< 2 Nyakati 19 >

1 Yehoshafati mfalme wa Yuda akarudi salama nyumbani kwake Yerusalemu.
And he returned Jehoshaphat [the] king of Judah to house his in safety to Jerusalem.
2 Kisha Yehu mwana wa Hanani, mwonaji, akatoka kukutana naye na akasema kwa mfalme Yehoshafati, “Unapaswa kuwa unawasaidia waovu? Unapaswa kuwapenda wanaomchukia Yahwe? Kwa ajili ya tendo hili, ghadhabu toka kwa Yahwe iko juu yako.
And he went out to face his Jehu [the] son of Hanani the seer and he said to the king Jehoshaphat ¿ the wicked to help and [those who] hate Yahweh will you love? and by this [is] towards you wrath from to before Yahweh.
3 Aidha, kuna baadhi ya mema ya kuonekana ndani yako, kwamba umeziondosha Maashera nje ya nchi, na umeukaza moyo wako kumtafuta Mungu.”
But things good they have been found with you for you have removed the Asherah poles from the land and you have directed heart your to seek God.
4 Yehoshafati akaishi katika Yerusalemu; na akaenda nje tena miongoni mwa watu wa Beer- sheba hadi nchi ya kilima ya Efraimu na akawarudisha kwa Yahwe, Mungu wa baba zao.
And he dwelt Jehoshaphat in Jerusalem. And he returned and he went out among the people from Beer Sheba to [the] hill country of Ephraim and he turned back them to Yahweh [the] God of ancestors their.
5 Akaweka waamuzi katika nchi katika miji yote ya Yuda yenye angome, mji kwa mji.
And he appointed judges in the land in all [the] cities of Judah fortified for a city and a city.
6 Akawaambia waamuzi, “Zingatieni mnachopaswa kufanya, kwa sababu hamuamui kwa ajili ya mwanadamu, bali kwa ajili ya Yahwe; yuko pamoja nanyi katika kazi ya kuamua,
And he said to the judges consider what? [are] you doing for not for humankind you will judge for for Yahweh and with you in a matter of judgment.
7 Basi sas iacheni hofu ya Mungu iwe juu yenu. Iweni waangaliafu mnapoamua, kwa maana hakuna uovu wa Yahwe Mungu wetu, wala hakuna upendeleo wala hongo.”
And therefore let it be [the] dread of Yahweh on you take care and act for there not with Yahweh God our [is] injustice and lifting up of face and taking of a bribe.
8 Vile vile, katika Yerusalemu Yehoshafati akateua baadhi ya Walawi na makuhani, na baahdhi ya viongozi wa nyumba za mababu wa Israeli, kwa ajili ya kufanya hukumu kwa ajili ya Yahwe, na kwa ajili ya migogoro. Wakaishi katika Yerusalemu.
And also in Jerusalem he appointed Jehoshaphat some of the Levites and the priests and some of [the] heads of the fathers of Israel for [the] judgment of Yahweh and for dispute[s] and they returned Jerusalem.
9 Akawaelekeza, akisema, “Lazima mtumike kwa heshima kwa ajaili ya Yahwe, kwa uaminifu, na na kwa moyo wenu wote.
And he commanded to them saying thus you will do! in [the] fear of Yahweh in faithfulness and with a heart complete.
10 Kila mgogoro wowote utakapokuja kwenu kutoka kwa ndugu zenu wanaoishi katika miji yao, iwe inahusu mauji, iwe inhusu torati na amri, lazim muwaonye, ili kwamba wasiwe na hatia mbele za Yahwe, la sivyo ghadhabu itakuja juu yenu na juu ya ndugu zenu. Mnapaswa kufanya hivyo na hamtakuwa na hatia
And every case at law which it will come on you from brothers your - who dwell in cities their between blood - and blood between law and commandment and statutes and judgments and you will warn them and not they will be guilty to Yahweh and it will be wrath towards you and towards brothers your thus you will do! and not you will be guilty.
11 Ona, Amaria kuhani mkuu yuko juu yenu katika mambo yote ya Yahwe. Zebadia mwana wa Ishmaeli, kiongozi wa nyumba ya Yuda, ni kiongozi katika yote katika mambo yote ya mfalme. Pia, Walawi watakuwa wasimamizi wakiwatumikia ninyi. Muwe hodari na tiini maelekezo yenu, na Yahwe awe moja nao walio wema.”
And here! Amariah [the] priest of the head [will be] over you to every matter of Yahweh and Zebadiah [the] son of Ishmael the leader of [the] house of Judah to every matter of the king and [will be] officials the Levites before you be strong and act so may he be Yahweh with the good.

< 2 Nyakati 19 >