēr tev nebūs celt to namu, bet tavam dēlam, kas nāks no taviem gurniem, tam būs namu celt Manam vārdam.
10 Yahwe ameyatimiza maneno aliyokuwa amesema, kwa maana nimeiinua sehemu ya Daudi baba yangu, na ninkaa juu ya kiti cha enzi cha Israeli, kama alivyoahidi Yahwe. Nimeijenga nyumba kwa ajii ya jina la Yahwe, Mungu wa Israeli.
Un Tas Kungs ir piepildījis Savu vārdu, ko Viņš runājis, jo es esmu cēlies sava tēva Dāvida vietā un sēžu Israēla goda krēslā, kā Tas Kungs runājis, un esmu namu cēlis Tā Kunga, Israēla Dieva, vārdam.
11 Nimeliweka humo sanduku, amabamo kuna agano la Yahwe, alilofanya na watu wa Israeli.”
Un tur es esmu nolicis to šķirstu, kur Tā Kunga derība, ko Viņš derējis ar Israēla bērniem.
12 Selemani akasimama mbele ya madhabahu ya Yahwe mbele za kusanyiko lote la Israeli, na akanyosha mikono yake.
Un viņš stājās Tā Kunga altāra priekšā visai Israēla draudzei pretī un izplēta savas rokas.
13 Kwa mana alikuwa ametengeneza jukwaa la shaba, lenye urefu wa mikono mitano, upana wa mikono mitano, urefu wake kwenda juu mikono mitatu. Alikuwa ameliweka katika ya uwanja. Akasimama juu yake na kupiga magoti mbele ya kusanyiko la Israeli, kisha akanyosha mikono yake kuzielekea mbingu.
Un Salamans bija taisījis vara pakāpienus un tās licis pagalma vidū, piecas olektis garas un piecas olektis platas un trīs olektis augstas, un tur viņš uzkāpa un nometās ceļos visas Israēla draudzes priekšā un izplēta savas rokas pret debesīm un sacīja:
14 Akasema, “Yahwe, Mungu wa Israeli, hakuna Mungu kama wewe katika mbingu, au juu ya dunia, ambaye anatunza agano na upendo imara na watumishi wako ambao hutembea mbele zako kwa moyo wao wote;
Kungs, Israēla Dievs, neviens nav tāds Dievs, kā Tu, ne debesīs, ne virs zemes; Tu turi derību un žēlastību Saviem kalpiem, kas ar visu sirdi staigā Tavā priekšā.
15 wewe uliyetimtimizia Daudi baba yanagu, uliyokuwa umemwahidi. Ndiyo, ulisema kwa kinywa chako na umetimiza kwa mkono wako, kama ilivyo leo.
Savam kalpam, manam tēvam Dāvidam, Tu esi turējis, ko Tu viņam runājis, jo ar Savu muti Tu esi runājis un ar Savu roku Tu to esi piepildījis, tā kā tas šodien ir.
16 Sasa, Yahwe, Mungu wa Israeli, tunza ahadi uliyoahidi kwa mtumishi wako Daudi baba yangu, uliposema, 'Hautashindwa kupata mtu mbele yangu wa kukaa juu ya kiti cha enzi cha Israeli, ikiwa tu uzao wako ni waangalifu kutembea katika sheria yangu, kama wewe ulivyotembea mbele zangu.
Un nu Kungs, Israēla Dievs, turi Savam kalpam, manam tēvam Dāvidam, ko Tu tam esi runājis, sacīdams: tev netrūks vīra Manā priekšā, kas sēdēs Israēla goda krēsla, ja tikai tavi dēli sargās savu ceļu, staigādami Manā bauslībā, kā tu esi staigājis Manā priekšā.
17 Sasa, Mungu wa Israeli, ninaomba kwamba ahadi uliyofanya kwa mtumishi wako Daudi itakuwa kweli.
Tad nu, Kungs, Israēla Dievs, lai jel Tavs vārds tiešām notiek, ko Tu esi runājis Savam kalpam Dāvidam.
18 Lakini kweli Mungu ataishi na wanadamu juu ya dunia? Angalia, dunia yoye na mbugu yenyewe haviwezi kukubeba -sembuse na hekalu hili nililojenga!
Jo vai Dievs tiešām dzīvo pie cilvēkiem virs zemes? Redzi, debesis un visu debesu debesis tevi nevar saņemt, ne vēl šis nams, ko es esmu cēlis?
19 Nakusihi yaheshimu maombi haya ya mtumishi wako na ombi lake. Yahwe Mungu wangu; sikia kilio na amaombi ambayo mtumishi wako anaomba mbele zako.
Tomēr, griezies pie Sava kalpa lūgšanām un pie viņa piesaukšanām, Kungs, mans Dievs, un klausi to saukšanu un lūgšanu, ko tavs kalps lūdz priekš Tava vaiga.
20 Fumbua macho yako kuelekea hekaalu hili usiku na mchana, sehemu aambaayo uliahidi kuliweka jina lako. Nakuomba usikie maombi atakayoomba mtumishi wako kuelekea sehemu hii.
Lai Tavas acis ir atvērtas dienām naktīm pār šo namu, pār šo vietu, kur Tu esi solījis iecelt Savu vārdu, klausīt to lūgšanu, ko Tavs kalps lūgs šinī vietā.
21 Hivyo sikia maombi ya mtumishi na ya watu wako Israeli tunapoomba kuelekea sehemu hii. Ndiyo, sikia kutoka mahali unapoishi, kutoka mbinguni; na unaposikia, samehe.
Klausi tad Sava kalpa un Savu Israēla ļaužu sirds lūgšanu, ko tie lūgs šinī vietā, klausi no tās vietas, kur Tu mīti debesīs, ak klausi un piedod!
22 Kama mtu atamtenda dhambi jirani yake na ikampasa kuapa kiapo, na ikiwa atakuja na kuapa kiapo mbele ya madhabahu yako katika nyumba hii,
Ja kāds būs apgrēkojies pret savu tuvāko un viņam liks zvērēt un nodievoties, un kad šī zvērēšana nāks priekš Tava altāra šinī namā,
23 basi sikia kutoka mbinguni na kutend na ukawahukumu watumishi wako, ukamlipizie mwovu, ili kuyaleta matendo yake juu ya kichwa chake. Ukamtangaze mwenye haki kuwa hana hatia, ili kumlipa thawabu kwa ajili ya uaminifu wake.
Tad klausi Tu no debesīm un dari un tiesā Savus kalpus un atmaksā tam bezdievīgam, dodams viņa ceļu uz viņa galvu, un taisno to taisno, dodams tam pēc viņa taisnības.
24 Watu wako watakaposhindwa na adui kwa sababu wamekutenda dhambi, kama watageuka nyuma kwako, wakilikili jina lako, wakisali na kuomba msamaha mbele zako hekaluni—
Un kad Tavi Israēla ļaudis būs kauti ienaidnieku priekšā, kad tie pret Tevi būs grēkojuši, un atgriezīsies un apliecinās Tavu vārdu un Tavā priekšā pielūgs un no sirds piesauks šai namā,
25 basi tafadhali sikia mbinguni na usamehe dhambi za watu wako Isaraeli; uwarudishe katika nchi uliyoitoa kwa ajili yao na baba zao.
Tad klausi Tu no debesīm un piedod Savu Israēla ļaužu grēkus un ved tos atpakaļ uz to zemi, ko Tu tiem un viņu tēviem esi devis. -
26 Wakati mbingu zimefungwa na hakuna mvua kwa sababu watu wamekutenda dhambi—ikiwa wataomba kuelekea sehemu hii, wakilikili jina lako, na kuziacha dhambi zao utakapokuwa umewaadhibu—
Kad debess būs aizslēgta, ka lietus nelīs, tāpēc ka tie pret Tevi būs apgrēkojušies, un tie šinī vietā lūgs un Tavam vārdam dos godu un atgriezīsies no Saviem grēkiem, kad Tu tos apbēdini,
27 basi sikia mbinguni na usamehe dhambi za watumishi wako na watu wako Israeli, utakapowaelekeza kwenye njia njema iwapasayo kutembea. Tuma mvua juu ya nchi yako, ambayo umewapa watu wako kama urithi.
Tad klausi Tu debesīs un piedod Savu kalpu un Savu Israēla ļaužu grēkus, ka Tu tiem rādi to labo ceļu, kur tiem būs staigāt, un lietu dodi tai zemē, ko Tu saviem ļaudīm devis par mantību. -
28 Kama kuna njaa katika nchi, au kama kuna ugonjwa, tauni au ukungu, nzige au viwavijeshi, au kama adui wake wameyavamia malango ya mji katika nchi yao, au kwamba kuna pigo lolote au ugonjwa—
Kad zemē būs bada laiks, mēris, bula laiks, rūsa, siseņi un kukaiņi, kad viņu ienaidnieks zemē lauzīsies pret viņu vārtiem, vai būs kāda cita mocība vai sērga,
29 na ikiwa sala na maombi yamefanywa na mtu au watu wako wote Israel—kila mmoja akilijua pigo na huzuni katika moyo wake akinyosha mikono yake kuelekea hekalu hili.
Kas tad lūgs, kas no sirds piesauks, lai būtu kas būdams no visiem Taviem Israēla ļaudīm, kad tie atzīs savas mokas un bēdas un izpletīs savas rokas šinī namā,
30 Basi sikiliza mbinguni, sehemu ambayo unaishi; samehe, na umlipe kila mtu kwa njia zake zote; uhaujua moyo wake, kwa sababu wewe na ni wewe pekee unaijua mioyo ya wanadamu.
Tad klausi Tu no debesīm, no tās vietas, kur Tu mīti, un piedod un dari un dod ikkatram pēc visiem viņa ceļiem, itin kā Tu viņa sirdi pazīsti, jo Tu vien pazīsti cilvēku bērnu sirdis; -
31 Fanya hivyo ili kwamba wakuogope wewe, ili waweze kutembea katika katika njia zako siku zote ambazo wataishi katika nchi uliyowapa baba zetu.
Lai tie tēvi bīstas un arvienu staigā Tavos ceļos, kamēr tie dzīvo tai zemē, ko Tu mūsu tēviem esi devis. -
32 Kwa mgeni ambaye siyo sehemu ya watu wako Israeli, lakini ambaye- kwa sababu ya ukuu wa jina lako, mkono wako wenye nguvu, na mkono wako ulionyoshwa- akija na kuomba kuelekea sehemu nyumba hii,
Kad arī kāds svešinieks būs, kas nav no Taviem Israēla ļaudīm, bet nāk no tālas zemes Tava lielā vārda pēc un Tavas stiprās rokas un Tava izstiepta elkoņa dēļ, un kad tas nāks un šinī namā pielūgs,
33 basi sikiliza mbinguni, sehemu ambayo unaishi, na fanya yote ambayo mgeni atakuomba, ili kwamba watu wote wa dunia walijue jina lako na kukuogopa wewe, kama wafanyavyo watu wako Israeli, na kwamba waweze kujua kwamba nyumba hii niliyoijenga inaitwa kwa jina lako.
Tad klausi Tu no debesīm, no tās vietas, kur Tu mīti, un dari visu, par ko tas svešais Tevi piesauks, lai visas pasaules ļaudis atzīst Tavu vārdu un Tevi bīstas, tāpat kā Tavi Israēla ļaudis, un lai tie zina, ka Tavs vārds ir saukts pār šo namu, ko es esmu cēlis.
34 Ikiwa kwamba watu wako wakaenda nje kupigana dhidi ya adui zao, kwa njia yoyote amabayo unaweza kuwatuma, na ikiwa kwamba wakaomba kwako kuelekea mji huu ambao umeuchagua, na kuelekea nyumba ambayo nimeijenga kwa ajili ya jina lako.
Kad Tavi ļaudis ies karā pret saviem ienaidniekiem, pa to ceļu, kur Tu tos sūtīsi, un Tevi pielūgs, vaigu griezuši uz šo pilsētu, ko Tu esi izredzējies, un pret šo namu, ko es esmu cēlis Tavam vārdam,
35 Basi sikiliza maombi yao mbinguni, ombi lao, na uwasaidie.
Tad klausi Tu no debesīm viņu lūgšanas un viņu sirds saukšanas un nes viņiem tiesu. -
36 Kama wametenda dhambi dhidi yako—kwa kuwa hakuna asiye tenda dhambi—na ikiwa una hasira nao na kuwakabidhi kwa adui zao, ili kwamba adui wakawabeba na kuwachukua kama mateka kwa ajili ya nchi zao, iwe mbali au karibu.
Kad tie pret Tevi būs apgrēkojušies (jo nav neviena cilvēka, kas nebūtu grēkojis), un Tu pār tiem būsi apskaities un tos nodosi ienaidniekiem, ka viņu uzvarētāji tos noved cietumā ienaidnieku zemē, vai tālu vai tuvu,
37 Kisha wakatambua kuwa wako katika nchi ambako wamewekwa utumwani, na ikiwa watatubu na kutafuta msaada kwako katika utumwa wao. ikiwa watasema, 'Tumetenda kinyume na kutenda dhambi. Tumetenda kwa uovu,'
Un tie tai zemē, kur ir aizvesti cietumā to atkal ņems pie sirds un atgriezīsies un Tevi piesauks sava cietuma zemē, sacīdami: mēs esam grēkojuši un noziegušies, mēs esam bijuši bezdievīgi;
38 ikiwa watarudi kwako kwa mioyo yao yote na kwa nia yao yote katika nchi ya utumwa wao, ambako walichuliwa kama mateka, na ikiwa wataomba kukabili nchi yao, uliyowapa babu zao, na kukabili mji ambao uliuchagua na kukabili nyumba ambayo niliijenga kwa ajili ya jina lako.
Un kad tie pie Tevis atgriežas no visas savas sirds un no visas savas dvēseles sava cietuma zemē, kur tie cietumā top turēti, un tie Tevi pielūgs, vaigu griezuši uz savu zemi, ko Tu devis viņu tēviem, uz to pilsētu, ko Tu esi izredzējies, un pret to namu, ko esmu cēlis Tavam vārdam,
39 Basi sika kutoka mbinguni, mahali unapoishi, sikia kuomba kwao na maombi na wayaombayo, na uwasaidie shida zao. Wasamehe watu wako, ambao wamekutenda dhambi.
Tad klausi Tu no debesīm, no tās vietas, kur Tu mīti, viņu lūgšanu un viņu sirds saukšanu un nes tiem tiesu un piedod Saviem ļaudīm, ko tie pret Tevi grēkojuši. -
40 Sasa, Mungu wangu, ninakusihi, uyafungue macho yako, na masikio yako yasiskie maombi yatakayofanywa katika sehemu hii.
Nu, mans Dievs, lai jel Tavas acis ir atvērtas, un Tavas ausis klausās uz to lūgšanu šinī vietā.
41 Sasa basi, amka, Yahwe Mungu, kwenye mahali pako pa kupumzikia, Wewe na sanduku la nguvu zako. Makuhani wako, Yahwe Mungu, wavikwe wokovu, na watakatifu wako wafurahi katika wema.
Un nu celies šurp, Kungs Dievs, Savā dusas vietā, Tu un Tava spēka šķirsts; lai Tavi priesteri, Kungs Dievs, top apģērbti ar svētību, un Tavi svētie lai priecājās par labumu.
42 Yahwe Mungu, usiugeuze nyuma uso wa masihi wako. Yakumbuke matendo yako katika agano lako la ufalme kwa ajili ya Daudi, mtumishi wako.
Kungs Dievs, neatmet Sava svaidītā vaigu, piemini to žēlastību, kas solīta Dāvidam, Tavam kalpam.

< 2 Nyakati 6 >