< 2 Nyakati 2 >

1 Sasa Selemani akaamuru kulijengea nyumba jina la Yahwe na nyumamba kwa ajili ya ikulu ya ufalme wake.
A umíniv Šalomoun stavěti dům jménu Hospodinovu, a dům svůj královský,
2 Selemeni akateua wanaume elfu sabini wabebe mizigo, na wanaume elfu themanini wa kukata mbao katika mlima, na wanaume 3, 600 kwa ajili ya kusimamia.
Odečtl Šalomoun sedmdesát tisíc nosičů a osmdesát tisíc těch, kteříž tesali na hoře, a úředníků nad nimi tři tisíce a šest set.
3 Selemani akatuma ujumbe kwa Hiramu, mfalme wa Tiro, ukisema, “Kama ulivyofanya na Daudi baba yangu, ulivyomtumia magogo ya mierezi ili ajenge nyumba ya kuishi, fanya hivyo hivyo na mimi.
Poslal také Šalomoun k Chíramovi králi Tyrskému, řka: Jakž jsi se choval k Davidovi otci mému, posílaje mu dříví cedrové, aby sobě stavěl dům k bydlení, tak čiň i mně.
4 Tazama, niko karibu kujenga nyumba kwa ajili ya jina la Yahwe Mungu wangu, kuiweka wakifu kwake, kwa ajili ya kumtolea sadaka za kuteketezwa zenye viungo vitamu mbele zake, kwa ajili ya mkate wa uwepo, na kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa asubuhi na jioni, katika siku za Sabato na za mwezi mpya, na katika sikukuu zilizoteuliwa kwa ajili ya Yahwe Mungu wetu. Hii itakuwa milele, kwa Israeli.
Nebo aj, já stavěti chci dům jménu Hospodina Boha svého, aby posvěcen byl jemu k tomu, aby se před ním kadilo vonnými věcmi, a k ustavičnému předkládání chlebů, i k zápalným obětem, ranním i večerním, ve dny sobotní a novoměsíčné, i na slavnosti Hospodina Boha našeho, což v Izraeli na věky trvati má.
5 Nyumba nitakayoijenga itakuwa kubwa sana, maana Mungu wetu ni mkuu kuliko miungu mingine yote.
Dům pak, kterýž stavěti chci, veliký býti má; nebo Bůh náš větší jest nade všecky bohy.
6 Lakini ni nani anayeweza kumjengea Mungu nyumba, kama dunia yote na hata mbigu yenyewe haviwezi kumtosha? Mimi ni nani hata nimjengee nyumba, ispokuwa sadaka kwa ajili ya sadaka za kufukiza mbele zake?
Ač kdo jest, ješto by mohl dům jemu vystavěti, poněvadž ho nebe i nebesa nebes obsáhnouti nemohou? Ano i já kdo jsem, abych jemu dům vystavěti měl, než toliko k tomu, aby se kadilo před ním?
7 Kwa hiyo nileteeni mtu mwenye ujuzi wa kazi katika kazi ya dhahabu, fedha, shaba, na chuma, na ya dhambarau, na nyekundu, na sufu ya samawati, mtu anayejua kutengeza aina zote za mapambo ya mbao. Atakuwa na watu wenye ustadi waliopamoja nami katika Yuda na Yerusalemu, ambao Daudi baba yangu aliwaweka.
Protož nyní pošli mi muže umělého, kterýž by uměl dělati na zlatě, na stříbře, na mědi, na železe, i z zlatohlavu a z červce, a z postavce modrého, a kterýž by uměl řezati řezby s jinými umělými, kteříž jsou u mne v Judstvu a v Jeruzalémě, kteréž zjednal David otec můj.
8 Nitumieni pia mierezi, miberoshi, na miti ya msandali kutoka Lebanoni, maana najua ya kuwa watumishi wako wanajua jinsi ya kukata mbao katika Lebanoni. Angalia, watumishi wangu watakuwa na watumishi wako,
Přes to pošli mi také dříví cedrového a jedlového, a algumim z Libánu; nebo vím, že služebníci tvoji umějí sekati dříví Libánské. A hle, služebníci moji budou s služebníky tvými,
9 ili kwamba watayarishe mbao nyingi kwa ajili yangu, maana nyumba ninayotaka kuijenga itakuwa kubwa na ya ajabu.
Aby mi připravili dostatek dříví; nebo dům, kterýž já stavěti chci, veliký býti má a slavný.
10 Angalia, nitawapa watumishi wako, watu watakaozikata mbao, kori ishirini elfu za ngano ya aridhini, kori ishirini elfu za shayiri, bathi ishirini elfu za mvinyo, na bathi ishirini elfu za mafuta.” (Maandishsi ya kale yanasema: “kori ishirini elfu za ngano kama chakula”).
A aj, dám na dělníky, kteříž sekati mají dříví, pšenice semlené služebníkům tvým dvadcet tisíc měr, a dvadcet tisíc měr ječmene, a dvadcet tisíc lák vína, a dvadcet tisíc tun oleje.
11 Kisha Hiramu, mfalme wa Tiro, akajibu kwa maandishi, ambayo alimtumia Selemani: “Kwa kuwa Yahwe anawapenda watu wake, amekufanya kuwa mfalme juu yao.”
I odpověděl Chíram král Tyrský psáním, kteréž poslal k Šalomounovi: Jistě, žeť miluje Hospodin lid svůj, protož tě ustanovil nad nimi za krále.
12 Zaidi ya hayo, Hiramu akasema, “Abarikiwe Yahwe, Mungu wa Israeli, aliyeziumba mbingu na dunia, amempa Daudi mwana mwenye hekima, mwenye karama ya busara na uelewa, ambaye atajenga nyumba kwa aajili ya Yahwe, na nyumba kwa ajili ya ufalme wake.
Řekl dále Chíram: Požehnaný Hospodin Bůh Izraelský, kterýž učinil nebe i zemi, a kterýž dal králi Davidovi syna moudrého, umělého, rozumného a opatrného, aby vystavěl dům Hospodinu a dům svůj královský.
13 Sasa nimemtum mtu mwenye ujuzi, mwenye karama ya uelewa, Hiramu, mtaalamu wangu.
Protož posílámť teď muže moudrého, umělého a opatrného, kterýž byl u Chírama otce mého,
14 Ni mwana wa mwanamke wa binti za Dani. Baba yake alikuwa mtu kutoka Tiro. Ana ujuzi katika kazi za dhahabu, fedha, shaba, chuma, mawe, na katika mbao, na katika dhambarau, samawati, na sufu yenkundu, na kitani safi. Pia ana ujuzi katika kutengeneza michoro ya aina yoyote na katika kubuni kitu chochote. Apatiwe nafsi miongoni mwa watumishi wako wenye ujuzi, na pamoja na wale wa bwana wangu, Daudi, baba yako.
Syna jedné ženy ze dcer Dan, otce pak měl Tyrského, kterýž umí dělati na zlatě, na stříbře, na mědi, železe, kamení a na dříví, i z šarlatu, z postavce modrého, z kmentu a z červce, tolikéž řezati všelijaké řezby, a vymysliti všelijaké dílo, kteréž dáno mu bude s moudrými tvými, a s moudrými pána mého Davida otce tvého.
15 Sasa, ngano na shayiri, mafuta na mvinyo, ambayo bwana wangu aliisema, na apeleke sasa vitu hivi kwa watumishi wake.
Pšenice však toliko a ječmene, oleje a vína, což řekl pán můj, nechť pošle služebníkům svým.
16 Tutakata mbao kutoka Lebanoni, mbao nyingi kadri unavyohitaji. Tutazileta kwako kama mitumbwi kupitia bahari kwenda Yafa, na utazibeba hadi Yerusalemu.”
My pak nasekáme dříví z Libánu, což ho koli bude potřebí tobě, a připlavíme je tobě v vořích po moři k Joppe, a ty dáš je voziti do Jeruzaléma.
17 Selemani akawahesabu watu wageni waliokuwa katika nchi ya Israeli, kwa kutumia njia ya Daudi, baba yake, aliyoitumia kuwahesabu. Walikutwa wako 153, 600.
A tak sečtl Šalomoun všecky cizozemce, kteříž byli v zemi Izraelské po sečtení tom, kterýmž sečtl je David otec jeho, a nalezeno jich sto a padesát tisíc, tři tisíce a šest set.
18 Miongoni mwao aliwateua sabini elfu ili wabebe mizigo, themanini elfu kuwa wakataji wa mbao katika milima, na 3, 600 kuwa wasimamizi wa kuwasimamia watu wafanye kazi.
I vybral z nich sedmdesát tisíc nosičů, a osmdesát tisíc těch, kteříž sekali na hoře, tři pak tisíce a šest set úředníků, kteříž lid k dílu přídrželi.

< 2 Nyakati 2 >