< 2 Nyakati 4 >

1 Vivile akatengeneza madhabahu ya shaba; urefu wake ulikuwa mikono ishirini, na upana wake ulikuwa mikono ishirini.
При това направи меден олтар, с дължина двадесет лакътя, а височина десет лакътя.
2 Pia akatengeneza bahari ya mduara ya chuma cha kuyeyushwa, mikono kumi kutoka ukingo hadi ukingo. Urefu wake kwenda juu ulikuwa mikono mitano, na bahari ilikuwa na mzunguko wa mikono thelatinini.
Направи още леяно море, с устие десет лакътя широко, кръгло изоколо, а с височина пет лакътя; и връв от тридесет лакътя го измерваше околовръст.
3 Chini ya kingo kuzunguka bahari kulikuwapo ng'ombe dume, kumi kila mkono,
И под устието му имаше образи на волове, които го обикаляха наоколо, по десет на един лакът; те обикаляха морето изоколо; воловете бяха на два реда, излеяни в едно цяло с него.
4 Bahari ilisimama juu ya ng'ombe wa kulima kumi na wawili, watatu wakiangalia kaskazini, watatu wakiangalia magharibi, na watatu wakiangalia kusini, na watatu wakiangalia mashariki. Bahari iliwekwa juu yao, na robo ya sehemu zao za nyuma zote zilikuwa ndani.
То стоеше на дванадесет вола; три гледаха към север, три гледаха към запад, три гледаха към юг, и три гледаха към изток, а морето стоеше върху тях; и задните части на всички бяха навътре.
5 Bahari ilikuwa nene kama upana wa mkono, na ukingo wake ulikuwa kama ukingo wa kikombe, kama ua la yungi. Bahari ilikuwa na mabafu elfu tatu ya maji.
Дебелината му беше една длан; а устието беше направено като устие на чаша, във вид на кремов цвят; и побираше, когато бе пълно, три хиляди вати вода,
6 Pia akatengeneza birika kumi kwa ajili ya kuoshea vitu; tano akaziweka mkono wa kulia, na tano akaziweka kushoto; vifaa vilivyotumika katika kufanayia sadaka za kuteketezwa zilipaswa kuoshwa ndani ya hizo birika. Bahari, vilevile ilikuwa kwa ajili ya makauhani kuoga humo.
Направи още десет умивалници, от които тури пет отдясно и пет от ляво на дома, за да мият в тях; там миеха това, което беше за всеизгаряне; морето обаче бе за да се мият в него свещениците.
7 Akatengeza vinara vya taa kumi vya dhahabu ambavyo vilitengenezwa kutokana na maelekezo ya jinsi vilivyopaswa kuwa; akaviweka hekaluni, vitanao mkno wa kulia, na vitano mkono wa kushoto.
Направи и десет златни светилника, според наставлението за тях, и тури ги в храма, пет отдясно и пет отляво.
8 Akatengeneza meza kumi na kuziweka hekaluni, tano upande wa kulia, na tano upande wa kushoto. Akatengeneza birika mia moja za dhahabu.
И направи десет трапези, които тури в храма, пет отдясно и пет отляво. Направи и сто златни легена.
9 Zaidi ya hayo akatengeneza mahakama ya makuhani na mahakama kuu, na milangu kwa ajili ya mahakama, akaifunika milango yake kwa shaba.
При това направи двора за свещениците, и големия двор, и порти за двора, и покри вратите им с зад.
10 Akaiweka bahari upande wa kulia wa nyumba, masharika, ikielekea upande wa kusini.
И постави морето от дясната страна на дома, към изток, къде юг.
11 Huramu akayatengeza masufuria, majembe, na mabakuli ya kunyunyizia. Hivyo Huramu akamaliza kazi aliyofanya kwa ajili ya mfalme Selemani katika nyumba ya Mungu:
Хирам направи и котлите, лопатите и легените Така Хирам свърши изработването на работите, които направи на цар Соломона за Божия дом:
12 zile nguzo mbili, taji mfano wa upinde zilizo kuwa juu ya zile nguzo mbili, na nyavu mbili za za mapambo zilizofunika zile taji mbili mfano wa upinde zilizokuwa juu ya zile nguzo.
двата стълба; изпъкналите части; двата капитела, които бяха на върха на стълбовете; двете мрежи за покриване двете изпъкнали части на капителите, които бяха на върховете на стълбовете;
13 Alikuwa ametengeneza makomamanga mia nne kwa ajili ya zile nyavu za mapambo: safu mbili za makomamanga kwa kila wavu ili kufunika vimbe mbili zilizo kuwa juu ya nguzo.
четиристотинте нарове за двете мрежи - два реда нарове за всяка мрежа - за да покриват двете изпъкнали части на капителите, които бяха върху стълбовете.
14 Pia akavitengeneza vitako na mabirika juu ya kitako,
Тоже направи подножията; направи и умивалниците върху подножията;
15 bahari moja na wale ng'ombe kumi na wawili chini yake,
и едното море с дванадесетте вола под него.
16 pia masufuria, majembe, nyuma za nyama, na vyombo vingine vyote. Huramu mtaalamu akavifanya kwa ajili ya Mfalme Selemani, kwa ajili ya nyumba ya Yahwe, vya shaba iliyong'arishwa.
Също и котлите, лопатите, вилиците и всичките им прибори майсторът му Хирам направи на цар Соломона за Господния дом от лъскава мед.
17 Mfalme alikuwa amevisubu katika uwanda wa Yordani, katika udongo wa mfinyanzi kati kati ya Sukothi na Sereda.
На Иорданското поле царят ги изля в глинената земя между Сокхот и Середата.
18 Hivyo ndivyo Selemani alivyovitengeneza vyombo vyote kwa wingi; kwa kweli, uzito wa shaba haukuweza kujulikana.
Така Соломон направи всички вещи, толкоз много, щото теглото на медта не можеше да се пресметне.
19 Selemani akazitengeza samani zote ambazo zilikuwa kwenye nyumba ya Mungu, pia madhabahu ya dhahabu, na meza ambazo juu yake mkate wa uwepo ulipaswa kuwekwa;
Също Соломон направи всички вещи, които бяха за Божия дом; и златния олтар; и трапезите, на които се полагаха присъствените хлябове;
20 vinara pamoja na taa zake, ambazo zilitengezwa ili kumulika mbele ya chumba cha ndani—hivi vilitengenezwa kwa dhahabu halisi;
и светилниците със светилата им, от чисто злато, за да горят пред светилището според наредбата;
21 na maua, taa, na makoleo, ya dhahabu, dhahabu safi.
и цветята, светилата и клещите, от злато, и то чисто злато;
22 Pia mikasi ya taa, na mabakuli, vijiko, na vikaango vya sadaka za kuteketezwa vyote vilitengenezwa kwa dhahabu safi. Kuhusu mlanago wa kuingilia kwenye nyumba, milango yake ya ndani kwenye patakatifu pa patakatifu na milango ya nyumba, ambayo ni, ya hekalu, ilitengenezwa kwa dhahabu.
и щипците, легените, темянниците и кадилниците, от чисто злато. А колкото за входа на дома, вътрешните му врати за в пресветото място, и вратите на дома, то ест, на храма, бяха от злато.

< 2 Nyakati 4 >