< 2 Nyakati 30 >

1 Hzekia akatuma wajumbe kwa Israeli wote na Yuda, na pia akawaandikia barua Efraimu na Manase, kwamba waje kwenye nyumba ya Yahwe katika Yerusalemu, kusherekea Pasaka ya Yahwe, Mungu wa Israeli.
Un Hizkija sūtīja pie visa Israēla un Jūda un rakstīja grāmatas arī uz Efraīmu un Manasu, lai nāk Tā Kunga namā uz Jeruzālemi, svētīt Pasa svētkus Tam Kungam, Israēla Dievam.
2 Kwa maana mfalme, viongozi wake, na kusanyiko lote katika Yerusalemu walikuwa wameshauriana pamoja, wakakubaliana kusherekea Pasaka katika mwezi wa pili.
Jo ķēniņš ar tiem lielkungiem un ar visu draudzi Jeruzālemē bija nospriedis, svētīt Pasa svētkus otrā mēnesī.
3 Hawakuweza kuisherekea mapema kabla ya hapo, kwa sababu hapakuwa na makuhani wa kutosha waliojitakasa wenyewe, wala watu hawakuwa wamekusanyika pamoja Yerusalemu.
Jo īstenā laikā tie tos nepaspēja svētīt, tāpēc ka priesteru nebija diezgan svētījušies, un ļaudis Jeruzālemē nebija sapulcējušies.
4 Pendekezo hili likaonekana sahihi katika macho ya mfalme na ya kusanyiko lote.
Un šī lieta patika ķēniņam un visai draudzei.
5 Kwa hiyo wakakubaliana kufanya tangazo katika Israeli yote, kuanzia Beer-sheba hadi Dani, kwamba watu lazima waje kusherehekea Paska ya Yahwe, Mungu wa Israeli, huko Yerusalemu. Kwa maana walikuwa hawakuwa wameisherehekea kwa hesabu kubwa ya watu, kwa mujibu wa jinsi ilivyokuwa imeandikwa.
Un tie pavēlēja, izsaukt pa visu Israēli, no Bēršebas līdz Danai, lai nāk Tam Kungam, Israēla Dievam, svētīt Pasa svētkus Jeruzālemē, - jo lielā sapulcē tie tos nebija turējuši, kā ir rakstīts.
6 Hivyo matarishi wakaenda na barua kutoka kwa mfalme na viongozi wake katika Israeli na Yuda yote, kwa agizo la mfalme. wakasema, “Ninyi watu wa Israeli, rudini kwa Yahwe, Mungu wa Abrahamu, Isaka na Israeli, ili kwamba aweze kuwarudia masalia wenu ninyi mlipona kutoka kwenye mkono wa wafalme wa Ashuru.
Tad skrējēji izgāja ar grāmatām no ķēniņa un lielkungu rokas pa visu Israēli un Jūdu, pēc ķēniņa pavēles sacīdami: jūs Israēla bērni, atgriežaties pie Tā Kunga, Ābrahāma, Īzaka un Israēla Dieva, tad arī viņš atgriezīsies pie tiem izglābtiem, kas jums atlikuši no Asiriešu ķēniņu rokas.
7 Msiwe kama babu zenu au ndugu zenu, ambao walimuasi Yahwe, Mungu wa mababu zao, hivyo akawaweka katika kuangamia, kama mnavyoona.
Un neesat tādi, kā jūsu tēvi un jūsu brāļi, kas noziegušies pret To Kungu, savu tēvu Dievu, kādēļ Viņš tos nodevis postam, kā paši redzat.
8 Sasa msiwe wasumbufu, kama babu zenu walivyokuwa; badala yake, jitoeni wenyewe kwa Yahwe na njoeni kwenye sehemu yake takatifu, ambayo ameitakasa milele, na mwabuduni Yahwe Mungu wenu, ili kwamba uso wake wenye hasira uwageukie mbali.
Nu tad neesat stūrgalvīgi kā jūsu tēvi, dodiet Tam Kungam savu roku un nāciet Viņa svētā vietā, ko Viņš ir svētījis mūžīgi un kalpojiet Tam Kungam, savam Dievam, tad Viņa bargā dusmība no jums novērsīsies.
9 Kwa maana ikiwa mtageuka nyuma kwa Yahwe, ndugu zenu na watoto wenu watapata huruma mbele ya hao wanaowaongoza kama wafungwa, na watarudi katika nchi hii. Kwa maana Yahwe Mungu wenu, ni mkarimu na mwenye huruma, na hatawageuzia mbali uso wake, kama mtarudi kwake.”
Jo kad jūs atgriezīsities pie Tā Kunga, tad jūsu brāļi un jūsu bērni dabūs žēlastību pie tiem, kas tos veduši cietumā, tā ka atkal atnāks šaizemē. Jo Tas Kungs, jūsu Dievs, ir žēlīgs un žēlsirdīgs un nenovērsīs Savu vaigu no jums, ja jūs atgriezīsities pie Viņa.
10 Kwa hiyo matarishi wakapita mji kwa mji katika majimbo ya Efraimu na Manase, njia yote hadi Zabuloni, lakini watu waliwacheka na kuwazomea.
Tā tie skrējēji gāja no pilsētas uz pilsētu pa Efraīma un Manasus zemi līdz Zebulonam; bet šie tos apsmēja un apmēdīja.
11 Lakini, watu wengine wa Asheri na Manase na Zabuloni walijinyenyekesha wenyewe na wakaja Yerusalemu.
Bet taču kādi no Ašera un Manasus un Zebulona pazemojās un nāca uz Jeruzālemi.
12 Mkono wa Mungu pia ukaja juu ya Yuda, kuwapa moyo mmmoja, ili kulikubali agizo la mfalme na viongozi kwa neno la Yahwe.
Arī pār Jūdu bija Dieva roka, un Viņš tiem deva vienādu sirdi, darīt ķēniņa un lielkungu pavēli pēc Tā Kunga vārda.
13 Watu wengi, kusanyiko kubwa, likakusanyika Yerusalemu kusherehekea Sikukuu ya Mikate Isiyochacha katika mwezi wa pili.
Un daudz ļaužu sapulcinājās Jeruzālemē, svētīt neraudzētās maizes svētkus otrā mēnesī, varen liela draudze.
14 Waliinuka na kuchukua madhabahu zizilizokuwa Yerusalemu, madhabahu zote kwa ajili ya sadaka za kufukiza; wakazirusha katika kijito Kidroni.
Un tie cēlās un noārdīja tos altārus, kas bija Jeruzālemē, un ņēma visus kvēpināmos traukus un tos iemeta Kidronas upē.
15 Kisha wakamuua mwanakondoo wa Paska katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa pili. Makuhani na Walawi wakaona aibu, kwa hiyo wakajitakasa wenyewe na kuleta sadaka za kuteketezwa katika nyumba ya Yahwe.
Tad tie nokāva Pasa jērus otrā mēnesī četrpadsmitā dienā. Un priesteri un leviti prata savu kaunu un svētījās un nesa dedzināmos upurus Tā Kunga namā.
16 Wakasimama katika sehemu zao katika makaundi yao, wakifuata maelekezo yaliyotolewa na sheria ya Musa, mtu wa Mungu. Makuhani wakainyunyiza damu waliyoipokea kutoka kwenye mikono ya Walawi.
Un tie stāvēja savā kārtā, pēc savas tiesas, pēc Dieva vīra Mozus bauslības. Priesteri slacināja asinis no levitu rokas (ņemdami).
17 Kwa maana walikuwepo wengi katika kusanyikao amaabao hawakuwa wamejitakasa wenyewe. Kwa hiyo Makuhani wakamchinja mwanakondoo wa Pasaka kwa ajili ya kila mmoja ambaye hakuwa amejisafisha na hakuweza kuzitakasa sadaka zake kwa Yahwe.
Jo daudz bija draudzē, kas nebija svētījušies; tādēļ leviti nokāva Pasa jērus priekš visiem, kas nebija šķīsti, ka tos Tam Kungam svētītu.
18 Kwa kuwa wingi wa watu, wengi wao kutoka Efraimu na Manase, Asakari na Zabuloni, hawakuwa wamejitakasa wenyewe, bado waliula mlo wa Paska, kinyume na maelekezo yaliyoandikwa. Kwa kuwa Hezekia alikuwa amewaombea, akisema, “Mungu Yahwe amsamehe kila mmoja
Jo liels ļaužu pulks no Efraīma un no Manasus, Īsašara un Zebulona nebija šķīstījušies, un taču tie ēda to Pasa jēru, bet ne tā kā ir rakstīts. Bet Hizkija lūdza par tiem un sacīja: Tas Kungs, tas žēlīgais, lai to piedod
19 ambaye anaulekeza moyo wake kumtafuta Mungu, Yahwe, Mungu wa babu zake, hata kama hajasafiswa kwa utakaso wa viwango vya patakatifu.”
Visiem, kas savā sirdī taisījušies, meklēt Dievu To Kungu, savu tēvu Dievu, jebšu ne pēc svētās šķīstības.
20 Kwa hiyo Yahwe akamsikiliza Hezekia na akawaponya watu.
Un Tas Kungs paklausīja Hizkiju un dziedināja tos ļaudis.
21 Watu wa Israeli waliokuwepo Yerusalemu wakaitunza Sikukuu ya Mikaate Isiyochachwa na furaha kubwa kwa siku saba. Walawi na makuhani wakamsifu Yahwe siku baada ya siku, wakiimwimbia Yahwe kwa vyombo vya sauti kuu.
Tā Israēla bērni, kas Jeruzālemē bija sanākuši, turēja neraudzētās maizes svētkus septiņas dienas ar lielu prieku. Un leviti un priesteri slavēja To Kungu ikdienas ar mūzikas rīkiem Tam Kungam par godu.
22 Hezekia akazungumza kwa kuwatia moyo Walawi wote walioilewa ibada ya Yahwe, Kwa hiyo wakala kwa kipindi cha siku saba, wakitoa sadaka za amani, na kufanya toba kwa Yahwe, Mungu wa babu zao.
Un Hizkija runāja laipnīgi ar visiem levitiem, kas Tā Kunga kalpošanu labi zināja; un tie ēda svētku upurus septiņas dienas un upurēja pateicības upurus un teica To Kungu, savu tēvu Dievu.
23 Kusanyiko lote kisha likaamua kusherehekea kwa siku zingine saba, na wakafanya hivyo kwa furaha.
Un visa draudze nosprieda, vēl otras septiņas dienas svētīt, un tie svētīja vēl otras septiņas dienas ar prieku.
24 Kwa kuwa Hezekia mfalme wa Yuda aliwapa kusanyiko ng'ombe dume elf moja, na kondoo elfu saba kama sadaka; na viongozi wakawapa kusanyiko ng'ombe dume elfu moja na kondoo na mbuzi elfu kumi. Idadi kubwa ya makuhani wakajitakasa wenyewe.
Jo Hizkija, Jūda ķēniņš, deva draudzei tūkstoš vēršus un septiņtūkstoš avis. Un tie lielkungi deva draudzei tūkstoš vēršus un desmit tūkstoš avis. Un tie priesteri svētījās lielā pulkā.
25 Kusanyiko lote la Yuda, pamoja na makuhani na Walawi na watu wote walikuja pamoja kutoka nchi ya Israeli na wale walioishi Yuda—wote wakafurahia.
Un visa Jūda draudze priecājās līdz ar priesteriem un levitiem, arī visa draudze, kas bija nākusi no Israēla, un tie svešinieki, kas bija atnākuši no Israēla zemes, un kas iekš Jūda piemita.
26 Hivyo kulikuwa na furaha kuu katika Yerusalemu, kwa kuwa tangu wakati wa Solomoni mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli, hapakuwa na kitu kama hicho katika Yerusalemu.
Tā bija liels prieks Jeruzālemē, jo no Salamana, Dāvida dēla, Israēla ķēniņa, laika Jeruzālemē tā nebija bijis.
27 Kisha makuhani, Walawi, wakainuka na kuwabariki watu. Sauti zao zilisikika na maombi yao yakaenda juu mbinguni, sehemu takatifu ambapo Mungu anaishi.
Un priesteri un leviti cēlās un svētīja tos ļaudis, un viņu balss tapa paklausīta, un viņu lūgšana nāca viņa svētā dzīvoklī debesīs.

< 2 Nyakati 30 >