< 2 Nyakati 25 >

1 Amaza alikuwa na umri wa amiaka ishirini na na tano alipoanza kutawala; alitawala miaka ishini na tisa katika Yerusalemu. Jina la mama yake lilikuwa Yehoadani, wa Yerusalemu.
Amatsia était âgé de 25 ans lorsqu’il commença de régner; et il régna 29 ans à Jérusalem; et le nom de sa mère était Jehoaddan, de Jérusalem.
2 Alifanya yaliyokuwa sahihi katika macho ya Yahwe, lakini siyo kwa moyo uliojitoa kikamilifu.
Et il fit ce qui est droit aux yeux de l’Éternel, non pas toutefois d’un cœur parfait.
3 Ikawa kwamba mapema utawala wake ulipokuwa umeimarika, aliwaua watumishi ambao walikuwa wamemuua baba yake, mfalme.
Et il arriva que, quand la royauté fut affermie entre ses mains, il fit mourir ses serviteurs qui avaient frappé le roi son père.
4 Lakini hakuwaua watoto wa wale wauaji, bali alitenda kama kama ilivyoaandikwa katika sheria, katika kitabu cha Musa, kama Yahwe alivyokuwa ameamru. “Baba hatajuta kwa ajili ya watoto, wala watoto hawatakufa kwa ajili ya baba zao. Badala yake, kila mtu lazima afe kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe”.
Mais leurs fils, il ne les mit pas à mort, car [il fit] selon ce qui est écrit dans la loi, dans le livre de Moïse, où l’Éternel a commandé, disant: Les pères ne mourront pas pour les fils, et les fils ne mourront pas pour les pères; car chacun mourra pour son péché.
5 Aidha, Amazia aliwakusanya Yuda pamoja, na akawaandikisha kwa kufuata nyumba za babu zao, chini ya maakida wa maelfu na maakida wa mamia —wote wa Yuda na wa Benyamini. Akawahesabu kuanzia wa mika ishirini na kuendelea, na akawaona wako 300, 000 wanaume waliochaguliwa, wawezaoa kwenda vitani, walioweza kushika mkuki na ngao.
Et Amatsia rassembla Juda, et il les rangea selon [leurs] maisons de pères, selon les chefs de milliers, et selon les chefs de centaines, pour tout Juda et Benjamin; et il fit le recensement de ceux qui étaient âgés de 20 ans et au-dessus: et il trouva 300 000 hommes d’élite, propres pour la guerre, portant la pique et le bouclier.
6 Pia alikodi wanaume wa kupigana 100, 000 kutoka Israeli kwa fedha mia moja.
Et il prit à sa solde, d’Israël, 100 000 hommes forts et vaillants, pour 100 talents d’argent.
7 Lakini mtu wa Mungu alikuja kwake na kusema, “Mfalme, usiliache jeshi la Istaeli kwenda nawe, kwa maana Yahwe hayupo pamoja na Israeli -wala na mtu Yeyote wa Efraimu.
Et un homme de Dieu vint à lui, disant: Ô roi! que l’armée d’Israël ne marche pas avec toi; car l’Éternel n’est pas avec Israël, avec tous les fils d’Éphraïm.
8 Lakini hata kama mtaenda na mkiwa wenye ushupavu na imara katika vita, Mungu atawatupa chini mbele ya adui, kwa maana Mungu ana nguvu za kusaidia, na nguvu za kurusha chini”.
Que si tu vas, fais-le, fortifie-toi pour la bataille; Dieu te fera tomber devant l’ennemi; car c’est en Dieu qu’est le pouvoir pour aider et pour faire tomber.
9 Amazia akasema kwa mtu wa Mungu, “Lakini tutafanyaje kuhusu talanta mia moja nilizowapa jeshi la Israeli? Mtu wa Mungu akajibu, Yahwe anauwezo wa kukupa vingi zaidi kuliko hivyo.”
Et Amatsia dit à l’homme de Dieu: Mais que faire quant aux 100 talents que j’ai donnés à la troupe d’Israël? Et l’homme de Dieu dit: Il appartient à l’Éternel de te donner beaucoup plus que cela.
10 Kwa hiyo Amazia akalitenganisha jeshi lilokuja kwake kutoka Efraimu; akawarudisha nyumbani tena. Hivyo hasira yao iliwaka sana zidi ya Yuda, na walirudi nyumbani kwa hasara kali.
Et Amatsia sépara la troupe qui lui était venue d’Éphraïm, afin qu’ils s’en aillent chez eux; et leur colère s’embrasa beaucoup contre Juda, et ils s’en retournèrent chez eux dans une ardente colère.
11 Amazia akajipa ujasiri na kuwaongoza watu wake kwenda nje kwenye bonde la chumvi, huko akawashinda wanaueme elfu kumi wa Seiri.
Et Amatsia se fortifia, et conduisit son peuple, et s’en alla à la vallée du Sel, et frappa 10 000 [hommes] des fils de Séhir.
12 Jeshi la Yuda likawachukua elfu kumi wengine wakiwa hai. Wakawapeleka juu ya mwamba na kuwarushwa chini kutoka huko, hivyo wote wakavunjika vunjika katika vipande.
Et les fils de Juda emmenèrent captifs 10 000 hommes, vivants, et les menèrent sur le sommet d’un rocher, et les précipitèrent du sommet du rocher, et ils furent tous mis en pièces.
13 Lakini watu wa jeshi ambalo Amazia alilirudisha, ili kwamba wasiende naye vitani, wakauvamia mji Yuda kuanzia Somaria hadi Beth- horoni. Wakawapiga watu elfu tatu na kuwateka wengi sana.
Mais ceux de la troupe qu’Amatsia avait renvoyée, afin qu’elle n’aille pas à la guerre avec lui, tombèrent sur les villes de Juda, depuis Samarie jusqu’à Beth-Horon, et y frappèrent 3 000 [hommes] et enlevèrent un grand butin.
14 Sasa ikawa kwamba baada ya Amazia kurudi kutoka kuwachinja Waedomu, akaileta miungu ya watu wa Seiri, na kuisimamisha iwe miungu yake. Akainama chini mbele ya hiyo miungu na kuitolea sadaka za uvumba.
Et il arriva, après qu’Amatsia fut revenu de la défaite des Édomites, qu’il apporta les dieux des fils de Séhir, et se les établit pour dieux, et se prosterna devant eux et leur brûla de l’encens.
15 Hivyo hasira ya Yahwe ikawaka zidi ya Amazia. Akamtuma nabii kwake, ambaye alisema, “Kwa nini umeitafuta miungu ya watu ambayo haikuwaokoa hata watu wake yenyewe zidi ya mkono wako?”
Et la colère de l’Éternel s’embrasa contre Amatsia, et il lui envoya un prophète, et il lui dit: Pourquoi recherches-tu les dieux d’un peuple qui n’ont pas délivré leur peuple de ta main?
16 Akiwa kwamaba yule nabii alipokuwa anaongea naye, mfalme akamwambia, “Je, wewe tumekufanya kuwa mshauri wa mfalme? Acha! Kwa nini ujitakie kuuawa?” Kisha nabii akaacha na kusema, ninajua kwamba Mungu ameamua kukuangaamiza kwa sababu umefanya tendo hili na hujasikilisa ushauri wangu.”
Et il arriva, comme il parlait au roi, que celui-ci lui dit: Est-ce qu’on t’a fait conseiller du roi? Désiste-toi. Pourquoi te frapperait-on? Et le prophète se désista, et dit: Je sais que Dieu a résolu de te perdre, parce que tu as fait cela, et que tu n’as pas écouté mon conseil.
17 Kisha Amazia akashauriana na washauri na kutuma wajumbe kwa Yehoashi mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu, mfalme wa Israel. akisema, “Njoni, tukutane uso kwa uso katika vita”.
Et Amatsia, roi de Juda, prit conseil, et envoya vers Joas, fils de Joakhaz, fils de Jéhu, roi d’Israël, disant: Viens, voyons-nous face à face.
18 Lakini Yehoashi mfalme wa Israeli akatuma wajumbe kwa Amaziahi mfalme wa Yuda, akisema, Mbaruti uliokuwa Lebanoni ulituma ujumbe kwa mwerezi ulioko Lebanoni, ukisema, Mtoe binti yako kwa mwanangu awe mke wake; lakini akapita hayawani katika Lebanoni akatembea na kuukanyaga chini mbaruti.
Et Joas, roi d’Israël, envoya vers Amatsia, roi de Juda, disant: L’épine qui est au Liban a envoyé au cèdre qui est au Liban, disant: Donne ta fille pour femme à mon fils. Et une bête des champs qui est au Liban a passé, et a foulé l’épine.
19 Umesema, 'Ona, nimeipiga Edomu,' na moyo wako umekuinua juu. Jipe fahari katika ushindi wako, lakini ukae nyumbani, kwa maana ni kwa nini ujisababishie matatizo mwenyewe na kuanguka, wote wewe na Yuda pamoja nawe?'
Tu dis: Voici, tu as frappé Édom! et ton cœur s’est élevé pour que tu te glorifies. Maintenant, reste dans ta maison; pourquoi te mettrais-tu aux prises avec le malheur et tomberais-tu, toi, et Juda avec toi?
20 Lakini Amazia hakusikiliza, kwa sababu tukio hili lilikuwa limetoka kwa Mungu, ili awatie Waisraeli katika mkono wa adui zao, kwa sababu walikuwa wametafuta ushauri kutoka kwa miungu ya Edomu.
Et Amatsia n’écouta pas; car cela venait de la part de Dieu, afin de les livrer en la main [de leurs ennemis], parce qu’ils avaient recherché les dieux d’Édom.
21 Kwa hiyo, Yehoashsi, mfalme wa Israeli, akavamia; yeye na Amazia, mfalme wa Yuda, wakakutana uso kwa uso huko Beth -shemishi, ulioko Yuda.
Et Joas, roi d’Israël, monta; et ils se virent face à face, lui et Amatsia, roi de Juda, à Beth-Shémesh, qui est à Juda.
22 Yuda akashindwa mbele za Israeli, na kila mtu akarudi nyumbani.
Et Juda fut battu devant Israël; et ils s’enfuirent, chacun dans sa tente.
23 Yehoashi, mfalme wa Israeli, akamkamata Amazia mwana wa Yehoashi mana wa Ahazia, mfalme wa Yuda, huko Beth - shemeshi. Akamleta Yerusalemu na kuuangusha chini ukuta wa Yerusalemu kuanzia Lango la Efraimu hadi kona ya Lango, umbali wa mikono mia nne.
Et Joas, roi d’Israël, prit Amatsia, roi de Juda, fils de Joas, fils de Joakhaz, à Beth-Shémesh, et l’amena à Jérusalem; et il abattit la muraille de Jérusalem depuis la porte d’Éphraïm jusqu’à la porte du coin, 400 coudées,
24 Akachukua dhahabu na fedha zote, vitu vyote vilivyoonekana akatika nyumba aya Mungu kwa Obedi Edomu, na vitu vya thamanai katika nyumba ya mfalme, na mateka pia, na akarudi Samaria.
et [prit] tout l’or et l’argent, et tous les ustensiles qui furent trouvés dans la maison de Dieu, sous la main d’Obed-Édom, et les trésors de la maison du roi, et des otages; et il s’en retourna à Samarie.
25 Amazia mwana wa Yoashi, mfalme wa Yuda, aliishi miaka kumi na tano baada ya kifo cha Yehoashi, mwana wa Yehoahazi, mfalme wa Israeli.
Et Amatsia, fils de Joas, roi de Juda, vécut 15 ans après la mort de Joas, fils de Joakhaz, roi d’Israël.
26 Kwa mambo mengingine kuhusu Amzia, mwanzo na mwisho, tazama, je, hayajaandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli?
Et le reste des actes d’Amatsia, les premiers et les derniers, voici, cela n’est-il pas écrit dans le livre des rois de Juda et d’Israël?
27 Sasa kutoka wakati amabaoa Amazia aligeukia mbali asimfuate Yahwe, walianza kupanga njama zidi yake katika Yerusalemu. Akakimbilia Lachishi, lakini wakatuma watu nyuma yake wamfuate Lachishsi na walimuua huko.
Et, depuis le temps où Amatsia se fut détourné de l’Éternel, on fit une conspiration contre lui à Jérusalem, et il s’enfuit à Lakis; et on envoya après lui à Lakis, et là on le mit à mort.
28 Wakamleta juu ya farasis na wakamzika pamoja na babu zake kataika Mji wa Yuda.
Et on le transporta sur des chevaux, et on l’enterra auprès de ses pères dans la ville de Juda.

< 2 Nyakati 25 >