< 2 Nyakati 4 >

1 Vivile akatengeneza madhabahu ya shaba; urefu wake ulikuwa mikono ishirini, na upana wake ulikuwa mikono ishirini.
Hän teki alttarin vaskesta, kahtakymmentä kyynärää pitkän, kahtakymmentä kyynärää leveän ja kymmentä kyynärää korkean.
2 Pia akatengeneza bahari ya mduara ya chuma cha kuyeyushwa, mikono kumi kutoka ukingo hadi ukingo. Urefu wake kwenda juu ulikuwa mikono mitano, na bahari ilikuwa na mzunguko wa mikono thelatinini.
Hän teki myös meren, valetun, kymmentä kyynärää leveän reunasta reunaan, ympärinsä pyöreän, ja viittä kyynärää korkean; ja kolmenkymmenen kyynärän pituinen mittanuora ulottui sen ympäri.
3 Chini ya kingo kuzunguka bahari kulikuwapo ng'ombe dume, kumi kila mkono,
Ja sen alaosassa oli yltympäri raavaankuvia, jotka kulkivat sen ympäri; ne ympäröivät merta yltympäri, kymmenen kullakin kyynärällä. Raavaita oli kahdessa rivissä, valettuina meren kanssa yhteen.
4 Bahari ilisimama juu ya ng'ombe wa kulima kumi na wawili, watatu wakiangalia kaskazini, watatu wakiangalia magharibi, na watatu wakiangalia kusini, na watatu wakiangalia mashariki. Bahari iliwekwa juu yao, na robo ya sehemu zao za nyuma zote zilikuwa ndani.
Ja se seisoi kahdentoista raavaan varassa, joista kolme oli käännettynä pohjoiseen, kolme länteen, kolme etelään ja kolme itään päin; meri oli niiden yläpuolella, niiden varassa, ja kaikkien niiden takapuolet olivat sisään päin.
5 Bahari ilikuwa nene kama upana wa mkono, na ukingo wake ulikuwa kama ukingo wa kikombe, kama ua la yungi. Bahari ilikuwa na mabafu elfu tatu ya maji.
Se oli kämmenen paksuinen, ja sen reuna oli maljan reunan kaltainen, puhjenneen liljan muotoinen. Siihen mahtui, se veti kolmetuhatta bat-mittaa.
6 Pia akatengeneza birika kumi kwa ajili ya kuoshea vitu; tano akaziweka mkono wa kulia, na tano akaziweka kushoto; vifaa vilivyotumika katika kufanayia sadaka za kuteketezwa zilipaswa kuoshwa ndani ya hizo birika. Bahari, vilevile ilikuwa kwa ajili ya makauhani kuoga humo.
Hän teki myös kymmenen allasta ja asetti viisi oikealle puolelle ja viisi vasemmalle puolelle pesemistä varten; sillä niissä huuhdottiin se, mikä kuului polttouhriin. Mutta meri oli pappien peseytymistä varten.
7 Akatengeza vinara vya taa kumi vya dhahabu ambavyo vilitengenezwa kutokana na maelekezo ya jinsi vilivyopaswa kuwa; akaviweka hekaluni, vitanao mkno wa kulia, na vitano mkono wa kushoto.
Hän teki myös kymmenen kultaista lampunjalkaa, niinkuin niistä oli säädetty, ja pani ne temppelisaliin, viisi oikealle puolelle ja viisi vasemmalle puolelle.
8 Akatengeneza meza kumi na kuziweka hekaluni, tano upande wa kulia, na tano upande wa kushoto. Akatengeneza birika mia moja za dhahabu.
Hän teki myös kymmenen pöytää ja asetti ne temppelisaliin, viisi oikealle puolelle ja viisi vasemmalle puolelle. Hän teki myös sata kultamaljaa.
9 Zaidi ya hayo akatengeneza mahakama ya makuhani na mahakama kuu, na milangu kwa ajili ya mahakama, akaifunika milango yake kwa shaba.
Ja hän teki pappien esipihan ja suuren esikartanon sekä esikartanon ovet; ja ovet hän päällysti vaskella.
10 Akaiweka bahari upande wa kulia wa nyumba, masharika, ikielekea upande wa kusini.
Ja meren hän asetti oikealle sivulle, kaakkoa kohti.
11 Huramu akayatengeza masufuria, majembe, na mabakuli ya kunyunyizia. Hivyo Huramu akamaliza kazi aliyofanya kwa ajili ya mfalme Selemani katika nyumba ya Mungu:
Huuram teki myös kattilat, lapiot ja maljat. Ja niin Huuram sai suoritetuksi työn, mikä hänen oli tehtävä kuningas Salomolle Jumalan temppeliin:
12 zile nguzo mbili, taji mfano wa upinde zilizo kuwa juu ya zile nguzo mbili, na nyavu mbili za za mapambo zilizofunika zile taji mbili mfano wa upinde zilizokuwa juu ya zile nguzo.
kaksi pylvästä ja kaksi palloa, pylväänpäätä, pylväiden päähän, ja kaksi ristikkokoristetta peittämään kahta pallonmuotoista pylväänpäätä, jotka olivat pylväitten päässä,
13 Alikuwa ametengeneza makomamanga mia nne kwa ajili ya zile nyavu za mapambo: safu mbili za makomamanga kwa kila wavu ili kufunika vimbe mbili zilizo kuwa juu ya nguzo.
ja neljäsataa granaattiomenaa kahteen ristikkokoristeeseen, kaksi riviä granaattiomenia kumpaankin ristikkokoristeeseen, peittämään kahta pallonmuotoista pylväänpäätä, jotka olivat pylväitten päällä.
14 Pia akavitengeneza vitako na mabirika juu ya kitako,
Ja hän teki telineet ja teki altaat telineitten päälle,
15 bahari moja na wale ng'ombe kumi na wawili chini yake,
Ja yhden meren ja kaksitoista raavasta sen alle.
16 pia masufuria, majembe, nyuma za nyama, na vyombo vingine vyote. Huramu mtaalamu akavifanya kwa ajili ya Mfalme Selemani, kwa ajili ya nyumba ya Yahwe, vya shaba iliyong'arishwa.
Ja kattilat, lapiot ja haarukat ynnä kaikki niihin kuuluvat kalut Huuram-Aabiv teki kuningas Salomolle Herran temppeliin kiilloitetusta vaskesta.
17 Mfalme alikuwa amevisubu katika uwanda wa Yordani, katika udongo wa mfinyanzi kati kati ya Sukothi na Sereda.
Jordanin lakeudella kuningas ne valatti savimuotteihin, Sukkotin ja Seredan välillä.
18 Hivyo ndivyo Selemani alivyovitengeneza vyombo vyote kwa wingi; kwa kweli, uzito wa shaba haukuweza kujulikana.
Ja Salomo teetti kaikkia näitä kaluja ylen paljon, sillä vasken painoa ei määrätty.
19 Selemani akazitengeza samani zote ambazo zilikuwa kwenye nyumba ya Mungu, pia madhabahu ya dhahabu, na meza ambazo juu yake mkate wa uwepo ulipaswa kuwekwa;
Salomo teetti myös kaikki kalut, joita tuli olla Herran temppelissä: kulta-alttarin, pöydät, joilla näkyleivät olivat,
20 vinara pamoja na taa zake, ambazo zilitengezwa ili kumulika mbele ya chumba cha ndani—hivi vilitengenezwa kwa dhahabu halisi;
lampunjalat lamppuineen, jotka oli sytytettävä säädetyllä tavalla kaikkeinpyhimmän eteen, puhtaasta kullasta,
21 na maua, taa, na makoleo, ya dhahabu, dhahabu safi.
kultaisine kukkalehtineen, lamppuineen ja lamppusaksineen-puhtainta kultaa;
22 Pia mikasi ya taa, na mabakuli, vijiko, na vikaango vya sadaka za kuteketezwa vyote vilitengenezwa kwa dhahabu safi. Kuhusu mlanago wa kuingilia kwenye nyumba, milango yake ya ndani kwenye patakatifu pa patakatifu na milango ya nyumba, ambayo ni, ya hekalu, ilitengenezwa kwa dhahabu.
veitset, maljat, kupit ja hiilipannut puhtaasta kullasta; ja temppelin oviaukkojen sisemmät ovet, jotka veivät kaikkeinpyhimpään, sekä ne temppelin ovet, jotka veivät temppelisaliin, kullasta.

< 2 Nyakati 4 >