< 2 Nyakati 21 >

1 Yehoshafati akalala pamoja na babu zake na akizikwa pamoaja nao katika mji wa Daudi;
Potem Jehoszafat zasnął ze swoimi ojcami i został pogrzebany z nimi w mieście Dawida, a jego syn Joram królował w jego miejsce.
2 Yehoramu, mwanaye, akawa mfalme katika nafasi yake. Yehoramu alikuwa na ndugu, wana wa Yehoshafati: Azaria, Yerieli, Zekaria, Azaria, Mikaeli, na Shefatia. Wote hawa walikuwa wana wa Yehoshafati, mfalme wa Israeli.
Ten [miał] braci, synów Jehoszafata: Azariasza, Jechiela, Zachariasza, Azariasza, Mikaela i Szefatiasza. Ci wszyscy byli synami Jehoszafata, króla Izraela.
3 Baba yao alikuwa amewapa zawadi kubwa ya fedha, dhahabu, na vitu vingine vya thamani, na miji yenye ngome katika Yuda, lakini kiti cha enzi alimpa Yehoramu, kwa sababu alikuwa mzaliwa wake wa kwanza.
Ich ojciec dał im wiele darów w srebrze i złocie oraz kosztowności wraz z warownymi miastami w Judzie. Ale królestwo oddał Joramowi, ponieważ on był pierworodnym.
4 Sasa Yehoramu alipokuwa ameinuka katika ufalme wa baba yake na kujiimarisha mwenyewe kama mfalme, akawaua ndugu zake wote kwa upanga, na pia viongizi wengine mbali mbali wa Israeli.
Kiedy Joram objął władzę w królestwie swojego ojca, umocnił się i pozabijał mieczem wszystkich swoich braci, a także [niektórych] z książąt Izraela.
5 Yehoramu alikuwa na umri wa mika thelathini na mbili alipoanza kutawala, na akatawala kwa miaka minane katika Yerusalemu.
Joram miał trzydzieści dwa lata, kiedy zaczął królować, i królował osiem lat w Jerozolimie.
6 Akatembea katika njia za wafalme wa Israeli, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa ikifanya, kwa maana alikuwa na binti Ahabu kama mke wake, na akafanya yaliyo maovu katika macho ya Yahwe.
I chodził drogami królów Izraela, tak jak to czynił dom Achaba, bo córka Achaba była jego żoną. I czynił to, co złe w oczach PANA.
7 Vile vile, Yahwe hakutaka kuiangamiza nyumba ya Daudi, kwa sababu ya agano ambalo alikuwa amefanya na Daudi; alikuwa ameahidi kwamba siku zote angetoa uzima kwa ajili yake na kwa ajili ya vizazi vyake.
PAN jednak nie chciał wytracić domu Dawida ze względu na przymierze, które zawarł z Dawidem, i ponieważ obiecał dać pochodnię jemu oraz jego synom, po wszystkie dni.
8 Katika siku za Yehoramu, Edomu wakaasi wasiwe chini ya Yuda, na wakajisimamishia mfalme juu yao.
Za jego dni Edomici wyzwolili się spod panowania Judy i ustanowili nad sobą króla.
9 Kisha Yeroboamu akavuka ng'ambo pamoja na maakida na magari yake yote. Ilikuwa usiku aliposimama na kupigana dhidi ya Waedomu ambao walikuwa wamemzunguka na maakida wa magari yake.
Wyruszył więc Joram wraz ze swoimi dowódcami i wszystkimi swoimi rydwanami. I powstał w nocy, i uderzył na Edomitów, którzy otoczyli jego i dowódców jego rydwanów.
10 Kwa hiyo Edomu iliasi kutoka kuwa chini ya Yuda mpaka leo. Libna pia aliasi wakati ule ule wasiwe chini yake. Kwa sababu Yehoramu alikuwa amemsahau Yahwe, Mungu wa babu zake.
Edomici jednak wyzwolili się spod ręki Judy i [tak jest] aż do dziś. W tym czasie również Libna wyzwoliła się spod jego ręki, dlatego że [Joram] opuścił PANA, Boga swoich ojców.
11 Zaidi ya hayo, Yehoramu pia alikuwa amezijenga sehemu zake za juu katika milma ya Yuda na akawafanya wakaaji wa Yuda kuishi kama makahaba, na akawaongoza Yuda katika upotevu.
Ponadto pobudował wyżyny w górach Judy i przywiódł mieszkańców Jerozolimy do cudzołóstwa, do tego też skłonił Judę.
12 Barua kutoka kwa nabii Eliya ikaja kwa Yerohamu. Ilisema, “Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Daudi, babu yako, anasema: Kwa sababu hujatembea katika njia za Yehoshafafati, baba yako, wala katika njia za Asa, mfalme wa Yuda,
Wtedy przyszło do niego pismo od proroka Eliasza tej treści: Tak mówi PAN, Bóg Dawida, twego ojca: Ponieważ nie chodziłeś drogami swego ojca Jehoszafata i drogami Asy, króla Judy;
13 bali umetembea katika njia za wafalme wa Israeli, na umewafanya Yuda na wakaaji wa Yerusalemu kuenenda kama kahaba, kama nyumba ya Ahabu walivyofanya—na kwa sababu pia umewaua ndugu zako katika familia ya baba yako kwa upanga, watu waliokuwa bora kuliko wewe mwenyewe—
Ale chodziłeś drogą królów Izraela i przywiodłeś do cudzołóstwa Judę i mieszkańców Jerozolimy, tak jak cudzołożył dom Achaba, ponadto wymordowałeś swoich braci z domu swego ojca – lepszych od ciebie;
14 ona, Yahwe atawapiga watu wako na pigo kubwa, watoto wako, wake zako, na mali zako zote.
Oto PAN uderzy wielką plagą twój lud, twoich synów, twoje żony i cały twój majątek;
15 Wewe mwenyewe utakuwa na ugonjwa mwingi kwa sababu ya ugonjwa kataika katika utumbo wako, mpaka utumbo wako uanguke nje kwa sababu ya ugonjwa, siku baada ya siku.
Na ciebie też [przyjdzie] ciężka choroba, choroba wnętrzności, aż z powodu choroby dzień za dniem będą wypływać twoje wnętrzności.
16 Yahwe akaichochea roho ya Wafilisiti dhidi ya Yuda na ya Waarabu waliokuwa karibu na Waethipia.
PAN pobudził również przeciw Joramowi ducha Filistynów i Arabów, którzy mieszkali obok Etiopczyków;
17 Wakaivamia Yuda, wakavamia katika nyumba ya mfalme. Pia wakawachukua wanaye na wake zake. Hakuna mwana aliyebakizwa kwa ajili yake ispokuwa, Yehoshafati, mwanaye mdogo.
Wtargnęli oni do Judy, spustoszyli ją i zabrali cały majątek, który znajdował się w domu króla, [uprowadzili] też jego synów i jego żony, tak że nie pozostał mu żaden syn oprócz Jehoachaza, najmłodszego z jego synów.
18 Baada ya haya yote, Yahwe akampiga katika utumbo wake kwa ugonjwa usiopona.
Po tym wszystkim PAN dotknął go nieuleczalną chorobą wnętrzności.
19 Ikawa wakati ulipofika, katika mwisho wa miaka miwili, kwamba utumbo wake ukaaanguka nje kwa sababu ya ugonjwa wake, na kwamba akafa kwa ugonjwa mkali. Watu wake hawakutengeneza moto kwa ajili ya heshima yake kama walivyokuwa wamefanyia babu zake.
A gdy tak mijał dzień po dniu, upłynął okres dwóch lat i wypłynęły jego wnętrzności z powodu tej choroby, i umarł w ciężkich bólach. A lud nie palił mu żadnego ognia, jak to [uczynił] dla jego ojców.
20 Alikuwa ameanza kutawala alipokuwa na umrai wa miaka thelatahini na mbaili; akatawala katika Israeli kwa miaka minane, na alikufa bila kuaombolezwa. Wakamzika katika mji wa Daudi, lakini siyo katika makaburi ya kifalme.
Miał trzydzieści dwa lata, kiedy zaczął królować, i królował osiem lat w Jerozolimie, a odszedł tak, że nikt go nie żałował. I został pogrzebany w mieście Dawida, ale nie w grobach królewskich.

< 2 Nyakati 21 >