< 2 Nyakati 22 >

1 Wakaaji wa Yersusalemu wakamfanya Ahazia, mwana mdodgo wa Yehoramu, mfalme katika nafasi yake, kwa maana kundi la watu ambalo lilikuja na Waarabu katika ngome lilikuwa limewauwa wanaye wakubwa wote. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akawa mfalme.
Et les habitants de Jérusalem firent Achazia, son fils cadet, roi en sa place; car tous les aînés avaient été tués par la horde venue avec les Arabes au camp. Ainsi devint roi Achazia, fils de Joram, roi de Juda.
2 Ahazia alikuwa na umri wa mika arobaini na mbili alipoanza kutawala; alitawala kwa mwaka mmoja katika Yerusalemu. Jina la mama yake aliitwa Athalia; alikuwa binti Omri.
Achazia avait quarante-deux ans à son avènement, et il régna un an à Jérusalem. Or le nom de sa mère était Athalie, fille d'Omri.
3 Pia Ahazia alitembea katika njia za nyumba ya Ahabu kwa maana mama yake alikuwa mshauri katika kufanya mamabo maovu.
Lui aussi marcha sur les errements de la maison d'Achab, car sa mère était sa conseillère d'impiété.
4 Ahazia alifanya yaliyokuwa maovu katika macho ya Yahwe, kama nyumba ya Ahabu walivyokuwa wakifanya, kwa maana walikuwa washauri wake baada ya kifo cha baba yake, hadi kuangamia kwake.
Et il fit ce qui est mal aux yeux de l'Éternel, comme la maison d'Achab, car là furent ses conseillers après la mort de son père, pour sa perte.
5 Pia aliufuata ushauri wao; akaenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, kwa ajili ya kupigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Aramu, huko Ramothi-gileadi. Waaramu wakamjeruhi Yoramu.
Ce fut aussi d'après leur conseil qu'il se conduisit, et qu'il marcha avec Joram, fils d'Achab, roi d'Israël, à l'attaque de Hazaël, roi de Syrie, à Ramoth en Galaad. Et les Syriens blessèrent Joram,
6 Yoramu akaraudi Yezreeli kwa ajili ya kuponywa majeraha ambayo walipa huko Rama, alipopigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Aramu. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akaenda chini Yezreeli ili kumuona Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu Yoramu alikuwa amejeruhiwa.
qui alors rebroussa pour se faire traiter à Jizréel des blessures qu'il avait reçues à Rama, lorsqu'il se battait contre Hazaël, roi de Syrie. Et Azaria, fils de Joram, roi de Juda, descendit pour visiter Joram, fils d'Achab, à Jizréel, parce qu'il était malade.
7 Sasa uharibifu wa Ahazia ulikuwa umeletwa na Mungu kupitia kutembelewa na Yoramu. Alipokuwa amewasiri, alienda pamoja na Yeharamu ili kumvamia Yehu mwana wa Nimshi, ambaye Yahwe alikuwa amemchagua kwa ajili ya kuingamiza nyumba ya Ahabu.
Et c'est par la volonté de Dieu qu'Achazia se perdit en venant auprès de Joram; et à son arrivée il s'achemina avec Joram, au-devant de Jéhu, fils de Nimsi, que l'Éternel avait oint pour extirper la maison d'Achab.
8 Ikawa kwamba, Yehu alikuwa akichukua hukumu ya Mungu juu ya nyumba ya Ahabu, kwamba aliwakuta viongozi wa Yuda na wana wa ndugu zake Ahazia wakimtumikia Ahazia. Yehu akawauwa.
Et comme Jéhu faisait justice de la maison d'Achab, il atteignit les chefs de Juda et les fils des frères d'Achab, qui étaient au service d'Achazia, et les massacra.
9 Yehu akamtafuta Ahazia; Wakamkamata akiwa amejificha katika Samaraia, wakamleta kwa Yehu, na wakamuuwa. Kisha wakamzika, kwa maana walisema, “Ni mwana wa Yehoshafati, ambaye alimtafuta Yahwe kwa moyo wake wote.” Kwa hiyo nyumba ya Ahazia haikuwa na nguvu zaidi kwa ajili ya kuutawala ule ufalme.
Et il chercha Achazia, qui fut pris comme il se cachait dans Samarie, et on l'emmena à Jéhu, et on le fit mourir, et on lui donna la sépulture; car ils disaient: C'est le fils de Josaphat qui cherchait l'Éternel de tout son cœur. Et dans la maison d'Achazia il n'y avait personne d'apte à régner.
10 Sasa Athalia, mama wa Ahazia, akaoana kwamba mwanaye alikuwa amekufa, akaianuka na kuwauwa watoto wote wa kifalme katika nyumba ya Yehu.
Mais Athalie, mère d'Achazia, voyant son fils mort, se mit en devoir de détruire toute la race royale de la maison de Juda.
11 Lakini Yehoshaba, binti wa mfalme, akamchukua Yoashi, mwana wa Ahazia, na akamvutia mbali kutoka miongoni mwa wana wa mfalme ambao waliuawa. Akamuweka yeye na mlezi wake katika chumba cha kulala. Kwa hiyo Yehoshaba, binti wa mfalme Yehoramu, mke wa Yehoiada kuhani (kwa maana alikuwa dada yake Ahazia), akamficha asimuone Athalia, kwa hiyo Athalia hakumuuwa.
Alors Josabeath, fille de roi, prit Joas, fils d'Achazia, et parvint à le soustraire du milieu des fils du roi qu'on mettait à mort, et le logea lui et sa nourrice dans la salle des lits; ainsi le cacha Josabeath, fille du roi Joram, femme de Joiada, le Prêtre (car elle était sœur d'Achazia) aux regards d'Athalie, afin que celle-ci ne le fît pas mourir;
12 Alikuwa pamoja nao, wakiwa wamejificha katika nyumba ya Mungu kwa miaka sita, Athalia alipotawala juu ya Yuda.
et il fut avec eux dans la maison de Dieu, caché pendant six ans. Cependant Athalie régissait le pays.

< 2 Nyakati 22 >