< 2 Nyakati 32 >

1 Baada ya mambo haya na matendo haya ya uaminifu, Senakeribu, mfalme wa Ashuru, akaja na kuingia Yuda. Alipiga kambi kwa ajili ya kuivamia miji yenye ngome, ambayo alikusudia kuiteka kwa ajili yake.
Pēc šīm lietām un šī ticības darba Sanheribs, Asīrijas ķēniņš, nāca un cēlās pret Jūdu un apmetās pret tām stiprām pilsētām un domāja tās raut pie sevis.
2 Sedekia alipoona kwamba Senakeribu amekuja na kwamba amedhamiria kupigana zidi ya Yerusalemu,
Kad nu Hizkija redzēja, ka Sanheribs atnāca un bija apņēmies pret Jeruzālemi karot,
3 aliwashirikisha viongozi wake na watu wake wenye nguvu kuyazuia maji ya chemichemi yaliyokuwa nje ya mji; waalimsaidia kufanya hivyo.
Tad viņš sprieda ar saviem lielkungiem un varoņiem, aiztaisīt avotu ūdeņus ārpus pilsētas, un tie tam palīdzēja.
4 Kwa hiyo watu wengi wakakusanyika na kuyazuia maji ya chemichemi zote na mikondo yote amabayo ilikuwa inatiririka katikati ya nchi. wakasema, “Kwa nini mfalme wa Ashuru aje na kupata maji mengi?”
Un daudz ļaužu sapulcējās, kas visus avotus aiztaisīja, arī to upi, kas vidū caur zemi tecēja, jo tie sacīja: kāpēc lai Asiriešu ķēniņi nākdami atrod daudz ūdens?
5 Hezekia akijipa ujasiri na kuujeenga ukuta wote uliokuwa umeangushwa chini. Akaijenga minara mirefu, na pia ukuta mwingine nje. Pia akaiimarisha Milo katika mji wa Dudi, na akafanya kiasi kikubwa cha silaha na ngao. (Maanshi ya kale yanasema hivi: “Badala ya, “akajenga minara amirefu”, baadhi ya matoleo ya zamani na kisasa yanasema, “akajenga minara mirefu juu yake”, Hii ni juu ya ukuta).
Un viņš ņēmās drošu prātu un uztaisīja visu mūri, kur tas bija plīsis, un to uzvilka līdz torņiem, un ārā viņš taisīja vēl citu mūri un nostiprināja Millu Dāvida pilsētā, un taisīja daudz ieročus un bruņas.
6 Akaweka maamri jeshi juu wa watu. Akawakusanya pamoja kwake katika sehemu pana kwenye lango la mji na akasema kwao kwa ujasiri. Akasema,
Un viņš iecēla kara virsniekus pār tiem ļaudīm un tos sapulcināja pie sevis laukā pie pilsētas vārtiem un tiem piekodināja un sacīja:
7 “Muwe imara na wenye ujasiri mzuri. Msiogope wala kukata tamaa kwa sababu ya mfalme wa Ashuru na jeshi lote ambalo liko naye, kwa maana kuna mtu yuko pamoja nasi ambaye ni mkuu kuliko
Esiet stipri un ņematies drošu prātu, nebīstaties un neizbaiļojaties priekš Asiriešu ķēniņa, nedz priekš visiem tiem pulkiem, kas pie viņa, jo pie mums ir vairāk, nekā pie viņa.
8 walio naye mfalme wa Ashuru. walionaye ni jeshi la mwili tu, lakini aliye nasi ni Yahwe, Mungu wetu, kwa ajili ya kutusaidia, na kupiagana vita vyetu.” Kisha watu wakajifariji wenyewe kwa maneno ya Hezekia, mfalme wa Yuda.
Ar viņu ir miesas elkonis, bet ar mums ir Tas Kungs, mūsu Dievs, mums palīdzēt un vest mūsu karus. Un tie ļaudis paļāvās uz Hizkijas, Jūda ķēniņa, vārdiem.
9 Baada ya hayo, Senakeribu, mfalme wa Ashuru, aliwatuma watumishi wake kwenda Yetusalemu (sasa alikuwa mbe ya Lakishi, na jeshi lake lote lilikuwa pamoja naye), kwa Hezekia, mfaalme wa Yuda, na watu wote wa Yuda walikuwa Yerusalemu. Akasema,
Pēc tam Sanheribs, Asīrijas ķēniņš, sūtīja savus kalpus uz Jeruzālemi (bet viņš pats bija pie Laķisa un pie viņa bija viss viņa valsts spēks) pie Hizkijas, Jūda ķēniņa, un pie visas Jūdu cilts, kas bija Jeruzālemē, un lika sacīt:
10 “Hivi ndivyo Senakeribu, mfalme wa Ashuru, anasema: Ni kitu gani mnategemea kwa ajili ya kuhimili uvamizi katika Yerusalemu?
Tā saka Sanheribs, Asīrijas ķēniņš: uz ko jūs paļaujaties, palikdami ieslēgti Jeruzālemē?
11 Je, Hezekia hawapotoshi ninyi, ili kwamba awatoe kufa kwa njaa na kiu, anapowaambia, “Yahwe Mungu wetu atatuokoa na mkono wa mfalme wa Ashuru?
Vai Hizkija jūs nepiekrāpj un jūs nenodod nāvei caur badu un slāpēm, sacīdams: Tas Kungs, mūsu Dievs, mūs atpestīs no Asiriešu ķēniņa rokas?
12 Je, siyo Hezekia yule yule ambaye amezipeleka juu sehemu zake na madhabahu zake na kuwaamuru Yuda na Yerusalemu, juu ya madhabahu moja lazima muabudu, na juu yake lazima mchome sadaka zenu?
Vai šis nav tas Hizkija, kas viņa kalnus un altārus nopostījis un uz Jūdu un Jeruzālemi runājis un sacījis: viena altāra priekšā jums būs pielūgt un uz tā kvēpināt?
13 Je, hamjui mimi na babu zangu tulifanya nini kwa makundi ya wote wa inchi zingine? Je, miungu ya watu wa hizo nchi iliweza kwa njia yoyote kuziokoa nchi zao zidi ya nguvu zangu?
Vai nezināt, ko es un mani tēvi esam darījuši visām pasaules tautām? Vai pasaules tautu dievi varēja izglābt savas zemes no manas rokas?
14 Miongoni mwa miungu yote ya mataifa hayo amabayo babu zangu waliwatekeza, je, kulikuwa na muungu yeyote aliyeweza kuwaokoa watu wake kutoka kwenye mkono wangu? Itakuwaje Mungu wenu aweze kuwakoa ninyi zidi ya nguvu zangu?
Kurš ir no visiem šo tautu dieviem, ko mani tēvi izdeldējuši, kas savus ļaudis varējis izglābt no manas rokas, ka jūsu Dievs jūs izglābtu no manas rokas?
15 Sasa msimuruhusu Hezekia awadanganye au kuwashawishi katika njia hii. Msimwamini, kwa maana hakuna muungu wa taifa lolote au ufalme amewahi kuwaokoa watu wake nje ya mkono wangu, au nje ya mkono wa babu zangu. Sembuse na Mungu wenu kwa namna gani atawaokoa na mkono wangu?
Nu tad, lai Hizkija jūs nepieviļ, un neliekaties tā pārrunāties un neticat viņam. Jo ja nevienas citas tautas un valsts dievs nav varējis izglābt savus ļaudis no manas rokas un no manu tēvu rokas, tad jūsu Dievs ne tik jūs neizglābs no manas rokas.
16 Watumishi wa Senakeribu hata walinena mabaya zaidi juu ya Yahwe Mungu na juu ya mtumishi wake Hezekia.
Un viņa kalpi runāja vēl vairāk pret Dievu, To Kungu, un pret Hizkiju, viņa kalpu.
17 Senakeribu pia akandika barua ili kumdhihaki Yahwe, Mungu wa Israeli, na kunena kinyume naye. Alisema, “Kama ambavyo miungu ya mataifa haikuwaokoa watu wake kutoka kwenye mkono wangu, hivyo hivyo na Mungu wa Hezekia hatawaokoa watu wake kutoka kwenye mkono wangu.”
Viņš rakstīja arī grāmatas, To Kungu, Israēla Dievu, zaimodams un pret viņu tā runādams un sacīdams: tā kā pasaules tautu dievi nav izglābuši savus ļaudis no manas rokas, tāpat arī Hizkijas Dievs Savus ļaudis neizglābs no manas rokas.
18 Wakawalilia kwa lugha ya Wayahudi watu wa Yerusalemu waliokuwa juu ya ukuta, ili kuwaogopesha na kuwasumbua, ili kwamba waweze kuuteka mji.
Un tie sauca ar stipru balsi Jūdiski pret Jeruzālemes ļaudīm, kas uz mūra bija, tos izbiedēt un iztrūcināt, ka pilsētu varētu ieņemt.
19 Wakamnenea Mungu wa Yerusalemu kama walivyowanenea miungu wa Dunia, ambao ni kazi ya mikono ya wanadamu tu.
Un tie runāja pret Jeruzālemes Dievu tāpat, kā pret pasaules tautu dieviem, kas ir cilvēku roku darbs.
20 Hezekia, mfalme, na Isaya mwana wa Amozi, nabii, wakaomba kwa sababu ya jambo hili na wakalia hadi mbinguni.
Bet ķēniņš Hizkija un pravietis Ezaīja, Amoca dēls, lūdza par to un sauca uz debesīm.
21 Yahwe akatuma malaika, ambaye aliwaua wanaume wa kupigana vita, majemedari, na maakida wa mfalme katika kambi. Kwa hiyo Senakeribu akarudi katika nchi yake akiwa na uso wa aibu. Alipokuwa ameenda katika nyumba ya muungu wake, baadhi ya watoto wake wakamuua huko kwa upanga.
Un Tas Kungs sūtīja eņģeli, kas nomaitāja visus varenos karavīrus un lielkungus un virsniekus Asīrijas ķēniņa lēģerī, ka tas ar kaunu atkal griezās atpakaļ uz savu zemi. Un kad viņš sava dieva namā gāja, tad tie, kas no viņa miesām bija cēlušies, viņu nokāva ar zobenu.
22 Katika namna hii, Yahwe akamwokoa Hezekia na wakazi wa Yerusalemu kutoka kwenye mkono wa Senakeribu, mfalme wa Ashuru, na kutoka kwenye mikono ya wengine, na akawapa pumzika juu ya kila upande. (Maandishi ya kale yanasema hivi: badala ya “akawapa pumziko juu ya kila pande”, baadhi ya matoleo ya zamani na ya kisasa yanasema, “akawaongoza juu ya kila pande”).
Tā Tas Kungs atpestīja Hizkiju un Jeruzālemes iedzīvotājus no Sanheriba, Asiriešu ķēniņa, rokas un no visu citu rokas un tos pasargāja visapkārt.
23 Wengi walikuwa wakileta sadaka kwa Yahwe katika Yarusalemu, na zawadi za thamani kwa Hezekia mfalme wa Yuda, kwa hiyo aliinuliwa mbele za macho ya mataifa yote toka wakati huo na kuendelea.
Un daudzi nesa dāvanas Tam Kungam uz Jeruzālemi un dārgas lietas Hizkijam, Jūda ķēniņam, tā ka viņš pēc tam bija paaugstināts visu tautu priekšā.
24 Katika siku hizo Hezekia akaugua hadi hatua ya kufa. Akaomba kwa Yahwe, ambaye alisema kwake na kumpa ishara kwamba angeponywa.
Tanī laikā Hizkija palika slims uz miršanu un tas lūdza To Kungu, un Viņš uz to runāja un tam deva vienu brīnuma zīmi.
25 Lakini Hezekia hakumlipa Yahwe kwa ajili ya msaada uliotolewa kwake, kwa maana moyo wake uliinuliwa juu.
Bet Hizkija neatmaksāja tā, kā viņam bija labi darīts, jo viņa sirds sāka lepoties, tāpēc nāca liela dusmība pār viņu un pār Jūdu un Jeruzālemi.
26 Kwa hiyo hasira ikaja juu yake, na juu ya Yuda na Yerusalemu. Hata hivyo, baadaye Hezekia alijinyenyekesha mwenyewe kwa jali ya kiburi cha moyo wake, wote Yeye na wakaaji wa Yerusalemu, hivyo hasira ya Yahwe haikuja juu yao wakati wa siku za Hezekia.
Tad Hizkija pazemojās savas sirds lepnības dēļ ar Jeruzālemes iedzīvotājiem, tāpēc Tā Kunga bardzība pār viņiem nenāca, kamēr, Hizkija dzīvoja.
27 Hezekia alikuwa na utajiri mwingi sana na heshima kubwa. Alijipatia mwenyewe vyumba vya kuhifadhia kwa ajili ya fedha, dhahabu, vito vya thamani, na kwa ajili ya manukato, na kwa ajili ya ngao na na vyombo vyote vya thamani pia.
Un Hizkijam bija ļoti daudz bagātības un goda un viņš sev taisīja mantu kambarus sudrabam un zeltam un dārgiem akmeņiem un dārgām zālēm un priekšturamām bruņām un visādiem dārgiem rīkiem,
28 Pia alikuwa na nyumba za maghala kwa ajili ya mavuno ya nafaka, divai mpya, na mafuta, na malisho kwa ajili ya aina zote za wanyama.
Un klētis lauku augļiem, labībai, vīnam un eļļai un kūtis visādiem lopiem un laidarus ganāmiem pulkiem.
29 Pia alikuwa na makundi katika mazizi. Zaidi ya hayo, alijipatia mwenyewe miji na makundi ya na ng'ombe kwa wingi, kwa maana Mungu alaikuwa amempa afya tele. (Maandishi ya kale yanasema hivi: Badala ya “miji” baadji ya matoleo ya kisasa yanasema “punda”, na baadhi mengine ya kisasa yanaacaha neno nzima)
Viņš sev arī uztaisīja pilsētas, un tam bija avis un vērši lielā pulkā; jo Dievs tam deva ļoti lielu mantu.
30 Alikuwa ni Hezekia huyu huyu ambaye alisimamisha chemi chemi ya juu ya maji ya Gihoni, na aliye ileta moja kwa moja chini upande wa magharibi mwa mji wa Daudi. Hezekia alifanikiwa katika miradi yake yote.
Un šis Hizkija aiztaisīja Ģiona ūdens augšizteku un to vadīja uz leju pret vakara pusi uz Dāvida pilsētu, un Hizkijam viss viņa darbs laimējās.
31 Hata hivyo, katika jambo la mabolozi wa wakuu wa Babeli, waliotumwa kwake kuwauliza waliofahamu, kuhusu ishara za miujiza iliyokuwa imefanywa katika nchi, Mungu alimwachia mwenyewe, ili kumjaribu, na kujua yote yaliyokuwa katika moyo wake.
Bet kad Bābeles lielkungi, kas pie viņa bija sūtīti, nāca vaicāt pēc tās brīnuma zīmes, kas tai zemē bija notikusi, tad Dievs viņu tā atstāja, ka to kārdināja, lai taptu zināms, kas būtu viņa sirdī.
32 Kwa mambo mengine kuhusu Hezekia, pamoja na matendo yake ya uaminifu wa agano, unaweza kuona kwamba yameandikwa katika Maono ya Nabii Isaya Mwana wa Amozi, na katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
Un kas vēl stāstāms par Hizkiju un viņa dievbijību, redzi, tas rakstīts pravieša Jesajas, Amoca dēla, parādīšanā un Jūda un Israēla ķēniņu grāmatā.
33 Hezekia akalala pamaoja na babu zake, na wakamzika katika mlima wa makaburi ya vizazi vya Daudi. Yuda wote na wakaaji wa Yerusalemu wakamheshimu katika kifo chake. Manase mwanaye akawa mfalme katika nafasi yake.
Un Hizkija aizmiga pie saviem tēviem, un to apraka Dāvida bērnu augstākā kapu vietā, un visa Jūda valsts un Jeruzālemes iedzīvotāji tam parādīja godu, kad tas bija nomiris, un viņa dēls Manasus palika par ķēniņu viņa vietā.

< 2 Nyakati 32 >