< 2 Nyakati 4 >

1 Vivile akatengeneza madhabahu ya shaba; urefu wake ulikuwa mikono ishirini, na upana wake ulikuwa mikono ishirini.
Mbore namboara’e kitrely torisike, kiho roapolo ty andava’e naho kiho roapolo ty ampohe’e vaho kiho folo ty haabo’e.
2 Pia akatengeneza bahari ya mduara ya chuma cha kuyeyushwa, mikono kumi kutoka ukingo hadi ukingo. Urefu wake kwenda juu ulikuwa mikono mitano, na bahari ilikuwa na mzunguko wa mikono thelatinini.
Nam­boara’e riake trinanake kiho folo an-tsoñi’e pak’ an-tsoñi’e, bontoly izay, kiho lime ty haabo’e vaho taly telopolo kiho ty naha-arikatok’ aze.
3 Chini ya kingo kuzunguka bahari kulikuwapo ng'ombe dume, kumi kila mkono,
Ambane’e eo ty sare añombe nañariary aze; folo ami’ty kiho raike; nañarikatoke i riakey; trinanak’ ama’e ty añombe nifanoitoy, roe mifamalahañe ty nampitranahañe aze,
4 Bahari ilisimama juu ya ng'ombe wa kulima kumi na wawili, watatu wakiangalia kaskazini, watatu wakiangalia magharibi, na watatu wakiangalia kusini, na watatu wakiangalia mashariki. Bahari iliwekwa juu yao, na robo ya sehemu zao za nyuma zote zilikuwa ndani.
le nasampe ambone’ ty añombe folo ro’amby izay, telo ty nitolike mañavaratse, telo ty nitolike mañandrefa naho telo ty nitolike mañatimo vaho telo ty nitolike maniñana; ambone’ iareo i riakey; sindre nitolike ao ty voli’ iareo.
5 Bahari ilikuwa nene kama upana wa mkono, na ukingo wake ulikuwa kama ukingo wa kikombe, kama ua la yungi. Bahari ilikuwa na mabafu elfu tatu ya maji.
Ampohem-pitàñe ty hateve’e, le nanoeñe satan-tsoñim-pitovy ty soñi’e nanahake voñem-binda vaho bate telo-arivo ty naha-pea aze.
6 Pia akatengeneza birika kumi kwa ajili ya kuoshea vitu; tano akaziweka mkono wa kulia, na tano akaziweka kushoto; vifaa vilivyotumika katika kufanayia sadaka za kuteketezwa zilipaswa kuoshwa ndani ya hizo birika. Bahari, vilevile ilikuwa kwa ajili ya makauhani kuoga humo.
Le namboara’e sajoam-panasàñe folo, napo’e am-pitàn-kavana eo ty lime naho ankavia eo ty lime ho fanasañe; nilioveñe am’ iereo o haraom-pisoroñañeo, fe fisasàm-pisoroñe i riakey.
7 Akatengeza vinara vya taa kumi vya dhahabu ambavyo vilitengenezwa kutokana na maelekezo ya jinsi vilivyopaswa kuwa; akaviweka hekaluni, vitanao mkno wa kulia, na vitano mkono wa kushoto.
Le namboara’e fitàn-jiro volamena folo amy sata natoroy, le napo’e amy kivohoy, lime ty an-kavana vaho lime ty ankavia.
8 Akatengeneza meza kumi na kuziweka hekaluni, tano upande wa kulia, na tano upande wa kushoto. Akatengeneza birika mia moja za dhahabu.
Le nandranjia’e latabatse folo vaho napo’e amy kivohoy, lime ty an-kavana naho lime ty ankavia. Le nitsenea’e kovete volamena zato,
9 Zaidi ya hayo akatengeneza mahakama ya makuhani na mahakama kuu, na milangu kwa ajili ya mahakama, akaifunika milango yake kwa shaba.
Le namboare’e ty kiririsam-pisoroñe naho ty kiririsa-bey naho ty lalambei’ i kiririsay vaho nipakora’e torisike o lalambei’eo.
10 Akaiweka bahari upande wa kulia wa nyumba, masharika, ikielekea upande wa kusini.
Le najado’e an-kavana’ i trañoy, mañatimo i riakey.
11 Huramu akayatengeza masufuria, majembe, na mabakuli ya kunyunyizia. Hivyo Huramu akamaliza kazi aliyofanya kwa ajili ya mfalme Selemani katika nyumba ya Mungu:
Tsinene’ i Korame ka o valàñeo naho o sadròo naho o koveteo. Aa le nifonira’ i Korame o fitoloñañe nanoe’e ho a i Selomò mpanjaka añ’ anjomban’ Añahareo:
12 zile nguzo mbili, taji mfano wa upinde zilizo kuwa juu ya zile nguzo mbili, na nyavu mbili za za mapambo zilizofunika zile taji mbili mfano wa upinde zilizokuwa juu ya zile nguzo.
i fahañe roe rey, i lima rey naho i loha roe ambone’ i fahañe rey naho ty tsin­garakarake roe nanaroñe ty lima roe’ i loha’e rey;
13 Alikuwa ametengeneza makomamanga mia nne kwa ajili ya zile nyavu za mapambo: safu mbili za makomamanga kwa kila wavu ili kufunika vimbe mbili zilizo kuwa juu ya nguzo.
naho ty voan-dagoa efa-jato amy tsingarakarake roe rey; songa tsingarakarake amam-boan-dagoa midadañe roe, hanaroñe ty lima roe’ o loha’e ambone’ i fahañe reio.
14 Pia akavitengeneza vitako na mabirika juu ya kitako,
Namboare’e ka o kalesio naho nanoe’e ambone’ o kalesio o kovete fanasañeo;
15 bahari moja na wale ng'ombe kumi na wawili chini yake,
i riakey naho ty añombe folo-ro’amby ambane’e eo.
16 pia masufuria, majembe, nyuma za nyama, na vyombo vingine vyote. Huramu mtaalamu akavifanya kwa ajili ya Mfalme Selemani, kwa ajili ya nyumba ya Yahwe, vya shaba iliyong'arishwa.
Le namboare’ i Korame mpi­tsene mahimbañe ho a i Selomò mpanjaka, ho añ’anjomba’ Iehovà, an-torisike miloeloe ka o valàñeo naho o sadroo naho o fikavitseo vaho o fanake iabio.
17 Mfalme alikuwa amevisubu katika uwanda wa Yordani, katika udongo wa mfinyanzi kati kati ya Sukothi na Sereda.
Amonto’ Iordaney añe ty nampitranaha’ i mpanjakay irezay, an-tane lietse añivo’ i Sokote naho i Tseredatà eo.
18 Hivyo ndivyo Selemani alivyovitengeneza vyombo vyote kwa wingi; kwa kweli, uzito wa shaba haukuweza kujulikana.
Aa le namboatse fanake maro t’i Selo­mò; amy te tsy nihay iaheñe ty lanja’ o torisìkeo.
19 Selemani akazitengeza samani zote ambazo zilikuwa kwenye nyumba ya Mungu, pia madhabahu ya dhahabu, na meza ambazo juu yake mkate wa uwepo ulipaswa kuwekwa;
Le namboare’ i Selomò ze hene fanake añ’ anjomban’Añahare ao naho i kitrely volamenay naho i rairay fampipohañe o mofo fiatrekeoy;
20 vinara pamoja na taa zake, ambazo zilitengezwa ili kumulika mbele ya chumba cha ndani—hivi vilitengenezwa kwa dhahabu halisi;
naho o fitàn-jiroo rekets’ o jiro’eo am-bolamena ki’e, hirehetse aolo’ i toetse masiñey, ty amy fañèy;
21 na maua, taa, na makoleo, ya dhahabu, dhahabu safi.
naho o voñeo naho o failoo naho o fikavi­tseo, am-bolamena, toe volamena ki’e;
22 Pia mikasi ya taa, na mabakuli, vijiko, na vikaango vya sadaka za kuteketezwa vyote vilitengenezwa kwa dhahabu safi. Kuhusu mlanago wa kuingilia kwenye nyumba, milango yake ya ndani kwenye patakatifu pa patakatifu na milango ya nyumba, ambayo ni, ya hekalu, ilitengenezwa kwa dhahabu.
naho o mpampikipeo naho o koveteo naho o endraendrao vaho o sadron’ afoo, am-bolamena ki’e. Le hene am-bolamena ty fimoahañe añ’anjomba ao, o lalambei’ i toetse miavake do’e añate’eoy naho o lalambei’ i anjombaio (toe i kivohoy).

< 2 Nyakati 4 >