< 2 Nyakati 25 >

1 Amaza alikuwa na umri wa amiaka ishirini na na tano alipoanza kutawala; alitawala miaka ishini na tisa katika Yerusalemu. Jina la mama yake lilikuwa Yehoadani, wa Yerusalemu.
A: masaia da lalelegele ode 25 agoane esalu, e da muni Yuda hina bagade hamoi, amola e da Yelusaleme moilai bai bagadega esala, ode 29 agoanega Yuda fi ouligilalu. Ea eme da Yelusaleme fi uda ea dio amo Yihoua: da: ne.
2 Alifanya yaliyokuwa sahihi katika macho ya Yahwe, lakini siyo kwa moyo uliojitoa kikamilifu.
E da Hina Gode hahawane ba: ma: ne hamoi. Be e da ea aowa, hina bagade Da: ibidi defele, hame hamoi.
3 Ikawa kwamba mapema utawala wake ulipokuwa umeimarika, aliwaua watumishi ambao walikuwa wamemuua baba yake, mfalme.
A: masaia da ea ouligisu hou gasawane lai dagoloba, e da eagene ouligisu dunu ilia da musa: ea ada medole legei, amo dabele huluane medole lelegei.
4 Lakini hakuwaua watoto wa wale wauaji, bali alitenda kama kama ilivyoaandikwa katika sheria, katika kitabu cha Musa, kama Yahwe alivyokuwa ameamru. “Baba hatajuta kwa ajili ya watoto, wala watoto hawatakufa kwa ajili ya baba zao. Badala yake, kila mtu lazima afe kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe”.
Be e da ilia manolali hame medole lelegei. E da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i, Mousese ea Sema ganodini amane dedei, “Manolali da wadela: i hou hamosea, ilia ada amola ame mae medole legema. Amola, edalali da wadela: i hou hamosea, manolali mae medole legema. Dunu da hi wadela: i hou hamoiba: le fawane, medole legei dagoi ba: ma: mu!”, amo dawa: beba: le, eagene ouligisu dunu ilia manolali hame medole lelegei.
5 Aidha, Amazia aliwakusanya Yuda pamoja, na akawaandikisha kwa kufuata nyumba za babu zao, chini ya maakida wa maelfu na maakida wa mamia —wote wa Yuda na wa Benyamini. Akawahesabu kuanzia wa mika ishirini na kuendelea, na akawaona wako 300, 000 wanaume waliochaguliwa, wawezaoa kwenda vitani, walioweza kushika mkuki na ngao.
Hina bagade A: masaia da Yuda amola Bediamini fi dunu huluane gilisili, ilia sosogo fi defele momogili, mogi idi 1000 agoane amola 100 agoane amoga ouligisu dunu ilegei. Ea dadi gagui wa: i da dunu huluane amo da lalelegele ode 20 esalu amola ode 20 baligi. Huluane idi da300,000agoane ba: i. Ilia da ilegei dunu fawane, amola ilia da goge agei amola da: igene ga: su amoga gegemusa: , medenegi dunu agoai ba: i.
6 Pia alikodi wanaume wa kupigana 100, 000 kutoka Israeli kwa fedha mia moja.
Amola e da Isala: ili dadi gagui dunu eno 100,000 agoane, silifa osodayale ‘danese’ amowali iawane, e fidima: ne hiougi.
7 Lakini mtu wa Mungu alikuja kwake na kusema, “Mfalme, usiliache jeshi la Istaeli kwenda nawe, kwa maana Yahwe hayupo pamoja na Israeli -wala na mtu Yeyote wa Efraimu.
Be balofede dunu afae da hina bagade ema asili, amane sia: i, “Amo Isala: ili dadi gagui dunu maedafa oule masa! Hina Gode da amo ga (north) Isala: ili fi dunuma gai hame.
8 Lakini hata kama mtaenda na mkiwa wenye ushupavu na imara katika vita, Mungu atawatupa chini mbele ya adui, kwa maana Mungu ana nguvu za kusaidia, na nguvu za kurusha chini”.
Ilia da dia gegesu noga: le fidima: beyale dia dawa: sa. Be Gode Hi fawane da di hasalasimu o hame hasalasimu hamosa. E da dia ha lai amoea di hasalima: ne, logo doasimu.”
9 Amazia akasema kwa mtu wa Mungu, “Lakini tutafanyaje kuhusu talanta mia moja nilizowapa jeshi la Israeli? Mtu wa Mungu akajibu, Yahwe anauwezo wa kukupa vingi zaidi kuliko hivyo.”
A: masaia da balofede dunuma amane adole ba: i, “Be na da ili hiougimusa: , silifa bidi bagohame i dagoi.” Balofede dunu da bu adole i, “Mae dawa: ma! Hina Gode da dima amo baligiliwane imunusa: dawa:”
10 Kwa hiyo Amazia akalitenganisha jeshi lilokuja kwake kutoka Efraimu; akawarudisha nyumbani tena. Hivyo hasira yao iliwaka sana zidi ya Yuda, na walirudi nyumbani kwa hasara kali.
Amaiba: le, A:masaia da hiougi dadi gagui dunu ilia diasua buhagima: ne sia: i. Ilia da Yuda fi dunuma bagade ougiliwane, ili diasua buhagima: ne asi.
11 Amazia akajipa ujasiri na kuwaongoza watu wake kwenda nje kwenye bonde la chumvi, huko akawashinda wanaueme elfu kumi wa Seiri.
12 Jeshi la Yuda likawachukua elfu kumi wengine wakiwa hai. Wakawapeleka juu ya mwamba na kuwarushwa chini kutoka huko, hivyo wote wakavunjika vunjika katika vipande.
A: masaia da hi dogo denesili, ea dadi gagui wa: i amo Deme Fagoga oule asi. Amogawi, ilia da gegene, Idome fi dadi gagui dunu 10,000 agoane medole legei amola eno 10,000 agoane gagulaligi. Ilia da amo dunu gafulu amo da Sila moilai bai bagade gadenene gala, amoga hiouginana asili, ili huluane bogoma: ne gafulua fulisasali.
13 Lakini watu wa jeshi ambalo Amazia alilirudisha, ili kwamba wasiende naye vitani, wakauvamia mji Yuda kuanzia Somaria hadi Beth- horoni. Wakawapiga watu elfu tatu na kuwateka wengi sana.
Amogaluwane, Isala: ili fi dadi gagui dunu amo A: masaia da mae gegena misa: ne sia: i, ilia da Yuda soge moilai bai bagade Samelia amola Bede Houlane dogoa fifi lai amo huluane doagala: le, dunu 3,000 agoane medole legei amola liligi bagohame susugui.
14 Sasa ikawa kwamba baada ya Amazia kurudi kutoka kuwachinja Waedomu, akaileta miungu ya watu wa Seiri, na kuisimamisha iwe miungu yake. Akainama chini mbele ya hiyo miungu na kuitolea sadaka za uvumba.
A: masaia da Idome fi dunu hasalasili, buhagisia, e da Idome dunu ilia loboga hamoi ogogosu ‘gode’ liligi gaguli misi. E da amo liligi bugili, ilima nodone sia: ne gadoi amola ilima gabusiga: manoma gobele sali.
15 Hivyo hasira ya Yahwe ikawaka zidi ya Amazia. Akamtuma nabii kwake, ambaye alisema, “Kwa nini umeitafuta miungu ya watu ambayo haikuwaokoa hata watu wake yenyewe zidi ya mkono wako?”
E da agoane hamobeba; le, Hina Gode da ougi ba: i. E da balofede dunu afae A: masaiama asunasi. Balofede dunu da ema ha: giwane amane adole ba: i, “Di da abuliba: le ga fi ilia ogogosu ‘gode’ liligi ilima nodone sia: ne gadobela: ? Di da dia fidafa wadela: sa. Amola amo ogogosu ‘gode’ da dia fidafa fi amo wadela: su hou amoga gaga: mu hamedei.”
16 Akiwa kwamaba yule nabii alipokuwa anaongea naye, mfalme akamwambia, “Je, wewe tumekufanya kuwa mshauri wa mfalme? Acha! Kwa nini ujitakie kuuawa?” Kisha nabii akaacha na kusema, ninajua kwamba Mungu ameamua kukuangaamiza kwa sababu umefanya tendo hili na hujasikilisa ushauri wangu.”
E sia: nanobawane, A:masaia da ea sia: dedebole, amane sia: i, “Di da hina bagade ea fada: i sia: su dunu hamobela: ? Sia: yolema! Hame yolesea, na da di fane legema: ne sia: mu!” Balofede dunu da sia: ouiya: i. Be hidadea, e amane sia: i, “Na da wali dawa: ! Gode da di gugunufinisimusa: ilegei dagoi. Bai di da amo hou hamoi amola na fada: i sia: nabimu higa: i.”
17 Kisha Amazia akashauriana na washauri na kutuma wajumbe kwa Yehoashi mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu, mfalme wa Israel. akisema, “Njoni, tukutane uso kwa uso katika vita”.
Hina bagade A: masaia amola ea fada: i sia: su dunu da Isala: ili fi ilima gegemusa: ilegei. Amalu, A:masaia da Isala: ili hina bagade Yihoua: se (Yihouaha: se egefe amola Yihiu ea aowa) ema molole gegena misa: ne sia: si.
18 Lakini Yehoashi mfalme wa Israeli akatuma wajumbe kwa Amaziahi mfalme wa Yuda, akisema, Mbaruti uliokuwa Lebanoni ulituma ujumbe kwa mwerezi ulioko Lebanoni, ukisema, Mtoe binti yako kwa mwanangu awe mke wake; lakini akapita hayawani katika Lebanoni akatembea na kuukanyaga chini mbaruti.
Be hina bagade Yihoua: se da ema bu dabe amane adosi, “Eso afaega aya: gaga: nomei ifa Lebanone Goumia dialu da dolo ifa amoma amane sia: si, ‘Didiwi amo nagofe igili lama: ne ima’. Be sigua ohe da baligili ahoanoba, aya: gaga: nomei ifa osa: la heda: le lologei.
19 Umesema, 'Ona, nimeipiga Edomu,' na moyo wako umekuinua juu. Jipe fahari katika ushindi wako, lakini ukae nyumbani, kwa maana ni kwa nini ujisababishie matatizo mwenyewe na kuanguka, wote wewe na Yuda pamoja nawe?'
Defea! A: masaia! Di da Idome dunu hasali dagoiba: le, disu da gasa fi amo di hidale dawa: sa. Dunu da dima nodone dawa: beba: le, di eno gegemusa: mae dawa: le, dia sogedafa amoga hahawane esalumu da defea. Di da bidi hamosea, di amola dia fi dunu da gugunufinisisu ba: mu.”
20 Lakini Amazia hakusikiliza, kwa sababu tukio hili lilikuwa limetoka kwa Mungu, ili awatie Waisraeli katika mkono wa adui zao, kwa sababu walikuwa wametafuta ushauri kutoka kwa miungu ya Edomu.
Be A: masaia da Yihoua: se ea sia: nabimu higa: i. Gode Ea hanai da Yihoua: sie da A: masaia hasalimu. Bai A: masaia da Idome loboga hamoi ogogosu ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadosu.
21 Kwa hiyo, Yehoashsi, mfalme wa Israeli, akavamia; yeye na Amazia, mfalme wa Yuda, wakakutana uso kwa uso huko Beth -shemishi, ulioko Yuda.
Amaiba: le, Isala: ili hina bagade Youa: sie amola ea dadi gagui dunu huluane da gadili mogodigili asili, Yuda soge ganodini Bede Simese moilaiga, A:masaiama gegei.
22 Yuda akashindwa mbele za Israeli, na kila mtu akarudi nyumbani.
Isala: ili hina bagade Yihoua: se da A: masaia ea dadi gagui wa: i hasalabeba: le, ea dadi gagui dunu da ilila: diasua hobeale afia: i.
23 Yehoashi, mfalme wa Israeli, akamkamata Amazia mwana wa Yehoashi mana wa Ahazia, mfalme wa Yuda, huko Beth - shemeshi. Akamleta Yerusalemu na kuuangusha chini ukuta wa Yerusalemu kuanzia Lango la Efraimu hadi kona ya Lango, umbali wa mikono mia nne.
Yihoua: se da A: masaia gagulaligili, e Yelusalemega hiouginana asi. E da Yelusaleme moilai bai bagade doagala: musa: wa: i asili, gagoi amo da Ifala: ime Logo Ga: sua amoganini asili, Hegomai Logo Ga: sua doaga: le amo ea sedade defei 200 mida gadenene agoai, amo huluane mugululi sali.
24 Akachukua dhahabu na fedha zote, vitu vyote vilivyoonekana akatika nyumba aya Mungu kwa Obedi Edomu, na vitu vya thamanai katika nyumba ya mfalme, na mateka pia, na akarudi Samaria.
E da silifa amola gouli amola Debolo Diasu ganodini hawa: hamosu liligi (Oubede Idome egaga dunu da amo liligi sosodo aligisu) amola hina bagade diasu ganodini modai liligi amo huluane lale, Samelia moilai bai bagadega gaguli asi. Amola Yuda fi da ema bu mae doagala: ma: ne, e da Yuda dunu oda gagulaligili, Samelia sogega oule asi. Amo da Yuda fi ilima sisasu. Ilia da bu doagala: sea, e da amo gagulaligi dunu medole legema: ne sia: i. (hostages)
25 Amazia mwana wa Yoashi, mfalme wa Yuda, aliishi miaka kumi na tano baada ya kifo cha Yehoashi, mwana wa Yehoahazi, mfalme wa Israeli.
Isala: ili hina bagade Yihoua: se da bogoloba, Yuda hina bagade A: masaia da ode15eno agoane bu esalu, bogoi.
26 Kwa mambo mengingine kuhusu Amzia, mwanzo na mwisho, tazama, je, hayajaandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli?
A: masaia ea hou eno huluane, ea muni ouligisu hou amola dagosu ouligisu hou, amo da “Yuda hina bagade amola Isala: ili hina bagade Ilia Hawa: Hamonanu Meloa” amo ganodini dedene legei.
27 Sasa kutoka wakati amabaoa Amazia aligeukia mbali asimfuate Yahwe, walianza kupanga njama zidi yake katika Yerusalemu. Akakimbilia Lachishi, lakini wakatuma watu nyuma yake wamfuate Lachishsi na walimuua huko.
A: masaia da Hina Godema odoga: i amola amogalu Yelusaleme dunu mogili da A: masaia medole legemusa: wamo sia: sa: i. Amo sia: nababeba: le, A:masaia da La: igisi moilai bai bagadega hobea: i. Be ema ha lai dunu da ema fa: no bobogele, amola amogawi e medole legei.
28 Wakamleta juu ya farasis na wakamzika pamoja na babu zake kataika Mji wa Yuda.
Ea fi dunu ea da: i hodo hosi da: iya ligisili, Yelusaleme moilai bai bagadega gaguli asili, hina bagade gele gelabo sogebi Da: ibidi Moilai bai bagadega amo ganodini sali.

< 2 Nyakati 25 >