< 2 Nyakati 5 >

1 Wakati ilipomalizika kazi aliyofanya Selemani kwa ajili ya Yahwe, Selemani akapeleka vitu ndani, ambavyo Daudi, baba yake, aliviweka wakifu kwa kusudi hilo, pamoja na zile fedha, dhahabu, na vyombo vyote akavileta ndani ya hazina ya nyumba ya Mungu.
I tako se svrši sav posao što uradi Solomun za dom Gospodnji; i unese Solomun što bješe posvetio David otac njegov, i srebro i zlato i sudove, i ostavi u riznicu doma Božijega.
2 Kisha Selemanai akawakusanya wazee wa Israeli, wakuu wa makabila yote, na viongozi wa familia za watu wa Israeli, katika Yerusalemu, ili walilete sanduku la agano la Yahwe kutoka mji wa Daudi, ambao ni Sayuni.
Tada sabra Solomun starješine Izrailjeve i sve glavare plemenske, knezove domova otaèkih sinova Izrailjevijeh u Jerusalim da prenesu kovèeg zavjeta Gospodnjega iz grada Davidova, koje je Sion.
3 Wanaume wote wa Israeli wakakusanyika mbele za mfalme katika sikukuu, ambayo ilikuwa katika mwezi wa saba.
I skupiše se k caru svi ljudi Izrailjevi na praznik koji biva sedmoga mjeseca.
4 Wazee wote wa Israeli wakaja, na Walawi wakalichukua sanduku.
I kad doðoše sve starješine Izrailjeve, uzeše Leviti kovèeg.
5 Wakalileta sanduku, hema ya kukutania, na vyombo vitakatifu vyote ambavyo vilikuwa ndani ya hema. Makuhani waliokuwa wa kabila la Lawi wakavileta vtu hivyo.
I prenesoše kovèeg i šator od sastanka i sve sudove svete što bjehu u šatoru, prenesoše sveštenici i Leviti.
6 Mfalme Selemanai na kusanyiko lote la Israeli wakaja pamoja, mbele ya sanduku, wakitoa sadaka za kondoo na maksai ambao hawakuweza kuhesabika.
A car Solomun i sav zbor Izrailjski koji se sabra k njemu prinesoše pred kovèegom na žrtvu ovaca i goveda toliko da se ne mogaše od mnoštva ni izbrojiti ni proraèunati.
7 Makuhani wakalileta sanduku la anago la Yahwe ndani mahali pake, katika chumba cha ndani cha nyumba, kwenye patakatifu pa patakatifu, chini ya mabawa ya makerubi.
I unesoše sveštenici kovèeg zavjeta Gospodnjega na mjesto njegovo, u unutrašnji dom, u svetinju nad svetinjama, pod krila heruvimima.
8 Kwa kuwa makerubi walitandaza mabawa yao juu ya mahali pa sanduku, na walilifunika sanduku na na miti yake ya kulibebea.
Jer heruvimima bijahu raširena krila nad mjestom gdje æe stajati kovèeg i zaklanjahu heruvimi kovèeg i poluge njegove ozgo.
9 Miti ilikuwa mirefu sana kwamba ncha zake zlionekana kutoka ile sehemu takatifu mbele ya chumba cha andani, lakini hazikuweza kuonekana kutoka nje. Zipo hapo hadi leo.
I povukoše mu poluge tako da im se krajevi viðahu od kovèega na prednjoj strani svetinje nad svetinjama, ali se napolje ne viðahu, i ostaše ondje do danas.
10 Hapakuwa na kitu katika sanaduku isipokuwa zile meza mbili ambazo Musa aliziweka humo huko Horebu, wakati Mungu alipofanya agano na watu wa Israeli, walipotoka nje ya Misri.
U kovèegu ne bješe ništa osim dvije ploèe koje metnu Mojsije na Horivu kad Gospod uèini zavjet sa sinovima Izrailjevijem pošto izidoše iz Misira.
11 Ilikuwa makuhani walipotoka nje ya sehemu takatifu. Makuhanai wote wliokuwepo wakajiweka wakifu wenyewe kwa Yahwe, bila kujiamuru wenyewe kulingana na sehemu zao.
A kad sveštenici izidoše iz svetinje, jer sveštenici koji se naðoše osveštaše se ne pazeæi na red,
12 Pia makuhani waliokuwa waimbaji, wote kwa ujumla wao, pamoja na Asafu, Hemani, Yeduthuni, na wana wao na ndugu zao, wakiwa wamevalia kitani safi na wakipiga matoazi, vinanda, na vinubi, wakaasimama upande wa mashariki wa mwisho wa madhabahu. Pamoja nao palikuwa na makuhuni 120 wakipuliza tarumbeta.
I Leviti pjevaèi svi, koji bijahu uz Asafa i Emana i Jedutuna, i sinovi njihovi i braæa njihova, obuèeni u tanko platno, stajahu s kimvalima i psaltirima i s guslama s istoène strane oltaru, i s njima sto i dvadeset sveštenika, koji trubljahu u trube,
13 Ikawa kwamba wapuruza tarumbeta na waimbaji wakafanya mziki pamoja, wakifanya sauti moja isikike kwa ajili ya kumsifu na kumshukuru Yahwe. Walipaza sauti zao kwa tarumbeta, toazi na vyombo vingine, na wakamsifu Yahwe. Wakaimba, “Kwa maana Yeye ni mwema, kwa kuwa uaminifu wa agano lake wadumu milele.” Kisha nyumba, ile nyumba ya Yahwe, ikajawa na wingu.
I kad oni koji trubljahu u trube i koji pjevahu, složno jednijem glasom hvaljahu i slavljahu Gospoda, i kad podizahu glas uz trube i kimvale i gusle, hvaleæi Gospoda da je dobar, da je dovijeka milost njegova, tada se napuni oblaka dom Gospodnji,
14 Makuhani hawakuweza kusimama ili wahudumu kwa sababu ya lile wingu, kwa maana utukufu wa Yahwe uliijaza nyumba yake.
Te ne mogahu sveštenici stajati da služe od oblaka, jer se slave Gospodnje napuni dom Božji.

< 2 Nyakati 5 >