< 2 Nyakati 4 >

1 Vivile akatengeneza madhabahu ya shaba; urefu wake ulikuwa mikono ishirini, na upana wake ulikuwa mikono ishirini.
Hahoi, rahum khoungroe, ayung dong 20, adangka dong 20, arasang dong 10 touh a sak.
2 Pia akatengeneza bahari ya mduara ya chuma cha kuyeyushwa, mikono kumi kutoka ukingo hadi ukingo. Urefu wake kwenda juu ulikuwa mikono mitano, na bahari ilikuwa na mzunguko wa mikono thelatinini.
Hahoi rahum tuiim hah, a tâphai hoi a tâphai rahak dong 10, arasang dong 5 touh e hah a sak. A tâphai petkâkalup lah dong 30 touh a pha.
3 Chini ya kingo kuzunguka bahari kulikuwapo ng'ombe dume, kumi kila mkono,
A tâphai rahim lah tuium ka yam e mei ni koung a ramuk teh dong touh dawk hrahra touh rahum tuiim petkâkalup lah ao. Tuiumkung mei teh 20 touh lah ao teh, rahum tuiim dawk mek hlunsin lah ao.
4 Bahari ilisimama juu ya ng'ombe wa kulima kumi na wawili, watatu wakiangalia kaskazini, watatu wakiangalia magharibi, na watatu wakiangalia kusini, na watatu wakiangalia mashariki. Bahari iliwekwa juu yao, na robo ya sehemu zao za nyuma zote zilikuwa ndani.
Hahoi, maitotan 12 touh dawk patue e lah ao. Kathum touh atunglah a kangvawi teh, kathum touh kanîloumlah a kangvawi, kathum touh akalah a kangvawi teh, kathum touh kanîtholah a kangvawi. A hnuklah laheibaw koung a kâhmo sak.
5 Bahari ilikuwa nene kama upana wa mkono, na ukingo wake ulikuwa kama ukingo wa kikombe, kama ua la yungi. Bahari ilikuwa na mabafu elfu tatu ya maji.
Tuiim teh kut sum touh hane a tha, a tâphai teh manang tâphai patetlah ao teh, lili pei hoi pahlawng e lah ao teh, bath tuium 3,000 touh a cawng.
6 Pia akatengeneza birika kumi kwa ajili ya kuoshea vitu; tano akaziweka mkono wa kulia, na tano akaziweka kushoto; vifaa vilivyotumika katika kufanayia sadaka za kuteketezwa zilipaswa kuoshwa ndani ya hizo birika. Bahari, vilevile ilikuwa kwa ajili ya makauhani kuoga humo.
Pâsu nahanelah kawlung 10 touh a sak teh, avoilah panga touh, aranglah panga touh a ta. Hotnaw teh hmaisawi thuengnae poe hane pâsu nahanelah ao teh, rahum tuiim teh vaihmanaw kamhluk nahanelah doeh.
7 Akatengeza vinara vya taa kumi vya dhahabu ambavyo vilitengenezwa kutokana na maelekezo ya jinsi vilivyopaswa kuwa; akaviweka hekaluni, vitanao mkno wa kulia, na vitano mkono wa kushoto.
Sui hmaikhoknaw hra touh hai ahmaloe e patetlah a sak teh, Bawkim thung avoilah panga touh, aranglah panga touh a hruek.
8 Akatengeneza meza kumi na kuziweka hekaluni, tano upande wa kulia, na tano upande wa kushoto. Akatengeneza birika mia moja za dhahabu.
Caboi hra touh a sak teh, Bawkim thung avoilah panga touh, aranglah panga touh a hruek. Hahoi suikawlung 100 touh hai a sak.
9 Zaidi ya hayo akatengeneza mahakama ya makuhani na mahakama kuu, na milangu kwa ajili ya mahakama, akaifunika milango yake kwa shaba.
Hothloilah, vaihmanaw hanelah thongma hoi, alawilah thongma kakawpoung hah a sak teh, thopui hai a sak teh, tho teh rahum hoi a betsin.
10 Akaiweka bahari upande wa kulia wa nyumba, masharika, ikielekea upande wa kusini.
Tuiim teh im e aranglah, kanîtholah, akalah kangvawi lah a hruek.
11 Huramu akayatengeza masufuria, majembe, na mabakuli ya kunyunyizia. Hivyo Huramu akamaliza kazi aliyofanya kwa ajili ya mfalme Selemani katika nyumba ya Mungu:
Huram ni hlaam hoi hraba kawnnae hoi kawlung hah a sak. Hottelah Cathut im hanelah siangpahrang Solomon ni a sak pouh e thaw teh, Huram ni a cum pouh.
12 zile nguzo mbili, taji mfano wa upinde zilizo kuwa juu ya zile nguzo mbili, na nyavu mbili za za mapambo zilizofunika zile taji mbili mfano wa upinde zilizokuwa juu ya zile nguzo.
Hlaam patetlah ka co e khom kahni touh e a som vah, ailo patetlah ka co e kahni touh hoi khom e som dawk e ailo patetlah ka co ni teh ka kâkayo e dawk tarikcik e kahni touh hoi,
13 Alikuwa ametengeneza makomamanga mia nne kwa ajili ya zile nyavu za mapambo: safu mbili za makomamanga kwa kila wavu ili kufunika vimbe mbili zilizo kuwa juu ya nguzo.
Hote kâkayonae tarikcik kahni touh hanelah talepaw cumpali touh hoi, khom kahni touh e som dawk ailo patetlah ka co e kayo nahane tarikcik reira lah talepaw a rui kahni touh reira hoi a sak.
14 Pia akavitengeneza vitako na mabirika juu ya kitako,
Khoungroe hoi khoungroe dawk pâhung e kawlung hai a sak.
15 bahari moja na wale ng'ombe kumi na wawili chini yake,
Tuiim buet touh hoi a rahim vah maitotan 12 touh hoi hlaamnaw, hrabanaw kawnnae hoi, cingconaw, hoi hlaumhlaamnaw pueng hai a sak.
16 pia masufuria, majembe, nyuma za nyama, na vyombo vingine vyote. Huramu mtaalamu akavifanya kwa ajili ya Mfalme Selemani, kwa ajili ya nyumba ya Yahwe, vya shaba iliyong'arishwa.
Solomon siangpahrang hanelah Huram ni a sak e BAWIPA e im dawk e puengcangnaw pueng teh loukloukkaang e rahum hoi koung sak e lah ao.
17 Mfalme alikuwa amevisubu katika uwanda wa Yordani, katika udongo wa mfinyanzi kati kati ya Sukothi na Sereda.
Hotnaw teh, Jordan tanghling Sukkoth kho hoi Zeredah kho rahak tangpung talai hmuen koe siangpahrang ni a sak.
18 Hivyo ndivyo Selemani alivyovitengeneza vyombo vyote kwa wingi; kwa kweli, uzito wa shaba haukuweza kujulikana.
Hot patetlah, Solomon ni hnopai moikapap a sak teh, rahum teh boeba khing thai lah awm hoeh.
19 Selemani akazitengeza samani zote ambazo zilikuwa kwenye nyumba ya Mungu, pia madhabahu ya dhahabu, na meza ambazo juu yake mkate wa uwepo ulipaswa kuwekwa;
Solomon ni Cathut im vah hnopai kaawm e pueng a sak. suikhoungroe, vaiyei tanae caboi,
20 vinara pamoja na taa zake, ambazo zilitengezwa ili kumulika mbele ya chumba cha ndani—hivi vilitengenezwa kwa dhahabu halisi;
A hmuen kathounge koe paang hane hmaiimkhoknaw, hote hmaiim teh suituici hoi doeh a sak.
21 na maua, taa, na makoleo, ya dhahabu, dhahabu safi.
A pei hoi hmaiimnaw, paiteinaw hai suituici hoi a sak.
22 Pia mikasi ya taa, na mabakuli, vijiko, na vikaango vya sadaka za kuteketezwa vyote vilitengenezwa kwa dhahabu safi. Kuhusu mlanago wa kuingilia kwenye nyumba, milango yake ya ndani kwenye patakatifu pa patakatifu na milango ya nyumba, ambayo ni, ya hekalu, ilitengenezwa kwa dhahabu.
Paitei, tongben, pacen, hraba hlaamnaw pueng suituici hoi doeh sak e lah ao. Imthung kathoungpounge hmuen athung lae tho hoi Bawkim alawilah e thonaw hai sui hoi doeh a sak.

< 2 Nyakati 4 >