< 2 Nyakati 25 >

1 Amaza alikuwa na umri wa amiaka ishirini na na tano alipoanza kutawala; alitawala miaka ishini na tisa katika Yerusalemu. Jina la mama yake lilikuwa Yehoadani, wa Yerusalemu.
Amaziah te kum kul kum nga a lo ca vaengah manghai tih Jerusalem ah kum kul kum ko manghai. A manu ming tah Jerusalem lamkah Jehoaddin ni.
2 Alifanya yaliyokuwa sahihi katika macho ya Yahwe, lakini siyo kwa moyo uliojitoa kikamilifu.
BOEIPA mikhmuh ah a thuem a saii dae thinko rhuemtuet nen moenih.
3 Ikawa kwamba mapema utawala wake ulipokuwa umeimarika, aliwaua watumishi ambao walikuwa wamemuua baba yake, mfalme.
Anih kut hmuiah ram te a cak vanbangla a napa manghai aka ngawn a sal rhoek te a ngawn.
4 Lakini hakuwaua watoto wa wale wauaji, bali alitenda kama kama ilivyoaandikwa katika sheria, katika kitabu cha Musa, kama Yahwe alivyokuwa ameamru. “Baba hatajuta kwa ajili ya watoto, wala watoto hawatakufa kwa ajili ya baba zao. Badala yake, kila mtu lazima afe kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe”.
A ca rhoek te tah Moses cabu dongkah olkhueng khuiah a daek bangla duek sak pawh. Te ah te BOEIPA loh a uen tih, “A ca kongah a napa duek boel saeh, a napa kongah a ca he duek boel saeh. Hlang he amah tholhnah kongah amah duek saeh,” a ti.
5 Aidha, Amazia aliwakusanya Yuda pamoja, na akawaandikisha kwa kufuata nyumba za babu zao, chini ya maakida wa maelfu na maakida wa mamia —wote wa Yuda na wa Benyamini. Akawahesabu kuanzia wa mika ishirini na kuendelea, na akawaona wako 300, 000 wanaume waliochaguliwa, wawezaoa kwenda vitani, walioweza kushika mkuki na ngao.
Amaziah loh Judah te a coi tih amih te a napa imkhui tarhing ah thawngkhat mangpa, yakhat mangpa te Judah pum neh Benjamin ham a pai sak. Te vaengah amih te tongpa kum kul lamloh a so hang te a soep. Te vaengah cai neh photlinglen aka pom tih caempuei la caeh ham a coelh he thawng ya thum a hmuh.
6 Pia alikodi wanaume wa kupigana 100, 000 kutoka Israeli kwa fedha mia moja.
Israel lamkah tatthai hlangrhalh thawng yakhat te cak talent yakhat neh a paang.
7 Lakini mtu wa Mungu alikuja kwake na kusema, “Mfalme, usiliache jeshi la Istaeli kwenda nawe, kwa maana Yahwe hayupo pamoja na Israeli -wala na mtu Yeyote wa Efraimu.
Te vaengah Pathen kah hlang te anih taengla pawk tih, “Manghai aw, Israel caempuei te nang taengla ha pawk mahpawh. BOEIPA he Israel taeng neh Ephraim koca boeih taengah a om moenih.
8 Lakini hata kama mtaenda na mkiwa wenye ushupavu na imara katika vita, Mungu atawatupa chini mbele ya adui, kwa maana Mungu ana nguvu za kusaidia, na nguvu za kurusha chini”.
Na cet tih caemtloek vaengah thaahuel la na saii mai cakhaw Pathen loh nang te thunkha mikhmuh ah m'palet sak ni. Pathen taengah tah bom ham neh palet sak ham khaw thadueng om,” a ti nah.
9 Amazia akasema kwa mtu wa Mungu, “Lakini tutafanyaje kuhusu talanta mia moja nilizowapa jeshi la Israeli? Mtu wa Mungu akajibu, Yahwe anauwezo wa kukupa vingi zaidi kuliko hivyo.”
Amaziah loh Pathen kah hlang te, “Tedae Israel caem hamla talent yakhat ka paek nen te balae ka saii eh?” a ti tah. Te vaengah Pathen kah hlang loh, “Te lakah a kum ngai nang taengah m'paek ham te BOEIPA taengah om,” a ti nah.
10 Kwa hiyo Amazia akalitenganisha jeshi lilokuja kwake kutoka Efraimu; akawarudisha nyumbani tena. Hivyo hasira yao iliwaka sana zidi ya Yuda, na walirudi nyumbani kwa hasara kali.
Te dongah amih te Amaziah loh a phihrha sak tih anih taengla aka pawk caem te khaw Ephraim lamloh amah hmuen la a caeh sak. Te vaengah amih kah thintoek te Judah taengah sai khungdaeng tih amah hmuen la thinling thintoek neh mael uh.
11 Amazia akajipa ujasiri na kuwaongoza watu wake kwenda nje kwenye bonde la chumvi, huko akawashinda wanaueme elfu kumi wa Seiri.
Te phoeiah tah Amaziah loh thaa a huel tih a pilnam te a khool. Kolrhawk la cet bal tih Seir koca thawng rha te a ngawn.
12 Jeshi la Yuda likawachukua elfu kumi wengine wakiwa hai. Wakawapeleka juu ya mwamba na kuwarushwa chini kutoka huko, hivyo wote wakavunjika vunjika katika vipande.
Te vaengah Judah ca rhoek te a hing la thawng rha a sol tih amih te thaelpang pango la a khuen uh. Te phoeiah amih te thaelpang pango lamloh a tulh uh tih a pum la sah uh.
13 Lakini watu wa jeshi ambalo Amazia alilirudisha, ili kwamba wasiende naye vitani, wakauvamia mji Yuda kuanzia Somaria hadi Beth- horoni. Wakawapiga watu elfu tatu na kuwateka wengi sana.
Caemtloek vaengah anih neh aka pongpa khuiah caem pa rhoek te Amaziah loh a mael sak vaengah tah, Judah khopuei ah Samaria lamloh Bethhoron la capit uh tih, te rhoek lamkah te thawng thum a ngawn uh dongah kutbuem muep a poelyoe uh.
14 Sasa ikawa kwamba baada ya Amazia kurudi kutoka kuwachinja Waedomu, akaileta miungu ya watu wa Seiri, na kuisimamisha iwe miungu yake. Akainama chini mbele ya hiyo miungu na kuitolea sadaka za uvumba.
Edom aka ngawn lamloh Amaziah a mael hnukah atah Seir ca rhoek kah pathen te a khuen. Te te amah ham pathen la a khueh tih a mikhmuh ah a bakop pah, te rhoek taengah phum uh.
15 Hivyo hasira ya Yahwe ikawaka zidi ya Amazia. Akamtuma nabii kwake, ambaye alisema, “Kwa nini umeitafuta miungu ya watu ambayo haikuwaokoa hata watu wake yenyewe zidi ya mkono wako?”
Te dongah BOEIPA kah thintoek te Amaziah taengah sai tih a taengla tonghma a tueih pah. Te vaengah anih te, “Balae tih nang kut lamkah a pilnam aka huul thai pawh pilnam pathen te na toem?” a ti nah.
16 Akiwa kwamaba yule nabii alipokuwa anaongea naye, mfalme akamwambia, “Je, wewe tumekufanya kuwa mshauri wa mfalme? Acha! Kwa nini ujitakie kuuawa?” Kisha nabii akaacha na kusema, ninajua kwamba Mungu ameamua kukuangaamiza kwa sababu umefanya tendo hili na hujasikilisa ushauri wangu.”
A taengah a thui ham a om li vaengah anih te, “Manghai taengah aka uento la nang kam paek uh a? Nang te paa laeh, balae tih nang n'ngawn uh eh?” a ti nah. Te vaengah tonghma te a paa sak dae, “Ka cilsuep he na hnatun pawt tih he tla na saii dongah nang phae hamla Pathen loh a thui te ka ming,” a ti nah.
17 Kisha Amazia akashauriana na washauri na kutuma wajumbe kwa Yehoashi mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu, mfalme wa Israel. akisema, “Njoni, tukutane uso kwa uso katika vita”.
Judah manghai Amaziah loh a uen phoeiah tah Israel manghai Jehu koca, Jehoahaz capa Joash te a tah tih, “Nang te lo lamtah maelhmai hmu uh rhoi sih,” a ti nah.
18 Lakini Yehoashi mfalme wa Israeli akatuma wajumbe kwa Amaziahi mfalme wa Yuda, akisema, Mbaruti uliokuwa Lebanoni ulituma ujumbe kwa mwerezi ulioko Lebanoni, ukisema, Mtoe binti yako kwa mwanangu awe mke wake; lakini akapita hayawani katika Lebanoni akatembea na kuukanyaga chini mbaruti.
Tedae Israel manghai Joash loh Judah manghai Amaziah te ol a pat tih, “Lebanon kah mutlo hling loh Lebanon kah lamphai te a tah tih, ‘Nang canu te kai capa yuu la m'pae mai,’ a ti nah. Te vaengah Lebanon ah aka pong khohmuen mulhing loh mutlo hling te a taelh.
19 Umesema, 'Ona, nimeipiga Edomu,' na moyo wako umekuinua juu. Jipe fahari katika ushindi wako, lakini ukae nyumbani, kwa maana ni kwa nini ujisababishie matatizo mwenyewe na kuanguka, wote wewe na Yuda pamoja nawe?'
Edom na ngawn te na thui tih na lungbuei thangpom ham na phuel uh coeng te. Namah im ah om laeh. Balae tih boethae te na huet? Te dongah ni namah neh na taengkah Judah khaw na cungku puei,” a ti nah.
20 Lakini Amazia hakusikiliza, kwa sababu tukio hili lilikuwa limetoka kwa Mungu, ili awatie Waisraeli katika mkono wa adui zao, kwa sababu walikuwa wametafuta ushauri kutoka kwa miungu ya Edomu.
Tedae Amaziah loh a hnatun pawt he Pathen taeng lamkah coeng dongah ni. Edom pathen te a toem uh dongah amih kut ah a tloeng van.
21 Kwa hiyo, Yehoashsi, mfalme wa Israeli, akavamia; yeye na Amazia, mfalme wa Yuda, wakakutana uso kwa uso huko Beth -shemishi, ulioko Yuda.
Israel manghai Joash te cet tangloeng tih Judah kah Bethshemesh ah Judah manghai Amaziah neh a maelhmai a hmuh uh.
22 Yuda akashindwa mbele za Israeli, na kila mtu akarudi nyumbani.
Te vaengah Judah te Israel mikhmuh ah yawk tih hlang khaw amah kah dap la rhaelrham uh.
23 Yehoashi, mfalme wa Israeli, akamkamata Amazia mwana wa Yehoashi mana wa Ahazia, mfalme wa Yuda, huko Beth - shemeshi. Akamleta Yerusalemu na kuuangusha chini ukuta wa Yerusalemu kuanzia Lango la Efraimu hadi kona ya Lango, umbali wa mikono mia nne.
Jehoahaz koca Joash capa Judah manghai Amaziah te khaw Israel manghai Joash loh Bethshemesh ah a tuuk tih anih te Jerusalem la a khuen. Te phoeiah Jerusalem vongtung te Ephraim vongka lamloh bangkil vongka hil dong ya li te a phae pah.
24 Akachukua dhahabu na fedha zote, vitu vyote vilivyoonekana akatika nyumba aya Mungu kwa Obedi Edomu, na vitu vya thamanai katika nyumba ya mfalme, na mateka pia, na akarudi Samaria.
Te vaengah sui neh cak boeih khaw, Obededom neh Pathen im kah a hmuh hnopai boeih khaw, manghai im kah thakvoh te khaw, hlangtlan ca rhoek te khaw Samaria la a mael puei.
25 Amazia mwana wa Yoashi, mfalme wa Yuda, aliishi miaka kumi na tano baada ya kifo cha Yehoashi, mwana wa Yehoahazi, mfalme wa Israeli.
Israel manghai Jehoahaz capa Joash a dueknah hnukah Judah manghai Joash capa Amaziah he kum hlai nga hing pueng.
26 Kwa mambo mengingine kuhusu Amzia, mwanzo na mwisho, tazama, je, hayajaandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli?
Amaziah kah ol noi a kung neh a dong khaw, Judah neh Israel manghai cabu khuiah a daek uh moenih a te?
27 Sasa kutoka wakati amabaoa Amazia aligeukia mbali asimfuate Yahwe, walianza kupanga njama zidi yake katika Yerusalemu. Akakimbilia Lachishi, lakini wakatuma watu nyuma yake wamfuate Lachishsi na walimuua huko.
Te vaeng tue lamlong tah Amaziah te BOEIPA hnuk lamloh nong tih anih te Jerusalem ah lairhui neh a taeng uh. Te dongah Lakhish la rhaelrham dae anih hnukah Lakhish la a tueih uh tih anih te pahoi a duek sak uh.
28 Wakamleta juu ya farasis na wakamzika pamoja na babu zake kataika Mji wa Yuda.
Anih te marhang neh a phueih uh tih Judah khopuei kah a napa rhoek taengah a up uh.

< 2 Nyakati 25 >