< 2 Nyakati 5 >

1 Wakati ilipomalizika kazi aliyofanya Selemani kwa ajili ya Yahwe, Selemani akapeleka vitu ndani, ambavyo Daudi, baba yake, aliviweka wakifu kwa kusudi hilo, pamoja na zile fedha, dhahabu, na vyombo vyote akavileta ndani ya hazina ya nyumba ya Mungu.
Saa blev alt Arbejdet færdigt, som Salomo lod gøre til Herrens Hus; og Salomo førte det ind, som David, hans Fader, havde helliget, og Sølvet og Guldet og alle Redskaberne lagde han i Guds Hus's Skatkammer.
2 Kisha Selemanai akawakusanya wazee wa Israeli, wakuu wa makabila yote, na viongozi wa familia za watu wa Israeli, katika Yerusalemu, ili walilete sanduku la agano la Yahwe kutoka mji wa Daudi, ambao ni Sayuni.
Da samlede Salomo til Jerusalem de Ældste i Israel og alle Stammernes Øverster, Fyrster for Fædrenehusene iblandt Israels Børn, for at føre Herrens Pagts Ark op fra Davids Stad, det er Zion.
3 Wanaume wote wa Israeli wakakusanyika mbele za mfalme katika sikukuu, ambayo ilikuwa katika mwezi wa saba.
Og alle Israels Mænd samledes til Kongen paa Højtiden, det er, i den syvende Maaned.
4 Wazee wote wa Israeli wakaja, na Walawi wakalichukua sanduku.
Og alle Israels Ældste kom, og Leviterne bare Arken.
5 Wakalileta sanduku, hema ya kukutania, na vyombo vitakatifu vyote ambavyo vilikuwa ndani ya hema. Makuhani waliokuwa wa kabila la Lawi wakavileta vtu hivyo.
Og de førte Arken op tillige med Forsamlingens Paulun og alle de hellige Redskaber, som vare i Paulunet; Præsterne, Leviterne, førte dem op.
6 Mfalme Selemanai na kusanyiko lote la Israeli wakaja pamoja, mbele ya sanduku, wakitoa sadaka za kondoo na maksai ambao hawakuweza kuhesabika.
Men Kong Salomo og al Israels Menighed, de, som vare samlede om ham foran Arken, ofrede smaat Kvæg og stort Kvæg, som ikke kunde tælles eller regnes for Mangfoldighed.
7 Makuhani wakalileta sanduku la anago la Yahwe ndani mahali pake, katika chumba cha ndani cha nyumba, kwenye patakatifu pa patakatifu, chini ya mabawa ya makerubi.
Saa førte Præsterne Herrens Pagts Ark til dens Sted, ind i Koret udi Huset i det Allerhelligste, hen under Kerubernes Vinger.
8 Kwa kuwa makerubi walitandaza mabawa yao juu ya mahali pa sanduku, na walilifunika sanduku na na miti yake ya kulibebea.
Og Keruberne udbredte Vingerne over Arkens Sted, og Keruberne dækkede over Arken og over dens Stænger oventil.
9 Miti ilikuwa mirefu sana kwamba ncha zake zlionekana kutoka ile sehemu takatifu mbele ya chumba cha andani, lakini hazikuweza kuonekana kutoka nje. Zipo hapo hadi leo.
Og man drog Stængerne langt ud, saa at man saa Knapperne paa Arkens Stænger lige for Koret, men udentil saa man dem ikke; og den blev der indtil denne Dag.
10 Hapakuwa na kitu katika sanaduku isipokuwa zile meza mbili ambazo Musa aliziweka humo huko Horebu, wakati Mungu alipofanya agano na watu wa Israeli, walipotoka nje ya Misri.
Der var intet i Arken uden de to Tavler, som Mose lagde deri ved Horeb, der Herren gjorde Pagt med Israels Børn, der de droge ud af Ægypten.
11 Ilikuwa makuhani walipotoka nje ya sehemu takatifu. Makuhanai wote wliokuwepo wakajiweka wakifu wenyewe kwa Yahwe, bila kujiamuru wenyewe kulingana na sehemu zao.
Og det skete, der Præsterne gik ud af det Hellige (thi alle Præster, som fandtes, havde helliget sig, saa at de ikke holdt sig efter Skifterne;
12 Pia makuhani waliokuwa waimbaji, wote kwa ujumla wao, pamoja na Asafu, Hemani, Yeduthuni, na wana wao na ndugu zao, wakiwa wamevalia kitani safi na wakipiga matoazi, vinanda, na vinubi, wakaasimama upande wa mashariki wa mwisho wa madhabahu. Pamoja nao palikuwa na makuhuni 120 wakipuliza tarumbeta.
og Leviterne, Sangerne, alle sam men, baade Asaf, Heman og Jeduthun og deres Børn og deres Brødre, iførte kosteligt Linklæde, med Cymbler og med Psaltre og Harper, stode Østen ved Alteret og hos dem hundrede og tyve Præster, som blæste i Basunerne);
13 Ikawa kwamba wapuruza tarumbeta na waimbaji wakafanya mziki pamoja, wakifanya sauti moja isikike kwa ajili ya kumsifu na kumshukuru Yahwe. Walipaza sauti zao kwa tarumbeta, toazi na vyombo vingine, na wakamsifu Yahwe. Wakaimba, “Kwa maana Yeye ni mwema, kwa kuwa uaminifu wa agano lake wadumu milele.” Kisha nyumba, ile nyumba ya Yahwe, ikajawa na wingu.
ja det skete, der de som een Mand blæste i Basuner og sang for enstemmigt at lade sig høre med Lov og Tak til Herren, og der de opløftede Røsten med Basuner og med Cymbler og med andre Sanginstrumenter, og der de lovede Herren, at han er god, og hans Miskundhed er evindelig: Da blev Huset i Herrens Hus fyldt med en Sky.
14 Makuhani hawakuweza kusimama ili wahudumu kwa sababu ya lile wingu, kwa maana utukufu wa Yahwe uliijaza nyumba yake.
Og Præsterne kunde ikke staa og gøre Tjeneste for Skyen; thi Herrens Herlighed fyldte Guds Hus.

< 2 Nyakati 5 >