< 2 Nyakati 25 >

1 Amaza alikuwa na umri wa amiaka ishirini na na tano alipoanza kutawala; alitawala miaka ishini na tisa katika Yerusalemu. Jina la mama yake lilikuwa Yehoadani, wa Yerusalemu.
Amaziah [was] a son of twenty-five years [when] he has reigned, and he has reigned twenty-nine years in Jerusalem, and the name of his mother [is] Jehoaddan of Jerusalem,
2 Alifanya yaliyokuwa sahihi katika macho ya Yahwe, lakini siyo kwa moyo uliojitoa kikamilifu.
and he does that which is right in the eyes of YHWH—only, not with a perfect heart.
3 Ikawa kwamba mapema utawala wake ulipokuwa umeimarika, aliwaua watumishi ambao walikuwa wamemuua baba yake, mfalme.
And it comes to pass, when the kingdom has been strong on him, that he slays his servants, those striking his father the king,
4 Lakini hakuwaua watoto wa wale wauaji, bali alitenda kama kama ilivyoaandikwa katika sheria, katika kitabu cha Musa, kama Yahwe alivyokuwa ameamru. “Baba hatajuta kwa ajili ya watoto, wala watoto hawatakufa kwa ajili ya baba zao. Badala yake, kila mtu lazima afe kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe”.
and he has not put their sons to death, but [did] as is written in the Law, in the Scroll of Moses, whom YHWH commanded, saying, “Fathers do not die for sons, and sons do not die for fathers, but they each die for his own sin.”
5 Aidha, Amazia aliwakusanya Yuda pamoja, na akawaandikisha kwa kufuata nyumba za babu zao, chini ya maakida wa maelfu na maakida wa mamia —wote wa Yuda na wa Benyamini. Akawahesabu kuanzia wa mika ishirini na kuendelea, na akawaona wako 300, 000 wanaume waliochaguliwa, wawezaoa kwenda vitani, walioweza kushika mkuki na ngao.
And Amaziah gathers Judah and appoints them according to the house of the fathers, for heads of the thousands and for heads of the hundreds, for all Judah and Benjamin; and he inspects them from a son of twenty years and upward, and finds them [to be] three hundred thousand chosen ones, going forth to the host, holding spear and buckler.
6 Pia alikodi wanaume wa kupigana 100, 000 kutoka Israeli kwa fedha mia moja.
And he hires out of Israel one hundred thousand mighty men of valor, with one hundred talents of silver;
7 Lakini mtu wa Mungu alikuja kwake na kusema, “Mfalme, usiliache jeshi la Istaeli kwenda nawe, kwa maana Yahwe hayupo pamoja na Israeli -wala na mtu Yeyote wa Efraimu.
and a man of God has come to him, saying, “O king, the host of Israel does not go with you; for YHWH is not with Israel—all the sons of Ephraim;
8 Lakini hata kama mtaenda na mkiwa wenye ushupavu na imara katika vita, Mungu atawatupa chini mbele ya adui, kwa maana Mungu ana nguvu za kusaidia, na nguvu za kurusha chini”.
but if you are going, do [it], be strong for battle, God causes you to stumble before an enemy, for there is power in God to help, and to cause to stumble.”
9 Amazia akasema kwa mtu wa Mungu, “Lakini tutafanyaje kuhusu talanta mia moja nilizowapa jeshi la Israeli? Mtu wa Mungu akajibu, Yahwe anauwezo wa kukupa vingi zaidi kuliko hivyo.”
And Amaziah says to the man of God, “But what to do about the hundred talents that I have given to the troop of Israel?” And the man of God says, “YHWH has more to give to you than this.”
10 Kwa hiyo Amazia akalitenganisha jeshi lilokuja kwake kutoka Efraimu; akawarudisha nyumbani tena. Hivyo hasira yao iliwaka sana zidi ya Yuda, na walirudi nyumbani kwa hasara kali.
And Amaziah separates them, of the troop that has come to him from Ephraim, to go to their own place; and their anger burns mightily against Judah, and they return to their place in the heat of anger.
11 Amazia akajipa ujasiri na kuwaongoza watu wake kwenda nje kwenye bonde la chumvi, huko akawashinda wanaueme elfu kumi wa Seiri.
And Amaziah has strengthened himself, and leads his people, and goes to the Valley of Salt, and strikes ten thousand of the sons of Seir.
12 Jeshi la Yuda likawachukua elfu kumi wengine wakiwa hai. Wakawapeleka juu ya mwamba na kuwarushwa chini kutoka huko, hivyo wote wakavunjika vunjika katika vipande.
And the sons of Judah have taken captive ten thousand alive, and they bring them to the top of the rock, and cast them from the top of the rock, and all of them have been broken.
13 Lakini watu wa jeshi ambalo Amazia alilirudisha, ili kwamba wasiende naye vitani, wakauvamia mji Yuda kuanzia Somaria hadi Beth- horoni. Wakawapiga watu elfu tatu na kuwateka wengi sana.
And the sons of the troop that Amaziah has sent back from going with him to battle—they rush against cities of Judah, from Samaria even to Beth-Horon, and strike three thousand of them, and seize much prey.
14 Sasa ikawa kwamba baada ya Amazia kurudi kutoka kuwachinja Waedomu, akaileta miungu ya watu wa Seiri, na kuisimamisha iwe miungu yake. Akainama chini mbele ya hiyo miungu na kuitolea sadaka za uvumba.
And it comes to pass after the coming in of Amaziah from striking the Edomites, that he brings in the gods of the sons of Seir, and establishes them for gods for himself, and bows himself before them, and he makes incense to them.
15 Hivyo hasira ya Yahwe ikawaka zidi ya Amazia. Akamtuma nabii kwake, ambaye alisema, “Kwa nini umeitafuta miungu ya watu ambayo haikuwaokoa hata watu wake yenyewe zidi ya mkono wako?”
And the anger of YHWH burns against Amaziah, and He sends a prophet to him, and he says to him, “Why have you sought the gods of the people that have not delivered their people out of your hand?”
16 Akiwa kwamaba yule nabii alipokuwa anaongea naye, mfalme akamwambia, “Je, wewe tumekufanya kuwa mshauri wa mfalme? Acha! Kwa nini ujitakie kuuawa?” Kisha nabii akaacha na kusema, ninajua kwamba Mungu ameamua kukuangaamiza kwa sababu umefanya tendo hili na hujasikilisa ushauri wangu.”
And it comes to pass, in his speaking to him, that he says to him, “Have we appointed you for a counselor to the king? For you [must] cease; why do they strike you?” And the prophet ceases and says, “I have known that God has counseled to destroy you, because you have done this and have not listened to my counsel.”
17 Kisha Amazia akashauriana na washauri na kutuma wajumbe kwa Yehoashi mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu, mfalme wa Israel. akisema, “Njoni, tukutane uso kwa uso katika vita”.
And Amaziah king of Judah takes counsel, and sends to Joash son of Jehoahaz, son of Jehu, king of Israel, saying,
18 Lakini Yehoashi mfalme wa Israeli akatuma wajumbe kwa Amaziahi mfalme wa Yuda, akisema, Mbaruti uliokuwa Lebanoni ulituma ujumbe kwa mwerezi ulioko Lebanoni, ukisema, Mtoe binti yako kwa mwanangu awe mke wake; lakini akapita hayawani katika Lebanoni akatembea na kuukanyaga chini mbaruti.
“Come, we look one another in the face.” And Joash king of Israel sends to Amaziah king of Judah, saying, “The thorn that [is] in Lebanon has sent to the cedar that [is] in Lebanon, saying, Give your daughter to my son for a wife; and a beast of the field that [is] in Lebanon passes by and treads down the thorn.
19 Umesema, 'Ona, nimeipiga Edomu,' na moyo wako umekuinua juu. Jipe fahari katika ushindi wako, lakini ukae nyumbani, kwa maana ni kwa nini ujisababishie matatizo mwenyewe na kuanguka, wote wewe na Yuda pamoja nawe?'
You have said, Behold, I have struck Edom; and your heart has lifted you up to boast; now, abide in your house, why do you stir yourself up in evil, that you have fallen, you and Judah with you?”
20 Lakini Amazia hakusikiliza, kwa sababu tukio hili lilikuwa limetoka kwa Mungu, ili awatie Waisraeli katika mkono wa adui zao, kwa sababu walikuwa wametafuta ushauri kutoka kwa miungu ya Edomu.
And Amaziah has not listened, for it [is] from God in order to give them into [their] hand, because they have sought the gods of Edom;
21 Kwa hiyo, Yehoashsi, mfalme wa Israeli, akavamia; yeye na Amazia, mfalme wa Yuda, wakakutana uso kwa uso huko Beth -shemishi, ulioko Yuda.
and Joash king of Israel goes up, and they look one another in the face, he and Amaziah king of Judah, in Beth-Shemesh, that [is] Judah’s,
22 Yuda akashindwa mbele za Israeli, na kila mtu akarudi nyumbani.
and Judah is struck before Israel, and they flee—each to his tents.
23 Yehoashi, mfalme wa Israeli, akamkamata Amazia mwana wa Yehoashi mana wa Ahazia, mfalme wa Yuda, huko Beth - shemeshi. Akamleta Yerusalemu na kuuangusha chini ukuta wa Yerusalemu kuanzia Lango la Efraimu hadi kona ya Lango, umbali wa mikono mia nne.
And Joash king of Israel has caught Amaziah king of Judah, son of Joash, son of Jehoahaz, in Beth-Shemesh, and brings him to Jerusalem, and breaks down in the wall of Jerusalem from the Gate of Ephraim to the Corner Gate—four hundred cubits,
24 Akachukua dhahabu na fedha zote, vitu vyote vilivyoonekana akatika nyumba aya Mungu kwa Obedi Edomu, na vitu vya thamanai katika nyumba ya mfalme, na mateka pia, na akarudi Samaria.
and [takes] all the gold, and the silver, and all the vessels that are found in the house of God with Obed-Edom, and the treasures of the house of the king, and the sons of the pledges, and turns back to Samaria.
25 Amazia mwana wa Yoashi, mfalme wa Yuda, aliishi miaka kumi na tano baada ya kifo cha Yehoashi, mwana wa Yehoahazi, mfalme wa Israeli.
And Amaziah son of Joash, king of Judah, lives after the death of Joash son of Jehoahaz, king of Israel, fifteen years;
26 Kwa mambo mengingine kuhusu Amzia, mwanzo na mwisho, tazama, je, hayajaandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli?
and the rest of the matters of Amaziah, the first and the last, behold, are they not written on the scrolls of the kings of Judah and Israel?
27 Sasa kutoka wakati amabaoa Amazia aligeukia mbali asimfuate Yahwe, walianza kupanga njama zidi yake katika Yerusalemu. Akakimbilia Lachishi, lakini wakatuma watu nyuma yake wamfuate Lachishsi na walimuua huko.
And from the time that Amaziah has turned aside from after YHWH—they make a conspiracy against him in Jerusalem, and he flees to Lachish, and they send after him to Lachish, and put him to death there,
28 Wakamleta juu ya farasis na wakamzika pamoja na babu zake kataika Mji wa Yuda.
and lift him up on the horses, and bury him with his fathers in the city of Judah.

< 2 Nyakati 25 >