< 2 Nyakati 31 >

1 Sasa wakati haya yote yalipokwisha, watu wote wa Israeli waliokuwepo pale wakaenda huko kwenye mji wa Yuda na wakazivunja vipande vipande nguzo za mawe na wakazikata nchi za maashera, na wakazibomoa sehemu za juu na madhabahu katika Yuda yote na Benyamini, na katika Efraimu na Manase, hadi walipoziharibu zote. Kisha watu wote wa Israeli wakarudi, kila mtu kwenye mali zake na kwenye mji wake.
Hiche kut hi akichai jouvin Israel mipite chu Judah khopi jousea acheuvin song khomho, Asherah semthu Pathen limho akhen se uvin chuleh namdang Pathen houna maicham ho jouse asusesoh keijun ahi. Amahon Judah gamsung jouseleh, Benjamin, Ephraim chuleh Manesseh gamsung jousea hitichun abolsoh keijun ahi
2 Hezekia akayapanga makundi ya makuhani na Walawi wakajipanaga kwa makundi yao, kila mtu akapangwa katika kazi yake, wote makuhani na Walawi. Aliwapanga wafanye sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani, kuhudumu, kutoa shukrani, na kusifu katika malango ya hekalu la Yahwe.
Hezekiah lengpan thempu holeh Levi te kimanchah ding daan athahsem kitnin hichea hi apanmunu dungjui cheh a atohdiu toh umtha cheh ahi. Thempu holeh Levi hon pumgo thilto atodiu, chamna thilto a tohdiu, houinna Pathen houkhom na – a pan alahdiu dan leh, kipanale thangvah chuleh houin'a jatchom chomma atohding daanhou aboncha ahopsoh ahi
3 Pia akawapanga katika sehemu ya mfalme kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kutoka katika mali zake, hiyo ni kwa ajili ya, sadaka za kuteketezwa za asubuhi na jioni, na sadaka za kuteketezwa kwa ajili ya siku za Sabato, mwezi mpya, na sikukuu zisizobadilika, kama ilivyokuwa imeandikwa katika sheria ya Yahwe.
Lengpan ama neile ama thilho a konna kipehna, pumgo thilto ding a apehdoh dingho, jingkah nilhah a pumgo thiltoding ahin, cholngah nikho ho a pumgo thilto atoding ahin, lhathah nikho a toding ahin, aphat tepsa kut dinga thilto – a toding ahin, hitia hi Pakai daan thu lekhabu kisun banga chu toding jouse chu atodoh jeng ahi
4 Vilevile, akawaamuru watu walioishi Yerusalemu kutoa fungu kwa ajili ya makuhani na Walawi, ili kwamba wawe makini katika kuitii sheria ya Yahwe.
Hiche ban nahin lengpan Jerusalem ma chengho kommah thempu hole Levi hon daan dung jui'a Pakai kin toh na – a akipumpeh theina diuva panhu na thilpeh apehdiuvin thupeh anei jin ahi
5 Mapema mara baada ya amri kutolewa, watu wa Israeli kwa ukarimu wakatoa malimbuko ya nafaka, divai mpya, mafuta. asali, na kila kitu kutoka kwenye mavuno ya shamba. Wakaleta ndani fungu la kumi la kila kitu; ambavyo vilikuwa kiasi kikubwa sana.
Hiche thupeh hi akiphondoh jouvin Israel chaten chaang gamasa lengpithei ju leh khoiju chuleh alousoh jouseo thiljousea konna hopsom toh bulhingset nin ahin choijun ahi
6 Watu wa Israeli na Yuda ambao waliishi katika mji wa Yuda pia wakaleta zaka za ng'ombe na kondoo, na zaka za vitu vitakatifu amabavyo vilikuwa vimewekwa wakfu kwa Yahwe Mungu wao, na wakavifunga katika marundo.
Israel teleh Judah te Judah khopiho – a cheng hon bongchal holeh kelngoichal ho hopsom chuleh Pakai a Pathen diuva thil thenga akatdoh hou atamma tam ahin choijun ahi
7 Ilikuwa mwezi wa tatu wakati walipoanza kufunga michango yao katika marundo, na wakamaliza mwezi wa saba.
Kipehna a thilpeh ho lhathum channa – a patnin ahung lutpan nin akit lha li channa geijin ahung lutbe jing jenge tamtah akiset tho jengin ahi
8 Hezekia na viongozi walipokuja na kuyaona marundo, wakambariki Yahwe na watu wake Israeli.
Hezekiah lengpa leh anoija natong lamkaihon ijatgei hunglut ham ti amuchen nun ahileh Pakai athangvah un chuleh amipi teo jong apahchaovin ahi
9 Kisha Hezekia akawauliza makuhani na Walawi kuhusu marundo.
Lengpan thempu hole Levi te komma chun hiche kiphal dohna thilpeh ho thuhi anaseijin ahi
10 Azaria, kuhani mkuu, wa nyumba ya Zadoki, akamjibu na akasema, “Tangu watu walipoanza kuleta matoleo katika nyumba ya Yahwe, tumekula na tulikuwa navyo vya kutosha, tulibakiza vingi, kwa maana Yahwe amewabariki watu wake. kilichokuwa kimebaki ni kiasi kikubwa hiki hapa.”
Chuleh Thempulen Azariah leh Zadok chilhah hochun ama kommah anaseijun “Mipi hon hitobang a kiphal dohna thilpeh ho houinna ahinpeh lutjeh un nehle chah anengin avalleovin ahi. Hiti hohi Pakaiyin amipite phatthei aboh jeh u ahi” atiove
11 Kisha Hezekia akaagiza vyumba vya kuhifadhia viandaliwe katika nyumba ya Yahwe, na wakaviandaa.
Lengpa thupeh dung juiyin amahon houinnah thil koina anagong toh un ahi
12 Kisha kwa uaminifu wakayaleta ndani matoleo, zaka, na vitu ambavyo ni vya Yahwe. Konania, Mlawi, alikuwa meneja mkuu wa hivyo vitu, na Shimei, ndu yake, alikuwa wa pili kwake.
Hitichun amahon kipeh na thilhole hopsom hochu abitkeina ding munnah anakoitup mun ahi. Amahon Levi mi Cononiah chu hiche vesui dingin ana nganseovin asopipa hi ama kithopidin apansah un ahi
13 Yehieli, Azaria, Nahathi, Asaheli, na Yerimothi, Yazabadi, Elieli, Ismakia, Mahathi, na Benania walikuwa wasimamizi chini ya mkono wa Konania na Shimei ndu yake, kwa uteuzi wa Hezekia, mfalme, na Azaria mwanagalizi mkuu wa nyumba ya Mungu.
Levi te mi 10 (Som) amani noija natong dingin apansah un ahi, Jehiel, Azaziah, Nahath, Asahel, Jerimoth, Eliel, Ismachiah, Mahath leh Benaiah ahiove. Hitobang tohgon hohi lengpa Hezekiah leh thempulen Azariah thaneina noija kitungdoh ahi
14 Kore mwana wa Imna Mlawi, bawabu katika mlango wa mashariki, alikuwa juu ya sadaka za hiari za Mungu, msimamizi wa kugawa sadaka kwa Yahwe na sadaka takatifu kuliko zote.
Levi mi Imnah chapa Kore chu houin kelkot solang panga vengtup pipuipen ahin, amahin kipehna thipeh Pakaija kipeh hochu alatup leh ahomdoh a pang ahi
15 Chini yake walikuwepo Edeni, Miniamini, Yoshua, Shemai, Amaaria, na Shekania, katika miji ya makuhani. Wakazijaza ofisi za uaminifu, ili kutoa sadaka hizi kwa ndugu zao fungu kwa fungu, kwa wote walio muhimu na wasiomuhimu.
Thempuho chenna khopi dung ho a chun, ama chu Levi mi hicheng hin ana kithopiovin ahi; Eden, Miniamin, Jeshua, Shemiah, Amariah leh Shecaniah ahiove. Amaho hin asopio Levi hochu anatoh u dungjui cheh in kibang cheh in anahom doh jiovin ahi
16 Pia wakatoa kwa wale wanaume wenye umri wa miaka mitatu na kuendelea, amabao walikuwa wameandikwa kataika kaitatu cha babu zao walioiingia nyumba ya Yahwe, kwa mujibu wa ratiba ya kila siku, kuifanya kazi katika ofisi zao na zamu zao. (Mandishi ya kale yanasema hivi: “badala ya wanaume wa umri wa miaka mitatu na kuendelea”, wanaume wa mika thelathini na kuendelea.”).
Phung le chang dungjuija hilouvin, amahon pasal ho chu kum 30 lhingle achunga hochu houinna amoppoh nao apanmunnu dungjuijin achandiu ahoppeh un ahi
17 Waliwaganya makuhani kwa mujibu wa kumbu kumbu za babu zao, na hivyo hivyo kwa Walawi wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, kwa mujibu wa ofisi zao na zamu zao.
Thempu hochun aphung dung juiyin tohding apeovin chuleh Levi hochu kum 20 lhingleh atahjo hochu anatoh dungjuijin nganse na aneijun ahi
18 Waliwajumuisha watoto wao wadogo wote, wake zao, wana wao, na binti zao, katika jamii yote, kwa maana walikuwa waaminifu katika kujitunza wenye watakatifu.
Amahochu ajiteo leh achateo chuleh aincheng houdung juiyin aminnu akijihlut nin ahi – ajeh chu amahohin itihphat hijongleh a kinthengu tohna akimanchah theina diuva tohgon hija ahi
19 Kwa maana makuhani, uzao wa Haruni, amabao walikuwa katika mashamba ya vijiji wakimilikiwa na miji yao, au katika kila mji, palikuwa na watu walioteuliwa kwa majina kutoa mafungu kwa ajili ya wanaume miongoni mwa makuhani, na kwa wote waliokuwa wameorodheshwa katika kumbukumbu za babu zao kuwa miongoni mwa Walawi.
Khopi a cheng thempu ho lah a kinganse Aaron chilhah ho ahoilouleh hiche khopia chengho thinglhang gamma umho ahin hiche holah a mopohna neihohin thempu insunga pasalho leh Levi phungmi amin kijihlut ho jouse kommah nehle chah hommin apangun ahi
20 Hezekia alifanya haya katika Yuda yote. Akakamilisha kilichokuwa chema, haki, na uaminifu mbele za Yahwe Mungu wake.
Hezekiah lengpan Judah ho jouse kommah Pakai Pathen mitmua adihjeng abollin Pathen alung lhaisah in ahi
21 Katika kila jambo ambalo alianzisha katika ibada ya nyumba ya Mungu, sheria, na zile amri, kumtafuta Mungu, alikifanya kwa moyo wake wote, na alifanikiwa.
Amahi atohna jouse alolhingin ahi. Ajeh chu aman houin chung changa atoh ahin chuleh mipin daan ajuija na diuva atoh ahin Pathenna kitah nanei tah a atoh jeh ahi

< 2 Nyakati 31 >