< 2 Nyakati 19 >

1 Yehoshafati mfalme wa Yuda akarudi salama nyumbani kwake Yerusalemu.
Et Josaphat, roi de Juda, s’en retourna dans sa maison, en paix, à Jérusalem.
2 Kisha Yehu mwana wa Hanani, mwonaji, akatoka kukutana naye na akasema kwa mfalme Yehoshafati, “Unapaswa kuwa unawasaidia waovu? Unapaswa kuwapenda wanaomchukia Yahwe? Kwa ajili ya tendo hili, ghadhabu toka kwa Yahwe iko juu yako.
Et Jéhu, fils de Hanani, le voyant, sortit au-devant de lui, et dit au roi Josaphat: Aides-tu au méchant, et aimes-tu ceux qui haïssent l’Éternel? À cause de cela il y a colère sur toi de la part de l’Éternel.
3 Aidha, kuna baadhi ya mema ya kuonekana ndani yako, kwamba umeziondosha Maashera nje ya nchi, na umeukaza moyo wako kumtafuta Mungu.”
Cependant il s’est trouvé de bonnes choses en toi, car tu as ôté du pays les ashères, et tu as appliqué ton cœur à rechercher Dieu.
4 Yehoshafati akaishi katika Yerusalemu; na akaenda nje tena miongoni mwa watu wa Beer- sheba hadi nchi ya kilima ya Efraimu na akawarudisha kwa Yahwe, Mungu wa baba zao.
Et Josaphat habita à Jérusalem. Et de nouveau il sortit parmi le peuple, depuis Beër-Shéba jusqu’à la montagne d’Éphraïm; et il les ramena à l’Éternel, le Dieu de leurs pères.
5 Akaweka waamuzi katika nchi katika miji yote ya Yuda yenye angome, mji kwa mji.
Et il établit des juges dans le pays, dans toutes les villes fortes de Juda, de ville en ville.
6 Akawaambia waamuzi, “Zingatieni mnachopaswa kufanya, kwa sababu hamuamui kwa ajili ya mwanadamu, bali kwa ajili ya Yahwe; yuko pamoja nanyi katika kazi ya kuamua,
Et il dit aux juges: Voyez ce que vous ferez; car ce n’est pas pour l’homme que vous jugerez, mais pour l’Éternel, et il sera avec vous dans ce qui concerne le jugement.
7 Basi sas iacheni hofu ya Mungu iwe juu yenu. Iweni waangaliafu mnapoamua, kwa maana hakuna uovu wa Yahwe Mungu wetu, wala hakuna upendeleo wala hongo.”
Et maintenant, que la frayeur de l’Éternel soit sur vous: prenez garde en agissant; car auprès de l’Éternel, notre Dieu, il n’y a point d’iniquité, ni acception de personnes, ni acceptation de présents.
8 Vile vile, katika Yerusalemu Yehoshafati akateua baadhi ya Walawi na makuhani, na baahdhi ya viongozi wa nyumba za mababu wa Israeli, kwa ajili ya kufanya hukumu kwa ajili ya Yahwe, na kwa ajili ya migogoro. Wakaishi katika Yerusalemu.
Et à Jérusalem aussi, Josaphat établit des lévites, et des sacrificateurs, et des chefs des pères d’Israël, pour le jugement de l’Éternel et pour les procès. Et ils étaient revenus à Jérusalem.
9 Akawaelekeza, akisema, “Lazima mtumike kwa heshima kwa ajaili ya Yahwe, kwa uaminifu, na na kwa moyo wenu wote.
Et il leur commanda, disant: Vous agirez ainsi dans la crainte de l’Éternel, avec fidélité et d’un cœur parfait.
10 Kila mgogoro wowote utakapokuja kwenu kutoka kwa ndugu zenu wanaoishi katika miji yao, iwe inahusu mauji, iwe inhusu torati na amri, lazim muwaonye, ili kwamba wasiwe na hatia mbele za Yahwe, la sivyo ghadhabu itakuja juu yenu na juu ya ndugu zenu. Mnapaswa kufanya hivyo na hamtakuwa na hatia
Et quelque procès qui vienne devant vous de la part de vos frères qui habitent dans leurs villes, entre sang et sang, entre loi et commandement, statuts et ordonnances, vous les avertirez afin qu’ils ne se rendent pas coupables envers l’Éternel, et qu’il n’y ait pas de la colère contre vous et contre vos frères: vous agirez ainsi, et vous ne vous rendrez pas coupables.
11 Ona, Amaria kuhani mkuu yuko juu yenu katika mambo yote ya Yahwe. Zebadia mwana wa Ishmaeli, kiongozi wa nyumba ya Yuda, ni kiongozi katika yote katika mambo yote ya mfalme. Pia, Walawi watakuwa wasimamizi wakiwatumikia ninyi. Muwe hodari na tiini maelekezo yenu, na Yahwe awe moja nao walio wema.”
Et voici, Amaria, le principal sacrificateur, est [préposé] sur vous dans toutes les affaires de l’Éternel, et Zebadia, fils d’Ismaël, prince de la maison de Juda, dans toutes les affaires du roi; et vous avez devant vous, pour officiers, les lévites. Fortifiez-vous, et agissez, et l’Éternel sera avec l’[homme] de bien.

< 2 Nyakati 19 >