< 2 Nyakati 33 >

1 Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na mbili alipoanza kutawala, alitawala miaka hamsini na tano katika Yerusalemu.
Manassé avait douze ans en montant sur le trône, et il régna cinquante-cinq ans à Jérusalem.
2 Akafanya yalikuwa uovu katika macho ya Yahwe, kama yalivyo mambo ya machukizo ya mataifa ambao Yahwe alikuwa amewafukuza mbele ya watu wa Israeli.
Il fit le mal aux yeux de l’Eternel, imitant les abominations des peuples que l’Eternel avait dépossédés au profit des enfants d’Israël.
3 Kwa maana alizijenga tena sehemu za juu ambazo baba yake Hezekia alikuwa amezibomoa, na akajenga madhabahu kwa ajili ya mabaali, akatengeneza sanaamu za Maashera, na akaziinamia chini nyota zote za mbinguni na kuziabudu.
Il rétablit de nouveau les hauts lieux qu’Ezéchias, son père, avait détruits, érigea des autels aux Bealim, dressa des Achêra, se prosterna devant toute la milice céleste et l’adora.
4 Manase akajenga madhbahu za kipagani katika nyumba ya Yahwe, ingawa Yahwe alikuwa amemwamuru, “Ni katika Yerusalemu ambamo jina langu litawekwa milele”.
Il construisit des autels dans le temple du Seigneur, malgré cette parole de l’Eternel: "C’Est à Jérusalem que sera mon nom à jamais."
5 Alijenga madhabahu kwa ajili ya nyota zote za mbinguni katika vile viwanja viwili vya nyumba ya Yahwe.
Or, c’est en l’honneur de toute la milice céleste qu’il érigea des autels dans les deux parvis du temple.
6 Katika bonde la Beni Hinomu akawaweka wanaye katika moto. Akafanya misemo ya ubashiri, na uchawi, akassoma utabiri; akashauriana na wale waliozungumza na wafu na wale waliozungumza na na roho. Akafanaya maaovu mengi katika mcho ya Yahwe na alimfanya Mungu akasirike.
Il fit passer ses fils par le feu dans la vallée de Ben-Hinnôm, s’adonna aux augures, aux sortilèges, aux sorcelleries, et pratiqua les évocations et les divinations. Immense fut le mal qu’il fit aux yeux de l’Eternel pour l’irriter.
7 Ile sanamu ya Maashera aliyokuwa amefanya, akaipeleka katika nyumba ya Mungu. Ni kuhusu nyumba hii ambayo Mungu alikuwa amesema kwa Daudi na Selemani mwanaye; alikuwa amesema, “Ni katika nyumba hii na katika Yerusalemu, ambao nimeuchangua kutoka makabila yote ya Israeli, kwamba nitaliweka jina langu milele.
La statue de l’idole qu’il avait fabriquée, il la plaça dans le temple de Dieu, dont Dieu avait dit à David et à son fils Salomon: "C’Est dans ce temple, à Jérusalem, la ville élue entre toutes les tribus d’Israël, que je ferai résider à jamais mon nom.
8 Sitawaondoa tena watu wa Israeli katina nchi hii ambayo niliitoa kwa babu zao, ikiwa tu watakuwa makini katika kuyashika yote niliyowaamuru, kuzishika sheria zangu, amri zangu, na sheria zangu nilizowapa kupitia Musa.”
Je n’éloignerai plus les pas d’Israël du pays que j’ai assigné à vos pères, pourvu qu’ils accomplissent scrupuleusement ce que je leur ai prescrit, toute la loi, les statuts et les préceptes transmis par Moïse."
9 Manase akawaongoza Yuda na wakaaji wa Yerusalemu hata kufanya uovu zaidi kuliko hata watu wa mataifa ambao Yahwe alikuwa amewateketeza mbele za Israeli.
Mais Manassé induisit Juda et les habitants de Jérusalem à agir plus mal que les peuples exterminés par l’Eternel au profit des enfants d’Israël.
10 Yahwe akasema kwa Manase, na kwa watu wake wote, lakini hawakumsikiliza.
L’Eternel parla à Manassé et à son peuple, mais ils n’écoutèrent point.
11 Kwa hiyo Yahwe akaleta juu yao maamri jeshsi wa jeshi la Ashuru, ambao walimchukua Manase katika minyonyoro, wakamfunga kwa pingu, na wakampeleka Babeli.
Alors l’Eternel amena contre eux les chefs de l’armée du roi d’Assyrie; ils se saisirent de Manassé, qu’ils mirent aux fers, le lièrent avec des chaînes et l’emmenèrent à Babylone.
12 Manase alipokuwa katika dhika, alimuomba Yahwe, Mungu wake, na akajinyenyekesha sana mbele za Mungu wa babu zake.
Mais, dans sa détresse, il supplia l’Eternel, son Dieu, et s’humilia profondément devant le Dieu de ses pères.
13 Akaomba kwake; na Mungu akamsikiliza, na Mungu akasikia kuomba kwake na akamrudisha Yerusalemu, katika ufalme wake. Kisha Manase akafahamu kwamba Yahwe alikuwa Mungu.
Il l’implora, et Dieu l’exauça, entendit sa supplication, le ramena à Jérusalem sur son trône, et Manassé reconnut que le Seigneur est Dieu.
14 Baada ya hayo, manase akajenga ukuta wa nje ya mji wa Daudi, upande wa magharibi wa Gihoni, katika bonde, hadi kwenye lango la Samaki. Akauzungushia mlima wa Ofeli na akaupandisha ukuta hadi usawa mrefu sana. Akaweka maamri jeshi jasiri katika ngome zote za miji ya Yuda.
Après cela, il bâtit un mur extérieur à la Cité de David, à l’ouest, vers le Ghihôn, dans la vallée, jusqu’à la porte des Poissons; il le fit contourner l’Ophel et lui donna une grande hauteur; il établit aussi des chefs militaires dans toutes les villes fortes de Juda.
15 Akaipeleka mbali miungu yote ya kigeni, akaondoa sanamu zote kwenye nyumba ya Yahwe, na madhabahu zote ambazo alikuwa amejenga juu ya mlima wa nyumba ya Yahwe na katika Yerusalemu, na kuvitupa nje ya mji.
Il retira les dieux étrangers et l’idole du temple de l’Eternel, et tous les autels qu’il avait bâtis sur la montagne du temple de l’Eternel et à Jérusalem, et les jeta hors de la ville.
16 Akaijenga tena madhabahu ya Yahwe na juu yake akatoa sadaka za amani na sadaka za shukrani; akamwamuru Yuda amtumikie Yahwe, Mungu wa Israeli.
Il restaura l’autel de l’Eternel, y offrit des sacrifices de rémunération et de reconnaissance, et ordonna à Juda de servir l’Eternel, Dieu d’Israël.
17 Hata hivyo watu bado walitoa sadaka mahali pa sehemu za juu, lakini kwa Yahwe, Mungu wao pekee.
Mais le peuple continua à sacrifier sur les hauts lieux, toutefois, seulement à l’Eternel, leur Dieu.
18 Katika mambo mengine kuhusu Manase, maombi yake kwa Mungu wake, na maneno ya waonaji ambao walisema kwake katika jina la Yahwe, Mungu wa Israeli, tazama, yameandikwa miongoni mwa matendo ya wafalme wa Israeli.
Le reste de l’histoire de Manassé, la prière qu’il adressa à son Dieu, les oracles des Voyants qui lui parlèrent au nom de l’Eternel, Dieu d’Israël, tout cela est consigné dans l’histoire des rois d’Israël.
19 Katika matukio hayo kuna historia ya maombi yake, na jinsi Mungu alivyoguswa na maomabi hayo. Pia kuna kumbu kumbu ya dhambi zake zote na makosa yake, na sehemu ambako alikuwa amejenga sehemu za juu na kuzisimamisha Maashera na sanamu za kuchonga, kambla ya kujinyenyekesha mwenyewe — na imeandikwa kuhusu hayo katika tarehe ya waonaji. (Maandishi ya kale yanasema hivi, “tarehe ya Hozai,” ambayo ni maandishi ya kifungu asili. Lakini matoleo mengi ya kisasa yamesahihisha na kusomeka “tarehe ya waonaj” Pia, matoleo machache ya kisasa yanasema “tarehe ya waonaji”.).
Et sa prière, la façon dont Dieu l’exauça, tous ses péchés et son infidélité, les endroits où il bâtit des hauts lieux et dressa des Achêra et des idoles avant qu’il s’humiliât, tout cela se trouve consigné dans les paroles des Voyants.
20 Kwa hiyo Manase akalala na babu zake, na wakamzika katika nyumba yake mwenyewe. Amoni, mwaye, akawa mfalme katika nafasi yake.
Manassé s’endormit avec ses pères et fut enseveli dans sa maison. Son fils Amon lui succéda.
21 Amoni alikuwa na umri wa miaka ishirini na mbili alipoanza kutawala; alitawala miaka miwili katika Yerusalemu.
Amon avait vingt-deux ans en montant sur le trône, et il régna deux ans à Jérusalem.
22 Akafanya yaliyokuwa uovu katika macho ya Yaahwe, kama Manase, baba yake, alivyofanya. Amoni alitoa sadaka katika sanamau zote za kuchonga ambazo alitengeneza Manase baba yake, na aliziabudu.
Il fit le mal aux yeux de l’Eternel, à l’exemple de Manassé, son père. Toutes les idoles qu’avait fabriquées Manassé son père, Amon leur offrit des sacrifices et il les adora.
23 Hakujinyenyekesha mbele za Yahwe, kama baba yake Manase alivyokuwa amefanya. Badala yake, Amoni huyu huyu alifanya makosa zaidi na zaidi.
Il ne s’humilia point devant l’Eternel comme s’était humilié Manassé, son père, car lui, Amon, accumula les fautes.
24 Watumishi wake wakapanga njama wa zidi yake na wakamua katika nyumba yake mwenyewe.
Ses officiers conspirèrent contre lui et le mirent à mort dans son palais.
25 Lakini watu wa nchi wakawaua wote waliofanya njama zidi ya Mfalme Amoni, na wakamfanya Yosia, mwanaye, mfalme katika nafasi yake.
La population du pays massacra tous ceux qui s’étaient conjurés contre le roi Amon et proclama roi à sa place son fils Josias.

< 2 Nyakati 33 >