< 2 Nyakati 19 >

1 Yehoshafati mfalme wa Yuda akarudi salama nyumbani kwake Yerusalemu.
Nakasubli a sikakaradkad ni Jehosafat nga ari ti Juda iti balayna idiay Jerusalem.
2 Kisha Yehu mwana wa Hanani, mwonaji, akatoka kukutana naye na akasema kwa mfalme Yehoshafati, “Unapaswa kuwa unawasaidia waovu? Unapaswa kuwapenda wanaomchukia Yahwe? Kwa ajili ya tendo hili, ghadhabu toka kwa Yahwe iko juu yako.
Kalpasanna, rimmuar a mangsabat kenkuana ni Jehu a propeta a putot ni Hanani ket kinunana kenni Ari Jehosafat, “Rumbeng kadi a tulongam dagiti nadangkes? Rumbeng kadi nga ayatem dagiti manggurgura kenni Yahweh? Gapu iti daytoy nga inaramidmo, kapungtotnaka ni Yahweh.
3 Aidha, kuna baadhi ya mema ya kuonekana ndani yako, kwamba umeziondosha Maashera nje ya nchi, na umeukaza moyo wako kumtafuta Mungu.”
Nupay kasta, adda naimbag nga inaramidmo. Inikkatmo dagiti tekken ni Asera iti daga, ken impamaysam ti pusom iti Dios.”
4 Yehoshafati akaishi katika Yerusalemu; na akaenda nje tena miongoni mwa watu wa Beer- sheba hadi nchi ya kilima ya Efraimu na akawarudisha kwa Yahwe, Mungu wa baba zao.
Nagnaed ni Jehosafat idiay Jerusalem; ket nagdaliasat manen isuna a napan kadagiti tattao, manipud Beerseba agingga iti katurturodan ti Efraim ket pinagsublina ida kenni Yahweh, a Dios dagiti ammada.
5 Akaweka waamuzi katika nchi katika miji yote ya Yuda yenye angome, mji kwa mji.
Nangisaad isuna kadagiti ukom iti amin a nasarikedkedan a siudad ti Juda, iti tunggal siudad ti Juda.
6 Akawaambia waamuzi, “Zingatieni mnachopaswa kufanya, kwa sababu hamuamui kwa ajili ya mwanadamu, bali kwa ajili ya Yahwe; yuko pamoja nanyi katika kazi ya kuamua,
Kinunana kadagiti ukom, “Panunotenyo ti rumbeng nga aramidenyo, gapu ta saankayo a manguk-ukom para iti tao, ngem para kenni Yahweh; adda isuna kadakayo iti pananguk-ukomyo.
7 Basi sas iacheni hofu ya Mungu iwe juu yenu. Iweni waangaliafu mnapoamua, kwa maana hakuna uovu wa Yahwe Mungu wetu, wala hakuna upendeleo wala hongo.”
Ket ita, umay koma kadakayo ti panagbuteng kenni Yahweh. Agannadkayo no mangukomkayo, ta awan basol kenni Yahweh a Diostayo, wenno awan ti aniaman a panangidumduma wenno pasuksok kenkuana.”
8 Vile vile, katika Yerusalemu Yehoshafati akateua baadhi ya Walawi na makuhani, na baahdhi ya viongozi wa nyumba za mababu wa Israeli, kwa ajili ya kufanya hukumu kwa ajili ya Yahwe, na kwa ajili ya migogoro. Wakaishi katika Yerusalemu.
Maysa pay, nangdutok met ni Jehosafat kadagiti sumagmamano a Levita ken papadi idiay Jerusalem ken kadagiti sumagmamano a panguloen kadagiti pamilia dagiti Israelita, a mangukom para kenni Yahweh, ken mangrisut kadagiti pagririan. Agnanaedda idiay Jerusalem.
9 Akawaelekeza, akisema, “Lazima mtumike kwa heshima kwa ajaili ya Yahwe, kwa uaminifu, na na kwa moyo wenu wote.
Binilinna ida, a kunana, “Aramidenyo dagiti pagrebbenganyo a sibubuteng kenni Yahweh, sipupudno, ken iti isu-aminyo, kastoy ti aramidenyonto:
10 Kila mgogoro wowote utakapokuja kwenu kutoka kwa ndugu zenu wanaoishi katika miji yao, iwe inahusu mauji, iwe inhusu torati na amri, lazim muwaonye, ili kwamba wasiwe na hatia mbele za Yahwe, la sivyo ghadhabu itakuja juu yenu na juu ya ndugu zenu. Mnapaswa kufanya hivyo na hamtakuwa na hatia
No adda idatagda kadakayo a riri manipud kadagiti kakabsatyo nga agnanaed kadagiti siudadda, pammapatay man wenno maipapan kadagiti linteg, bilbilin, alagaden ken paglintegan, nasken a ballaaganyo ida tapno saanda nga agbasol kenni Yahweh, ken tapno saan nga agdissuor ti pungtotna kadakayo ken kadagiti kakabsatyo. No agtinaykayo iti kastoy a wagas, saankayo nga agbasol.
11 Ona, Amaria kuhani mkuu yuko juu yenu katika mambo yote ya Yahwe. Zebadia mwana wa Ishmaeli, kiongozi wa nyumba ya Yuda, ni kiongozi katika yote katika mambo yote ya mfalme. Pia, Walawi watakuwa wasimamizi wakiwatumikia ninyi. Muwe hodari na tiini maelekezo yenu, na Yahwe awe moja nao walio wema.”
Adtoy, ni Amarias, a panguloen a padi, ket isu ti mangimaton kadakayo maipanggep iti amin a banbanag maipapan kenni Yahweh. Ni Zebadias a putot ni Ismael, a mangidadaulo iti balay ti Juda, ket isu ti mangimaton kadagiti amin a pakaseknan ti ari. Kasta met, a dagiti Levita dagiti opisial nga agserbi kadakayo. Agtignaykayo a situtured, ket sapay koma ta adda ni Yahweh kadagiti naimbag.”

< 2 Nyakati 19 >