< 2 Nyakati 25 >

1 Amaza alikuwa na umri wa amiaka ishirini na na tano alipoanza kutawala; alitawala miaka ishini na tisa katika Yerusalemu. Jina la mama yake lilikuwa Yehoadani, wa Yerusalemu.
A son of twenty and five year[s] he became king Amaziah and twenty and nine year[s] he reigned in Jerusalem and [the] name of mother his [was] Jehoaddan from Jerusalem.
2 Alifanya yaliyokuwa sahihi katika macho ya Yahwe, lakini siyo kwa moyo uliojitoa kikamilifu.
And he did the right in [the] eyes of Yahweh only not with a heart complete.
3 Ikawa kwamba mapema utawala wake ulipokuwa umeimarika, aliwaua watumishi ambao walikuwa wamemuua baba yake, mfalme.
And it was just when it was secure the kingdom on him and he killed servants his who had struck down the king father his.
4 Lakini hakuwaua watoto wa wale wauaji, bali alitenda kama kama ilivyoaandikwa katika sheria, katika kitabu cha Musa, kama Yahwe alivyokuwa ameamru. “Baba hatajuta kwa ajili ya watoto, wala watoto hawatakufa kwa ajili ya baba zao. Badala yake, kila mtu lazima afe kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe”.
And children their not he put to death for according to [what] is written in the law in [the] book of Moses which he commanded Yahweh saying not they will die parents on children and children not they will die on parents for each for own sin his they will die.
5 Aidha, Amazia aliwakusanya Yuda pamoja, na akawaandikisha kwa kufuata nyumba za babu zao, chini ya maakida wa maelfu na maakida wa mamia —wote wa Yuda na wa Benyamini. Akawahesabu kuanzia wa mika ishirini na kuendelea, na akawaona wako 300, 000 wanaume waliochaguliwa, wawezaoa kwenda vitani, walioweza kushika mkuki na ngao.
And he assembled Amaziah Judah and he appointed them to [the] house of ancestors to [the] commanders of the thousands and to [the] commanders of the hundreds for all Judah and Benjamin and he enrolled them from a son of twenty year[s] and up-wards and he found them three hundred thousand chosen [man] [one who] goes forth warfare [one who] holds spear and body shield.
6 Pia alikodi wanaume wa kupigana 100, 000 kutoka Israeli kwa fedha mia moja.
And he hired from Israel one hundred thousand mighty [man] of strength for one hundred talent[s] of silver.
7 Lakini mtu wa Mungu alikuja kwake na kusema, “Mfalme, usiliache jeshi la Istaeli kwenda nawe, kwa maana Yahwe hayupo pamoja na Israeli -wala na mtu Yeyote wa Efraimu.
And [the] man of God he came to him saying O king may not it go with you [the] army of Israel for not Yahweh [is] with Israel all [the] descendants of Ephraim.
8 Lakini hata kama mtaenda na mkiwa wenye ushupavu na imara katika vita, Mungu atawatupa chini mbele ya adui, kwa maana Mungu ana nguvu za kusaidia, na nguvu za kurusha chini”.
That except go you act be strong for the battle he will overthrow you God before [the] enemy for there [is] strength in God to help and to overthrow.
9 Amazia akasema kwa mtu wa Mungu, “Lakini tutafanyaje kuhusu talanta mia moja nilizowapa jeshi la Israeli? Mtu wa Mungu akajibu, Yahwe anauwezo wa kukupa vingi zaidi kuliko hivyo.”
And he said Amaziah to [the] man of God and what? [is] to do to [the] one hundred the talent[s] which I paid to [the] troop[s] of Israel and he said [the] man of God there [belongs] to Yahweh to give to you much more than this.
10 Kwa hiyo Amazia akalitenganisha jeshi lilokuja kwake kutoka Efraimu; akawarudisha nyumbani tena. Hivyo hasira yao iliwaka sana zidi ya Yuda, na walirudi nyumbani kwa hasara kali.
And he separated them Amaziah the troop[s] which it had come to him from Ephraim to go to place their and it burned anger their exceedingly on Judah and they returned to place their in [the] heat of anger.
11 Amazia akajipa ujasiri na kuwaongoza watu wake kwenda nje kwenye bonde la chumvi, huko akawashinda wanaueme elfu kumi wa Seiri.
And Amaziah he strengthened himself and he led out people his and he went [the] Valley of Salt and he struck down [the] people of Seir ten thousand.
12 Jeshi la Yuda likawachukua elfu kumi wengine wakiwa hai. Wakawapeleka juu ya mwamba na kuwarushwa chini kutoka huko, hivyo wote wakavunjika vunjika katika vipande.
And ten thousand alive they took captive [the] people of Judah and they brought them to [the] top of the cliff and they threw them from [the] top of cliff and all of them they were split open.
13 Lakini watu wa jeshi ambalo Amazia alilirudisha, ili kwamba wasiende naye vitani, wakauvamia mji Yuda kuanzia Somaria hadi Beth- horoni. Wakawapiga watu elfu tatu na kuwateka wengi sana.
And [the] sons of the troop which he had turned back Amaziah from going with him to the battle and they made a raid on [the] cities of Judah from Samaria and to Beth Horon and they struck down of them three thousand and they plundered plunder much.
14 Sasa ikawa kwamba baada ya Amazia kurudi kutoka kuwachinja Waedomu, akaileta miungu ya watu wa Seiri, na kuisimamisha iwe miungu yake. Akainama chini mbele ya hiyo miungu na kuitolea sadaka za uvumba.
And it was after came Amaziah from defeating [the] Edomites and he brought [the] gods of [the] people of Seir and he set up them for himself to gods and before them he bowed down and to them he made smoke.
15 Hivyo hasira ya Yahwe ikawaka zidi ya Amazia. Akamtuma nabii kwake, ambaye alisema, “Kwa nini umeitafuta miungu ya watu ambayo haikuwaokoa hata watu wake yenyewe zidi ya mkono wako?”
And it burned [the] anger of Yahweh on Amaziah and he sent to him a prophet and he said to him why? have you sought [the] gods of the people which not they delivered own people their from hand your.
16 Akiwa kwamaba yule nabii alipokuwa anaongea naye, mfalme akamwambia, “Je, wewe tumekufanya kuwa mshauri wa mfalme? Acha! Kwa nini ujitakie kuuawa?” Kisha nabii akaacha na kusema, ninajua kwamba Mungu ameamua kukuangaamiza kwa sababu umefanya tendo hili na hujasikilisa ushauri wangu.”
And it was - when was speaking he to him and he said to him ¿ into a counselor of the king have we made you cease yourself why? will people strike down you and he ceased the prophet and he said I know that he has planned God to destroy you for you have done this and not you have listened to counsel my.
17 Kisha Amazia akashauriana na washauri na kutuma wajumbe kwa Yehoashi mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu, mfalme wa Israel. akisema, “Njoni, tukutane uso kwa uso katika vita”.
And he took counsel Amaziah [the] king of Judah and he sent to Joash [the] son of Jehoahaz [the] son of Jehu [the] king of Israel saying (come! *QK) let us look at one another faces.
18 Lakini Yehoashi mfalme wa Israeli akatuma wajumbe kwa Amaziahi mfalme wa Yuda, akisema, Mbaruti uliokuwa Lebanoni ulituma ujumbe kwa mwerezi ulioko Lebanoni, ukisema, Mtoe binti yako kwa mwanangu awe mke wake; lakini akapita hayawani katika Lebanoni akatembea na kuukanyaga chini mbaruti.
And he sent Joash [the] king of Israel to Amaziah [the] king of Judah saying the thornbush which [was] in Lebanon it sent to the cedar which [was] in Lebanon saying give! daughter your to son my to a wife and it passed by [the] animal of the field which [was] in Lebanon and it trampled the thornbush.
19 Umesema, 'Ona, nimeipiga Edomu,' na moyo wako umekuinua juu. Jipe fahari katika ushindi wako, lakini ukae nyumbani, kwa maana ni kwa nini ujisababishie matatizo mwenyewe na kuanguka, wote wewe na Yuda pamoja nawe?'
You have said here! you have struck down Edom and it has lifted you heart your to become heavy now remain! in house your why? will you engage in strife with harm and you will fall you and Judah with you.
20 Lakini Amazia hakusikiliza, kwa sababu tukio hili lilikuwa limetoka kwa Mungu, ili awatie Waisraeli katika mkono wa adui zao, kwa sababu walikuwa wametafuta ushauri kutoka kwa miungu ya Edomu.
And not he listened Amaziah for [was] from God it so as to give them in a hand for they had sought [the] gods of Edom.
21 Kwa hiyo, Yehoashsi, mfalme wa Israeli, akavamia; yeye na Amazia, mfalme wa Yuda, wakakutana uso kwa uso huko Beth -shemishi, ulioko Yuda.
And he went up Joash [the] king of Israel and they looked at one another faces he and Amaziah [the] king of Judah at Beth Shemesh which [belonged] to Judah.
22 Yuda akashindwa mbele za Israeli, na kila mtu akarudi nyumbani.
And it was defeated Judah before Israel and they fled each to tents his.
23 Yehoashi, mfalme wa Israeli, akamkamata Amazia mwana wa Yehoashi mana wa Ahazia, mfalme wa Yuda, huko Beth - shemeshi. Akamleta Yerusalemu na kuuangusha chini ukuta wa Yerusalemu kuanzia Lango la Efraimu hadi kona ya Lango, umbali wa mikono mia nne.
And Amaziah [the] king of Judah [the] son of Joash [the] son of Jehoahaz he caught Joash [the] king of Israel at Beth Shemesh and he brought him Jerusalem and he made a breach in [the] wall of Jerusalem from [the] gate of Ephraim to [the] gate which faces four hundred cubit[s].
24 Akachukua dhahabu na fedha zote, vitu vyote vilivyoonekana akatika nyumba aya Mungu kwa Obedi Edomu, na vitu vya thamanai katika nyumba ya mfalme, na mateka pia, na akarudi Samaria.
And all the gold and the silver and all the articles which were found in [the] house of God with Obed-Edom and [the] treasures of [the] house of the king and [the] sons of the pledges and he returned Samaria.
25 Amazia mwana wa Yoashi, mfalme wa Yuda, aliishi miaka kumi na tano baada ya kifo cha Yehoashi, mwana wa Yehoahazi, mfalme wa Israeli.
And he lived Amaziah [the] son of Joash [the] king of Judah after [the] death of Joash [the] son of Jehoahaz [the] king of Israel fif-teen year[s].
26 Kwa mambo mengingine kuhusu Amzia, mwanzo na mwisho, tazama, je, hayajaandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli?
And [the] rest of [the] matters of Amaziah former and latter ¿ not there! [are] they written on [the] scroll of [the] kings of Judah and Israel.
27 Sasa kutoka wakati amabaoa Amazia aligeukia mbali asimfuate Yahwe, walianza kupanga njama zidi yake katika Yerusalemu. Akakimbilia Lachishi, lakini wakatuma watu nyuma yake wamfuate Lachishsi na walimuua huko.
And from [the] time when he turned aside Amaziah from after Yahweh and people conspired on him a conspiracy in Jerusalem and he fled Lachish towards and they sent after him Lachish towards and they put to death him there.
28 Wakamleta juu ya farasis na wakamzika pamoja na babu zake kataika Mji wa Yuda.
And they carried him on horses and they buried him with ancestors his in [the] city of Judah.

< 2 Nyakati 25 >