< 2 Nyakati 33 >

1 Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na mbili alipoanza kutawala, alitawala miaka hamsini na tano katika Yerusalemu.
Манасия бе двадесет години на възраст когато се възцари и царува петдесет и пет години в Ерусалим.
2 Akafanya yalikuwa uovu katika macho ya Yahwe, kama yalivyo mambo ya machukizo ya mataifa ambao Yahwe alikuwa amewafukuza mbele ya watu wa Israeli.
Той върши зло пред Господа, според мерзостите на народите, които Господ изпъди пред израилтяните.
3 Kwa maana alizijenga tena sehemu za juu ambazo baba yake Hezekia alikuwa amezibomoa, na akajenga madhabahu kwa ajili ya mabaali, akatengeneza sanaamu za Maashera, na akaziinamia chini nyota zote za mbinguni na kuziabudu.
Устрои изново високите места, които баща му Езекия беше съборил, издигна жертвеници на ваалимите и направи ашери, и се кланяше на цялото небесно множество и им служеше.
4 Manase akajenga madhbahu za kipagani katika nyumba ya Yahwe, ingawa Yahwe alikuwa amemwamuru, “Ni katika Yerusalemu ambamo jina langu litawekwa milele”.
Тоже издигна жертвеници в Господния дом, за който Господ беше казал: В Ерусалим ще бъде името Ми до века.
5 Alijenga madhabahu kwa ajili ya nyota zote za mbinguni katika vile viwanja viwili vya nyumba ya Yahwe.
Издигна жертвеници и на цялото небесно множество вътре в двата двора на Господния дом.
6 Katika bonde la Beni Hinomu akawaweka wanaye katika moto. Akafanya misemo ya ubashiri, na uchawi, akassoma utabiri; akashauriana na wale waliozungumza na wafu na wale waliozungumza na na roho. Akafanaya maaovu mengi katika mcho ya Yahwe na alimfanya Mungu akasirike.
И преведе чадата си през огъня в долината на Еномовия син, още упражняваше предвещания и употребяваше гадания, упражняваше омайвания, и си служеше със запитвачи на зли духове и с врачове; той извърши много зла пред Господа та Го разгневи.
7 Ile sanamu ya Maashera aliyokuwa amefanya, akaipeleka katika nyumba ya Mungu. Ni kuhusu nyumba hii ambayo Mungu alikuwa amesema kwa Daudi na Selemani mwanaye; alikuwa amesema, “Ni katika nyumba hii na katika Yerusalemu, ambao nimeuchangua kutoka makabila yote ya Israeli, kwamba nitaliweka jina langu milele.
И ваяния идол, образа, който направи, постави в Божия дом, за който Бог каза на Давида и на сина му Соломона: В тоя дом, и в Ерусалим, който избрах от всичките Израилеви племена, ще настаня името Си до века;
8 Sitawaondoa tena watu wa Israeli katina nchi hii ambayo niliitoa kwa babu zao, ikiwa tu watakuwa makini katika kuyashika yote niliyowaamuru, kuzishika sheria zangu, amri zangu, na sheria zangu nilizowapa kupitia Musa.”
нито ще местя вече ногата на Израиля от земята, която определих за бащите ви, само ако внимават да вършат всичко, що им заповядах, целия закон и повеленията и съдбите дадени чрез Моисея.
9 Manase akawaongoza Yuda na wakaaji wa Yerusalemu hata kufanya uovu zaidi kuliko hata watu wa mataifa ambao Yahwe alikuwa amewateketeza mbele za Israeli.
Но Манасия подмами Юда и ерусалимските жители да вършат по-лошо от народите, които Господ изтреби пред израилтяните.
10 Yahwe akasema kwa Manase, na kwa watu wake wote, lakini hawakumsikiliza.
Тогава Господ говори на Манасия и на людете му; но те не послушаха.
11 Kwa hiyo Yahwe akaleta juu yao maamri jeshsi wa jeshi la Ashuru, ambao walimchukua Manase katika minyonyoro, wakamfunga kwa pingu, na wakampeleka Babeli.
Затова Господ доведе против тях военачалниците на асирийския цар, та хванаха Манасия, и като го туриха в окови и вързаха го с вериги, заведоха го във Вавилон.
12 Manase alipokuwa katika dhika, alimuomba Yahwe, Mungu wake, na akajinyenyekesha sana mbele za Mungu wa babu zake.
А когато беше в бедствие, помоли се на Господа своя Бог, и смири се много пред Бога на бащите си.
13 Akaomba kwake; na Mungu akamsikiliza, na Mungu akasikia kuomba kwake na akamrudisha Yerusalemu, katika ufalme wake. Kisha Manase akafahamu kwamba Yahwe alikuwa Mungu.
И когато му се помоли, Бог даде внимание на него, и послуша молбата му, та го доведе пак в Ерусалим, на царството му. Тогава Манасия позна, че Господ - Той е Бог.
14 Baada ya hayo, manase akajenga ukuta wa nje ya mji wa Daudi, upande wa magharibi wa Gihoni, katika bonde, hadi kwenye lango la Samaki. Akauzungushia mlima wa Ofeli na akaupandisha ukuta hadi usawa mrefu sana. Akaweka maamri jeshi jasiri katika ngome zote za miji ya Yuda.
А след това той съгради една външна стена на Давидовия град, на запад от Гион, в долината, дори до входа на рибната порта, и прекара я около Офир, та я издигна много високо; и постави военачалници във всичките укрепени Юдови градове.
15 Akaipeleka mbali miungu yote ya kigeni, akaondoa sanamu zote kwenye nyumba ya Yahwe, na madhabahu zote ambazo alikuwa amejenga juu ya mlima wa nyumba ya Yahwe na katika Yerusalemu, na kuvitupa nje ya mji.
И отмахна чуждите богове, и идола от Господния дом, и всичките жертвеници, които бе издигнал върху хълма на Господния дом и в Ерусалим, и ги хвърли вън от града.
16 Akaijenga tena madhabahu ya Yahwe na juu yake akatoa sadaka za amani na sadaka za shukrani; akamwamuru Yuda amtumikie Yahwe, Mungu wa Israeli.
И поправи Господния олтар, и пожертвува на него примирителни и благодарствени жертви, и заповяда на Юда да служи на Господа Израилевия Бог.
17 Hata hivyo watu bado walitoa sadaka mahali pa sehemu za juu, lakini kwa Yahwe, Mungu wao pekee.
Но людете още жертвуваха по високите места, обаче, само на Господа своя Бог.
18 Katika mambo mengine kuhusu Manase, maombi yake kwa Mungu wake, na maneno ya waonaji ambao walisema kwake katika jina la Yahwe, Mungu wa Israeli, tazama, yameandikwa miongoni mwa matendo ya wafalme wa Israeli.
А останалите дела на Манасия, и молитвата му към неговия Бог, и думите на гледача, които му говориха в името на Господа Израилевия Бог, ето, написани са между делата на Израилевите царе.
19 Katika matukio hayo kuna historia ya maombi yake, na jinsi Mungu alivyoguswa na maomabi hayo. Pia kuna kumbu kumbu ya dhambi zake zote na makosa yake, na sehemu ambako alikuwa amejenga sehemu za juu na kuzisimamisha Maashera na sanamu za kuchonga, kambla ya kujinyenyekesha mwenyewe — na imeandikwa kuhusu hayo katika tarehe ya waonaji. (Maandishi ya kale yanasema hivi, “tarehe ya Hozai,” ambayo ni maandishi ya kifungu asili. Lakini matoleo mengi ya kisasa yamesahihisha na kusomeka “tarehe ya waonaj” Pia, matoleo machache ya kisasa yanasema “tarehe ya waonaji”.).
И молитвите му, и как Бог го послуша, и всичките му грехове, и престъплението му, местностите, гдето устрои високите места и постави ашерите и леяните идоли, преди да се смири, ето, написани са в историята на гледачите.
20 Kwa hiyo Manase akalala na babu zake, na wakamzika katika nyumba yake mwenyewe. Amoni, mwaye, akawa mfalme katika nafasi yake.
И Манасия заспа с бащите си; и погребаха го в собствената му къща; а вместо него се възцари, и царува две години в Ерусалим.
21 Amoni alikuwa na umri wa miaka ishirini na mbili alipoanza kutawala; alitawala miaka miwili katika Yerusalemu.
Амон бе двадесет и две години на възраст когато се възцари, и царува две години в Ерусалим.
22 Akafanya yaliyokuwa uovu katika macho ya Yaahwe, kama Manase, baba yake, alivyofanya. Amoni alitoa sadaka katika sanamau zote za kuchonga ambazo alitengeneza Manase baba yake, na aliziabudu.
Той върши зло пред Господа, както стори баща му Манасия; и Амон жертвуваше на всичките леяни идоли, които баща му Манасия бе направил, и им служеше.
23 Hakujinyenyekesha mbele za Yahwe, kama baba yake Manase alivyokuwa amefanya. Badala yake, Amoni huyu huyu alifanya makosa zaidi na zaidi.
А не се смири пред Господа, както се смири баща му Манасия; но тоя Амон вършеше все по-много и по-много престъпления.
24 Watumishi wake wakapanga njama wa zidi yake na wakamua katika nyumba yake mwenyewe.
А слугите му направиха заговор против него, та го убиха в собствената му къща.
25 Lakini watu wa nchi wakawaua wote waliofanya njama zidi ya Mfalme Amoni, na wakamfanya Yosia, mwanaye, mfalme katika nafasi yake.
Обаче, людете от страната избиха всичките, които бяха направили заговора против цар Амона; и людете от страната направиха сина му Иосия цар вместо него.

< 2 Nyakati 33 >