< 2 Nyakati 5 >

1 Wakati ilipomalizika kazi aliyofanya Selemani kwa ajili ya Yahwe, Selemani akapeleka vitu ndani, ambavyo Daudi, baba yake, aliviweka wakifu kwa kusudi hilo, pamoja na zile fedha, dhahabu, na vyombo vyote akavileta ndani ya hazina ya nyumba ya Mungu.
Ke Tokosra Solomon el aksafyela orekma nukewa ke Tempul, el filiya ma nukewa ma David, papa tumal, el tuh kisakunla nu sin LEUM GOD (silver, gold, ac ma pac saya) tuh in oan in nien filma in Tempul.
2 Kisha Selemanai akawakusanya wazee wa Israeli, wakuu wa makabila yote, na viongozi wa familia za watu wa Israeli, katika Yerusalemu, ili walilete sanduku la agano la Yahwe kutoka mji wa Daudi, ambao ni Sayuni.
Na Tokosra Solomon el pangon mwet kol nukewa lun sruf ac sou lulap lun Israel tuh elos in tukeni nu Jerusalem, tuh elos in us Tuptup in Wuleang lun LEUM GOD liki Zion, Siti sel David, nu in Tempul.
3 Wanaume wote wa Israeli wakakusanyika mbele za mfalme katika sikukuu, ambayo ilikuwa katika mwezi wa saba.
Elos nukewa fahsreni ke pacl in Kufwen lwen Aktuktuk.
4 Wazee wote wa Israeli wakaja, na Walawi wakalichukua sanduku.
Ke pacl se mwet kol nukewa fahsreni, na mwet Levi elos srukak Tuptup in Wuleang,
5 Wakalileta sanduku, hema ya kukutania, na vyombo vitakatifu vyote ambavyo vilikuwa ndani ya hema. Makuhani waliokuwa wa kabila la Lawi wakavileta vtu hivyo.
ac us nu ke Tempul. Mwet tol ac mwet Levi elos oayapa moklela Lohm Nuknuk Mutal sin LEUM GOD ac ma nukewa kac, nu ke Tempul uh.
6 Mfalme Selemanai na kusanyiko lote la Israeli wakaja pamoja, mbele ya sanduku, wakitoa sadaka za kondoo na maksai ambao hawakuweza kuhesabika.
Tokosra Solomon ac mwet Israel nukewa elos toeni sisken na Tuptup in Wuleang, ac elos kisakin sheep ac cow na pukanten su kofla in oaoala.
7 Makuhani wakalileta sanduku la anago la Yahwe ndani mahali pake, katika chumba cha ndani cha nyumba, kwenye patakatifu pa patakatifu, chini ya mabawa ya makerubi.
Na mwet tol elos us Tuptup in Wuleang lun LEUM GOD nu in Tempul, ac likiya in Acn Mutal Na Mutal, ye cherub luo.
8 Kwa kuwa makerubi walitandaza mabawa yao juu ya mahali pa sanduku, na walilifunika sanduku na na miti yake ya kulibebea.
Posohksok lalos asrosrla ac afinya Tuptup sac oayapa sak usyen Tuptup sac.
9 Miti ilikuwa mirefu sana kwamba ncha zake zlionekana kutoka ile sehemu takatifu mbele ya chumba cha andani, lakini hazikuweza kuonekana kutoka nje. Zipo hapo hadi leo.
Pukun sak inge ku in liyeyuk mwet se fin tu suwohs nu kac ke mutun Acn Mutal Na Mutal, tuh tia ku in liyeyuk ke kutena acn saya. (Sak inge srakna oasr we nwe misenge.)
10 Hapakuwa na kitu katika sanaduku isipokuwa zile meza mbili ambazo Musa aliziweka humo huko Horebu, wakati Mungu alipofanya agano na watu wa Israeli, walipotoka nje ya Misri.
Wangin kutena ma in Tuptup in Wuleang sac sayen eot sim luo ma Moses el tuh filiya loac Fineol Sinai, ke LEUM GOD El tuh orala wuleang yurin mwet Israel ke elos tuku liki acn Egypt.
11 Ilikuwa makuhani walipotoka nje ya sehemu takatifu. Makuhanai wote wliokuwepo wakajiweka wakifu wenyewe kwa Yahwe, bila kujiamuru wenyewe kulingana na sehemu zao.
Ke mwet tol elos illa liki acn mutal uh (mwet tol nukewa su oasr in acn sac elos tuh akmutalyalos sifacna, mansis u se su lalos,
12 Pia makuhani waliokuwa waimbaji, wote kwa ujumla wao, pamoja na Asafu, Hemani, Yeduthuni, na wana wao na ndugu zao, wakiwa wamevalia kitani safi na wakipiga matoazi, vinanda, na vinubi, wakaasimama upande wa mashariki wa mwisho wa madhabahu. Pamoja nao palikuwa na makuhuni 120 wakipuliza tarumbeta.
ac mwet on nukewa lun mwet Levi — Asaph, Heman, Jeduthun, ac wen natulos ac sou lalos — los nukewa nukum nuknuk linen. Mwet Levi elos tu apkuran nu ke layen kutulap in loang sac, wi cymbal ac harp natulos, ac oayapa wi mwet tol siofok longoul su uk mwe ukuk.)
13 Ikawa kwamba wapuruza tarumbeta na waimbaji wakafanya mziki pamoja, wakifanya sauti moja isikike kwa ajili ya kumsifu na kumshukuru Yahwe. Walipaza sauti zao kwa tarumbeta, toazi na vyombo vingine, na wakamsifu Yahwe. Wakaimba, “Kwa maana Yeye ni mwema, kwa kuwa uaminifu wa agano lake wadumu milele.” Kisha nyumba, ile nyumba ya Yahwe, ikajawa na wingu.
Mwet on elos tukeni ke pusra sifanna in kaksakin ac sang kulo nu sin LEUM GOD. Ac ke pusren on uh ngisyak, wi pusren mwe ukuk ac cymbal ac kutu pac kain in mwe on, elos on ac fahk: “Kaksakin LEUM GOD mweyen El wo, Ac lungse lal oan ma pahtpat,” na lohm sac, lohm sin LEUM GOD, sessesla ke sie pukunyeng.
14 Makuhani hawakuweza kusimama ili wahudumu kwa sababu ya lile wingu, kwa maana utukufu wa Yahwe uliijaza nyumba yake.
Ouinge mwet tol elos koflana tafwela alu lalos ke sripen pukunyeng sac, tuh wolana lun LEUM GOD nwakla in lohm sac.

< 2 Nyakati 5 >