< 2 Nyakati 25 >

1 Amaza alikuwa na umri wa amiaka ishirini na na tano alipoanza kutawala; alitawala miaka ishini na tisa katika Yerusalemu. Jina la mama yake lilikuwa Yehoadani, wa Yerusalemu.
Amatsia devint roi à l'âge de vingt-cinq ans, et il régna vingt-neuf ans à Jérusalem. Sa mère s'appelait Joaddan, de Jérusalem.
2 Alifanya yaliyokuwa sahihi katika macho ya Yahwe, lakini siyo kwa moyo uliojitoa kikamilifu.
Il fit ce qui est droit aux yeux de l'Éternel, mais non d'un cœur intègre.
3 Ikawa kwamba mapema utawala wake ulipokuwa umeimarika, aliwaua watumishi ambao walikuwa wamemuua baba yake, mfalme.
Il arriva, après qu'il fut affermi dans son royaume, qu'il fit mourir ses serviteurs qui avaient tué le roi, son père.
4 Lakini hakuwaua watoto wa wale wauaji, bali alitenda kama kama ilivyoaandikwa katika sheria, katika kitabu cha Musa, kama Yahwe alivyokuwa ameamru. “Baba hatajuta kwa ajili ya watoto, wala watoto hawatakufa kwa ajili ya baba zao. Badala yake, kila mtu lazima afe kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe”.
Mais il ne fit pas mourir leurs enfants; car il fit selon ce qui est écrit dans la loi, dans le livre de Moïse, où l'Éternel a donné ce commandement: On ne fera point mourir les pères pour les enfants, et on ne fera point mourir les enfants pour les pères; mais on fera mourir chacun pour son péché.
5 Aidha, Amazia aliwakusanya Yuda pamoja, na akawaandikisha kwa kufuata nyumba za babu zao, chini ya maakida wa maelfu na maakida wa mamia —wote wa Yuda na wa Benyamini. Akawahesabu kuanzia wa mika ishirini na kuendelea, na akawaona wako 300, 000 wanaume waliochaguliwa, wawezaoa kwenda vitani, walioweza kushika mkuki na ngao.
Puis Amatsia rassembla ceux de Juda, et il les rangea selon les maisons des pères, par chefs de milliers et par chefs de centaines, pour tout Juda et Benjamin; il en fit le dénombrement depuis l'âge de vingt ans et au-dessus; et il trouva trois cent mille hommes d'élite, propres à l'armée, maniant la lance et le bouclier.
6 Pia alikodi wanaume wa kupigana 100, 000 kutoka Israeli kwa fedha mia moja.
Il prit aussi à sa solde, pour cent talents d'argent, cent mille vaillants hommes de guerre d'Israël.
7 Lakini mtu wa Mungu alikuja kwake na kusema, “Mfalme, usiliache jeshi la Istaeli kwenda nawe, kwa maana Yahwe hayupo pamoja na Israeli -wala na mtu Yeyote wa Efraimu.
Mais un homme de Dieu vint à lui, et lui dit: O roi! que l'armée d'Israël ne marche point avec toi; car l'Éternel n'est point avec Israël, avec tous ces fils d'Éphraïm.
8 Lakini hata kama mtaenda na mkiwa wenye ushupavu na imara katika vita, Mungu atawatupa chini mbele ya adui, kwa maana Mungu ana nguvu za kusaidia, na nguvu za kurusha chini”.
Sinon, tu peux aller, agir, être vaillant au combat; mais Dieu te fera tomber devant l'ennemi; car Dieu a le pouvoir d'aider et de faire tomber.
9 Amazia akasema kwa mtu wa Mungu, “Lakini tutafanyaje kuhusu talanta mia moja nilizowapa jeshi la Israeli? Mtu wa Mungu akajibu, Yahwe anauwezo wa kukupa vingi zaidi kuliko hivyo.”
Et Amatsia dit à l'homme de Dieu: Mais que faire à l'égard des cent talents que j'ai donnés à la troupe d'Israël? Et l'homme de Dieu dit: L'Éternel en a pour t'en donner beaucoup plus.
10 Kwa hiyo Amazia akalitenganisha jeshi lilokuja kwake kutoka Efraimu; akawarudisha nyumbani tena. Hivyo hasira yao iliwaka sana zidi ya Yuda, na walirudi nyumbani kwa hasara kali.
Ainsi Amatsia sépara les troupes qui lui étaient venues d'Éphraïm, afin qu'elles retournassent chez elles; mais leur colère s'enflamma contre Juda, et ces gens s'en retournèrent chez eux dans une ardente colère.
11 Amazia akajipa ujasiri na kuwaongoza watu wake kwenda nje kwenye bonde la chumvi, huko akawashinda wanaueme elfu kumi wa Seiri.
Alors Amatsia, ayant pris courage, conduisit son peuple et s'en alla dans la vallée du Sel, où il tua dix mille hommes des enfants de Séir.
12 Jeshi la Yuda likawachukua elfu kumi wengine wakiwa hai. Wakawapeleka juu ya mwamba na kuwarushwa chini kutoka huko, hivyo wote wakavunjika vunjika katika vipande.
Et les enfants de Juda prirent dix mille hommes vivants, qu'ils amenèrent au sommet d'une roche, d'où ils les précipitèrent, et ils furent tous brisés.
13 Lakini watu wa jeshi ambalo Amazia alilirudisha, ili kwamba wasiende naye vitani, wakauvamia mji Yuda kuanzia Somaria hadi Beth- horoni. Wakawapiga watu elfu tatu na kuwateka wengi sana.
Mais les gens de la troupe qu'Amatsia avait renvoyée, afin qu'ils ne vinssent point avec lui à la guerre, se jetèrent sur les villes de Juda, depuis Samarie jusqu'à Beth-Horon, y tuèrent trois mille personnes, et pillèrent un grand butin.
14 Sasa ikawa kwamba baada ya Amazia kurudi kutoka kuwachinja Waedomu, akaileta miungu ya watu wa Seiri, na kuisimamisha iwe miungu yake. Akainama chini mbele ya hiyo miungu na kuitolea sadaka za uvumba.
Et après qu'Amatsia fut de retour de la défaite des Édomites, il fit apporter les dieux des enfants de Séir, et se les établit pour dieux; il se prosterna devant eux, et leur fit des encensements.
15 Hivyo hasira ya Yahwe ikawaka zidi ya Amazia. Akamtuma nabii kwake, ambaye alisema, “Kwa nini umeitafuta miungu ya watu ambayo haikuwaokoa hata watu wake yenyewe zidi ya mkono wako?”
Alors la colère de l'Éternel s'enflamma contre Amatsia, et il envoya vers lui un prophète, qui lui dit: Pourquoi as-tu recherché les dieux de ce peuple, qui n'ont point délivré leur peuple de ta main?
16 Akiwa kwamaba yule nabii alipokuwa anaongea naye, mfalme akamwambia, “Je, wewe tumekufanya kuwa mshauri wa mfalme? Acha! Kwa nini ujitakie kuuawa?” Kisha nabii akaacha na kusema, ninajua kwamba Mungu ameamua kukuangaamiza kwa sababu umefanya tendo hili na hujasikilisa ushauri wangu.”
Et comme il parlait au roi, le roi lui dit: T'a-t-on établi conseiller du roi? Retire-toi! pourquoi te frapperait-on? Et le prophète se retira, mais en disant: Je sais que Dieu a résolu de te détruire, parce que tu as fait cela, et que tu n'as point écouté mon conseil.
17 Kisha Amazia akashauriana na washauri na kutuma wajumbe kwa Yehoashi mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu, mfalme wa Israel. akisema, “Njoni, tukutane uso kwa uso katika vita”.
Puis Amatsia, roi de Juda, ayant tenu conseil, envoya vers Joas, fils de Joachaz, fils de Jéhu, roi d'Israël, pour lui dire: Viens, que nous nous voyions en face!
18 Lakini Yehoashi mfalme wa Israeli akatuma wajumbe kwa Amaziahi mfalme wa Yuda, akisema, Mbaruti uliokuwa Lebanoni ulituma ujumbe kwa mwerezi ulioko Lebanoni, ukisema, Mtoe binti yako kwa mwanangu awe mke wake; lakini akapita hayawani katika Lebanoni akatembea na kuukanyaga chini mbaruti.
Mais Joas, roi d'Israël, envoya dire à Amatsia, roi de Juda: L'épine qui est au Liban a envoyé dire au cèdre du Liban: Donne ta fille pour femme à mon fils. Mais les bêtes sauvages qui sont au Liban ont passé et ont foulé l'épine.
19 Umesema, 'Ona, nimeipiga Edomu,' na moyo wako umekuinua juu. Jipe fahari katika ushindi wako, lakini ukae nyumbani, kwa maana ni kwa nini ujisababishie matatizo mwenyewe na kuanguka, wote wewe na Yuda pamoja nawe?'
Voici, tu dis que tu as battu Édom; et ton cœur s'est élevé pour te glorifier. Maintenant, reste dans ta maison! Pourquoi t'engagerais-tu dans un malheur où tu tomberais, toi et Juda avec toi?
20 Lakini Amazia hakusikiliza, kwa sababu tukio hili lilikuwa limetoka kwa Mungu, ili awatie Waisraeli katika mkono wa adui zao, kwa sababu walikuwa wametafuta ushauri kutoka kwa miungu ya Edomu.
Mais Amatsia ne l'écouta point; car cela venait de Dieu, afin de les livrer entre les mains de Joas parce qu'ils avaient recherché les dieux d'Édom.
21 Kwa hiyo, Yehoashsi, mfalme wa Israeli, akavamia; yeye na Amazia, mfalme wa Yuda, wakakutana uso kwa uso huko Beth -shemishi, ulioko Yuda.
Joas, roi d'Israël, monta donc; et ils se virent en face, lui et Amatsia, roi de Juda, à Beth-Shémèsh, qui est de Juda.
22 Yuda akashindwa mbele za Israeli, na kila mtu akarudi nyumbani.
Et Juda fut battu devant Israël, et ils s'enfuirent chacun dans leurs tentes.
23 Yehoashi, mfalme wa Israeli, akamkamata Amazia mwana wa Yehoashi mana wa Ahazia, mfalme wa Yuda, huko Beth - shemeshi. Akamleta Yerusalemu na kuuangusha chini ukuta wa Yerusalemu kuanzia Lango la Efraimu hadi kona ya Lango, umbali wa mikono mia nne.
Et Joas, roi d'Israël, prit Amatsia, roi de Juda, fils de Joas, fils de Joachaz, à Beth-Shémèsh. Il l'emmena à Jérusalem, et fit une brèche de quatre cents coudées dans la muraille de Jérusalem, depuis la porte d'Éphraïm, jusqu'à la porte du coin.
24 Akachukua dhahabu na fedha zote, vitu vyote vilivyoonekana akatika nyumba aya Mungu kwa Obedi Edomu, na vitu vya thamanai katika nyumba ya mfalme, na mateka pia, na akarudi Samaria.
Il prit tout l'or et l'argent, et tous les vases qui furent trouvés dans la maison de Dieu, sous la garde d'Obed-Édom, et les trésors de la maison du roi, et des otages; et il s'en retourna à Samarie.
25 Amazia mwana wa Yoashi, mfalme wa Yuda, aliishi miaka kumi na tano baada ya kifo cha Yehoashi, mwana wa Yehoahazi, mfalme wa Israeli.
Et Amatsia, fils de Joas, roi de Juda, vécut quinze ans, après que Joas, fils de Joachaz, roi d'Israël, fut mort.
26 Kwa mambo mengingine kuhusu Amzia, mwanzo na mwisho, tazama, je, hayajaandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli?
Le reste des actions d'Amatsia, les premières et les dernières, voici cela n'est-il pas écrit dans le livre des rois de Juda et d'Israël?
27 Sasa kutoka wakati amabaoa Amazia aligeukia mbali asimfuate Yahwe, walianza kupanga njama zidi yake katika Yerusalemu. Akakimbilia Lachishi, lakini wakatuma watu nyuma yake wamfuate Lachishsi na walimuua huko.
Or, depuis le moment où Amatsia se détourna de l'Éternel, on fit une conspiration contre lui à Jérusalem, et il s'enfuit à Lakis; mais on envoya après lui à Lakis, et on le tua là.
28 Wakamleta juu ya farasis na wakamzika pamoja na babu zake kataika Mji wa Yuda.
Puis on le transporta sur des chevaux, et on l'ensevelit avec ses pères dans la ville de Juda.

< 2 Nyakati 25 >